Mkulima Mbunifu

Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki

Uko na swali? Uliza kupitia  SMS/Whatsapp kwa nambari +255 717 266 007 au barua pepe kwa anuani info@mkulimambunifu.org

MENUMENU
  • Mwanzo
    • Kuhusu MkM
    • Falsa ya kilimo
  • Makala
  • Mifugo
  • Mimea
  • Binadamu
  • Mazingira
  • Kilimo Biashara
    • Usindikaji
      • Machungwa
      • Mafuta
      • Mananasi
      • Mtama
      • Maziwa
      • Nanaa
      • Nazi
      • Ngozi
      • Samaki
      • Soya
    • Masoko
  • Majarida

TAARIFA YA HALI YA HEWA NA TMA

24/03/2026

1.0 MUHTASARI WA MWENENDO WA MVUA KWA TAREHE 11-20 MACHI, 2026 NA MATARAJIO YA MVUA KWA TAREHE 21-31 MACHI, 2026. 1.1 MUHTASARI WA MWENENDO WA VIASHIRIA NA MIFUMO YA MVUA TAREHE 11-20 MACHI, 2026. Katika kipindi hiki, migandamizo mikubwa ya hewa iliyopo kusini mwa dunia (St. Helena na Mascarene) iliendelea...

TENDA YA USAFIRI SAT (MKULIMA MBUNIFU – ARUSHA)

10/03/2026

SAT inatafuta Usafiri na dereva kwa ajili ya kuwasafirisha wafanyakazi wake wa mradi wa Mkulima Mbunifu wakati wakienda sehemu mbalimbali hasa maeneo ya vijijini kwa wakulima wanufaika wa mradi mara kwa mara na popote wafanyakazi watakapo Kwenda kwa shughuli za kiofisi. TAFADHALI FUNGUA HAPA CHINI KWA MAELEZO ZAIDI https://mkulimambunifu.org/wp-content/uploads/elementor/Tenda-ya-usafiri-2026.pdf

Baadhi ya mimea huboresha mboji

19/09/2025

Ni kwa nini wakulima huchanganya aina nyingi za mimea wanapotengeneza mboji? Aina tofauti za mimea huwa na aina tofauti za virutubisho, na pia huchangia kwa kiasi kikubwa kuwezesha kuoza kwa aina nyingine za mimea hivyo kutengeneza mbolea nzuri. Unapotengeneza mboji, moja ya malengo ni kupata mboji yenye ubora wa hali...

Kwa nini miembe inadondosha maua?

19/09/2025

Kudondoka kwa maua kwenye miembe yako inaweza kutokana na upungufu au ukosefu wa aina fulani ya madini. Virutubisho na madini kwenye miembe vinahitaji ufahamu na uelewa wa hali ya juu kwa kile kinachohitajika. Tofauti na hilo, unahitaji kuzingatia kiasi cha fosiforasi ili kuchochea uwezo wa mizizi na ukuaji wa mmea....

Je, Una swali lolote kuhusiana na ufugaji wa Samaki? Tuulize, Tukujibu

18/09/2025

Ni utaratibu wa kawaida kabisa kwa MkM kuthamini maoni yako na kujibu maswali yenu kwa kupitia wataalamu wa kada mbalimbali. Katika toleo hili Musa Said ambaye ni mtaalamu wa Samaki anaendelea kujibu maswali kuhusiana na ufugaji wa samaki. Shime, kama nawe una maswali basi usisite ili upate jibu na uondokane...

Lishe na vyanzo asili ya chakula

10/09/2025

Lishe bora inajumuisha aina mbalimbali za vyakula kutoka makundi tofauti ya chakula, na hutoa virutubisho na ladha tofauti. Makundi haya ni muhimu kwa afya na ukuaji wa mwili: Nafaka na mizizi: Mahindi, viazi, ndizi — hutoa wanga kwa ajili ya kuongeza nguvu. Mikunde: Maharagwe, soya — chanzo cha protini kwa...

JOB VACANCY: Consultant to update and redesign its website

01/09/2025

MkM is seeking to update and redesign its website to enhance the functionality, user experience, and overall performance of the Mkulima Mbunifu website (www.mkulimambunifu.org). This involves updating the WordPress Content Management System (CMS), addressing plugin compatibility issues, optimizing social media integration, implementing an email system for content distribution and newsletters,...

JOB VACANCY: MkM Intern

01/09/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. For more information kindly follow the link below; https://mkulimambunifu.org/wp-content/uploads/elementor/TOR-for-Mkulima-Mbunifu-Intern-_2025.pdf

Magonjwa yanayoathiri nguruwe

01/09/2025

Kuna aina nyingi za magonjwa yanayoshambulia nguruwe, lakini yapo yale yaliyozoeleka ambapo ni lazima kukabiliana nayo ili kuwa na ufugaji wenye tija. Ugonjwa wa miguu na midomo Ugonjwa huu huathiri nguruwe sehemu za miguu na midomo. Ni ugonjwa ambao hushambulia nguruwe mara kwa mara hasa wasipokuwa na matunzo mazuri. Ugonjwa...

Biashara inahitaji mipango thabiti

29/08/2025

Miaka ya hivi karibuni serikali pamoja na wadau wengine wamekuwa na mikakati thabiti ya kuwashawishi wakulima kuweka shughuli zao katika mtazamo wa kibiashara. Waliochukua na kuufanyia kazi ushauri huo kisha kufanya shughuli za kilimo, kitaalamu kwa mtazamo wa kibiashara leo wanapata faida kubwa. Faida hiyo haiji kirahisi. Kuwa na wazo...

Maswali ya wafugaji wa kuku na majibu ya wataalamu

29/08/2025

Swali: Endapo nitachanja kuku wangu dhidi ya mdondo lakini jirani zangu hawakuchanja kuku wao, je kuku wangu hawataathirika na ugonjwa unapotokea kwa majirani? Jibu: Kinga itokanayo na chanjo hufikia kiwango cha juu kabisa siku ya 14 na endapo ugonjwa utafika kwa jirani yako wakati kuku wako wamekwisha fikia kiwango kizuri...

Matatizo yanayoweza kumpata ng’ombe baada ya kuzaa

28/08/2025

Mara nyingine ng’ombe anapozaa, huweza kupatwa na matatizo machache kama vile kizazi kutoka nje, kondo la nyuma kushindwa kutoka na hata wakati mwingine kupooza miguu na kushindwa kusimama. Kushindwa kutoka kwa kondo la nyuma Kwa kawaida mara baada ya kuzaa, kondo la nyuma pamoja na majimaji yaliyobakia kwenye tumbo la...

Mifano ya ujumuishaji yanayotumiwa na wakulima

15/08/2025

1. Mifumo Mseto Wakulima wanalima mazao makuu pamoja na kufuga ng’ombe, wakitumia mabaki ya mazao kulisha ng’ombe na samadi kurutubisha mashamba. 2. Kilimo cha mzunguko na malisho ya muda Mzunguko wa mazao na malisho ya muda mfupi ambayo huliwa na mifugo. Awamu ya malisho inaboresha rutuba ya udongo kwa mazao...

Je, wajua kuwa unaweza kufanya ufugaji mesto wa Samaki, kuku na mboga katika eneo dogo, kwa gharama nafuu na kipato kikubwa?

15/08/2025

Ufugaji wa samaki umeendelea kukua hata katika maeneo ambayo hakuna ziwa, bahari, bwana na kusaidia jamii kujipatia kipato kinachokidhi mahitaji muhimu, na hata kufanya maendeleo binafsi. Mafanikio ya ufugaji wa Samaki ni kutokana na uhakika mkubwa wa soko. Katika Makala hii Mkulima Mbunifu inakuletea Ufugaji mesto wa Kuku, Samaki na...

Je, wajua kuwa unaweza kulima mboga kwenye matairi na ukafanikiwa?

15/08/2025

Hupunguza uchafuzi wa mazingira Kila siku watumiaji wa vyombo vya usafiri hubadilisha matairi. Mbali na kuwa matairi hutumika kutengeneza vitu kama viatu, mipini ya mapanga n.k, pia matairi yanaweza kutumiwa katika kilimo cha mbogamboga na matunda badala ya kuchoma matairi na kuzalisha kemikali zenye sumu kwa binadamu. Ni rahisi kutumia...

MAONYESHO YA WAKULIMA NANENANE; TUAMBIE UMEJIFUNZA NINI? JE, UNAKWAMA WAPI?

15/08/2025

Kama umeweza kuhudhuria maonyesho ya wakulima Nanenane katika kanda yeyote, njoo utuambie ni kipi umejifunza kipya, au ni maarifa ama ujuzi gani umeongeza? Je, ni wapi unakwama au changamoto uliyonayo ni ipi? Njoo tusemezane ewe mkulima!!!!!!!!!!!!!

Utunzaji wa udongo kwa ajili ya kilimo hai

31/07/2025

Uelewa wa maisha ya mimea husaidia kwa kiasi kikubwa kwa hatua ya kuchukua kuilisha mimea hiyo. Utunzaji wa udongo unategemeana kwa kiasi kikubwa na mazingira ya kibiolojia. Kazi kubwa ya baadhi ya viumbe hai waliomo kwenye udongo, ni kumeng’enya mabaki ya mimea na viumbe hai wengine. Mtiririko huu hufanya uwepo...

Ni rahisi sana kutunza kuku wa kienyeji na kupata faida kubwa

31/07/2025

Unaweza kutunza kuku wa kienyeji na ukawa na kipato cha uhakika, pamoja na lishe nzuri kwa ajili ya familia. Ulishaji: Kuku wa kienyeji wanaweza kulishwa kwa kumia mahindi, mchele, na mabaki ya ugali. Vyakula hivi ni lazima vikaushwe vizuri na kusagwa vizuri. Ulishaji ni lazima ufanyike katika sehemu safi au...

Ukizingatia kanuni hizi utafanikiwa kuwa na uzalishaji bora wa mazao

25/07/2025

  Usafishaji wa shamba. Shamba likiwa safi unapunguza sehemu ambazo wadudu wanaweza kuzaliana kwa urahisi, pamoja na sehemu ambazo vitu vinavyosababisha magonjwa vinaweza kujificha. Mkulima anashauriwa kupalilia shamba lake mara kwa mara na kila inapowezekana kuhakikisha anaondoa masalia ya mazao ya msimu uliopita shambani. Masalia hayo yakibaki shambani wadudu wa...

Kusindika maparachichi kupata guacamole

25/07/2025

Maparachichi ni moja ya zao la matunda ambalo hulimwa kwa wingi katika mikoa ya Mbeya, Kilimanjaro, Morogoro, Kigoma, Kagera, Arusha na Tanga. Zao hili ni muhimu sana katika lishe kwani lina mafuta na protini kwa wingi kuliko matunda yote yanayolimwa nchini. Kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji kila wakati, ambapo mara...

MATUNZO SAHIHI YA VIFARANGA VYA KUKU

25/07/2025

Ni muhimu mfugaji kufahamu kuwa kifaranga wa leo ndiye kuku wa kesho atakaesababisha mafanikio yake na kufanya maisha yasonge mbele bila kikwazo. Ufugaji wa kuku ni moja ya shughuli ambayo imejipatia umaarufu kwa kiasi kikubwa sana miongoni mwa wakulima na hata wanaofanya shughuli nyinginezo tofauti na ufugaji peke yake. Ili...

HIVI UKISIKIA WAKULIMA WAKISEMA MBEGU UNAFIKIRIJE? AMA KWA UFAHAMU WAKO MBEGU NI NINI

24/07/2025

Mbegu ni nini? Mbegu ni sehemu ya mmea ambayo ina uwezo wa kuota na kutoa mmea mpya. Kuna makundi makuu mawili ya mbegu tunayoyazungumzia katika kilimo ambayo ni punje na shina/ mizizi. Punje Hizi ni mbegu za nafaka au za matunda, ambazo huzalishwa kwa uchavushaji. Kawaida huwa na kiini na...

MAONYESHO YA WAKULIMA NANENANE, EWE MKULIMA, MFUGAJI NA MJASIRIAMALI VIPI UMEJIANDAAJE?

24/07/2025

“Hayawi hayawi sasa yamekuwa”. Kama ilivyo ada mwezi wa nane, huwa ni mwezi wenye shughuli nyingi zinazohusiana na kilimo, ufugaji, uvuvi wasindikaji na hata kilimo biashara tangu mwanzoni kabisa mwa mwezi hadi katikati ya mwezi.  Wakulima, wafugaji na wadau wengine hupata fursa ya kukutana katika maeneo mbalilmbali ili kuonesha kazi...

Wakulima vinara wa MkM ni mabalozi wa kilimo endelevu

30/06/2025

Nchini Tanzania, kilimo si kazi tu, ni sehemu ya maisha ya kila siku. Kilimo kinatoa ajira kwa takribani asilimia 80 ya Watanzania na kuchangia takribani asilimia 30 ya pato la taifa. Kiasi kikubwa cha chakula chetu kinazalishwa na wakulima wadogo. Hata hivyo, licha ya mchango wao mkubwa, wakulima hawa hukumbwa...

Je, Unaelewa vema juu ya afya ya Mifugo? Tujikumbushe

30/06/2025

Tujikumbushe Kawaida, ufugaji una madhumuni ya uzalishaji wa bidhaa tofauti. Inajumuhisha hali yao ya kimwili, kiakili na kihisia. Kwa wakulima wadogo, kuhakikisha afya ya mifugo kama vile ng’ombe, nguruwe, kuku na mbuzi ni muhimu sio tu kwa uendelevu wa kiuchumi lakini pia kwa usalama wa chakula na maisha ya familia...

Ni vyema ukapunguza matumizi ya kemikali shambani mwako

30/06/2025

Wakulima wengi hutumia dawa za kemikali kudhibiti magonjwa na wadudu waharibifu shambani. Hata hivyo, tatizo moja kubwa la kutumia dawa za kudhibiti wadudu na magonjwa kwa kiasi kikubwa ni kuwa wadudu hao huwa sugu baada ya muda mfupi. Hii inapelekea wakulima wengine kubuni njia hatari za kudhibiti wadudu na magonjwa....

Mbinu za uzalishaji bora shambani

30/06/2025

Usafi shambani Ni vyema kuhakikisha kwamba shamba ni safi, haina magugu ambayo yanaweza kushindana na mimea kupata lishe na maji. Inashauriwa kufanya palizi ya mara kwa mara. Pia, Panda mimea ya msimu ikifuatana na mimea ya msimu mfupi. Kwa, mfano, baada ya kupanda mahindi, unaweza kupanda viazi vitamu ambavyo vitasaidia...

Zingatia afya ya mmea ili kupata mapato mengi

30/06/2025

Mara nyingi wakulima wanapuuza maswala yanayohusiana na nafya ya mimea na kupata hasara kubwa. Ikiwa mkulima hatawekeza muda na rasilimali, atakuwa na mimea iliyodhoofika. Ni nia ya kila mkulima kuwa na mimea yenye nguvu na afya, na yenye uwezo wa kutoa mapato ya hali ya juu. Ni lazima kuwa makini...

Namna ya kuzuia vimelea kwa mifugo

05/06/2025

Minyoo ya ndani ya mwili na hasa ile inayoishi kwenye maini pamoja na ile ya mviringo huathiri sana afya za wanyama wa dogo kama ndama na kwa ujumla husababisha udhaifu wa mwili, ukosefu wa nguvu, ukuaji duni na hatimaye vifo vya maelfu ya mifugo ya wafugaji wadodgowadogo kila mwaka. Hali...

Unaweza kutengeneza mbolea ya mboji kwa njia rahisi

04/06/2025

Zipo aina nyingi za takataka zin-azoweza kutumika kwa ajili ya kuzalisha mbolea ya mboji kama vile mabaki ya malisho, unga wa maranda unaotokana na shughuli za useremala, majivu na masalia ya ziada baada ya kuvuna mazao shambani. Kwa kutengeneza mboji, kiasi cha mbolea kitakachopelekwa shambani kitaongezeka kwani samadi itachanganywa na...

Unaweza kukausha karoti na kusaga kwa matumizi ya baadaye

02/06/2025

Imezoeleka kuwa karoti ni moja ya kiungo maarufu cha chakula, ambacho mara nyingi kinatumika kikiwa kibichi, na mara nyingi hakihifadhiwi kwa muda mrefu. Tofauti na dhana hii, karoti inaweza kusagwa na kuwa unga, ambao unaweza pia kutumika kama chakula. Utayarishaji Osha karoti kwa kutumia maji ya moto hadi zitakate. Katakata...

Fahamu madhara ya kiafya unayoweza kupata kutokana na viuatilifu

30/05/2025

Wakulima wengi wamejisababishia madhara ya kiafya kutokana na matumizi ya viuatilifu. Hii ni kutokana na kutokua na maarifa sahihi na kutokutumia hatua zinazostahili za kinga au kutekeleza mbinu sahihi za udhibiti. Viuatilifu vya kiwandani na zana zake kwa kawaida huhifadhiwa majumbani ambako kuna hatari ya kugusana na chakula na watoto. Pia...

Unaweza kutumia chokaa na majivu kuangamiza viwavijeshi vamizi

30/05/2025

Wakulima walio wengi katika mikoa mbalimbali hapa nchini wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiwavijeshi vamizi, mdudu ambaye husababisha hasara kubwa kwa wakulima hasa wa mahindi kwani hupoteza maelfu ya hekari za mazao endapo watavamiwa na mdudu huyu. Kuna mbinu mbalimbali za kudhibiti mdudu huyu kama vilekufanya kilimo bora mfano kupanda kwa...

Msimu huu wa mvua na baridi kali, hakikisha unawachanja kuku dhidi ya magonjwa mbalimbali

30/05/2025

Watu wengi wamekuwa wakianzisha miradi ya ufugaji wa kuku bila kuzingatia kanuni bora za utekelezaji wa mradi huo. Moja ya mambo ambayo wafugaji mara nyingi husahau kuzingatia ni utoaji wa chanjo sahihi na kwa muda muafaka. Ni muhimu kufahamu mambo unayotakiwa kuzingatia katika kuwapatia kuku chanjo. Wakati wa kutayarisha mpango...

Tengeneza chakula kwa ajili ya nguruwe kwa kutumia comfrei na upupu

30/05/2025

Ni kwa namna gani ninaweza kutengeneza chakula cha nguruwe kwa njia kutumia comfrei na upupu? Resheni ya chakula inahusiana moja kwa moja na ulishaji. Hili ni jumuiko la aina mbalimbali ya vyakula vinavyotumika kwa malisho, ikionesha ni kiasi gani cha kila aina ya lishe iliyopo kimetumika ili kuwa na chakula...

Tengeneza unga wa mbegu za parachichi na tumia kwa afya

30/05/2025

Unga wa mbegu za parachichi Parachichi ni moja ya matunda maarufu duniani kote. Tunda hili hutumika kwa shughuli mbalimbali, kama vile kuliwa kama tunda, utengenezaji wa mafuta ya kula, vipodozi, n.k. Pia, matawi ya mparachichi yanaweza kutumika kama malisho kwa mifugo, huku mti wake ukitumika kama kuni au hata magogo...

Namna ya kutengeneza unga wa maboga

22/05/2025

Katika jamii yetu, watu huchukulia kuwa boga ni chakula cha watu masikini ambao hawana namna ya kupata chakula kizuri. Hata badhi ya wakulima hawakubali kujiingiza katika kilimo cha zao hili. Ukweli ni kwamba, hili ni zao ambalo lina manufaa makubwa sana hasa kwa afya ya binadamu. Hii ni kwa sabababu...

Ikiwa bado tuko kwenye wiki siku ya nyuki, fahamu wadudu wanao athiri uzalishaji wa asali

22/05/2025

Siafu Siafu ni miongoni mwa wadudu wanaoshambulia nyuki wanaozalisha asali. Ni wadudu wapole wasiokuwa na shida lakini huvamia mzinga na kuwauwa nyuki. Kutokana na uharibifu huo, humuumiza na kumvunja moyo mfugaji, na mara nyingine wanaweza kuuma na kusababisha maumivu. Kuweka mizinga sehemu yenye siafu inaweza kusababisha utunzaji kuwa mgumu. Kukiwa...

Mvua zinaelekea ukingoni: Panda miti kwa ajili ya mazingira

22/05/2025

Kwa mara nyingine tena, wakulima katika maeneo mbalimbali hapa nchini, wanapanda mazao na hata wengine kukazana kufanya palizi ili kutumia mvua ambazo zimenyesha sehemu mbalimbali. Mbali na kupanda mazao, shughuli nyingine muhimu ambayo wakulima wanaweza kujihusisha nayo katika msimu huu wa mvua ni upandaji wa miti. Ni jukumu la kila...

Mazao ya chakula na lishe kamili ni muhimu kwa mkulima

22/05/2025

MkM kwenye mtandao wafugaji kwa miaka kadhaa wamekuwa wakifuga kimazoea, bila kuzingatia kwa kiasi kikubwa uzalishaji wenye tija. Hali hiyo imekuwa ikisababisha kiasi Tanzania ni nchi yenye uwezo wa kuzalisha mazao mengi ya chakula na ya biashara. Hii ni kutokana na hali ya hewa nzuri pamoja na udongo wenye rutuba...

Ni hatari kumfunga mbuzi kamba shingoni

12/05/2025

Ni dhahiri kuwa wafugaji wengi wana bidii sana na kuwa na matumaini makubwa kutokana na kazi zao. Hari ya kuwa na uzalishaji mzuri kutokana na mifugo yao pia ni dhahiri. Pamoja na hari hiyo, wafugaji wengi wamekuwa hawazingatii kanuni bora za ufugaji na utunzaji wa mifugo yao. Mbuzi wa aina...

MkM internship opportunity

09/05/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. Kindly get to the link below for more information http://chrome-extension://efaidnbmnnnibpcajpcglclefindmkaj/https://mkulimambunifu.org/wp-content/uploads/elementor/TOR-for-MkM-Intern-_2025final-1.pdf

Fahamu ukubwa wa soko la bidhaa za kilimo hai

17/04/2025

Historia inaonesha miaka ya zamani kilimo kilikuwa kinafanyika kupitia mbegu za mkulima mwenyewe. Hali hiyo ilitokea kutokana na utaratibu au utamaduni ambao wakulima walirithi kwa mababu kuwa mbegu, mbolea na viuatilifu vya msimu ujayo vinatoka shambani na si kwingineko. Ujio wa mapinduzi ya viwanda duniani unatajwa kuwa ulikuja na faida...

Msimu wa palizi kwa zao la mahindi: Nini wapaswa kufahamu?

14/04/2025

Mahindi ni zao muhimu la chakula, na ni aina ya nafaka inayotumiwa kwa wingi kama chakula, hususani katika mataifa ya Afrika, lakini pia limekuwa likitumika katika nchi zilizopo kusini mwa jangwa la sahara. Mahindi ni chakula cha matumizi ya nyumbani kwa idadi ya watu inayokadiriwa kuwa asilimia 50. Ni chanzo...

Matumizi ya mabaki ya mimea na wanyama katika kurutubisha udongo na kupelekea uzalishaji bora wa mazao

14/04/2025

Je, unafahamu kuwa unatakiwa kujua sifa za udongo ulio katika shamba lako na changamoto zake? Je, udongo una upungufu wa naitrojeni? Je, una upungufu wa fosiforasi? Je, kuna uwepo wa mabaki ya miti au wanyama ya kutosha? Ikiwezekana, udongo huo upimwe na mtaalamu au afisa kilimo ili kuonyesha kwa usahihi...

Rutuba ya udongo ndiyo msingi wa kilimo hai

11/04/2025

Kwa muda mrefu sasa tumekuwa mstari wa mbele katika kuzungumzia na kuhimiza uzalishaji kwa misingi ya kilimo hai, ikiwa ni moja ya nguzo za kilimo endelevu. Katika makala zote zilizochapishwa katika jarida hili pamoja na machapisho mengine yanayotolewa na Mkulima Mbunifu, tumehimiza pia matumizi sahihi ya dawa za asili na...

Mnyororo wa ongezeko la thamani utapunguza manung’uniko kwa wakulima na wafugaji

10/04/2025

Sera ya soko huria iliyoanza kutekelezwa toka miaka ya 1990 imefungua fursa kwa wawekezaji kuwekeza kwa wingi kwenye maeneo mbali mbali ya kibiashara. Kwa muda mrefu, Kilimo kimewavuta wawekezaji ambao wamekuwa wakijishughulisha na mashamba makubwa ili kukidhi madhumuni ya biashara ya kuzalisha kwa wingi kupunguza gharama ya kuzalisha kwa kiasi...

Jikinge na vurusi vya Monkey Pox (Mpox)

10/04/2025

Mnamo tarehe 7 Machi, 2025 Wizara ya Afya kupitia mifumo yake ya ukusanyaji wa taarifa na ufuatiliaji wa magonjwa ilipokea taarifa za uwepo wa wahisiwa wenye dalili za vipele usoni, mikononi, miguuni na sehemu nyingine za mwili. Dalili hizi ziliambatana na homa, maumivu ya kichwa, vidonda kooni, maumivu ya viungo...

Unawezaje kutambua mnyama mwenye afya nzuri na mwenye matatizo ya kiafya?

27/03/2025

Afya ya mifugo ni tatizo kubwa linalowakabili wafugaji walio wengi katika sehemu mbalimbali za nchi. Wapo wataalamu mbalimbali katika maeneo na mikoa yote ya nchi wanaotoa huduma ya mifugo lakini, bado kuna changamoto nyingi zinazowakumba wafugaji. Katika sehemu ambazo mawasiliano ikijumuisha pia miundo mbinu kuwa duni, wafugaji wamekuwa wakipoteza mifugo...

Udhibiti wa magonjwa ya ng’ombe wa maziwa

25/03/2025

Ugonjwa ni hali ambayo inamzuia ng’ombe kuzalisha kwa kiwango kikubwa kulingana na uwezo wake. Hii inajumuisha upatikanaji wa lishe bora na ambayo ni chanzo kikuu cha aina nyingi za yanayosumbua mifugo. Wafugaji wanafaa kuwapa mifugo wao chakula cha kutosha ili kujenga afya na kinga ya mwili na kuepukana na maradhi...

Serikali kuchanja mifugo nchi nzima

19/03/2025

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi mwaka huu wa 2025 itaendesha nchi nzima zoezi la uchanjaji wa Ng’ombe dhidi ya Ugonjwa wa Homa ya Mapafu (CBPP), Mbuzi na Kondoo dhidi ya Ugonjwa wa Sotoka (PPR) na Kuku dhidi ya Ugonjwa wa Mdondo/ Kideri (Newcastle disease) Gharama ya chanjo kwa...

Msomaji wa jarida la MkM atoa ushauri kwa wafugaji wa kuku

19/03/2025

Moja ya kazi inayofanywa na Mkulima Mbunifu katika kufikisha elimu kwa wakulima, ni kutumia ujuzi na uzoefu wa wakulima na wafugajhi wengine katika kuelimisha na kushirikisha namna mbalimbali wanavyofanya na kufanikiwa katika kazi zao za uzalishaji. MkM Huu ni ushauri kutoka kwa mmoja wa wasomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu...

Zingatia afya ya mmea ili kupata mapato mengi

19/03/2025

Mara nyingi wakulima wanapuuza maswala yanayohusiana na nafya ya mimea na kupata hasara kubwa. Ikiwa mkulima hatawekeza muda na rasilimali, atakuwa na mimea iliyodhoofika. Ni nia ya kila mkulima kuwa na mimea yenye nguvu na afya, na yenye uwezo wa kutoa mapato ya hali ya juu. Ni lazima kuwa makini...

Vuruga biocide: Kiuatilifu cha asili sasa chapatikana kwa ruzuku

26/02/2025

Hayawi hayawi sasa yamekua. Mvumilivu, hula mbivu. Ni muda wakulima wa kilimo hai wamekua wakilalamika upatikanaji wa bidhaa za kilimo hai kwa urahisi. Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya kilimo imepitisha kiuatilifu hai kwa jina la Vuruga. Kiuatilifu hai (VURUGA BIOCIDE) kimetengenezwa kwa vimelea asili vya fangas (A. oryzae) kwa...

Jarida la MkM limetupa hamasa ya kutekeleza shughuli zetu za uzalishaji

26/02/2025

Kuna msemo aliowahi kuutoa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa; “Elimu sio njia ya kuepuka umasikini bali ni njia ya kupigana na umasikini”. Msemo huu wameudhihirisha wazi na kwa vitendo wakulima wajasiriamali wa kikundi cha kusindika kitarasa ambao wametumia elimu inayotolewa na jarida la Mkulima Mbunifu kupiga vita umaskini na kufanikiwa....

Ulishaji sahihi na uangalizi wa karibu kwa mtamba anayekua ni muhimu

25/02/2025

Kwa ajili ya kupata mtamba anayeweza kukupatia ndama kila mwaka ulishaji ni muhimu. Tengeneza mzunguko wa siku 365 Inawezekana kuwa na mzunguko wa kupata ndama na uzalishaji katika kipindi chote cha mwaka. Hii inamaanisha kwambwa ng’ombe wako anaweza kukupatia ndama kila mwaka, (siku 365). Ng’ombe ana uwezo wa kuwa kwenye...

Utengenezaji wa kiuatilifu cha asili

24/02/2025

Kama ilivyo ada wakulima wa kilimo hai, huitaji malighafi asili ili kuzalisha mazao salama na yenye ubora shambani. Si haba, malighafi hizi zinapatikana katika maeneo yetu ya kila siku. Jiulize, Je kwa nini uingie gharama mara mbili ilhali unaweza kutatua changamoto ya wadudu kwa kutumia viuatilifu asili. Katika makala hii...

Boresha kundi lako la kondoo kwa kuzalisha chotara

21/02/2025

Njia ya haraka zaidi ya kuboresha kundi lako ni kuzalisha kondoo chotara. Inashauriwa utumie kondoo wa kienyeji kama wanyama wa kuanzia mpango wa kuzalisha kondo bora zaidi. Unaweza kutumia kondoo jike wa kienyeji aina ya Red Maasai na dume wa kigeni aina ya Dorper. Kondoo wanaozaliwa watabeba sifa za aina...

Vitamini na madini muhimu ya kujenga kinga ya mwili

20/02/2025

Vitamini na madini yanafanya kazi ya kujenga kinga ya mwili, na yanapatikana katika mboga na matunda. Ni muhimu kwa makundi ya watu kama watoto, mama wajamzito, mama anaenyonyesha na wazee, kwani huzuia na kusaidia kupambana na maambukizi ya magonjwa. Watu wengi hawali chakula cha kutosha chenye mboga na matunda, pamoja...

JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. Mkulima Mbunifu (MkM) is a farmer information service organization...

TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT INTERN

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. Mkulima Mbunifu (MkM) is a farmer information service organization...

Mnyororo wa ongezeko la thamani utapunguza manung’uniko

17/02/2025

Sera ya soko huria iliyoanza kutekelezwa toka miaka ya 1990 imefungua fursa kwa wawekezaji  kuwekeza kwa wingi kwenye maeneo mbali mbali ya kibiashara. Kwa muda mrefu, Kilimo kimewavuta wawekezaji ambao wamekuwa wakijishughulisha na mashamba makubwa ili kukudhi madhumuni ya biashara ya kuzalisha kwa wingi kupunguza gharama ya kuzalisha kwa kiasi...

Mbinu za asili zinazofaa katika kilimo ikolojia

14/02/2025

Ili kutekeleza utunzaji asilia wa mazao ni muhimu sana kuelewa mbinu asilia za kufanikisha kilimo. Kwa hali hiyo matukio na majanga ya kushambuliwa na wadudu waharibifu yanaweza kupunguzwa na utumiaji wa hatua za utunzaji wa mazao. Miongoni mwa mbini zinazoweza kutumika katika utunzaji wa mazao kwa njia za asili ni...

Maharagwe machanga hushamirisha uchumi

13/02/2025

Hivi karibuni hapa nchini Tanzania, kumekuwa na uanzishaji na uendelezaji wa kilimo cha mazao mapya ambayo hayakuzoeleka hapo awali. Moja ya mazao hayo ni pamoja na maharagwe machanga, maarufu kama Green beans au French beans. Mbegu Inapendekezwa kutumia chotara aina ya F1. Aina hii ya mbegu imeonekana kuwa na mafanikio...

Shiriki kongamano la pili la kiikolojia Afrika Mashariki (EAAC2025)

10/02/2025

Shirika la Biovision Africa Trust (BvAT) ambalo ni mshirika wa MkM linaanda kongamao la kujadili maswala ya ikolojia na wakulima Afrika Mashariki. Hii ni fursa nzuri ya wakulima na wadau wa kilimo ikolojia kushirikishana njia na mbinu za kupanua na kusambaza uelewa na habari za mbinu endelevu za uzalishaji. Kongamano...

Vyanzo bora na rahisi kwa ajili ya malisho

07/02/2025

Miti ya malisho ni chanzo rahisi cha protini kwa ng’ombe wa maziwa. Miti hii hutoa chakula chenye protini ya kutosha katika msimu wote wa mwaka. Wafugaji wanaweza kuokoa pesa endapo watapanda miti ya malisho jamii ya mikunde kama vile desmodium na lusina. Miti ya malisho pia husaidia kuboresha udongo kwa...

Mbolea ya mifupa, kwato na pembe

07/02/2025

Napenda kuchangia kipengele cha matumizi ya mbolea za asili toka Jarida la mkulima mbunifu toleo la 3 Novemba 11 na Moduli ya 11. Kusanya mifupa, pembe au kwato kutoka kwenye bucha, hotelini, machinjio, mabandani na nyumbani kwako. Rundika kisha choma moto. Kwa kawaida mifupa huwaka kwa urahisi sana na kwa...

Usitumie kemikali shambani kwako ni HATARI!

04/02/2025

Wakulima wamekuwa wakitumia kemikali kiasi cha kutisha kwenye nyanya kwa ajili ya kudhibiti wadudu. Uzalishaji wa nyanya unaweza kuwa na faida kwa mkulima. Msimu ambao nyanya zinakuwa chache bei hupanda kwa haraka jambo linalomaanisha mkulima anapata faida zaidi. Kwa upande mwingine zao la nyanya ni rahisi sana kushambuliwa na wadudu...

Hakikisha unaweka mipango thabiti katika uzalishaji

04/02/2025

Imekuwa ni kawaida kwa wakulima walio wengi kufanya shughuli zao bila kufanya maandalizi thabiti, na bila kuwa na mipango endelevu. Jambo hili ni hatari sana kwa maendeleo, hii ni kwa sababu hautaweza kufanya kazi zako kwa malengo. Utakuwa mtu wa kuchukua kila linalokuja mbele yako, na mwishowe unajikuta haujaweza kufanya...

Ni muhimu kuzingatia utunzaji bora wa vifaranga

04/02/2025

Kwa karne na miaka mingi, ufugaji wa kuku imekuwa ni kazi muhimu na inayokubalika katika jamii nyingi. Ni kazi isiyohitaji gharama kubwa sana, ambayo imekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa kwa wanaiofanya kibiashara. Tatizo ambalo limekuwa sugu na kusababisha hasara kwa wafugaji walio wengi, ni kutofahamu namna bora ya kuwatunza...

Fahamu kuhusu magonjwa ya maharage na namna ya kudhibiti

03/02/2025

Maharagwe hushambuliwa na magonjwa kadhaa shambani, na pia huweza kuharibiwa na wadudu shambani ama wakati wa kuhifadhiwa. Kutu ya Maharagwe Ni ugonjwa unaosababishwa na ukungu na kwa kawaida hushambulia majani, shina na mifuko ya maharagwe. Dalili kuu za ugonjwa huu ni madoa yenye rangi ya kutu yenye unga ambao unaweza...

Elimu ya uandaaji sahihi wa vyakula vya asili ni muhimu

29/01/2025

Epuka kutengeneza loshoro itakayokaa muda mrefu sana kwenye kibuyu na kuendelea ongeza maziwa. Epuka kuloweka mahindi kwa muda mrefu na kutwanga kwa matumizi hii hupoteza nguvu na ubora wa wanga. Kuosha mahindi au maharage kwa kutumia magadi, hakikisha utayapika kwa kuongeza viungo au kutumia mboga za majani pembeni ili kurudisha...

Namna bora ya kutunza ndama kwa uzalisha wenye tija

29/01/2025

Utunzaji wa ndama mfugaji anapaswa kutunza ndama vizuri kwa lengo la kupata ng’ombe wengi na bora kwa ajili ya maziwa. Mambo muhimu ya kuzingatia katika utunzaji wa ndama tangu kuzaliwa hadi kuachishwa maziwa ni pamoja na; Kuhakikisha kuwa ndama anapakwa dawa ya kuzuia maambukizi ya viini ya magonjwa kupitia kwenye...

Ni muhimu kuhakikisha usalama na kuzuia upotevu wa chakula

20/01/2025

Umakini wa uzalishaji huzuia upotevu wa chakula Upotevu wa chakula hutokea katika mnyororo mzima wa uzalishaji, kuanzia shambani hadi usambazaji kwa wauzaji rejareja hadi kwa walaji. Upotevu huo unaweza kusababishwa na ukungu shambani, wadudu, au udhibiti duni wa hali ya hewa; hasara nyingine hutokana na njia za upishi na upotevu...

Faida ya kuzalisha kwa misingi ya kilimo ikolojia

20/01/2025

Malengo ya kilimo ni kuzalisha chakula na bidhaa zingine ili kutosheleza mahitaji ya kaya, jamii na nchi kwa ujumla. Kufuatana na hilo, ni vyema kuhakikisha kwamba wakulima wanazalisha chakula chenye virutubisho, safi na salama kwa walaji na wote wanaotumia bidhaa zinazotokana na kilimo. Kilimo pia huchangia ajira na ustawi wa...

Tumia Teknolojia Rahisi Kuboresha Uzalishaji

15/01/2025

Teknolojia ifaayo ina sehemu kubwa katika kuboresha mapato ya wakulima kwa kutoa suluhisho na kuongeza uendelevu yanayoendana na mahitaji na masharti mahususi ya wakulima wadogo. Ikiwa wakulima watatumia teknolojia inayofaa basi wanaweza kuongeza kipato chao hasa katika kuongeza thamani mazao yao. Kutokana na hilo, kwa miaka mingi sasa, kumekuwa na...

Mahitaji ya uzalishaji wa mbogamboga

14/01/2025

Mbegu Kwa matokeo mazuri ikiwemo ukuaji mzuri wa mbogamboga na mavuno mengi mkulima anashauriwa kutumia mbegu bora zilizothibitishwa. Mbegu hizo huwa na sifa zifuatazao: Hutoa mavuno mengi ya kiwango bora. Zina uwezo mkubwa wa kuota. Huhimili baadhi ya wadudu na magonjwa. Hukua kwa haraka, kwa usawa na ni imara. Ikolojia...

HERI YA MWAKA MPYA WA 2025!!!!!!

07/01/2025

Ni matumaini yetu kuwa tumevuka wote salama na tuko tayari kuanza mwaka kwa kishindo na kwa mafanikio makubwa. Mkulima Mbunifu tumejiandaa vyema kuendelea kufikisha elimu kwako na kwa kushirikiana na wewe katika kuhakikisha tunatatua changamoto zote za kilimo na ufugaji na kuhakikisha upatikanaji wa chakula bora na salama huku tukilinda...

Kula vizuri upate nguvu ya kufanya kazi

06/12/2024

Chakula na lishe ni muhimu kwa afya ya binadamu, hasa wakulima wanaotumia nguvu kazi nyingi shambani. Wakati mwingi wakulima wanazalisha na kuuza, wanasahau kwamba pia wao wanahitaji lishe bora ili kuwa na nguvu ya kuendelea kufanya kazi na kuhakikisha usalama wa chakula. Ili kuwa na lishe bora tunapaswa kula mlo...

Kilimo ikolojia kimeniongezea tija katika uzalishaji

06/12/2024

Mbegu bora ya asili huchangia pakubwa katika usalama wa chakula na lishe kwa familia na jamii kwa ujumla. Hii inaambatana na matumizi ya mbinu bora za kilimo endelevu ili kumhakikishia mkulima uzalishaji wa juu nyakati zote na kwa muda mrefu. “Kabla ya kushiriki katika mradi wa CROPS4HD (Mazao yenye afya...

Siku ya chakula duniani October 2024

03/12/2024

Siku ya chakula duniani ni maadhimisho ambayo yaliwaleta pamoja wadau wa kilimo na chakula kutoka sehemu mbalimbali. Hata hivyo siku hii ilikuja huku kukiwa na mvutano na mizozo ya kimataifa na majanga ya tabianchi ambayo ni miongoni mwa mambo yanayochangia changamoto ya mamia ya mamilioni ya watu duniani kote kukabiliwa...

Masomo kupitia jarida ni suluhisho la changamoto za wakulima

03/12/2024

“Mimi ni mkulima na mfugaji, Ninazalisha kwa misingi ya kilimo ikolojia. Situmii pembejeo sumu za viwandani kuanzia ninapootesha zao husika au kuanza uzalishaji wa mifugo yangu mpaka ninapovuna, kuhifadhi na kuuza mazao yangu. Ninafanya uzalishaji wa mazao ya aina mbalimbali kama vile ndizi, kahawa, njugu, maharage, mahindi, mbogamboga, na pia...

Mbolea ya BOKASHI inapambana na mbadiliko ya tabianchi

03/12/2024

Kutana na mkulima Giranta Giranta, kutoka kijiji cha Bungurere, kata ya Muriba, wilaya ya Tarime, mkoani Mara. Tulizungumza naye kuhusu mbinu za kilimo endelevu anazotumia shambani mwake. “Najishughulisha na kilimo mseto ambacho imenipa tija kubwa kwenye uzalishaji wa mahindi na maharage. Ninashirikiana na wakulima katika eneo langu na pamoja tumeansiha...

Nimesoma MkM na kupiga hatua katika uzalishaji

03/12/2024

Wakulima wengi wamenufaika kutokana na elimu ya bure inayotolewa kupitia jarida hili. Wanasoma na kufanyia majaribio mbinu mbalimbali zinazosimuliwa, uzoefu wa wakulima na watalamu wa kilimo endelevu. “Tangu mwaka wa 2012, nimekuwa msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu (MkM) na nimepiga hatua kubwa katika uzalishaji”, hivyo ndivyo alivyoanza kujitanabaisha Bw....

Wakulima waungana kufanikisha mradi wa ufugaji wa kuku

03/12/2024

Umoja ni nguvu na wakulima wanapoungana pamoja, mambo mazuri hufanyika. Wanatiana nguvu, kuleta rasilimali pamoja na kuanzisha miradi ambayo ni ngumu kwa mkulima mmoja kuanzisha. Kikundi cha Shangushangu kilichopo kijiji cha Narunyu, kata ya Tandangongoro, mkoani Lindi lina wanachama 16 (wanawake 8 na wanaume 8) na kilianzishwa mwezi wa saba...

Zalisha kwa malengo ili kupanua kilimo biashara

26/11/2024

Kama kawaida jarida hili linatoa wito kwa wakulima kuanzisha na kujenga kilimo kuwa biashara inayoweza kuleta faida na kukidhi mahitaji ya kila siku hapo nyumbani. Hata hivyo, imekuwa ni kawaida kwa wakulima wengi kufanya shughuli zao bila kufanya maandalizi thabiti, na bila kuwa na mipango itakayowawezesha kupanua uzalishaji na kuifanya...

Tushirikiane kutafuta masoko na tutumie bidhaa za kilimo hai

18/11/2024

Kwa sasa katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania, ni wazi kuwa shughuli za kilimo hai zimeshika kasi, huku kukiwa na ongezeko la wazalishaji wa bidhaa za kilimo hai. Hili ni jambo jema sana kwa kuwa waswahili wanasema taratibu ndiyo mwenda, na kidogo kidogo hujaza kibaba. Na hapa taratibu tunaona mwanga...

MWENENDO WA MVUA MKOA WA ARUSHA

18/11/2024

Ndugu Mkulima, kama tunavyofahamu huu ni msimu wa mvua katika maeneo mengi nchini, ni muhimu kupata na kufahamu taarifa za mwenendo mzima wa msimu, nini kifanyike au kisifanyike katika uzalishaji na mwenendo wa maisha kwa ujumla. Tafadhali soma kwa kubonyeza hapa chini kupata taarifa kamili kwa mkoa wa Arusha https://www.meteo.go.tz/uploads/publications/sw1724331524-Downscaled%20OND%202024%20Rainfall%20Season%20Outlook%20(Swahili)%20for%20Arusha%20Region%20and%20Districts.pdf

Bei za mazao makuu ya chakula

15/11/2024

Kama ilivyo ada tunawaletea habari za taarifa za mazao makuu ya chakula katika mikoa mbalimbali hapa nchini kama ilivyotayarishwa na wizara ya kilimo. Tafadhali bonyeza hapa kusoma zaidi https://www.viwanda.go.tz/uploads/documents/sw-1731069832-Wholesale%20price%206th%20November,%202024..pdf

Aina mbalimbali za maharage yanayolimwa Tanzania

14/11/2024

Aina Sifa Uwezo wa uzaaji Kilo/Ekari Kiasi cha mbegu Kilo/Ekari 1. Kabanima Nyekundu yenye mistari, inavumilia magonjwa ya kutu nan dui. Hukomaa baada ya siku 87 600-1000 Wastani 26-28Kg 2. Uyole 84 Rangi ya maziwa, yanatambaa na hukomaa baada ya siku 105 600-1000 Wastani 26-28Kg 3. Uyole 94 Rangi ya...

Maharagwe ni chanzo bora cha virutubisho

14/11/2024

Maharage sehemu ya familia ya kunde. Mmea wa mikunde hutoa mbegu kwenye ganda; maharagwe ni mbegu zilizokomaa ndani ya maganda haya. Maharagwe ni chanzo cha virutubishi vingi; zina aina mbalimbali za vitamini, madini na virutubisho vingine huku zikitoa kiwango cha wastani cha nguvu (carbohydrates). Maharage ni chanzo cha protini ambayo...

Mazao funika na faida katika kilimo

30/10/2024

Mazao funika ni aina ya mazao ambayo huoteshwa ili kufunika udongo na kwa lengo la kuongeza rutuba ya udongo na kuzalisha chakula na malisho. Mazao funika huoteshwa wakati wa kiangazi au huoteshwa pamoja na zao kuu wakati wa msimu wa kulima. Mazao haya huweza kuachwa kuendelea kuota katika msimu wote...

Changamoto katika kufunika udongo

30/10/2024

Kuna baadhi ya changamoto zilizopo katika ufunikaji wa udongo lakini pia kuna namna ya kukabiliana nazo. Maeneo yenye mvua kidogo Katika maeneo yenye mvua kidogo ambapo mara nyingi hunyesha kwa msimu mmoja tu, kutekeleza mbinu ya zao funika ni ngumu kwa kiasi fulani. Hii ni kutokana na sababu kuwa, mazao,...

Umuhimu wa mboga kiafya

30/10/2024

Mboga ni mojawapo ya chakula bora kwani zikiliwa zenyewe kwa kuchanganya zina viini lishe tosha. Hata hivyo, mboga zimegawanyika katika makundi kutokana na sehemu ya mmea iliyo muhimu katika chakula cha binadamu na viini lishe vipatikanavyo. Sehemu za mmea wa mboga zinazotumika kama chakula ni pamoja na mizizi, shina, majani,...

BEI YA MAZAO MAKUU YA CHAKULA

25/10/2024

TAFADHALI FUNGUA KIAMBATANISHI HIKI KUJUA BEI YA BIDHAA YA MAZAO MAKUU YA CHAKULA HAPA NCHINI KATIKA MASOKO MAKUBWA KATIKA MIKOA MBALIMBALI https://www.viwanda.go.tz/uploads/documents/sw-1729766851-Wholesale%20price%2023rd%20October%202024-1.pdf

Faida za chaya kiafya

24/10/2024

Amedeus Willium anauliza: Naomba kuuliza faida za chaya kwenye mwili wa binadamu Mkulima Mbunifu: Majani ya chaya ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma, protini, kalshiamu, Vitamini A, C, foliki, asidi na Vitamini B. Protini: Inajenga misuli. Mlo mmoja tu wa chaya ni sawa na kiwango cha protini kinachopatikana kwenye...

Kuhusu kuandaa mashimo ya migomba na aina za migomba katika shamba moja

24/10/2024

Musa Hamisi anauliza: Za majukumu Mkulima Mbunifu, naomba kujua ni kipindi gani napaswa kuandaa mashimo na Je, naweza kupanda migomba aina 3 tofauti ndani ya shamba moja lenye ekari moja? Mkulima Mbunifu: Habari, Karibu Mkulima Mbunifu na asante kwa kuendelea kufuatilia na kusoma machapisho ya MkM. Migomba huhitaji Kiasi cha...

Kilimo cha migomba

18/10/2024

Musa Hamisi anauliza: Za majukumu Mkulima Mbunifu, naomba kujua ni kipindi gani napaswa kuandaa mashimo na Je, naweza kupanda migomba aina 3 tofauti ndani ya shamba moja lenye ekari moja? Mkulima Mbunifu: Habari, Karibu Mkulima Mbunifu na asante kwa kuendelea kufuatilia na kusoma machapisho ya MkM. Migomba huhitaji Kiasi cha...

Mfugaji mashuhuri wa kuku wa kienyeji Singida

18/10/2024

Kama ilivyo ada, Mkulima Mbunifu tumekuwa tukikufikishia taarifa toka kwa wakulima katika mikoa mbalimbali hapa nchini wanaojishughulisha na kilimo ikolojia nia yetu ikiwa ni kuwawezesha wakulima wengine kujionea na kujifunza ni kwa namna gani wakulima wenzao wameweza kufanikiwa katika kilimo ikolojia. Miongoni mwa wakulima waliopata fursa ya kutembelewa na kuhojiwa...

Kilimo cha mbogamboga chatia chachu kwa maendeleo ya elimu

18/10/2024

Wakati Tanzania ikikabiliwa na changamoto katika kuhakikisha lishe bora kwa watoto hasa katika maeneo ya vijijini na mijini, kuanzishwa kwa kilimo cha mbogambogambogamboga katika shule za msingi kunaweza kuwa ni kichocheo cha mabadiliko ya namna bora ya kujenga na kuelimisha akili changa za vijana na kuwafanya wakue katika mazingira bora...

MAONYESHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI, NINI UMEJIFUNZA

18/10/2024

Maadhimisho ya siku ya chakula duniani, yenye kauli mbiu "Haki ya chakula kwa wote, kwa maisha ya sasa na ya baadaye" Je, unafikiria nini kuhusu haki ya chakula kwa maisha ya sasa na ya baadaye? Kama ni mkulima au ni mfugaji unafikiuria nini kuihusu chakula?

Kusindika pilipili kali Pilipili husindikwa kupata unga wa pilipili, sosi na lahamu

25/09/2024

a) Kusindika pilipili kavu kupata unga Pilipili kali huumiza macho na pia harufu ikivutwa huleta mkereketo ndani ya pua na kifua wakati wa kusaga ili kupata unga. Inashauriwa kuchukua tahadhari zifuatazo; Vumbi la pilipili kali huumiza macho hivyo inashauriwa kuvaa miwani ya kukinga macho na vumbi hilo wakati wa kusaga...

Mwelekeo wa mvua za vuli (Oktoba – Disemba) na nini wakulima wafanye (Taarifa na TMA)

24/09/2024

Uchambuzi wa mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa na mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli kipindi cha Oktoba - Disemba 2024, ushauri na tahadhari kwa wadau wa sekta mbalimbali kama vile kilimo na usalama wa chakula, mifugo na uvuvi, maliasili, wanyamapori na utalii, nishati na maji, usafirishaji (nchi...

Umuhimu wa wataalamu kwa wakulima na wafugaji

23/09/2024

Wataalamu wa kilimo na mifugo wamepata mafunzo ili kuendeleza mbinu za kilimo na mifugo kwa lengo la kutoa faida kwa wakulima na wafugaji. Baadhi ya wataalamu wanaweza kuona upungufu fulani au kuona kuwepo kwa mantiki kwenye baadhi ya mbinu za asili ambazo bado zinatumiwa katika uendeshaji wa kilimo na ufugaji...

TNAELEKEA MSIMU WA VULI, HAKIKISHA KUKU WAMEPATA CHANJO STAHIKI NA KWA WAKATI

23/09/2024

Watu wengi wamekuwa wakianzisha miradi ya ufugaji wa kuku bila kuzingatia kanuni bora za utekelezaji wa mradi huo. Moja ya mambo ambayo wafugaji mara nyingi husahau kuzingatia ni utoaji wa chanjo sahihi na kwa muda muafaka. Ni muhimu kufahamu mambo unayotakiwa kuzingatia katika kuwapatia kuku chanjo. Wakati wa kutayarisha mpango...

Kabla ya kuingia shambani kuzalisha andaa mpango biashara

11/09/2024

Kila mara wakulima wanashauriwa kuweka kilimo katika mtazamo wa kibiashara. Wakulima wanaochukua na kuufanyia kazi ushauri huo, kisha kufanya shughuli za kilimo kitaalamu na kwa mtazamo wa kibiashara ,wanapata faida. Kuwa na wazo ni aina gani ya kilimo unayoweza kuifanya kibiashara pekee haitoshi. Huo ni mwanzo tu. Ni lazima kukusanya...

Mkulima wa kilimo ikolojia na mnufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu

11/09/2024

David pallangyo (65) ni mkulima anayepatikana kijiji cha Embaseni, wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha. Yeye na mkewe Bi. Elieshi Ayo (60) wamejaliwa kuwa na familia ya watoto 6, kati ya hao 4 ni wa kiume na 2 ni wa kike. Mazao anayoyategemea katika shamba lake ni mahindi, kahawa na ndizi....

BEI YA MAZAO MAKUU YA CHAKULA KATIKA MASOKO MBALIMBALI HAPA NCHINI

11/09/2024

Kama wewe ni mkulima au mfanya biashara, tafadhali pokea taarifa au mwenendo wa bei za mazao makuu ya chakula katika masoko mbalimbali hapa nchini kwa mujibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara. Hii itakusaidia kuuza au kununua mazao kulingana na bei iliyoko sokoni. Bonyeza hapa chini https://www.viwanda.go.tz/uploads/documents/sw-1724870465-Wholesale%20price%2026th%20August,%202024.pdf

Kupe wanahatarisha afya ya mifugo

04/09/2024

Kupe ni wadudu wanaoonekana kuwa ni wadogo lakini wanaweza kusababisha kushuka kwa uchumi wa wafugaji kwa kiwango cha juu endapo hawatadhibitiwa kwa wakati. Pamoja na kuwepo kwa aina mbalimbali za kupe, kupe wa rangi ya kahawai ni wabaya zaidi. Hii ni kwa sababu kupe wanabeba vimelea vinavyosababisha homa ya ndigana...

Tutunze mazingira na tusichome misitu hovyo

03/09/2024

Katika maeneo mengi nchini Tanzania, uharibifu wa mazingira hasa unaotokana na ukataji miti ovyo kwa ajili ya kuchoma mkaa, ujenzi na shughuli za kilimo umekithiri kwa kiasi kikubwa. Jamii nyingi zimekuwa zikifanya hivyo bila kufahamu kuwa umaskini walio nao unachangiwa kwa kiasi kikubwa na uharibifu wa misitu. Imekuwa ni kawaida...

Hifadhi nafaka kwa njia sahihi kuepuka upotevu

27/08/2024

Ni wazi kuwa wakulima wengine wamevuna nafaka mbalimbali kama vile maharage na mahindi katika msimu huu wa mavuno hivyo wasipokuwa makini na kuhifadhi kwa usahihi mavuno yote yatapotea kwa kuharibiwa na wadudu, panya, au hata ukungu unaotokana na unyevu. Ili kuepukana na hasara ni muhimu kuhakikisha unahifadhi mazao yako katika...

BEI YA MAZAO MAKUU YA CHAKULA KATIKA MASOKO MBALIMBALI HAPA NCHINI

26/08/2024

Kama wewe ni mkulima au mfanya biashara, tafadhali pokea taarifa au mwenendo wa bei za mazao makuu ya chakula katika masoko mbalimbali hapa nchini kwa mujibu wa Wizara ya Viwanda na Biashara. Bonyeza hapa chini https://www.viwanda.go.tz/uploads/documents/sw-1723711293-Wholesale%20Price%2014th%20August,%202024.pdf

JOB VACANCY: INTERN FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT

21/08/2024

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. Mkulima Mbunifu (MkM) is a farmer information service organization based in Arusha, Tanzania, and implemented since July 2011 with support...

Vidokezo muhimu kwa wakulima na wafugaji

20/08/2024

Ng’ombe wangu anapata choo kigumu sana na mara nyingine, kinaambatana na ute kama makamasi na damu, huu ni ugonjwa gani, na nasikia kuna dawa za kienyeji zinazotibu! Ni dawa gani, na inaandaliwaje? Msomaji MkM Kuna uwezekano mkubwa kuwa ng’ombe wako anasumbuliwa na ugonjwa unaojulikana kama ndigana baridi au kitaalamu Anaplasmosis....

Anzisha miradi tofauti kuongeza pato

20/08/2024

Kuna msemo mmoja maarufu sana wa Kiswahili usemao, kidole kimoja hakivunji chawa. Hii inamaanisha kuwa endapo unategemea jambo moja tu, inakuwa ni vigumu sana kutimiza malengo yako au kufanikiwa kufanya jambo fulani. Hii ni changamoto kwako mkulima kuhakikisha kuwa unatumia nafasi uliyo nayo ipasavyo. Ni muhimu sana kuhakikisha kuwa unaanzisha...

Mbegu za asili ni pembejeo ya muhimu katika uzalishaji wa mazao

12/08/2024

Upatikanaji wa mazao bora hutegemea matumizi ya aina na ubora wa mbegu za mazao husika. Baadhi ya wakulima nchini Tanzania wamesahau matumizi ya mbegu za asili na kujikita zaidi katika mbegu za kisasa. Mbegu ni nini? Mbegu ni sehemu ya mmea ambayo mmea mpya unaweza kuota. Kuna makundi makuu mawili...

Usindikaji wa mafuta ya parachichi nyumbani

29/07/2024

Unaweza kusindika na kukamua mafuta ya parachichi nyumbani Parachichi ni moja ya zao la matunda ambalo liko katika kundi la mmea wenye ghala mbili, yaani tunda lake hulizunguka peke linalokuwa ndani. Kitalaamu parachichi huitwa Persea Americana na huweza kusindikwa na kupata mafuta. Namna ya kusindika parachichi kupata mafuta Kuna njia...

Mnyororo wa Kilimo Ikolojia

24/07/2024

Kilimo ikolojia ni mfumo wa ukuzaji wa mimea au mifugo kwa njia jumuishi inayowezesha kufikia ustawi wa kijamii kimahitaji, kimazingira na kiuchumi. Inatafuta kuboresha mwingiliano kati ya mimea, wanyama, binadamu na mazingira. Kupitia mfumo huu wa kilimo ikolojia, jamii inajihakikishia usalama wa chakula na utunzaji wa mazingira. Mfumo huu licha...

Baadhi ya lishe ya vyakula kwa ng’ombe wa maziwa

23/07/2024

Ng’ombe wa maziwa anahitajika kulishwa aina ya vyakula vinavyoweza kuupatia mwili wake viinilishe vinavyohitajika kwa ajili ya ukuaji, nguvu, uzazi, pamoja na hifadhi ya viinilishe kama mafuta, protini, madini na majimaji. Ng’ombe huhitaji viinilishe kwa ajili ya kutosheleza mambo yafuatayo; Kuufanya mwili udumu katika hali yake ya kawaida, na kuweza...

Jarida la MkM limenisaidia kufanya kilimo ikolojia kwa faida

22/07/2024

Jarida la MkM limenisaidia kufanya kilimo ikolojia kwa faida ‘’Nimekuwa nikifanya kilimo ikolojia toka utotoni kwani wazazi wangu walikuwa wakijishughulisha na kilimo na walitegemea kilimo pekee kwa chakula na biashara, na njia ya uzalishaji ilikuwa ni njia za asili pekee’’. Hayo ni maneno ya Bi. Rehema Joel Mbula (48) mkulima...

Ulishawahi kujiuliza kwanini tunafanya kilimo?

18/07/2024

Kilimo kimekuwepo tangu kale za mababu zetu. Binadamu wa kwanza walipata chakula chao kwenye mazingira yanayowazunguka na kwa juhudi kama uwindaji kabla ya kuanza kulima ardhi, kupanda mazao na kufuga mifugo kama vyanzo vya lishe. Hii ni pamoja na nafaka, mazao ya mizizi, karanga, matunda, nyama, maziwa, na hata mayai....

Lishe ya mbogamboga ni muhimu kwa afya

17/07/2024

Mbogamboga ni mojawapo ya chakula bora kwani zikiliwa zenyewe kwa kuchanganya zina viini lishe tosha. Hata hivyo, Mbogamboga zimegawanyika katika makundi kutokana na sehemu ya mmea iliyo muhimu katika chakula cha binadamu na viini lishe vipatikanavyo. Sehemu za mmea wa mbogamboga zinazotumika kama chakula ni pamoja na mizizi, shina, majani,...

Zifahamu kanuni za kilimo ikolojia kwa uzalishaji wenye tija na lishe bora

17/07/2024

Kilimo ikolojia ni njia ya kilimo inayolenga kuhifadhi mazingira, kuhimiza uendelevu, na kukuza ustawi wa jamii kwa kuzingatia mifumo ya ikolojia na utamaduni wa eneo husika. Ni mfumo ambao unazingatia uhusiano wa karibu kati ya mimea, wanyama, binadamu, na mazingira yao, na kujaribu kuiga mifumo ya asili ili kudumisha bioanuai...

Fahamu mbinu za kuongeza thamani nyama

15/07/2024

Safari ya kuongeza thamani nyama ya mifugo huanzia shambani kwa usimamizi wa ufugaji na uzalishaji. Lishe bora ni muhimu kwa wa ufugaji wa mifugo wa nyama, hivyo, nyama nzuri huanza na lishe bora. Malisho ya hali ya juu yasiyokuwa na vimelea vinavyoweza kusababisha magonjwa na kemikali hatari yanakidhi mahitaji ya...

Faida na matumizi ya mbolea ya kijani

12/07/2024

Mazao ya mbolea ya kijani ni mazao ambayo yanapandwa ili kuongeza rutuba kwenye udongo. Mazao ya mbolea ya kijani ya jamii ya mikunde (ambazo ni zile zinatengeneza mbolea ya naitrojeni kutoka kwenye naitrojeni iliyopo kwenye hewa) zinaweza kuwapa wakulima wadogo faida nyingi sana ikiwa ni pamoja na: Zinatoa kiasi kikubwa...

Biashara inahitaji mpango thabiti

12/07/2024

Miaka ya hivi karibuni serikali pamoja na wadau wengine wamekuwa na mikakati thabiti ya kuwashawishi wakulima kuweka shughuli zao katika mtazamo wa kibiashara. Waliochukua na kuufanyia kazi ushauri huo kisha kufanya shughuli za kilimo, kitaalamu kwa mtazamo wa kibiashara leo wanapata faida kubwa. Faida hiyo haiji kirahisi. Kuwa na wazo...

Ufugaji bora wa ng’ombe unaoleta tija kwa mfugaji

12/07/2024

Ng’ombe wanafugwa kwa ajili ya nyama na maziwa lakini pia hutoa mazao mengine kama ngozi, mbolea na hutumika kama wanyama kazi. Zaidi ya asilimia 95 ya ng’ombe wanaofugwa hapa nchini ni wa asili ambao huzalisha nyama na maziwa kwa kiwango kidogo ikilinganishwa na wale wachache walioboreshwa. Ng’ombe walioboreshwa wamegawanyika katika...

Matatizo katika ufugaji wa kuku wakienyeji

10/07/2024

Tija katika ufugaji wa kuku wa asili ni ndogo kwa sababu ya matatizo mengi wanayokumbana nayo. Katika mazingira ya kujitafutia chakula kuku hawa hukumbana na vimelea mbalimbali vya magonjwa. Kwa ujumla kuku hawawezi kuongezeka kwa idadi kubwa mahali pasipo na vyakula vya kuwatosheleza hata kama magonjwa hatari yatadhibitiwa kwakuwa mwishowe...

Tumbaku kwenye mbogamboga

09/07/2024

Tumbaku ni dawa ya asili inayoweza kutumika katika kilimo cha mbogamboga Tumia ugoro au chemsha miche 20 ya tumbaku. Dawa hii inazuia wadudu wanaoshambulia mahindi shambani, wadudu wanaokata miche, kupe, vidukari, viwavi na wengine. Chukua gramu 500 za tumbaku, changanya maji lita nane na uchemshe. Chuja baada ya kupoa, ongeza...

Kitunguu saumu kama dawa ya asili

04/07/2024

Kitunguu saumu pia kinaweza kuwa mbadala wa kudhibiti viwavi, nzi wa matunda, utitiri mwekundu, utitiri mweupe, wadudu wenye magamba laini, kombamwiko wa madoa, magonjwa ya fangasi na minyoo fundo. Menya kilo mbili za kitunguu saumu na uzitwange vizuri (tumia blenda ni vizuri zaidi). Ongeza mililita 500 za maji ili kusaidia...

Dawa za asili kwa uzalishaji wa mbogamboga

04/07/2024

Uzalishaji wa mboga mara nyingi unahusisha matumizi ya viuatilifu vyenye kemikali. Baadhi ya wakulima hawawezi kumudu gharama kubwa za viuatilifu hivi, ambavyo visipotumika vizuri huweza kuleta madhara, kama kuharibu mazingira, mimea na kuathiri watumiaji wa mboga. Njia asilia za kudhibiti visumbufu hutumia dawa zinazotokana na mimea ambayo hupatikana katika maeneo...

Kudhibiti afya ya udongo ni mojawapo ya njia rahisi na mwafaka zaidi kwa wakulima kuongeza uzalishaji wa mazao na faida huku wakiboresha mazingira.

27/06/2024

Udongo wenye afya ndio msingi wa kilimo chenye tija na endelevu. Kusimamia afya ya udongo kunaruhusu wazalishaji kufanya kazi na ardhi - sio dhidi ya – kupunguza mmomonyoko wa ardhi, kuongeza upenyezaji wa maji, kuboresha baiskeli ya virutubishi, kuokoa pesa kwenye pembejeo, na hatimaye kuboresha ustahimilivu wa ardhi yao ya...

Vidokezo vya kuanzisha biashara ya ufugaji wa wanyama

27/06/2024

Ufugaji ni utunzaji na uzalishaji wa mifugo kwa madhumuni ya kilimo, ikiwa ni pamoja na chakula na bidhaa zingine kutokana na mifugo. Ikifanywa ipasavyo, ni shughuli yenye uwezo mkubwa ya kumkwamua mkulima na kumpa mapato ya kutosheleza mahitaji ya kila siku. Wengi wa wakulima wadogo huunganisha ufugaji na kuzalisha mazao,...

Kilimo hai kwa vitendo

27/06/2024

Mtazamo Virutubisho hai Mbolea zisizo za asili hazitumiki katika kilimo hai. Virutubisho vya asili vinavyotokana na mimea hutumika kurutubisha udongo. Kuongeza rutuba kwenye udongo huchukuliwa kama nguzo muhimu. Mbolea za asili hutumika kuboresha au kushikilia rutuba ya udongo, kwa kuongeza mbolea inayotokana na mifugo, mbolea vunde, na kuacha mabaki ya...

Fahamu kuhusu kilimo hai na namna ya kuanza

27/06/2024

Kwa kawaida viumbe hai vyote ni vya asili. Fikra na mitazamo juu ya kilimo hai inaonekana kama vile viumbe hai wana sehemu yao maalumu tangu miaka mingi iliyopita. Hii inajumuisha viumbe wadogo wadogo waliopo ardhini, kwenye mimea, wanyama pamoja na binadamu mwenyewe. Mfumo wa kilimo hai umetelekezwa kwa kiasi kikubwa...

Katika kilimo cha sasa, mkulima ni mzalishaji na muuzaji

22/06/2024

Wakulima wanalalamika kwamba hawawezi kupata soko ya mazao yao. Katika dunia ya sasa, teknolojia ya habari na masawasiliano, uboreshaji wa miundo msingi ya usafiri na uchukuzi, ikiwemo barabara, soko imeanza kubadilika kuliko awali. Soko imeanza kuwa wazi na yenye ushindani mkubwa, na hii inatoa fursa kwa wakulima wadogo, hasa wale...

Unafahamu kuhusu zao la parachichi na faida zake

22/06/2024

Parachichi ni moja ya zao la matunda ambalo liko katika kundi la mmea wenye ghala mbili, yaani tunda lake hulizunguka peke linalokuwa ndani, kitalaamu parachichi huitwa Persea Americana, parachichi lipo katika kundi la maua kupandwa, umbile la parachichi ni mviringo au yai. Mti wa parachichi unajichevusha wenyewe. Parachichi kibiashara linafaida...

Hifadhi mboga na matunda kwa matumizi na mauzo ya baadaye

22/06/2024

Mara nyingi wakulima wa mbogamboga na matunda wanapata hasara kutokana na ukosefu wa soko la uhakika. Wakulima wengi wamezoea kuuza mbogamboga na matunda yakiwa ghafi kutoka shambani. Hii ni changamoto wakati mavuno ni mengi na wanunuzi ni wachache. Ili kuepuka hali hii, uhifadhi wa mbogamboga na matunda ni ya manufaa...

Faida na matumizi ya mpera (Majani na matunda yake)

21/06/2024

Fahamu faida ya mpera, tunda na majani yake kiafya Matunda ya asili yana utajiri wa sukari, madini, vitamini na viini muhimu kwa ajili ya tiba ya magonjwa ya binadamu na mifugo. Matunda yanaweza kuwa chanzo muhimu sana cha chakula, lishe na madawa. Hivyo yanaweza kusaidia kupiga vita utapiamlo na upungufu...

Upotevu unaotokea katika mfumo wa shughuli za baada ya kuvuna

21/06/2024

Upotevu wa chakula ni upungufu wa kiasi na ubora wa chakula. Hii inatokana na ukweli kwamba mazao yaliyovunwa yana uhai; hupumua na hupitia mabadiliko wakati wa shughuli za baada ya kuvuna. Kwa mazao makavu kama vile nafaka na kunde yasiyoharibika kwa urahisi, upotevu hujitokeza kama matokeo ya uharibifu usababishwao na...

Kupitia jarida la MkM, maisha yamebadilika

29/05/2024

Toka nilipoanza kupata na kusoma nakala za Mkulima Mbunifu mwaka 2011, nimepata mafanikio makubwa katika ufugaji na kilimo. Aidha, nimegundua kuwa, ukiamua na kufanya kwa vitendo kama Mkulima Mbunifu linavyosisitiza, umaskini kwa mkulima ni historia tu. Jarida la Mkulima Mbunifu lilianza kutekeleza majukumu yake ya kutoa elimu kwa wakulima na...

Unafahamu nini kuhusu dawa za asili katika kudhibiti magonjwa na wadudu

29/05/2024

Dawa za asili ni dawa zinazotokana na mimea au wanyama ambayo hupatikana katika maeneo ya wakulima. Matumizi ya dawa hizi ni njia mojawapo ya kuepuka dawa za viwandani ambazo huathiri udongo, mazingira na afya za watu na wanyama. Hadi sasa kuna dawa takribani 67. Madawa yasipotengenezwa vizuri na kutumiwa ipasavyo...

Tumia mbolea ya asili kukuzia mimea

27/05/2024

Kuna faida nyingi zinazotokana na matumizi ya mbolea za asili kama mboji na nyinginezo. Mbolea asili hutokana na kuoza kwa vitu vyenye uhai kama vile majani, miti na mabaki ya vyakula. Vitu hivi vinapooza hugeuka na kutengeneza virutubisho ambavyo husaidia kurutubisha udongo na kupunguza gharama kwa mkulima kwa kuwa vitu...

Namna ya kuzuia ugonjwa wa ndigana kali

23/05/2024

Mfugaji ajitahidi kuogesha wanyama wake vizuri walau mara moja kila wiki kwa kutumia dawa ya kuua kupe. Ogesha kwa kutumia dawa zinazozuia kupe na mbung’o katika eneo unalofugia. Kwa mfano unaweza kutumia; Tristix, Tixfix, Ciberdip, Paranex, Alfanex, Steladone, Dominex na kadhalika. Epuka kuchunga mifugo katika maeneo yenye kupe au mbung’o...

Wadudu nyemelezi wa magonjwa huathiri uzalishaji

23/05/2024

Moja ya mambo muhimu yanayochangia uzalishaji wa mifugo ni aina na kiasi cha magonjwa yaliyomo katika eneo la ufugaji. Ni muhimu kwa mfugaji kufahamu aina ya magonjwa yanayoathiri mifugo yake mara kwa mara, na namna ya kukabiliana nayo pamoja na udhibiti wa wadudu na vimelea sababishi. Pia ni vyema kutambua...

TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU (MKM) INTERNAL EVALUATION CONSULTANT

20/05/2024

The Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine, a Farmer Communication Programme project, has been empowering smallholder farmers in Tanzania since July 2011 through production and distribution of farmer magazines. Supported by the Biovision Foundation and Biovision Africa Trust, MkM aims to enhance the economic, social, and environmental livelihoods of smallholder farmers through...

Sababu za kula mayai

03/05/2024

Kula yai ni njia rahisi ya kuboresha afya yako.kiini cha yai huwa na madini ya chuma pamoja na kaLshium na ute wa yai huwa na protini za kutosha.madini ya chuma yanasaidia kuongeza damu mwilini na kalshium huimarisha mifupa.kama huna tabia ya kula yai hizi hapa sababu za kwanini ule yai;...

MKULIMA MBUNIFU INAUNGANA NA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN KUADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI KITAIFA (MEI MOSI)

30/04/2024

MKULIMA MBUNIFU TUKO PAMOJA NA WEWE

TUSHIRIKISHE CHANGAMOTO UNAZOKUMBANA NAZO KATIKA KILIMO NA UFUGAJI MSIMU HUU WA MVUA

30/04/2024

Huu ni msimu wa mvua katika maeneo mengi nchini. Bila shaka wengi wetu ni wakulima na wafugaji hivyo bado tunaendelea na shughuli zetu za kila siku. Je, ni changamoto zipi unazopitia katika msimu huu wa mvua kwenye shughuli zako za kila siku za kilimo?Tushirikishe/tueleze/Tuulize ili tuweze kupeana ushauri nini chakufanyaTuma...

Mchanganyiko sahihi wa lishe/chakula cha kuku kwa kuzingatia gharama nafuu

30/04/2024

Hili ni swali alilouliza mkulima Nelson Shao. Habari Nelson , Karibu sana Mkulima Mbunifu na hongera kwa kuendelea kufuatilia na kusoma makala mbalimbali za Mkulima Mbunifu. Kuhusu chakula cha kuku unaweza kutengeneza mwenye kama ifuatavyo; Malighafi aina ya kwanza na kiwango Mahindi kilogramu 40 Pumba ya mahindi kilogramu 25, Mtama...

VACANCY: TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU (MKM) INTERNAL EVALUATION CONSULTANT

30/04/2024

SAT seeks to recruit a consultant to support MkM project to carry out a rapid progress evaluation for the implementation period running from January 2023 – June 2024. CLICK THE LINK HERE https://mkulimambunifu.org/wp-content/uploads/elementor/20240429_TOR-for-Evaluation-Consultant_1.pdf

Fahamu kuhusu wadudu waharibifu wa mahindi (Viwavijeshi vamizi)

25/04/2024

Mahindi ni zao muhimu na tegemezi kwa jamii nyingi barani Afrika. Nchini Tanzania zao hili hulimwa mikoa yote kwani ni zao tegemezi kwa chakula. Hata hivyo, zao hili lina changamoto, kwani hushambuliwa na visumbufu mbalimbali vya mimea ikiwamo viwavijeshi vamizi (Fall armyworm). Viwavi hawa hula sehemu zote za mmea majani, bua, mbegu,...

Tumia molasi kurejesha rutuba ya udongo

24/04/2024

Katika kilimo, matumizi ya Molasi ni muhimu kwa kuboresha hali ya udongo, kudhibiti wadudu, kuwezesha udongo kuwa na rutuba, kurekebisha hali ya udongo na pia kupunguza matatizo kwa mimea inayopandikizwa. Matumizi na kiasi cha kutumia Kuboresha umbile la udongo. Molasi husaidia kuboresha udongo na kuunganisha chembe za udongo na chembe...

Fuga mbuzi uongeze kipato mbadala

24/04/2024

Mbuzi ni mnyama mdogo lakini mwenye faida kadha wa kadha na huweza kutunzwa eneo na kwa gharama ndogo. Kwa jamii nyingi za kiafrika, mbuzi kama kuku, ni moja ya mnyama anayefugwa kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Katika jamii nyinginezo, hufuga mbuzi kwa ajili ya kitoweo, maziwa na pia kuwatumia katika...

23/04/2024

<iframe src="https://ee.kobotoolbox.org/i/ySYSCHB4" width="800" height="600"></iframe>

Zalisha na kutunza malisho kwa jili ya mifugo

18/04/2024

Majani ya malisho ya umuhimu mkubwa kwa mfugaji wa ng’ombe, mbuzi na kondoo. Bila malisho ya kutosha mfugaji atagaramika kwa kununua nyasi hasa wakati wa kiangazi. Kuwa na malisho ya kutosha inampa mkulima amani na hakikisho kwamba mifugo wake wanapata lishe ya kutosha nyakati zote. Ikiwa mfugaji hataweka mikakati ya...

Mazao ya Chakula yasiyopewa kipaumbele yenye Afya.

18/04/2024

Mazao yasiyopewa kipaumbele yenye afya, au "Neglected and Underutilized Crops (NUS)," ni mazao ambayo mara nyingi hupuuzwa au kutotumika ipasavyo licha ya faida zao za lishe na afya. Hizi ni aina za mazao ambayo hayajapata umaarufu au uwekezaji wa kutosha katika kilimo au matumizi ya lishe, ingawa yana thamani kubwa...

Je, unayafahamu haya kwenye ufugaji wa Samaki?

17/04/2024

Wakulima wengi hasa wanaotumia maji ya bomba wangependa kuanza ufugaji wa samaki lakini huenda kuna mambo kadha wa kadha hawafahamu kuhusu ufugaji kwa kutumia maji ya bomba. Aidha, mambo ni mengi ya kuzingatia ili kuanza ufugaji wa samaki lakini tuanze kujibu maswali haya kutoka kwa mkulima anayetaka kufanya ufugaji huu....

Namna ya kuongeza rutuba ya udongo

17/04/2024

Ongezeko la uhitaji wa chakula duniani kutoka katika eneo lile lile dogo linalotumika kwa uzalishaji, huku ardhi hiyo ikikabiliwa na madhila kama vile mmomonyoko wa ardhi mabadiliko ya tabia nchi na ongezeko la wadudu na magonjwa kumeathiri uzalishaji kwa kiwango kikubwa hivyo kupelekea uboreshaji wa udongo kuwa kipaumbele cha kuzingatia....

Tumia mitego kunasa wadudu wkenye matunda na mboga

09/04/2024

Kutengeneza mitego mwenyewe Ili kutengeneza mtego wa kunata, sambaza petroleum jeli au oili chafu kwenye mbao laini, iliyopakwa rangi ya njano (ukubwa wa sm 30 kwa sm 30). Weka mitego karibu na mimea lakini ikae mbali kidogo kutoka kwenye shina ili kuzuia majani yanayoanguka yasinase kwenye bodi. Chukua tahadhari kwamba...

Mmea wa artichoke na faida zake kwa mwanadamu

09/04/2024

Mimea mingi ina faida katika mwili wa binadamu, wanyama na hata mingine kutumiwa kurutubisha udongo. Wengi wetu tumezungukwa na mimea ambayo hatufahamu faida zake, kumbe mimea hiyo ni tiba kwa magonjwa mbalimbali hata yale sugu kama presha na mengineyo. Katika makala hii tutaangazia mmea unaoitwa artichoke. Mkulima Mbunifu katika jitihada...

Mkulima Mbunifu imeniongezea maarifa katika ufugaji wa kuku

05/04/2024

Rose Rafael Mollel (35) nina Watoto wanne. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji. Nilianza na kuku 10 tu ambao walinipa changamoto kuwafuga kwani kuku watatu walikufa kwa ugonjwa wa kideri. Nikajiuliza nitafanyaje sasa na sipendi kutumia madawa ya kemikali! Nikabuni chanjo ya kienyeji: tangawizi nikaisaga, matone ya myaa na...

Kilimo ikolojia ni suluhisho la changamoto ya chakula duniani

03/04/2024

Mama shujaa wa chakula na mnufaika wa jarida la MkM. Anazalisha kwa kufuata mbinu za Kilimo Ikolojia.

Wakulima Watumia Taarifa za MkM Kuboresha Uzalishaji

03/04/2024

Jambo la kufurahisha ni pale unapoona mkulima anajifunza na kutekeleza, hii inatia moyo. Mmoja wa wakulima wanufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu ametia fora kwa namna ambavyo amepokea mafunzo ya kilimo ikolojiahai. Mbinu mbalimbali zilizoandikwa zimejipatia umaarufu mkubwa miongoni mwa wakulima kiasi cha kuanza kutekeleza mara moja, ni pamoja na...

Ugonjwa wa Ormilo

28/03/2024

UNAFAHAMU KUHUSU UGONJWA HUU! USIACHE KUSOMA JARIDA LA MKULIMA MBUNIFU TOLEO LIJALO LA APRILI!

Vyanzo vya virutubisho

27/03/2024

Ni vyema kujenga uelewa wa vyanzo vya virutubisho vinavyoweza kutumika katika kilimo hai. Uelewa wa maisha ya mimea husaidia kwa kiasi kikubwa kwa hatua ya kuchukua kuilisha mimea hiyo. Kuna mwingiliano kati ya uzalishaji wa mimea na mifugo na unachangia katika kurutubisha udongo. Mabaki ya mazao hulisha wanyama na samadi...

Busta ya asili

26/03/2024

Busta za asili ni nyongeza ya virutubisho kwa ajili ya kuchochea ukuaji wa mmea ili kua na uzalishaji mzuri hususani pale ambapo mimea imeanza kuzorota kutokana na kupungua/kukosekana kwa virutubisho vya kutosha kwenye udongo, busta hizi zina sifa ya kuupa mmea virutubisho kwa haraka sana na kuleta matokeo mazuri kwenye...

Mikakati Madhubuti ya Kuuza Mazao ya kilimo hai

26/03/2024

Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na mabadiliko makubwa katika kilimo na mbinu za uzalishaji. Utafiti umeonyesha kuwa mbinu asilia za kilimo hai zina faida zaidi kuliko zile zinazojumuisha kemikali au vitu vingine hatari. Siku hizi, bidhaa za kilimo hai zinapatikana kwa urahisi katika maeneo mengi. Hii inamaanisha kuwa kuna...

Uvunaji maji ya mvua kwa kutumia silanga (water resevoir) kwa uendelevu wa kilimo

21/03/2024

Mara nyingi wakulima na wafugaji wamekua wakipata shida kwenye shughuli zao za kila siku kutokana na ukosefu wa maji. Maji yamekua ni moja ya sababu inayofanya wafugaji kuhama eneo moja kwenda lingine sambamba na wakulima kuhamia maeneo ambayo watapata uhakika wa uzalishaji wa mazao yao. Madhara ya mafuriko na ukame...

Ufugaji wa ng,ombe wenye tija

19/03/2024

Naomba ushauri, nina ng’ombe mmoja ambaye namfuga ndani. Amezaa uzao wa kwanza ndama dume. Kwa sasa, ninapata lita 10 kwa siku. Ng’ombe ana uzito wa kilo 400. Gharama za utunzaji ni 70%. Nifanye nini ili awe na tija? Faida zinazotokana na ufugaji wa ng’ombe wa maziwa zinatokana na kujumuisha mambo...

Mkulima hupaswi kuwa maskini

19/03/2024

Swali hili limekuwa likijirudia mara kwa mara, kuwa ni kwa nini wakulima wawe maskini? Kwa watu walio wengi hata wakulima wenyewe, wana majibu mengi sana ambayo wamekuwa wakiyatoa, hasa katika kutetea huko hiyo, huku wakiweka kuwa wao ni watu wa chini na wanaokubaliana na hali hiyo ya umaskini. Kuna wale...

Namna ya kufanya candling (uchunguzi wa mayai yanayototoleshwa)

06/03/2024

Makala hii ni muendelezo wa makala iliyopita ambapo ilijikita katika kuelezea namna ya kutotolesha mayai kwa njia ya asili na pia kwa njia ya mashine (Incubator). Katika muendelezo huu tutaangalia kwa undani jinsi ya kuchunguza yai kwa kutumia mwanga. Candling ni njia ya kuchunguza mayai kwa kutumia mwanga aidha wa...

MBOJI NDIYO MSINGI WA MAISHA YETU WAKULIMA

28/02/2024

Ifahamu ndizi kitarasa na faida zake

28/02/2024

Ndizi ya Kitarasa ni moja ya ndizi inayotumika kama chakula cha kitamaduni kwa wachaga waishio katika mkoa wa Kilimanjaro. Aina hii ya ndizi hutumiwa kutengeneza unga wa uji, kutengeneza bia ya kitamaduni na kama mchanganyiko wa chakula cha kitamaduni katika sahani. Hata hivyo, wazalishaji wa kitarasa walipungua, kutokana na mabadiliko...

Tengeneza mbolea ya chai ya alizeti pori (Tithonia diversifolia)

27/02/2024

Alizeti pori maarufu kisayansi tithionia diversifolia ni aina ya mmea unaomea karibu kila mahali kando ya barabara na hata kwenye kingo za mito katika ardhi isiyokuwa na rutuba au hata katika maeneo ya bustani. Mmea huu ni mrefu na una mashina mengi kuanbzia sehemu ya chini hadi sehemu kunakotoa maua....

Mambo muhimu ya kuzingatia kwa unenepeshaji wa nguruwe

27/02/2024

Nguruwe wanaonenepeshwa wanahitaji kutunzwa vizuri ili waweze kufikia uzito wa kuchinjwa mapema. Nguruwe waanze kunenepeshwa wakiwa na umri wa wiki 9 hadi 14 na uzito wa kilo 25 hyadi 30. Nguruwe wana uwezo wa kuongezeka uzito wa hadi gramu 700 na 800 kwa siku kuitegemeana na aina ya nguruwe na...

Maharagwe ya ngwara: Muunganiko wa lishe ya kiafrika

26/02/2024

Ngwara ambalo pia hujulikana kama Fiwi, ni aina ya maharagwe katika familia ya Fabaceae. Asili yake ni katika eneo la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara na hulimwa katika maeneo ya kitropiki. Zao hili lenye utajiri wa virutubisho, ambalo kwa muda mrefu lilisahaulika, sasa limeanza kupata umuhimu mkubwa kutoka kwa...

Je, unajua unaweza kutengeneza maziwa ya unga nyumbani?

22/02/2024

Maziwa ni bidhaa ya chakula ambayo kila mtu anahitaji. Ni moja ya lishe bora yenye protini nyingi za hali ya juu, kalsiamu na vitamin B12. Aidha kuongezeka kwa wafugaji na wazalishaji maziwa kumeibua changamoto kwa baadhi yao ambao wamekuwa wakiuza maziwa na kuyagandisha na mengine kubaki. Hali hii imewafanya baadhi...

Je, njia za asili za kukabili wadudu na magonjwa ni zipi?

19/02/2024

Viumbe wajulikanao kama wadudu au vijidudu wanaosababisha magonjwa hutambulika kutokana na madhara wanayoleta kwenye mimea. Iwapo mandhari hayatakua na uwiano basi sehemu moja inaweza kuwa na idadi kubwa ya wadudu waharibifu hivyo kusababisha madhara. Madhumuni ya njia hizi za asili ni kujaribu kuweka uwiano katika mazingira. Mfumo huu haukusudii kuangamiza...

Pitaya, tunda jipya linaloweza kulimwa sehemu kame

19/02/2024

Kwa Tanzania matunda ya dragon au kama yajulikanavyo kwa kiswahili Pitaya au Pitahaya ni aina mpya. Matunda haya asili yake ni Mexico au maeneo ya Amerika Kaskazini lakini kwa sasa yanalimwa sana bara la Asia na kwa ukanda wa Afrika Mashariki kwa sasa yanalimwa Kenya. Kwa sababu ya kutolimwa sana...

Namna ya kutengeneza chakula cha mifugo (silage)

15/02/2024

Aina ya chakula hiki ni kizuri sana kwa ng’ombe wa maziwa, matokeo ya ongezeko la maziwa yataonekana kwa muda mfupi sana. Pia chakula hiki huweza kupewa wanyama wengine kama kondoo,mbuzi,nguruwe n.k Mahitaji: Majani mabichi (nyasi au mazao ya nafaka) Molases Maji Mfuko wa plastic (polythene bags), mapipa au shimo Panga...

Namna ya kutayarisha maziwa mtindi

15/02/2024

Maziwa ya mtindi ni maziwa mabichi ya ng’ombe yaliyoganda na mara nyingi yanakuwa na hali ya uchachu. Maziwa haya hutumika kama kinywaji au kiambaupishi katika mapishi mbalimbali. Mahitaji Maziwa mabichi safi na salama Kimea cha maziwa Vifaa vinavyohitajika Sufuria / keni safi ya kuchemshia Chombo (container) ambacho utaweza kuhifadhi mtindi...

Nyuzinyuzi ni chakula muhimu katika mwili wa binadamu

15/02/2024

Nyuzinyuzi hupatikana kirahisi kwa familia kwa wakulima. Hii ni pamoja na nafaka zisizokobolewa,njugu  karanga,  kunde,  matunda  na mboga.  Ni chanzo muhimu cha chakula kwa bakteria chenye faida kwenye utumbo. Inawezakusaidia kudhibiti uzito na kupunguza hatari kwa ugonjwa wa moyo. Nyuzinyuzi (Roughage), pia inajulikana kama nyuzinyuzi, ni   sehemu ya wanga ya...

Je, wajua sababu kumi za kuendeleza kilimo hai

09/02/2024

Chakula kinakuwa na ladha ya asili: ladha yake ni nzuri Kimesheheni viinilishe vya asili vya kutosha kwa afya: kwa asili kinajenga afya. Hakina mabaki hatarishi ya kemikali: hakina kemikali Kinaepusha matumizi ya vyakula vilivyobadilishwa vinasaba /GMO: kinatunza afya ya mlaji Havisababishi magonjwa yanayosababishwa na upulizaji wa kemikali kwa mkulima wala...

WALISEMA WAHENGA UKITAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI, NASI TWASEMA, UKITAKA KUFANIKIWA KATIKA KILIMO SOMA JARIDA LA MkM

08/02/2024

Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna kilimo bila maarifa na maarifa haya sisi kama Mkulima Mbunifu tukiwezeshwa na Biovision na kusimamiwa na Biovision Africa Trust (BvAT) wakishirikiana na Sustainable Agriculture Tanzania (SAT) tunasisitiza kuwa ili ufanikiwe katika uzalishaji wa mazao na mifugo, soma jarida la Mkulima Mbunifu, HAKIKA NI KISIMA CHA...

FOATZ ni moja ya shirika linalowawezesha wakulima kupitia majarida ya Mkulima Mbunifu

07/02/2024

Mashirika mbalimbali yakiwepo ya Umma, taasisi binafsi wamekuwa wakitumia majarida ya Mkulima Mbunifu katika kutoa elimu ya uzalishaji kwa misingi ya kilimo hai kwa wakulima wao jamno ambalo limeleta chachu katika usambazaji wa taarifa za kilimo huku ikiwapa wakulima matokeo chanya katika uzalishaji. Moja ya shirika linalojivunia jarida la Mkulima...

TERMS OF REFERENCE (TORs)FOR THE RECRUITMENT OF AN EOA TRAINERS’ MANUAL DESIGNER

06/02/2024

General Information Services/Work Description: Recruitment of Consultant to review, complete and design the layout with illustrations of the Ecological Organic Agriculture Trainers’ Manual Project/Program Title: KHEA Post Title: EOA Trainers’ Manual Designer Duty Station: Virtual Duration: 3 weeks Expected Start Date: After Signing the contract and inception meeting 1. BACKGROUND Biovision Africa Trust (BvAT) is the...

Jinsi ya kushirikiana na Mkulima Mbunifu

05/02/2024

Sasa unaweza kushirikiana na jarida la MkM kutoa mafunzo na habari kwa wakulima kuhusu mbinu na teknolojia tofauti zinazowezesha kuboresha uzalishaji na kuleta faida kwa mkulima na jamii kwa ujumla. Hii ni fursa ya kuwekeza zaidi katika kufikisha matokeo ya utafiti na ubunifu unaowanufaisha wakulima kwa wakulima wenyewe.  Kuna tafiti...

Kilimo hai hupambana na mabadiliko ya tabianchi

05/02/2024

Mabadiliko ya hali ya hewa yanatishia msingi wa maliasili katika sehemu kubwa ya ulimwengu hasa nchi zinazoendelea. Mabadiliko ya hali ya hewa huharakisha uharibifu wa mifumo ikolojia na kufanya kilimo kuwa kigumu kwa wakulima mashamba wenye madogo. Matokeo yake ni kwamba wakulima ambao ni muhimu sana kwa usalama wa chakula...

Kujifunza kwa ushirikiano ni mbinu mbadala ya elimu ya kilimo

05/02/2024

Katika  mazungumzo  na  vikundi  vya  wakulima, mmoja wa wakulima walioshiriki  katika  mkutano  wa kubadilishana mawazo kuhusu kilimo hai kama mbinu moja ya kilimo endelevu utafiti, alisema; “Kilimo hakilipi bili tena, na unajua haiwi rahisi.” Kauli hii ya mkulima huyu inaibua haja ya kufanya kilimo kuwa na maana kwa wakulima. Kwamba...

AZOLA KWENYE KILIMO HAI NI TUNU

26/01/2024

Azola ni majani au magugu ambayo huota sehemu yenye maji kwa wingi. Mmea huu umekua ukitumiwa zaidi na wafugaji kama chakula mbadala kwa kuku. Majani haya huliwa na kuku yakiwa mabichi au yakivunwa na kuanikwa kisha kuchanganywa kwenye chakula cha kuku. Azola hutumika kulisha mifugo mingine kama vile bata, ng’ombe,...

Sindika maziwa kupata jibini na kuongeza pato

26/01/2024

Jibini ni zao linalotengenezwa kwa kutumia maziwa. Zao hili hupatikana kwa kugandisha maziwa kwa kutumia rennet na kimea na baadaye kuondoa sehemu ya maji baada ya maziwa kuganda. Jibini inaweza kutengenezwa kuwa laini, ngumu kiasi au ngumu kabisa. Ili kutengeneza jibini, ni lazima kuwa na malighafi mbalimbali zitazoweza kutumika. Mahitaji...

Unaanzaje kilimo hai

25/01/2024

Kumekua na maswali kadhaa juu ya kuanzisha kilimo hai. Yamkini, ewe pia unajiuliza swali hili, vile unavyoweza kuzalisha kwa mfumo wa kilimo hai shambani mwako. Jarida la Mkulima Mbunifu ni mahususi kwa ajili yako na katika makala hii tunakukumbusha tena. Kama una nia thabiti ya kuanzisha kilimo hai, fuata hatua...

Mazao ya mbolea ya kijani ni mazao ambayo yanapandwa ili kuongeza rutuba kwenye udongo

18/01/2024

Mazao ya mbolea ya kijani ya jamii ya mikunde (ambazo ni zile zinatengeneza mbolea ya naitrojeni kutoka kwenye naitrojeni iliyopo kwenye hewa) zinaweza kuwapa wakulima wadogo faida nyingi sana ikiwa ni pamoja na: Zinatoa kiasi kikubwa cha naitrojeni kwa ajili ya udongo. Zinaongeza tani nyingi za viumbe hai kwenye udongo,...

LISHE BORA KWA WATOTO

20/12/2023

Tofauti na ilivyo kwa watu wazima, watoto wanahitaji kupata lishe bora kila siku ili kuweza kujenga miili yao, na kukua katika kiwango kinachotakiwa na hatimae kuwa watu wazima. Ni muhimu kufahamu lishe inayotakiwa kwa watoto. Lishe bora ni nini? Lishe bora ni mlo unaojumuisha uwiano unaotakiwa wa virutubisho vyote muhimu...

MATUMIZI YA SAMADI YA WANYAMA NA MIMEA KWENYE KILIMO

20/12/2023

Ubora wa samadi ya wanyama hutegemea zaidi kile kilicholiwa na mnyama. Ikiwa wamelishwa chakula duni au nyasi zilizomea katika udongo usio na rutuba, basi samadi yao pia itakuwa na ubora duni. Ikiwa wanyama wamelishwa chakula kizuri basi samadi pia itakuwa bora na iliyojaa virutubisho. Samadi iliyo tayari kwa matumizi Samadi...

TUMIA DAWA ZA ASILI KUTIBU MAGONJWA MBALIMBALI YA MIFUGO

20/12/2023

Yapo magonjwa mbalimbali ambayo mfugaji hasa aliyeko kijijini anaweza kuyatibu kwa kutumia dawa za asili ambazo pia zainapatikana katika maeneo yao bila hata kutumia dawa za madukani. Faida ya kutumia dawa hizi ni kubwa kwani husaidia kuokoa maisha ya mfugo kwa haraka zaidi kama huduma ya madaktari iko mbali, hupunguza...

MAYAI YANAWEZA KUHIFADHIWA KWA MUDA MREFU BILA KUHARIBIKA

20/12/2023

Wakulima wanaowekeza kwenye mradi wa kuku, hupata hasara pale ambapo hawatunzi mayai ipasavyo. Mayai ni bidhaa hafifu na inayoharibika kwa haraka, hivyo, ni lazima ishikwe kwa uangalifu na kutunzwa vizuri baada ya kutagwa ili yasivunjike au kuharibika. Watu wengi wanaonunua mayai kutoka dukani watatambua mara moja kuwa mayai hayo yamevunjika...

Maji moto (weaver’s ant) wadudu rafiki wanaowezesha kilimo hai

14/12/2023

Maji Moto au Sangara ni aina ya wadudu, ambao ni rafiki kwa mkulima yeyote anayefanya shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya kilimo hai. Ni wadudu wadogo sana ambao huishi katika miti ya mikorosho pamoja na miembe. Mara nyingine hupatikana pia katika pamba. Ikumbukwe kuwa tangu kuumbwa dunia, kila kitu kilikuwa kiasili, watu walikula...

WEBSITE DESIGNER

01/12/2023

Terms of Reference: Updating Mkulima Mbunifu Website - www.mkulimambunifu.org About Mkulima Mbunifu (MkM) Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine is a Farmer Communication Programme project that is implemented in Tanzania since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya.  The publication aims to provide information...

Ni muhimu kuzingatia soko la mazao kabla ya uzalishaji

06/11/2023

Suala la soko ni la msingi na ni la wakati wote, kuanzia kipindi cha utafutaji taarifa ya zao husika, wakati zao likiwa katika hatua ya awali ya uzalishaji na hata linapokuwa tayari kwenda sokoni. Ni muhimu kwa mkulima kutafuta soko la mazao yake ili aweze kuuza kwa bei iliyopo sokoni...

Umuhimu wa udongo kwa uzalishaji wenye tija

06/11/2023

Udongo wenye afya ni udongo ulio hai, ambao unazalisha mazao bora na yenye afya. Udongo lazima uwe na minyoo na viumbe vingine. Viumbe hawa hufanya kazi ya kulainisha udongo kwa kuvunjavunja masalia ya majani, mimea na mabua yaliyokufa kisha kubeba masalia hayo hadi chini ya udongo na kuichanganya kisha kuzalisha...

Kilimo bustani huongeza pato nyumbani

06/11/2023

Kilimo cha bustani kinahusika na uzalishaji wa mazao ya aina ya mboga, matunda, viungo na mimea ya mapambo. Kilimo cha bustani ni chanzo cha ajira na pato kwa wakulima na watu wengine. Mboga na matunda vinatupatia virutubisho vya kujenga, kutia nguvu na kulinda mwili. Unapowaangalia wakulima utagundua wengi wamejikita katika...

Matokeo ya lishe duni kwa watoto na jinsi ya kuboresha afya

06/11/2023

Kila mwaka, watoto wengi chini ya miaka 5 nchini Tanzania hufa kwa sababu ya lishe duni na chakula. Watoto hawa hawapati chakula chenye vitamini, madini ya iodini na chuma ambayo yanahitajika kwa afya na ukuaji mzuri. Hali hii inasababisha utapiamlo. Watoto wenye umri wa miezi 6 na zaidi, wapewe chakula...

Umakini wa uzalishaji huzuia upotevu wa chakula

06/11/2023

Upotevu wa chakula hutokea katika mnyororo mzima wa uzalishaji, kuanzia shambani hadi usambazaji kwa wauzaji rejareja hadi kwa walaji. Upotevu huo unaweza kusababishwa na ukungu shambani, wadudu, au udhibiti duni wa hali ya hewa; hasara nyingine hutokana na njia za upishi na upotevu wa chakula kwa makusudi. Upotevu wa chakula...

Ijue Mbinu ya Kilimo Ikolojia Fanya Juu Fanya Chini

02/11/2023

Fanya Juu ni kingamaji ambalo linachimbwa upande wa chini wa shamba, udongo uliochimbwa unawekwa upande wa juu wa shamba ili kutengeneza tuta ambalo litasaidia kubakiza maji ya mvua shambani na kuongeza upatikanaji wa maji kwa mimea. Mwishoni inasaidia kuijanisha ardhi yako! HATUA 1: Angalia Baini uelekeo wa mtiririko wa maji...

DAWA YA ASILI YA MWAROBAINI

26/10/2023

Mohd Rafii anauliza: Waungwana nisaidieni, Matumizi ya mwarobaini kwa kuulia wadudu katika mimea niuchemshe au niusage tu na kuuloweka?   Mwarobaini ni mti unaostahimili ukame, unatoa kivuli na pia umeonekana kuwa na manufaa makubwa kama tiba kwa binadamu na mafuta yake hutengeneza sabuni. • Kati ya dawa zote za asili,...

26/10/2023

Zao la maharagwe ni moja kati ya mazao ya chakula na biashara linalolimwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa misimu tofauti kulingana na hali ya hewa ya eneo husika. Kabla ya kuzalisha zao hili kwa misingi ya kilimo hai, mkulima hana budi kufahamu kanuni sahihi kwa ajili ya kufanya uzalishaji...

MKULIMA MBUNIFU INAKUTAKIA HERI YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI: Hakuna wa kuachwa nyuma; uzalishaji bora, lishe bora, mazingira bora, maisha bora

16/10/2023

Ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya chakula duniani, ni muhimu kwa kila jamii kuangalia namna ya kuondokana na baa la njaa linaloikabili ulimwengu kwasasa. Kauli mbiu ya mwaka huu ambayo ni; Hakuna wa kuachwa nyuma: uzalishaji bora, lishe bora, mazingira bora, maisha bora inahamasisha jamii kuhakikisha inafanya uzalishaji wenye kupelekea...

Je, wewe ni mpenzi wa kula matunda

12/10/2023

Suala la afya bora ni suala la muhimu katika maisha ya kila mmoja wetu na jamii kwa ujumla. Bila afya hakuna furaha, amani wala shughuli yoyote ile ya maendeleo. Afya ndio msingi wa maisha yetu ya kila siku. Siku hizi si ajabu sana kusikia au hata kushuhudia watu wengi wakisumbuliwa...

Namna ya kutengeneza busta

11/10/2023

Busta za asili ni nyongeza ya virutubisho kwa ajili ya kuchochea ukuaji wa mmea ili kua na uzalishaji mzuri hususani pale ambapo mimea imeanza kuzorota kutokana na kupungua/kukosekana kwa virutubisho vya kutosha kwenye udongo, busta hizi zina sifa ya kuupa mmea virutubisho kwa haraka sana na kuleta matokeo mazuri kwenye...

Mbolea za asili

11/10/2023

Kuna mbolea nyingi za asili ambazo zinaweza kutumika shambani kama vile samadi, mboji, chai ya mmea na bioslari. Namna ya kutayarisha mboji/mbolea vunde Mboji ni sehemu ya viumbe (mabaki ya mimea na wanyama) ambayo imeozeshwa kwa muda mrefu na kusazwa na viumbe wadogowadogo. Sehemu za vitu kama majani, matunda na...

Kupambana na mfumko wa bei ya vyakula

26/09/2023

Wakati jarida hili lilipozinduliwa mwaka wa 2011, moja ya mambo yaliyowakera wasinduzi na ambalo linaendelea kusumbua jamii ni mfumko wa bei ya vyakula. Jambo hili linawatatiza wakulima na walaji au watumiaji wa mazao ya kilimo. ˮ Kuna sababu mseto zinazochangia kupanda na wakati mwingi kutotabirika kwa bei ya vyakula, na...

Umuhimu wa udongo kwa uzalishaji wenye tija

26/09/2023

Udongo wenye afya ni udongo ulio hai, ambao unazalisha mazao bora na yenye afya. Udongo lazima uwe na minyoo na viumbe vingine. Viumbe hawa hufanya kazi ya kulainisha udongo kwa kuvunjavunja masalia ya majani, mimea na mabua yaliyokufa kisha kubeba masalia hayo hadi chini ya udongo na kuichanganya kisha kuzalisha...

Ni muhimu kuzingatia soko la mazao kabla ya uzalishaji

26/09/2023

Suala la soko ni la msingi na ni la wakati wote, kuanzia kipindi cha utafutaji taarifa ya zao husika, wakati zao likiwa katika hatua ya awali ya uzalishaji na hata linapokuwa tayari kwenda sokoni. Ni muhimu kwa mkulima kutafuta soko la mazao yake ili aweze kuuza kwa bei iliyopo sokoni...

Matokeo ya lishe duni kwa watoto na jinsi ya kuboresha afya

26/09/2023

Kila mwaka, watoto wengi chini ya miaka 5 nchini Tanzania hufa kwa sababu ya lishe duni na chakula. Watoto hawa hawapati chakula chenye vitamini, madini ya iodini na chuma ambayo yanahitajika kwa afya na ukuaji mzuri. Hali hii inasababisha utapiamlo. Watoto wenye umri wa miezi 6 na zaidi, wapewe chakula...

Dawa za asili

07/09/2023

Majivu Weka majivu moja kwa moja kwenye mashina ya mimea michanga baada ya kuotesha ili kuzuia wadudu wakatao mimea kama vile sota (cutworms). Majivu yataonyesha matokeo mazuri endapo yatachanganywa na mafuta ya taa kidogo Pilipili kali Chukua gramu 55 za pilipili kisha katakata Chemsha kwa dakika ishirini kwenye maji lita...

Udhibiti wa magonjwa na wadudu kwa kutumia dawa za asili

07/09/2023

Hizi ni dawa zinazotokana na mimea ambayo hupatikana katika maeneo ya wakulima. Matumizi ya dawa hizi ni njia mojawapo ya kuepuka dawa za viwandani ambazo huathiri udongo, mazingira na afya za watu na wanyama. Madawa yasipotengenezwa vizuri na kutumiwa ipasavyo yanaweza yasifanye kazi ipasavyo, hivyo huwa ni vigumu kuwashawishi wakulima...

Namna ya kutengeneza mbolea ya asili au mbolea hai

06/09/2023

Kuna faida nyingi zinazotokana na matumizi ya mbolea za asili kama mboji na nyinginezo. Mbolea asili hutokana na kuoza kwa vitu vyenye uhai kama vile majani, miti na mabaki ya vyakula. Vitu hivi vinapooza hugeuka na kutengeneza virutubisho ambavyo husaidia kurutubisha udongo na kupunguza gharama kwa mkulima kwa kuwa vitu...

Anzisha miradi tofauti kuongeza pato

06/09/2023

Kuna msemo mmoja maarufu sana wa kiswahili usemao, kidole kimoja hakivunji chawa. Hii inamaanisha kuwa endapo unategemea jambo moja tu, inakuwa ni vigumu sana kutimiza malengo yako au kufanikiwa kufanya jambo fulani. Hii ni changamoto kwako mkulima kuhakikisha kuwa unatumia nafasi uliyo nayo ipasavyo. Ni muhimu sana kuhakikisha kuwa unaanzisha...

Jifunze kusindika kiazi sukari/ kiazi chekundu

09/05/2023

(Beetroot) Kiazi sukari ama hufahamika kama kiazi chekundu ni zao jamii ya mizizi. Kiazi sukari hutumika kama dawa kwa ajili ya kutibu magonjwa mbalimbali kama kuvimbiwa, majeraha, pamoja na matatizo mbalimbali ya Ngozi (mizizi ndiyo hutumika). Hadi kufikia karne ya 16, zao hili lilikuwa tayari limekwishapata umaarufu hasa katika Amerika...

Jifunze kusindika bamia

03/05/2023

Bamia ni aina ya tunda mboga lenye utajiri wa virutubishi ambavyo ni muhimu sana katika mwili wa mwanadamu hasa katika usagaji wa chakula. Faida za ulaji wa bamia Umeng’enyaji na uwekaji sawa wa mfumo wa sukari mwilini. Kulainisha choo na kuzuia kuvimbiwa. Kuondoa lehemu katika mishipa ya damu kwenye mwili....

Namna ya kusindika boga lishe

02/05/2023

Boga lishe ni miongoni mwa vyakula vilivyopo katika kundi la mimea ya Cucurbitaceae au familia ya squash. Boga hili huwa na umbo la kibuyu na rangi yake huwa ni ya kijani mpauko kabla ya kukomaa na likikomaa huwa na rangi ya chungwa kwa nje na ndani. Kwa sehemu ya nje,...

Usimamizi bora wa ulishaji na udhibiti wa magonjwa katika ufugaji

25/04/2023

Ulishaji na udhibiti wa magonjwa huchangia sehemu kubwa katika ufugaji. Ikiwa mfugaji atashindwa kuwapa mifugo wake lishe bora na kudhibiti magonjwa basi biashara ya ufugaji itadorora na kuleta mapato ya chini mno. Lishe bora na udhibiti mzuri wa magonjwa hurahisisha kazi ya mfugaji na kumhakikishia faida. Lishe ni muhimu kwa...

Jifunze kilimo cha mwani na faida zake

21/04/2023

Mwani wa bahari si mmea mgeni kwa wakaazi wa maeneo ya pwani. Wengi hukusanya kwa matumizi ya biashara na wachache hujumuisha katika mlo wao. Hivi karibuni, katika mitandao ya kijamii, wataalamu wa lishe wamekua wakishawishi watu kujumuisha mwani katika milo yao, wakisema kuwa mwani una faida nyingi kwa afya. Mwani...

Nimefanikiwa katika kilimo na ufugaji kupitia Jarida la Mkulima Mbunifu

19/04/2023

Mimi ni msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu (MkM) toka mwaka 2011, na nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutekeleza shughuli zangu za kilimo na ufugaji kwa ufanisi kutokana na elimu inayotolewa na jarida hili. Hayo ni maneno ya Bw. Silvester Gideon Mbulla (63), mkazi wa Kongwa (Hogoro), mkoani Dodoma, ambaye hakusita...

Thamini na kuendeleza mbegu za asili ili kuleta tija katika kilimo

19/04/2023

Mbegu ni pembejeo ya muhimu katika uzalishaji wa mazao. Upatikanaji wa mazao bora hutegemea matumizi ya aina na ubora wa mbegu za mazao husika. Baadhi ya wakulima nchini Tanzania wamesahau matumizi ya mbegu za asili na kujikita zaidi katika mbegu za kisasa. Mbegu ni nini? Mbegu ni sehemu ya mmea...

Sindika mazao mbalimbali kwa ajili chakula na tiba lishe

19/04/2023

Kupitia makala mbalimbali katika jarida la Mkulima Mbunifu, tumeweza kutoa elimu juu ya usindikaji wa mazao mbalimbali yatokanayo na wanyama na mimea. Hii ni kwa madhumuni ya kusaidia jamii kujifunza na kufanya kwa vitendo kisha kuongeza pato na kupunguza upotevu wa mazao baada ya mavuno. Katika makala hii, tunafundisha namna...

Nyuzinyuzi ni chakula muhimu katika mwili wa binadamu

19/04/2023

Nyuzinyuzi hupatikana kirahisi kwa familia kwa wakulima. Hii ni pamoja na nafaka zisizokobolewa,njugu karanga, kunde, matunda na mboga. Ni chanzo muhimu cha chakula kwa bakteria chenye faida kwenye utumbo. Inaweza kusaidia kudhibiti uzito na kupunguza hatari kwa ugonjwa wa moyo. Nyuzinyuzi (Roughage) Roughage, pia inajulikana kama nyuzinyuzi, ni sehemu ya...

Udhibiti wa wadudu na magonjwa katika kilimo hai

19/04/2023

Katika uzalishaji wa mazao kwa misingi ya kilimo hai ambacho ni aina ya kilimo kinachozingatia usalama wa chakula na kuondokana na matumizi ya kemikali za viwandani changamoto ya magonjwa na wadudu pia hutokea, jambo linalohitaji usimamizi mzuri ili kuleta uzalishaji wenye tija. Faida ya kuzalisha kwa misingi ya kilimo hai...

MKULIMA MBUNIFU INTERN ADVERT

17/04/2023

S.L.P 14402, Arusha, Tanzania Simu :+255 (0) 0714 266 0007 Barua pepe: info@mkulimambunifu.org TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU INTERN Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the...

Nini malengo yako ya ufugaji

23/03/2023

Katika matoleo mengine ya gazeti hili, tutaangazia mahitaji maalum kwa kila aina ya ufugaji wa mifugo ili kuhakikisha tunatembea nawe hatua kwa hatua katika kuanzisha na kukuza biashara yako. Ukiwa na swali au ungependa aina fulani ya ufugaji liangaziwe, wasiliana na MkM, na utujulishe hitaji lako ili tuendelee kushirikishana mafunzo....

Ulishaji sahihi wa mifugo

23/03/2023

Kulisha ni muhimu sana katika ufugaji wa mifugo, hivyo kama unajishughulisha na ufugaji wa kondoo, ng’ombe, mbuzi, na mwanyama wengine wanaokula nyasi, inashauriwa kupanda nyasi shambani mwako au karibu na eneo lako kwa sababu itasaidia kupunguza gharama zinazoweza kutokea katika utoaji wa chakula na virutubisho vingine. Ulishaji unajulikana kuwa moja...

Namna ya kuanzisha mradi wa ufugaji wa wanyama

23/03/2023

Ufugaji ni utunzaji na uzalishaji wa mifugo kwa madhumuni ya kilimo, ikiwa ni pamoja na chakula na bidhaa zingine kutokana na mifugo. Ikifanywa ipasavyo, ni shughuli yenye uwezo mkubwa ya kumkwamua mkulima na kumpa mapato ya kutosheleza mahitaji ya kila siku. Wengi wa wakulima wadogo huunganisha ufugaji na kuzalisha mazao,...

Fursa ya kibiashara kwa misingi ya Kilimo hai

15/03/2023

‘’Mimi ni mkulima wa mfano, ninazalisha mazao mbalimbali kwa misingi ya kilimo hai na nimefaidika sana’’. Hayo ni maneno ya mkulima wa kilimo hai, Bw. Michael Laizer (73), toka Kijiji cha Emaoi, Ngaramtoni, mkoani Arusha ambaye anajishughulisha na uzalishaji wa mazao ya biashara kwa misingi ya kilimo hai. Bw. Laizer,...

Mkulima atumia kilimo hai kujiendeleza baada ya kustaafu

15/03/2023

“Naitwa Felister Mangalu (64) mkulima wa kilimo hai. Nilikua mfanyakazi wa serikali na nikastaafu mwaka wa 2019. Kabla ya kustaafu nilikuwa nikijiuliza maswali kuhusu nini nitafanya ili kuendelea kujikimu kimaisha endapo muda wangu wa ajira ukiisha. Najua hili ni swali ambalo watu wengi hujiuliza wakiwa na sababu kama zangu. Hata...

Soko la mazao ya kilimo hai Tanzania

15/03/2023

Ingawa taasisi nyingi zinasisitiza kilimo hai nchini Tanzania, kuna walaji wachache sana walio na uelewa wa bidhaa za kilimo hai. Soko la mazao ya kilimo hai lipo tu na kufahamika katika miji mikubwa kama vile Dar es Salaam na Arusha, na mashirika machache yaliyoidhinishwa katika kuuza mazao kwa misingi ya...

Zingatia lishe sahihi na mifumo endelevu ya uzalishaji wa chakula salama

09/03/2023

Tunapozungumzia lishe tunamaanisha kupata kiasi na ubora wa chakula na maji kwa vipindi vinavyofaa ili kuruhusu mwili kufanya kazi vizuri "balanced diet" yaani mlo kamili. Mahitaji ya lishe hutofautiana kulingana na jinsia, umri, shughuli za kila siku, ujauzito/kunyonyesha na hali ya afya ya mtu binafsi. Chakula kinapovunjwa, hutoa nishati ya...

Taarifa: Mkulima Mbunifu ni mara moja kwa miezi miwili tangu sasa

08/03/2023

Mwaka umeanza ukiwa na baraka tele na habari njema kwa wakulima na wasomaji kwa ujumla. Kuanzia mwezi huu jarida lako ulipendalo la Mkulima Mbunifu (MkM) litakuwa likichapishwa na kuletwa kwako kila baada ya miezi miwili. Tangu jarida hili lilipozinduliwa mwezi Julai 2011, limekuwa likichapishwa na kusambazwa kwa wakulima kila baada...

Mikakati ya kupambana na magonjwa ya kuku ili kupunguza hasara

28/02/2023

Magonjwa ya kuku huweza kukatiza uzalishaji kwa muda mfupi sana. Mfugaji anafaa kujenga uelewa na uzoefu wake katika kukabiliana na magonjwa mbalimbali ya kuku. Cha muhimu ni kuweka mikakati ya kuzuia na yanapotoka mfugaji achukuwe hatua za haraka ili kupunguza madhara. Kuku ni mnyama anayefugwa kwa wingi. Karibu kila kaya...

Panda miti kupunguza madhara ya mabadiliko ya tabia nchi

28/02/2023

Wakulima wanaweza kuchangia uhifadhi wa mazingira kwa kupanda miti na kutumia mbinu za kilimo hai. Kupanda miti ina manufaa nyingi ikiwa ni pamoja na kutunza mazingira, kuwa chanzo cha malisho ya mifugo, asali, mbao, na hewa safi. Kipindi kirefu cha ukame ambacho kimeripotiwa katika kanda hii ya Afrika Mashariki imesababisha...

Weka mipango thabiti kwa kuzalisha kibiashara

28/02/2023

Kilimo kinachangia kwa kiasi kikubwa kutoa ajira, na mchango mkubwa katika kuondoa umasikini, hasa katika nchi zinazoendelea, nyingi zikiwa Barani Afrika. Hivi sasa kuna msukumo mkubwa kutoka kwa serikali na wadau mbalimbali wanaohimiza wakulima kuangali kilimo katika mtizamo wa kibiashara. Kwamba, wakulima wasizalishe tu kwa minajili ya chakula. Kuanzisha kilimo...

Bustani ya nyumbani inaweza kukukwamua kiuchumi na kuboresha afya yafamilia

28/02/2023

Bustani ya nyumbani, ni eneo dogo lililokaribu na nyumba linaloandaliwa na wanafamilia na kupandwa mazao mbalimbali ya mbogamboga kwaajili ya familia. Hata hivyo, katika maeneo mengi wanawake ndio wamekua wakijishughulisha na bustani ndogo za nyumbani. Mara nyingi bustani ya nyumbani hujumuisha uzalishaji wa mazao ya muda mfupi hasa mbogamboga kwani...

Lishe sahihi kwa mbuzi wa maziwa

15/02/2023

Mbuzi wa maziwa ni aina ya mbuzi ambao hufugwa kwa lengo kubwa la kupata maziwa. Mbuzi hawa wapo wa aina mbalimbali kama vile, Saanen (Switzerland), Norwegian (Norway), Toggenburg (Switzerland), Anglonubian (Chotara kutoka Misri, Sudan, India na Switzerland), Alpine (Ufaransa na Switzerland) na wote hawa wanapatikana Tanzania. Ulishaji sahihi wa mbuzi...

Soko la mbogamboga hutokana na uzalishaji

15/02/2023

Soko ni mahali au njia ambayo muuzaji na mnunuzi hukutana na kubadilishana mali au huduma. Ni fursa ya kuuza na kununua. Kwa kawaida tunapozungumzia soko, tunagusia mambo kadha wa kadha, ikiwa ni pamoja na ukubwa wake, yaani wingi wa wauzaji na wanunuzi katika soko husika, ushindani, washindani, bidhaa na bei...

Athari za upungufu wa vitamini A

03/02/2023

Kushindwa kuona vizuri hasa kunapokuwa na giza au mwanga hafifu. Ngozi kukauka au kupauka na wakati mwingine kuwa na vidonda huku nywele zikikosa afya. Kupata maambukizi ya magonjwa mara kwa mara hasa katika mfumo wa njia ya hewa na mfumo wa mkojo. Watoto wadogo kuugua surua kwa urahisi. Kudumaa kwa...

Kula matunda kwa wingi ili kuboresha afya yako

13/01/2023

Tunda ni sehemu ya mmea ilio na mbegu au isio na mbegu ndani yake. Tunda ni sehemu ya chakula ambacho hujumuishwa katika lishe ya kila siku. Matunda mbalimbali huwa na virutubisho tofauti vinavyohitajika mwilini. Ulaji wa matunda unategemea na na jinsi mtu anavyopenda, kwa mfano, unaweza kula tunda lenyewe kama...

Hakikisha unafahamu namna ya kupata mbegu bora kwa mavuno yenye tija

10/01/2023

Hasara inayotokana na ununuzi wa mbegu isiyokuwa na ubora ni pamoja na upotevu wa pesa walizotumia kununua mbegu, kuandaa shamba, nguvu kazi iliyotumika kupanda pamoja na muda ambao ungeweza kutumika kwa mambo mengine ya maendeleo. Mbali na hayo, hali hiyo pia inaashiria hali ya hatari hapo baadaye ambayo inatokana na...

SALAMU ZA SIKUKUU ZA CHRISTMASS NA MWAKA MPYA WA 2023

30/12/2022

Tunawatakia heri na baraka msimu huu wa kusherehekea sikukuu za Christmas na mwaka mpya wa 2023

Benki za mbegu za asili zinazosimamiwa na jamii

08/11/2022

Sekta ya kilimo nchini inachangia takribani asilimia 26 ya pato la taifa na kuajiri asilimia 75 ya idadi ya watu huku ikisaidia kuongeza mapato na kuboresha maisha. Katika kuhakikisha wakulima wanaweza kuongeza uzalishaji mbegu na mavuno mengi, serikali kupitia waziri wa kilimo, Hussein Bashe wakati akiwasilisha bajeti ya wizara mwaka...

ADVERTISEMENT FOR THE VACANCIES OF DATA ENUMERATORS

03/11/2022

TERMS OF REFERENCE FOR THE RECRUITMENT OF DATA ENUMERATORS FOR THE END OF PHASE EVALUATION OF THE MKULIMA MBUNIFU (MKM) PROJECT ADVERTISEMENT FOR THE VACANCIES OF DATA ENUMERATORS Mkulima Mbunifu (MkM) a Project implemented under the Sustainable Agriculture Tanzania (SAT) in partnership with Biovision Africa Trust (BvAT), seeks to recruit...

SIKU YA CHAKULA DUNIANI? Unaelewa nini kuhusu ulaji wa mbogamboga kiafya

12/10/2022

Je, unakula mbogamboga katika mlo wako wa kila siku? Je, unafahamu kuwa nusu ya sahani yako ya chakula cha kila siku kinatakiwa kiwe kimesheheni mbogamboga za kila aina?

Umejipanga vipi kusheherekea maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani?

12/10/2022

Unafahamu kuwa chakula kinatokana na mbegu bora? Bila mbegu hakuna chakula Chakula hakitokani na mbegu tu, Bali mbegu bora na salama, yaani Mbegu bora za asili Kama mkulima, Je, unatumia mbegu bora za asili katika uzalishaji wa mazao mbalimbali shambani mwako? Je, unahifadhi mbegu kwa ajili ya msimu ujao? Mbegu...

SIKU YA CHAKULA DUNIANI

12/10/2022

Mboga salama kwa afya bora

Jifunze kutengeneza keki ya asili ya ndizi na kuongeza pato

12/10/2022

Ndizi ni zao la chakula maarufu sana katika mikoa mbalimbali hapa nchini kama vile Kilimanjaro, Arusha, Bukoba na sehemu zingine. Mbali na chakula zao hili pia limepata umaarufu sana katika ulaji kama matunda lakini pia uzalishaji wa kaukau (crips) pamoja na unga. Aidha matumizi ya zao hii yamezidi kuongezeka na...

Afya ya mwili hutengenezwa na ulaji wa chakula unaofaa wa kila siku

10/10/2022

Chakula kinachofaa tunamaanisha ulaji unaofaa ambao ni ulaji wa chakula mchanganyiko, cha kutosha na chenye virutubisho vyote kwa uwiano unaotakiwa. Ulaji unaofaa ni lazima uzingatie matumizi ya mafuta kwa kiasi kidogo sana. Mafuta ya nyama sio mazuri kwani yanahusishwa na magonjwa ya moyo, badala yake inashauriwa kutumia zaidi mafuta yatokanayo...

Mbinu za uhifadhi wa udongo wa kilimo na mimea

05/10/2022

Udongo ni sehemu kubwa ya kilimo. Tunaweza kusema bila udongo hakuna kilimo lakini bila bila udongo wenye rutuba hakuna mavuno bora. Mara nyingi mvua, upepo na matumizi ya mbolea za viwandani, uharibifu wa mazingira kama kukata miti, wanyama n ahata shughuli zingine za kibinadamu ndiyo hupelekea kuharibika kwa udongo. Kuna...

Nawezaje kutunza g’ombe na kukabilina na magonjwa

23/09/2022

Bila matunzo mazuri na kuzingatia kanuni za ufugaji, mfugaji hawezi kupata faida na kufikia malengo yake. Shauriana na wataalamu unapoona kuna jambo linalokutatiza. Ufugaji hasa wa ng’ombe wa maziwa ni shughuli ambayo imejipatia umaarufu kwa kiasi kikubwa sana katika jamii mbalimbali, maeneo ya vijijini na hata mijini. Pamoja na shughuli...

22/09/2022

Homa ya nguruwe ni ugonjwa hatari wa nguruwe unaosababishwa na virusi aina ya African Swine Fever vinavyoshambulia na kuharibu mfumo wa damu. Virusi vinavyosababisha homa ya nguruwe haviambukizi binadamu. Virusi vinavyosababisha homa ya nguruwe huishi kwenye miili ya ngiri bila kusababisha ugonjwa. Kupe laini walioko katika mashimo wanamoishi ngiri, hupata...

Yafahamu magonjwa ya mimea ili kuyadhibiti

22/09/2022

Mkakati mzuri kwa wakulima wanaozingatia ikolojia ni kujifunza na kuelewa sababu ya magonjwa, athari zake ili kuweza kukabiliana nayo. Hii inasaidia kulinda mazao ya mimea, kudumisha usalama wa uzalishaji wa chakula. Kwa kawaida, ni ngumu kuzuia ama kurekebisha tatizo ikiwa haujaelewa tatizo lenyewe. Ndio maana wakulima wanashauriwa kuwa makini shambani...

Matayarisho ya viuatilifu vya asili ya mboga au madini

21/09/2022

Pale ambapo mbinu bora za kilimo zimetumika ipasavyo na bado kuna changamoto za wadudu na magonjwa, hakuna budi viuatilifu vya kilimo hai vikatumika au kwa kununua au kutayarishwa na wakulima wenyewe. Viuatilifu ni moja ya pembejeo muhimu ya kilimo, kwani inasaidia katika ukizaji wa mazao haswa pale yanaposhambuliwa na magojwa...

Kilimo cha parachichi kimenikomboa kiuchumi

21/09/2022

Jina langu ni Bruno Edward, mkulima kutoka mtaa wa Maheve, mkoa wa Njombe. Mimi ni msomaji wa gazeti la Mkulima Mbunifu ambalo nililipata kutoka kwa jirani yangu ambae anapokea majarida kutoka shirika la CARITAS, jimboni katoliki. Mimi ni mkulima wa parachichi. Niliona makala ya kilimo cha parachichi katika gazeti, nikavutiwa...

650

Parachichi ni tunda lenye faida za lishe na kiuchumi

19/09/2022

Parachichi limekuwa tunda mbadala na la kuvutia kwa wakulima wanaopanda miti ya matunda, na kuonyesha uwezo mkubwa kwa wakulima kupata mapato bora. m Parachichi ni zao linaloonekana kuwa na faida kubwa hasa kipesa na hata kiafya kwani lina vitamin A, C na mafuta kwa wingi. Uhitaji wake umekuwa kwa kasi...

Ahamasika kufanya kilimo hai baada ya kusoma jarida la MkM

17/09/2022

‘’Nimejifunza mambo mengi toka jarida la Mkulima Mbunifu hasa kuzalisha kwa misingi ya kilimo hai na nimeweza kutekeleza kwa vitendo ili wengine wajifunze kutoka kwangu”. Hayo ni maneno ya Bw. Kastuli Paulo toka kijiji cha Tumati, Wilaya ya Mbulu (Arusha), mkulima wa kilimo hai ambaye anajishughulisha na uzalishaji wa mazao...

Fahamu ugonjwa wa minyoo kwa mbuzi na namna ya kudhibiti kwa dawa za asili

17/09/2022

Afya ya mbuzi hutokana na lishe bora inayopatikana kwa kulisha majani mabichi, majani makavu, vyakula vya ziada vya kutia nguvu, protini, madini, vitamini na maji safi nay a kutosha ya kunywa. Usafi wa banda unaojumuisha hori la kulia, vyombo vya kulishia pamoja na ndoo au vyombo vya kunywea maji pia...

Athari za kuzidi kwa matumizi ya vitamini A mwilini

06/09/2022

Vitamini A ni mchanganyiko wa vyakula tofauti pamoja na baadhi ya matunda. Wataalamu wa afya wamekuwa wakisisitiza kila mmoja katika familia ale matunda na mboga za kutosha ilikupata vitamin A ya kutosha katika mlo wake kila siku, ilikuongeza kinga ya mwili, kuongeza uwezo wakufikiri na kupunguza hatari ya magonjwa. Ni...

Namna ya kutambua kufanya udongo uwe na afya

31/08/2022

Katika sekta ya kilimo, rutuba kwenye udongo ni jambo muhimu la kuzingatia kwani huweza huathiri usalama wa chakula na mazingira. Kumekuwa na ongezeko kubwa la uhitaji wa chakula duniani  kutoka katika eneo lile lile dogo linalotumika kwa uzalishaji, huku ardhi hiyo ikikabiliwa na madhila kama vile mmomonyoko wa ardhi na...

Liki (leek) moja ya mazao ya mboga yasiyoshambuliwa na magonjwa

31/08/2022

Ni vyema kuchagua aina ya mazao ambayo hayana gharama kubwa kuzalisha, wakati huo huo yakiwa na faidi kubwa. Kwa mtindo huo utaweza kupata faida ya kutosha. Liki ni moja ya mazao ya mbogamboga, ambayo yanapata umaarufu mkubwa nchini Tanzania, kutokana na kuzalishwa katika maeneo mengi, na kuwa na soko la...

Punda anahitaji kutunzwa kama mifugo mingine

31/08/2022

Punda ni mnyama anayefugwa na wengi lengo likiwa kutumika kutoa msaada wa nguvu kazi nyumbani hasa kwa kuwa njia nzuri ya kubebea mizigo. Mnyama huyu ambaye hutumiwa hasa na kina mama na watoto wa jamii ya kimasai na nyinginezo kwa ajili ya kubebea maji, kuni, majani, kupelekea mizigo sokoni na...

Fahamu wadudu wasumbufu katika ufugaji wa kuku

31/08/2022

Ufugaji wa kuku ni moja ya sekta ambayo imekuwa na faida kwa wafugaji walio wengi, na hata watu ambao wanafanya shughuli nyinginezo, lakini bado hujishughulisha na ufugaji wa kuku. Pamoja na aina hii ya ufugaji kuwa na mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea wafugaji kipato kikubwa, bado inakumbwa na...

Kilimo mseto na utunzaji wa mazingira

31/08/2022

Mara nyingi wafugaji wa mbuzi na hata wale wa wanyama wengine huendesha pia shughuli za kilimo. Katika mashamba yao ya mazao huotesha pia mimea ya aina nyingine, hii ikiwa ni pamoja na miti. Kilimo mseto ni mfumo wa kilimo wa kuchanganya miti na mazao katika shamba moja. Miti sahihi kwa...

Fahamu dawa za asili kudhibiti magonjwa na wadudu katika kilimo ikolojia

25/08/2022

Dawa ya kufukuza wadudu Dawa hii hutumika kudhibiti wadudu kama nzi weupe katika mipapai, nyanya, tikiti, vitunguu, mboga-mboga na matunda. Mahitaji muhimu Mchele kilo 1 Maji lita 1 Chombo cha ujazo wa lita 2. Jinsi yakutengeneza Changanya mchele na maji katika chombo kisafi chenye mfuniko wakubana. Vundika kwa siku saba,...

Zingatia kanuni za kilimo hai katika shamba la kuku ili kuzalisha chakula salama

22/08/2022

Kuna njia kadhaa za kuongeza idadi ya kuku kama vile kununua kuku wakubwa, kununua vifaranga kutoka kwa wafugaji wengine, kuzalisha vifaranga kutokana na kuku waliokomaa au kutotoa kwa kutumia mashine ya inkubeta. Mbinu inategemea uwezo na uzoefu wa mfugaji. Kila mfugaji angependa kupanua kiasi ya ufugaji wa kuku na kujiongezea...

Maharagwe ni chanzo cha protini na madini kwa watoto

19/08/2022

Lishe ni sehemu muhimu ya afya na maendeleo. Lishe bora inahusisha kuboreshwa kwa afya ya watoto wachanga ili kuwawezehsa kukua vyema, kujenga kinga imara zaidi, kupunguza hatari ndogo ya magonjwa na kuwa na maisha marefu. Watoto wenye afya bora hujifunza mambo kwa haraka na kufanya vyema shuleni. Wanapokuwa watu wazima...

Yafahamu magonjwa ya mimea ili kuyadhibiti

19/08/2022

Mkakati mzuri kwa wakulima wanaozingatia ikolojia ni kujifunza na kuelewa sababu ya magonjwa, athari zake ili kuweza kukabiliana nayo. Hii inasaidia kulinda mazao ya mimea, kudumisha usalama wa uzalishaji wa chakula. Kwa kawaida, ni ngumu kuzuia ama kurekebisha tatizo ikiwa haujaelewa tatizo lenyewe. Ndio maana wakulima wanashauriwa kuwa makini shamba-ni...

Ubunifu wa kilimo hai hushamirisha ujasiriamali

19/08/2022

Hivi sasa nchini wakulima wanazalisha matunda na mbogamboga kwa wingi na katika maeneo mengi. Hii ni kwa sababu wanatambua jukumu lao katika kuongeza mapato yao ya kilimo na ustawi wa familia kama lengo la shughuli zao za kilimo. Hivyo ni muhimu wazalishaji kuhakikisha hawakosi mifumo mizuru kwa ajili ya mazao...

Mifugo wadogo wanachangia pato kwa haraka

17/08/2022

Mifugo wanachangia maisha ya kaya, maisha ya vijijini na uchumi wa nchi. Ni chanzo cha mapato na ajira kwa wazalishaji na wengine wanaofanya kazi katika minyororo ya thamani. Ufugaji wa mifugo hawa wadogo unahitaji mtaji mdogo kuanzisha, kudumisha, kupanua na wanahitaji eneo ndogo ya kufugia. Na katika nyakati hizi ambapo...

Ushuhuda kutoka kwa msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu

22/07/2022

Kama ilivyo ada, Mkulima Mbunifu tumeendelea kuwatembelea wakulima na wanufaika wa jarida hili kufahamu ni kwa namna gani elimu wanayoipata kupitia makala za kila mwezi zimeendelea kuleta chachu katika shughuli zao za kilimo na hata kuweza kuwabadilisha kimaisha. Bi. Esther Kitomari ni miongoni mwa wanufaika wa jarida la MkM na...

Tumia mayai ya kuku kuimarisha afya ya mama na mtoto

22/07/2022

Mayai nichanzo kizuri cha protini ambayo ni muhimu kwa kujenga tishu za mwili. Mayai yana vitamini na madini kadhaa, ikiwa ni pamoja na choline, ambayo ni nzuri kwa ukuaji wa ubongo wa mtoto. Pamoja na faida za kula mayai, usile mayai mabichi au ambayo hayajapikwa yakaiva vizuri. Ikiwa lengo kubwa...

Umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji na mazingira

22/07/2022

Utunzaji mahiri wa mazingira na vyanzo vya maji, maisha ya kila kiumbe hai yatakuwa hatarini. Hii ni kwa sababu mazingira salama ndiyo chanzo cha uhai kwa viumbe vyote. Ni dhahiri kuwa wote tunafahamu umuhimu wa maji katika kuendesha maisha ya wanadamu, wanyama na viumbe wengine. Ni ukweli usiopingika kuwa viumbe...

NANE NANE 2022, UNAKOSAJE MAONYESHO HAYA, MKULIMA MBUNIFU KAMA KAWAIDA YETU TUTAKUWEPO KUKUJUZA KUHUSU KILIMO NA UFUGAJI

22/07/2022

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, nane nane hiyoo imekaribia. Nchini Tanzania, kila mwaka, wakulima na wafugaji hujumuika kwa pamoja kwa muda wa siku takribani kumi kuadhimisha sikukuu ya wakulima nchini. Sherehe hizi hufikia kilele siku ya tarehe nane mwezi wa nane. Katika kipindi hiki wadau mbalimbali wa kilimo, huandaa mazao na...

Fahamu kuhusu homa ya nguruwe na namna ya kudhibiti

30/06/2022

Homa ya nguruwe ni ugonjwa hatari wa nguruwe unaosababishwa na virusi aina ya African Swine Fever vinavyoshambulia na kuharibu mfumo wa damu. Virusi vinavyosababisha homa ya nguruwe haviambukizi binadamu. Virusi vinavyosababisha homa ya nguruwe huishi kwenye miili ya ngiri bila kusababisha ugonjwa Kupe laini walioko katika mashimo wanamoishi ngiri, hupata...

Matumizi mbalimbali ya mlonge

30/06/2022

Kusafisha maji I. Kusanya mbegu za mlonge zilizokomaa kisha zimenye kupata kiini II. Twanga kiini mpaka upate unga III. Weka gramu 2 (vijiko viwili vya chai) za unga wa mlonge kwenye maji kiasi (nusu lita) natikisa kwa muda ilikupata mchanganyiko mzuri IV. Changanya kwenye maji lita 20 na koroga sana...

Namna ya kusia mbegu kwenye trei

30/06/2022

Kila baada ya kujaza udongo katika trei moja, weka punje za mbegu kwenye kila tundu la trei, na tumia kijiti chembamba kiasi kusukumiza mbegu kuzama kwenye udongo ndani ya tundu lakini mbegu isizame sana, wala isifike katikati ya tundu bali juu kiasi na iwe imefunikwa na udongo. Fanya hivyo kwa...

Madhara ya afya yaletwayo na matumizi ya viatilifu

30/06/2022

Katika toleo lililopita la juni tulianza kuangazia madhara yasababishwayo na viatilifu na katika toleo hili tumalizia mada hii kwa kuangalia njia ambazo sumu huingia mwilini. Mara nyingi wakulima hutumia kemikali kwa matumizi tofaut, bila kufahamu kuwa wao pia wanaathiriwa na madawa hayo. Dawa hizo huingia mwilini kwa njia mbalimbali. Kwa...

Maandalizi ya udongo kwa ajili ya kusia mbegu

28/06/2022

Wakulima wengi hawaelewi ubora na umuhimu wa kuandaa udongo maalumu kwa ajili ya kusia mbegu za mazao mbalimbali kabla ya kuzipeleka shambani hasa mazao ya bustani. Si kila udongo unafaa kwa ajili ya kusia mbegu. Kuna udongo maalumu unaostahili kutumika kwa ajili ya kusia mbegu, ambao mkulima yeyote anaweza kuutafuta...

Makosa wanayofanya wafugaji wa nyuki wadogo na jinsi ya kukabiliana nayo

22/06/2022

Nyuki ni wadudu wadogo lakini ni wadudu wenye uwezo wa kutengeneza mazao ya chakula na biashara kama asali na nta. Ufugaji wa nyuki pamoja na kumpatia mfugaji pato lakini pia nyuki husaidia katika kuhifadhi mazingira na kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Baadhi ya wafugaji wa nyuki huwa na...

Ijue thamani ya mti wa mlonge

22/06/2022

Kila sehemu ya mti wa mlonge inathamani na faida nyingi, faida hizo zinaweza kuwa kwa binadamu, wanyama au mimea. Ni jambo jema kwa mkulima yeyote anayefanya au anayetaka kufanya kilimo hai kujifunza namna atakavyo weza kutumia mti wa mlonge na kunufaika na faida zinazotokana na mti huu. Mti wa mlonge...

Kemikali huingia mwilini kwa njia mbalimbali

22/06/2022

Kwa muda mrefu wakulima walio wengi wamekuwa wakitumia madawa ya kemikali kwa matumizi tofauti, bila kufahamu kuwa wao pia wanaathiriwa na madawa hayo. Dawa hizo huingia mwilini kwa njia mbalimbali. Ni muhimu kwa mkulima kuelewa vyema jinsi ya kujikinga kutokana na madhara ya madawa ya kuangamiza wadudu, hii ni pamoja...

Maswali toka kwa wasomaji wa Mkulima Mbunifu kwa njia ya simu

22/06/2022

Ndugu msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu, ni furaha yetu kuwa umeendelea kufuatilia na kusoma makala mbalimbali zinazochapishwa kwenye jarida hili. Pia tunashukuru wewe uliefatilia na kutaka kufahamu kwa undani kwa kuuliza maswali pale ambapo hujaelewa ama umekwama. Pia tunashukuru kwa mchango wako katika kutekeleza kilimo hai. Katika makala hii...

Uji wa chaya, lishe bora kwa familia

22/06/2022

Chaya ni mboga ya kijani kibichi iliyo katika kundi la kisamvu ambayo huota ikiwa kwenye uonekano wa kisamvu yaani huwa na shina nyingi na majani mengi ambapo majani hayo hutumika kama mboga. Mboga aina ya Chaya, huota katika hali yeyote hata katika maeneo yenye kame kwani hustahimili hali ya ukame...

Umakini wa uzalishaji huzuia upotevu wa chakula

22/06/2022

Upotevu wa chakula hutokea katika wigo mzima wa uzalishaji, kuanzia shambani hadi usambazaji kwa wauzaji rejareja hadi kwa walaji. Upotevu huo unaweza kusababishwa na ukungu shambani, wadudu, au udhibiti duni wa hali ya hewa; hasara nyingine hutokana na njia za upishi na upotevu wa chakula kwa makusudi. Upotevu wa chakula...

Tushirikiane kupata soko la mazao ya kilimo hai

21/06/2022

Kwa sasa katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania, ni wazi kuwa shughuli za kilimo hai zimeshika kasi, huku kukiwa na ongezeko la wazalishaji wa bidhaa za kilimo hai. Hili ni jambo jema sana kwa kuwa waswahili wanasema taratibu ndiyo mwenda, na kidogo kidogo hujaza kibaba. Na hapa taratibu tunaona mwanga...

Unaweza kuokoa pesa nyingi kwa kutumia mwarobaini 

21/06/2022

Mimi ni msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu, na nimefaidika mengi sana. Ningependa kufahamu kuhusiana na mti wa mwarobaini ambao nimekuwa nikisikia kwa muda mrefu kuwa unatibu wanyama na binadamu. Je naweza kuutumia kutibu kuku na mifugo mingine ninayofuga, na je unafaa kwa mazao? Msomaji MkM Mwarobaini () ni mti...

Msimu wa mavuno; Hakikisha umefuata kanuni sahihi za kuvuna na kuhifadhi nafaka

16/06/2022

Nafaka mbalimbali ambayo ni mazao makuu ya chakula na kibiashara hapa nchini kama vile mahindi, maharage, mikunde mara nyingi wakulima hupoteza hasa wakati wa mavuno kutokana na uvunaji usiokidhi viwango pamoja na uhifadhi duni. Ukiwa huu ni msimu wa mavuno katika maeneo mbalimbali nchini, Mkulima Mbunifu inatoa rai kwa wakulima kuhakikisha kuwa...

Ni muhimu kwa wakulima kuwa na maandalizi sahihi kuelekea mavuno

31/05/2022

Wakulima wamekuwa wakipoteza mavuno yatokanayo na mazao kutokana na uvunaji hafifu usiokidhi viwango pamoja na uhifadhi duni. Ikiwa wakulima wanajiandaa kuelekea kwenye mavuno ni vyema kuhakikisha wanaandaa na kuzingatia kanuni bora za uvunaji ili waweze kupata mavuno bora na yanayokidhi chakula na soko kwa ujumla. Wakulima hawana budi kuwa makini...

Umakini wa uzalishaji huzuia upotevu wa chakula

31/05/2022

Upotevu wa chakula hutokea katika wigo mzima wa uzalishaji, kuanzia shambani hadi usambazaji kwa wauzaji rejareja hadi kwa walaji.   Upotevu huo unaweza kusababishwa na ukungu shambani, wadudu, au udhibiti duni wa hali ya hewa; hasara nyingine hutokana na njia za upishi na upotevu wa chakula kwa makusudi. Upotevu wa...

Sindika viazi vitamu kuongeza thamani na pato

23/05/2022

Ni muhimu kusindika viazi vitamu ili kuongezea thamani, ubora na matumizi yake. Viazi vitamu husindikwa kupata viazi vitamu vilivyokaushwa, unga, wanga na jamu. Ukaushaji wa viazi vitamu kwa ujumla wake huhitaji au hutumia nishati ya jua ambapo ni lazima mkulima kuzingatia kanuni  kwa ajili ya kukausha mazao yake. Kanuni muhimu...

Dawa za asili kwaajili ya kudhibiti wadudu kwenye mbogamboga

19/05/2022

Kama ilivyo kwa aina nyingine ya kilimo kuwa na changamoto, wadudu pia ni moja ya changamoto inayowakabili wakulima wa kilimo hai na mara nyingi wamekuwa wakipambana kutafuta utatuzi. Aidha, dawa mbalimbali za asili zimeonekana kufanya vizuri katika kudhibiti mashambulizi ya wadudu hawa kwenye mimea. Phytolacca Dodecandra Mmea huu hutumika kama...

Njia bora ya kugawanya makundi ya nyuki wadogo

12/05/2022

Nyuki wasiong’ata maarufu kama nyuki wadogo hufikia kiwango cha kuwa kundi kubwa lenye kuhitaji kuendelezwa kutoka katika mzinga mama na kuelekea katika mzinga mpya. Zoezi la kugawanya makundi ya nyuki huhitaji utalaamu na uangalifu wa kutosha ili kusaidia ugawanyaji wa kundi kuwa wenye tija kwa mfugaji. Kuna faida kubwa ya...

Kanuni ya haki na uangalizi katika misingi ya kilimo hai

12/05/2022

Kama ambavyo maandalizi sahihi hufanyika katika shughuli yeyote ya kimaendeleo, katika kilimo hai pia kanuni ya haki na usawa pamoja na uangalizi visipozingatiwa vyema mkulima hawezi kufaidika na kilimo hai. Kanuni ya haki na usawa Kilimo hai sharti kizingatie msingi wa mahusiano yatakayohakikisha usawa katika mazingira na fursa ya kuishi.Usawa...

Tumia mpungate/kakati kutibu ugonjwa wa ndigana baridi

28/04/2022

Ng’ombe wangu anapata choo kigumu sana na mara nyingine, kinaambatana na ute kama makamasi na damu, huu ni ugonjwa gani, na nasikia kuna dawa za kienyeji zinazotibu! Ni dawa gani, na inaandaliwaje? Kuna uwezekano mkubwa kuwa ng’ombe wako anasumbuliwa na ugonjwa unaojulikana kama ndigana baridi au kitaalamu Anaplasmosis. Huu ni...

Kuroila: Kuku wa ajabu wenye faida kubwa

27/04/2022

Kuroila wanaweza kufugwa ndani na kulishwa katika banda au kuachiwa huru kujitafutia. Wanaweza kulishwa kwa kutumia mabaki ya vyakula au vyakula maalumu. Kuroila ni aina ya kuku wa kienyeji ambao wanakuwa kwa haraka sana na hutaga mayai mengi zaidi ukilinganisha na aina nyingine ya kuku, wawe wa kienyeji au wa...

Re-Thinking Food: Transforming Food Systems for People and Planet | Frank Eyhorn | TEDxIHEID

22/04/2022

Just click here to watch https://www.youtube.com/watch?v=4aa6wvJyt1c Climate change, biodiversity loss, poverty, health issues: what we eat and how we produce our food is shaping the face of our planet and of our societies like no other human activity. The hidden costs of cheap food are mind-blowing. At the same time,...

Umuhimu wa wataalamu kwa wakulima na wafugaji

21/04/2022

Wataalamu wa kilimo na mifugo wamepata mafunzo ili kuendeleza mbinu za kilimo na mifugo kwa lengo la kutoa faida kwa wakulima na wafugaji. Baadhi ya wataalamu wanaweza kuona upungufu fulani au kuona kuwepo kwa mantiki kwenye baadhi ya mbinu za asili ambazo bado zinatumiwa katika uendeshaji wa kilimo na ufugaji...

Msimu huu wa mvua otesha matete, lishe muhimu kwa ufugaji wa ng’ombe

19/04/2022

Majani ya matete ni moja ya zao maarufu kwa lishe ya mifugo Afrika mashariki. Hata hivyo, wafugaji wengi wamekuwa wakilipuuzia huku wakikosesha huduma muhimu zinazohitajika kwa ajili ya uzalishaji mzuri. Moja ya tatizo kubwa katika uzalishaji wa maziwa ni kukosekana kwa malisho sahihi na ya kutosha kwa ajili ya mifugo...

Kupe wanahatarisha afya ya mifugo

19/04/2022

Kupe ni wadudu wanaoonekana kuwa ni wadogo lakini wanaweza kusababisha kushuka kwa uchumi wa wafugaji kwa kiwango cha juu endapo hawatadhibitiwa kwa wakati. Pamoja na kuwepo kwa aina mbalimbali za kupe, kupe wa rangi ya kahawia ni wabaya zaidi. Hii ni kwa sababu kupe wanabeba vimelea vinavyosababisha homa ya ndigana...

Mambo muhimu ya kuzingatia unapoanzisha kilimo biashara

14/04/2022

Mkulima ni mfanyabiashara, na mfanyabiashara yeyote analenga faida kubwa au hasara kidogo sana. Ni muhimu kwa mkulima kujua thamani ya mazao yake ili aweze kujua ni bei gani anayotakiwa kuuzia mazao yake lakini pia ajue bei ambayo akiuza kwayo itamletea hasara. Unapoanzisha mradi wa kilimo biashara, unatarajia mwisho wa siku...

Kilimo cha kiikolojia kwa wakulima wadogo

14/04/2022

Kilimo cha kiikolojia cha wakulima wadogo ni aina ya maisha yanayoichukulia dunia kwa heshima na kuithamini, na siyo kama kitu cha kunyonywa. Ni mfumo wa maisha unaonyesha kuwa upo uhusiano wa karibu kati ya binadamu na mazingira yanayowazunguka na hivyo mazingira hayo yasithaminishwe kwa pesa. Mfumo huu unaoelewa kuwa matumizi...

Shambani hadi mezani; Fursa ya biashara ya chakula

12/04/2022

Kuna fursa mbalimbali za kibunifu zinazoweza kumsaidia mkulima kujikwamua kiuchumi. Ikiwa wakulima wengi wamekua na changamoto ya soko la mazao wanayozalisha, shambani kwenda mezani ni fursa nzuri kama utazingatia na kuifanya kwa ufanisi. Shambani kwenda mezani ni msemo unaoweza kumaanisha mambo tofauti kwa watu tofauti. Hata hivyo maana yake ni...

Fursa ya kibiashara kutokana na zao la alizeti

12/04/2022

Alizeti ni zao maarufu katika maeneo yenye mvua za wastani mfano Mkoa wa Singida, Dodoma, Manyara na Simiyu. Zao hili limekuwa maarufu sana kutokana na mafuta yake kupendwa na watu wengi kwa sababu hayachanganywi na kemikali yoyote. Katika miaka hii miwili, Mafuta ya alizeti yameonekana kupanda bei kutoka fedha za...

Mkulima avumbua dawa ya asili ya kutibu ugonjwa wa mnyauko

12/04/2022

Uzalishaji wa mbogamboga umekuwa maarufu nchini, hasa kutokana na uhitaji wake wa kila siku. Hii ni kutokana na jamii kupata uelewa juu ya umuhimu wa ulaji wa mbogambga kwa afya ya mwili. Aidha, upatikanaji wa soko ndani na nje ya nchi pamoja na uzalishaji kuwa rahisi, umepelekea wakulima wengi kujikita...

Ewe Mkulima, sikiliza na fahamu changamoto kuu za kilimo hai/kilimo endelevu Africa

12/04/2022

Je, wewe ni Mkulima au Mfugaji, Msikilize Mkurugenzi Mtendaji [Biovision Africa Trust] Daktari. David Amudavi akieleza juu ya changamoto kuu za kilimo hai/kilimo endelevu barani Africa. Bonyeza hapa chini kusikiliza https://podcast.ausha.co/voices-for-change/what-are-the-main-challenges-for-organic-and-sustainable-agriculture-in-africa-david-amudavi

Unapouza mazao yako zingatia vipimo sahihi

28/03/2022

Wakulima walio wengi wamekuwa wakipoteza mamilioni ya shilingi kutokana na uuzaji wa mazao kwa kutumia vipimo visivyokuwa sahihi Kwa kawaida wakulima wanapoamua kufanya shughuli ya uzalishaji wa mazao huwa na malengo makubwa sana ya kufaidika kutokana na mazao hayo pindi msimu wa mavuno unapofika. Hii imekuwa ni tofauti kabisa kutokana...

Sindika karakara kupunguza upotevu

28/03/2022

Karakara ni zao la matunda ambalo ni muhimu kwa biashara na chakula linalolimwa katika mikoa ya Pwani, Morogoro, Dar es Salaam, Tanga, Kigoma, Mbeya, Kilimanjaro na Arusha. Mara nyingi wakulima huzalisha zao hili kwa wingi sana kwa msimu mmoja na hatimae kushuka kwa soko lake na kufanya kuwepo kwa upotevu...

Zuia ndama kuhara kutokana na unyweshaji maziwa

28/03/2022

Muda wa kumlisha au kumnywesha ndama unatakiwa uwe sawa kila siku na joto la maziwa lisibadilike, liwe hilohilo kila siku. Aidha, unyweshaji wa maziwa sharti ufanywe katika hali ya usafi ili kuondoa uwezekano wa ndama kuharisha au kupata ugonjwa wa pneumonia na magonjwa mengine. Tahadhari za kuchukua wakati wa kumnywesha...

Mkulima Mbunifu yaangazia kilimo hai ZANZIBAR

24/03/2022

Kama ilivyo ada, Mkulima Mbunifu hutembelea wakulima wanufaika wa jarida la kilimo hai nchini Tanzania. Hivi karibuni, Mkulima Mbunifu ilitembelea kisiwa cha Zanzibar ambapo iliweza kufanya mahojiano na baadhi ya wakulima wa kilimo hai na wanufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu Zanzibar. Katika makala hii tutamuangalia Bi. Salma Hussein Makame,...

Namna ya kupata faida kutokana na uzalishaji wa maziwa

23/03/2022

Wafugaji huzalisha maziwa na kuyauza moja kwa moja sokoni na mara nyingi maziwa hayo huweza kusalia kwa kukosa wanunuzi. Maziwa hayo kutumika kwa matumizi ya nyumbani na wakati mwingine huweza kuharibika na kupelekea kumwaga. Hii imekuwa changamoto na kusababisha hasara kwa wafugaji.  Katika makala mbalimbali zilizopita tumejaribu kueleza namna ya...

Umuhimu wa maji katika mnyororo wa ongezeko la thamani

22/03/2022

Kwa muda mrefu sasa sehemu kubwa ya nchi ya Tanzania imekumbwa na ukame. Hali hii imefifisha kwa kiasi kikubwa shughuli za wakulima na wafugaji kwa kuwa asilimia kubwa hutegemea mvua. Kama wasemavyo maji ni uhai sio kwa binadamu peke yake, hata kwa wanyama na mimea pia.  Kwa mkulima kutegemea mvua...

Chukua hatua kuboresha udongo ili kuinua kilimo hai

21/03/2022

Uelewa wa mahitaji ya mimea humwezesha mkulima kuchukua hatua kuimarisha udongo ili kulisha mimea na kuongeza mavuno. Katika kilimo, rutuba kwenye udongo na upatikanaji wa maji ni mambo muhimu ya kuzingatia kwani huweza kuathiri uzalishaji, usalama wa chakula, na wa mazingira. Hivyo basi, mkulima anapotunza udongo anatarajia kwamba udongo huo...

Athari za ukame kwa mifugo na namna ya kukabiliana nayo

18/03/2022

Ukosefu wa mvua umeathiri wafugaji na mifugo yao kwani maeneo ya malisho yanakauka na maji hayapatikani. Hii imepelekea maeneo mengi ya malisho kukauka na pia wafugaji wengi kuhama na mifugo yao ili kutafuta maeneo yenye maji na malisho.   Athari za ukame zimeonekana wazi katika maeneo mengi ya wafugaji. Mifugo...

Utengenezaji wa makingo na umuhimu wake hasa msimu huu wa mvua

17/03/2022

Madhumuni makubwa ya kutengeneza makingo shambani ni pamoja na kugawa au kufupisha urefu wa mteremko. Katika kipindi hiki ambacho hutarajiwa kuwa na mvua nyingi katika maeneo mbalimbali ya nchi, ni vyema wakulima wakahakikisha wanaweka makingo ya kutosha ili kuzuia mmomonyoko wa udongo unaosababishwa na maji mengi ya mvua. Madhumuni makubwa...

Mkulima Mbunifu tunajivunia kuwa sehemu ya mafanikio ya wakulima

17/03/2022

Kuna usemi ambao ninaamini kuwa ni wa kweli kabisa, unaosema ufahamu ni njia ya kila jambo unalohitaji kufanya, na taarifa sahihi ni nguvu ya kila jambo. Usemi huu unaweza kudhihirishwa na muda ambao tumekuwa tukichapisha jarida la Mkulima Mbunifu, na kwa namna ambapo wale wote waliolitumia wameshuhudia ni kwa jinsi...

Biovision Foundation visit to Tanzania [Mkulima Mbunifu]

16/03/2022

MkM project had an opportunity to meet with Biovision foundation, the donors of FCP program [Dr. Franklin Eyhorn [Executive Director] and [Martin Schmid] Co-Head Development Projects on 14th and 15th March 2022. The team selected farmer groups and partners to visit [within Arusha and Kilimanjaro] to allow for Biovision Foundation  explore the...

Dawa za asili kwa ajili ya kudhibiti wadudu kwenye mbogamboga

16/03/2022

Kama ilivyo kwa aina nyingine ya kilimo kuwa na changamoto, wadudu pia ni moja ya changamoto inayowakabili wakulima wa kilimo hai na mara nyingi wamekuwa wakipambana kutafuta utatuzi. Aidha, dawa mbalimbali za asili zimeonekana kufanya vizuri katika kudhibiti mashambulizi ya wadudu hawa kwenye mimea. Phytolacca Dodecandra Mmea huu hutumika kama...

Unapata wapi matandazo kwa ajili ya kufunika ardhi yako

11/03/2022

Matandazo kwa ajili ya kilimo katika msingi wa kilimo hai huweza kutokana na njia mbalimbali kama vile mazao funikizi, mabaki ya mazao, majani kutoka katika miti au vichaka na katika mimea mbalimbali. Ikiwa matandazo yanategemewa kupatikana katika mazao funikizi, basi maandalizi ya eneo la kuoteshea na kukuzia mazao hayo ni...

Fahamu maandalizi muhimu kabla ya nguruwe kuzaa

11/03/2022

Nguruwe wanaozaa kwa mara ya kwanza wanaweza kupelekwa kwenye nyumba ya kuzalia masaa machache kwa siku kutoka siku kumi kabla ya siku ya kuzaa ili waweze kuzoea mazingira. Mara nyingi tumekuwa na makala zinazoelezea ufugaji wa nguruwe katika nyanja tofauti, ikiwa ni pamoja na aina, matunzo na magonjwa ya nguruwe...

Kilimo Hifadhi ni muhimu kwa uzalishaji wenye tija

03/03/2022

Kwa muda mwingi nimekuwa nikisikia kuhusu kilimo hifadhi, lakini sielewi na natamani kufahamu. Mnaweza kunieleza kwa ufupi ni nini maana yake na kinafanyikaje?. Shukuru, Msomaji MkM Hili ni swali muhimu sana na ambalo bila shaka wakulima wengi wamekuwa wakiuliza na kujiuliza pia. Ni muhimu kufahamu na kufanya kilimo hifadhi kwani...

Kinga dhidi ya magonjwa

03/03/2022

Magonjwa yaenezwayo na kupe Ndigana kali, ndigana baridi, kukojoa damu na moyo kujaa maji. Kinga:  Ogesha wanyama wako  kwa  kutumia dawa ya kuua kupe mara moja kwa wiki. Magonjwa yaenezwayo na mbung’o Ndorobo   ni   ugonjwa   mkuu   uletwao   na mbung’o Kinga:  Wachanje ng’ombe kwa kutumia dawa iitwayo samorini kila baada ya...

Dondoo muhimu za ufugaji bora wa ng’ombe

28/02/2022

Ng’ombe ni mifugo ambayo inategemewa sana na wananchi walio wengi hapa nchini. Kuna aina tatu za ng’ombe wafugwao hapa nchini ambayo ni ng’ombe wa kisasa, kienyeji, na machotara. Zifuatazo ni faida zipatikanazo na ufugaji wa ng’ombe Chakula kama vile maziwa na nyama Mbolea Ngozi ambayo hutumika kama malighafi kutengeneza, viatu,...

Chakula rahisi kwa utunzaji wa nguruwe wadogo wanaokuwa

28/02/2022

Nguruwe ni mnyama anaeweza kuishi sehemu za vijijini kwani mijini kule wengi huwa hawapendelei sanaana ufugaji huu. Nguruwe hubeba mimba kwa muda wa miezi mitatu na wiki mbili. Ili kuwa na ufanisi na kwa gharama ndogo, mfugaji anapaswa kuzingatia matunzo na kufahamu njia sahihi za ulishaji wa nguruwe wadogo, ili...

Jifunze kutayarisha mboji kwa kurundika malighafi

24/02/2022

Naomba kujua namna ya kuzalisha mboji kwa kurundika takataka ili kutumia kwenye bustani yangu ya mbogamboga (Joyce Evance Dodoma, 0763 772655) Mbinu ya kutayarisha mboji kwa kurundika hufaa zaidi kufanyika katika maeneo yanayopata mvua nyingi. Katika maeneo yanayopata mvua kidogo mbinu ya kutengeneza mboji kwa kutumia shimo hupendekezwa na ni...

Ni muhimu kuzingatia ubora wa chakula cha kuku kabla ya kununua na kulisha

24/02/2022

Ili kuku waweze kuishi, kukua na kuleta matokeo chanya ni lazima wale chakula kingi chenye ubora unaotakiwa. Uwingi na ubora wa chakula cha kuku ni lazima uzingatie makundi ya chakula ambazo ni, vyakula vya kutia nguvu, kujenga mwili, kuimarisha mifupa, kulinda mwili pamoja na maji. Vyakula vya kutia nguvu Vyakula...

24/02/2022

Jaffer J. Kesowani anasema: Habari Mkulima Mbunifu. Nimeona makala yako ya nyanya pori na nimeazimia kulima. Mtihani niliokutana nao ni wapi nitapata mbegu. Nikaona swali hili nilirudishe kwenu. Mkulima Mbunifu anajibu: Mbegu za nyanya pori zinapatikana madukani kwenye maduka ya pembejeo na zinauzwa kama mbegu zingine. Mkulima anahitajika kununua kulingana...

Namna ya kuandaa udongo kwa ajili ya kusia mbegu

24/02/2022

Wakulima wengi hawaelewi ubora na umuhimu wa kuandaa udongo maalumu kwa ajili ya kusia mbegu za mazao mbalimbali kabla ya kuzipeleka shambani hasa mazao ya bustani. Si kila udongo unafaa kwa ajili ya kusia mbegu. Kuna udongo maalumu unaostahili kutumika kwa ajili ya kusia miche, ambao mkulima yeyote anaweza kuutafuta...

Ufugaji wa kuku unaweza kumpa mkulima kipato kikubwa

22/02/2022

Hii inawezekana ikiwa mfugaji mdogo wa kuku atapanua kiwango na idadi ya kuku anaowafuga. Kuku ni ndege maarufu na ana-yefugwa sana nchini Tanzania. Karibu kaya nyingi zinafuga kuku, kwa ajili ya nyama yake yenye ladha nzuri, mayai, pia ni ishara muhimu ya kitamaduni katika baadhi ya jamii. Kwa nini ni...

Matumizi ya molases na faida zake kwa uzalishaji wa mazao

18/02/2022

Katika kilimo, matumizi ya Molases ni muhimu kwa kuboresha hali ya udongo, kdhibiti wadudu, kuwezesha udongo kuwa na rutuba, kurekebisha hali ya udongo na pia kupunguza matatoizo kwa mimea inayopandikizwa. Matumizi ya Molases husaidia kusafisha mipira ya umwagiliaji. Utafiti unaonyesha kuwa Molases husaidia kuboresha ubora wa udongo. Matumizi na kiasi...

Nyasi aina ya Boma ni chakula kizuri kwa ng’ombe    

18/02/2022

Nyasi ni rahisi kukua na endapo yatatunzwa vizuri, hukuhakikishia uzalishaji wa hali ya juu wa maziwa. Nchini Tanzania, eneo ambalo limetengwa kwa ajili ya malisho, bado ni dogo ikilinganisha na umuhimu unaoweza kuwepo kwenye uzalishaji wa maziwa kutokana na kuwa na eneo la malisho. Matete na nyasi ni moja ya...

Tumia kilimo cha mzunguko kudhibiti wadudu na magonjwa

17/02/2022

Katika kilimo hai kama ilivyo kwa aina nyingine ya kilimo na uzalishaji wa mazao, mara nyingi wadudu na magonjwa vinaweza kuwa moja ya sababu kwa mkulima kukosa mavuno au kupata mavuno hafifu na yasiyokidhi soko lakini pia yasiyokuwa na ubora. Wadudu na magonjwa visipodhibitiwa, humsababishia mkulima hasara kwa kiasi cha...

Namna ya kuwavutia nyuki kuingia mzinga mpya

17/02/2022

Tatizo kubwa linalowakabili wakulima wanaotaka kuanzisha ufugaji wa nyuki ni mzinga mpya kukaa muda mrefu bila nyuki. Tatizo hili linapotokea ni vizuri kuzingatia yafuatayo; Weka nta kwenye mizinga yako. Weka mizinga yako katika hali ya usafi na kusiwe na wadudu. Nyuki hawapendi mzinga mchafu. Hakikisha hakuna siafu wala panya wanaoishi...

Tumia kitunguu saumu kudhibiti wadudu

17/02/2022

Vitungu saumu na vitunguu maji vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi ya magonjwa. Harufu kali husaidia kuwafukuza wadudu kama vudukari, bungo na hata panya. Saga kitunguu saumu kimoja, changanya kwenye lita moja ya maji na nyunyizia kwenye mazao. Unaweza pia kusaga vitunguu saumu...

Ndege wenye manufaa kwa mkulima

16/02/2022

Ufugaji wa bata na bata mzinga hauonekana kuwa si kazi yenye manufaa sana kwa mfugaji. Ingawa ndege hawa ni rahisi sana kuwalisha kwa kuwa huwa wanakula majani na magugu ya aina nyingi. Bata mzinga wanaweza kutumika kama walinzi kwa kuwa ni wakali sana,  mtu mgeni anapoingia katika eneo lao. Bata...

Mitego ya kukamata wadudu wanaoshambulia mimea shambani

16/02/2022

Wadudu walio wengi huvutiwa na rangi mbalimbali. Ili kupunguza uharibifu kwenye mazao, wadudu kama nyigu na vidukari wanaweza kudhitiwa kwa kutengeneza chombo kidogo, kipakwe rangi ya njano na kijazwe maji ya sabuni. Wadudu wanaweza kutota kwenye hayo maji na kama wakikusanywa wanaweza kuwa chakula cha samaki au kuku. Mkulima pia...

Unafahamu fuko ni mdudu mwenye faida pia?

16/02/2022

Mkulima yeyote atawachukia wadudu kutokana na uharibifu wanaosababisha kwenye mazao. Lakini jambo ambalo wakulima wengi hawalijui ni kuwa kuna baadhi ya wadudu na wanyama ambao ni muhimu sana katika shughuli zao za kilimo. Chukulia mfano wa Fuko ambao huwa wanakula baadhi ya wadudu waharibifu na mashimo yao husaidia kupunguza maji...

Zalisha mbolea za asili kwa ajili ya  kilimo hai

15/02/2022

Ili uweze kufanya kilimo hai ni lazima uwe na mbolea za asili. Bila mbolea za asili huwezi kufanya kilimo cha aina yeyote kwa misingi ya kilimo hai. Mbolea za asili zipo za aina mbalimbali ama huweza kutengenezwa kwa njia mbalimbali na kwa kutumia malighafi mbalimbali kama vile samadi, majani ya...

Mambo msingi ya kuzingatiwa katika utunzaji bora wa mazingira

15/02/2022

Mabadiliko ya tabia nchi yamekuwa ni Dhahiri na hatarishi kwa Maisha ya binadamu kila uchwao. Hii inatokana na uduni katika kutunza mazingira yetu, ambayo kwa kiasi kikubwa yanatawaliwa na miti. Ili kutunza mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ni muhimu kahakikisha kuwa katika mazingita yetu, imepandwa miti ya...

Unafanya nini msimu huu wa mvua

14/02/2022

Unakumbuka vile ng'ombe walivyokufa msimu wa ukame/kiangazi. Ulijiuliza ni kutokana na nini na je, msimu huu wa mvua unakusaidia vipi kujikinga na athari za kiangazi kwa msimu ujao. Hakikisha unafanya uzalishaji wa malisho kwa wingi msimu huu wa mvua kwa ajili ya kujikinga na athari za ukame. Je, umefikiia kuhusu...

Ubora wa maziwa unatokana na usafi na utunzaji

11/02/2022

Maziwa ni sehemu ya mlo kamili wenye virutubisho vya kutosha au viini lishe sawia vinavyohitajika katika mwili wa binadamu. Katika toleo lililopita, tulizungumzia kwa ufupi sana kuhusu usafi wa maziwa na mada hii tutaikamilisha kwa kueleza kwa undani vipengele kadhaa vinavyohusiana na usafi wa maziwa. Maziwa ni nini Maziwa ni...

Jifunze kutengeneza chakula cha kuku mwenyewe

11/02/2022

Vyakula vya kuku vinaweza kupatikana madukani au kutengenezwa na mfugaji mwenyewe. Ili kuku aweze kukua haraka na kutoa mazao mengi na bora ni lazima chakula kitengenezwe katika mchanganyiko wenye uwiano mzuri uliopendekezwa. Chakula cha kuku ni lazima kiwe na viinilishe muhimu kama vile protini, wanga, madini na vitamini. Hakikisha chakula...

Uliza kuhusu samaki kama una changamoto unayopitia kwenye mradi wako

10/02/2022

Kanyalo anauliza:Naomba kujua ni wakati gani ninatakiwa kubadili maji katika bwawa ikiwa maji ninayotumia ni ya kujaza? Muda wa kubalisha maji kwa kawaida siwezi kusema moja kwa moja ni baada ya muda kadhaa ila naomba unielewe kuwa uchafukaji wa maji katika bwawa inategemea na utunzaji katika bwawa lako. Mfano; ukilishia...

Tumia majivu shambani

10/02/2022

Majivu yana kiwango cha wastani wa madini kwa mgawanyiko tofauti, potasiamu 5% - 7%, kalishamu 25% - 50%, fosiforasi 1.5% - 2% na madini mengine kwa kiasi kidogo. Pia mabaki ya chenga za mkaa kwenye majivu yanasaidia kunyonya baadhi ya sumu kwenye ardhi. Matumizi Tumia kiasi cha kilo 2.5 mpaka...

Fanya Kilimo mseto kwa uhakika wa chakula na utunzaji wa mazingira

10/02/2022

Kilimo mseto ni njia ya kitamaduni, ambayo imekuwa ikitumiwa na wakulima barani Afrika na kwingineko tangu karne na karne. Njia hii hutoa fursa kwa wakulima kuweza kuzalisha mazao mengi na ya aina tofauti katika sehemu ndogo ya ardhi. Hii ni kwa sababu mazao hayo hupandwa kwa pamoja katika eneo hilo....

Namna rahisi kwa mkulima kulima zao la uyoga

07/02/2022

Kabla ya kuzalisha uyoga inabidi kuwa na chumba chenye paa ambalo litazuia jua, mvua na vumbi. Chumba hiki kinatakiwa kiwe na sakafu inayohifadhi unyevunyevu pamoja na sehemu ya giza ambayo ni muhimu kwa kuotesha utando wa Uyoga. Mkulima wa kawaida anaweza kutumia kasha kama sehemu ya giza. Hatua muhimu katika...

Namna ya kutunza mifugo wakati wa msimu wa mvua

07/02/2022

Ni ukweli usiopingika kwamba msimu wa mvua ni mzuri kwa ustawi wa mifugo. Hii ni kutokana na ongezeko la malisho kwa mifugo hasa kwa wafugaji wanaojishughulisha na ufugaji wa mifugo kama vile ng’ombe, kuku, sungura, mbuzi, kondoo, nguruwe, punda n.k. Msimu wa mvua kwa wafugaji huambatana na changamoto zisizo rafiki...

Jarida la Mkulima Mbunifu ni darasa tosha la kilimo hai

07/02/2022

“Mimi nilipata jarida la Mkulima Mbunifu mwaka 2017 Disemba kwenye maonyesho ya wakulima lakini mara baada ya kufika nyumbani sikulisoma nikaliweka kabatini wala sikufikiri kama linaweza kunisaidia kwa lolote, nilipokea kama kipeperushi tu”. Hayo ni maneno ya Bi. Magreth Leandry kutoka Kijiji cha Slahamo ambaye ni mfugaji lakini pia mkulima...

Kula chakula bora chenye kukupatia afya

03/02/2022

Mwongozo uliotolewa na Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO unasema japo lishe hutofautiana sana kutokana na mahali na kulingana na upatikanaji wa chakula, tabia za kula na tamaduni, lakini linapokuja suala la chakula, kuna mengi ambayo tunajua juu ya nini na nini sio nzuri kwetu na...

Uvunaji wa maji ya mvua kuhakikisha usalama wa chakula

03/02/2022

Ni vema kutumia fursa mbalimbali kuhakikisha usalama wa chakula. Katika miaka ya hivi karibuni hali ya hewa imekua ikibadilika mara kwa mara na kusababisha taharuki kwa watu wengi hasa wakulima. Mwezi wa kumi mwaka 2021, Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) ilitoa tahadhari juu ya kiwango cha mvua kati ya...

Kilimohai kimenifungua macho na kunionyesha fursa za kilimo

26/01/2022

“Mwanzoni ni kama nilikuwa gizani, sikuwa najishughulisha na kitu chochote Zaidi ya kukaa nyumbani, sikuwahi kujua kama nina nguvu na nikisimama kama mama bora naweza kuzalisha vitu mbalimbali kwa faida ya familia yangu, hakika mimi ni kipofu niliyeona”. Ndivyo alivyoanza kueleza Bi. Renalda Lawrent, kutoka Kijiji cha Kambi ya simba...

Lishe bora husaidia ukuaji wa mtoto hivyo ni muhimu kuzingatia

26/01/2022

Kila familia na jamii inapaswa kufahamu nini huhusu lishe hii ni kwasababu karibu nusu ya vifo vya watoto wa umri wa chini ya miaka mitano kila mwaka hutokana na ukosefu wa lishe bora na ya kutosha, unaosababisha kudhoofika kwa kinga mwili na kushindwa kupambana na magonjwa. Endapo mama hakupata lishe...

Mbolea ya popo huongeza tija katika kilimo hai na kulinda rutuba ya udongo

26/01/2022

Ni ukweli usiopingika kuwa, wakulima wengi kwasasa wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mbolea kwa ajili ya kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao mbalimbali jambo ambalo huweza kutatuliwa kwa kutumia njia mbalimbali na matumizi sahihi ya mbolea za asili ikiwemo samadi itokanayo na kinyesi cha popo. Popo hupatikana katika maeneo...

Je, unafahamu kuwa kilimo hai kina kanuni zake za msingi

26/01/2022

Kanuni za kilimohai zinavyofungamana na mazingira Kanuni ndio msingi wa kilimo hai na mchango unaoweza kuifanya dunia kuboresha kilimo duniani kwa ujumla. Kilimo ni moja ya shughuli muhimu zinazofanywa na binadamu kwa ajili ya kupata mahitaji ya kila siku ili kujikimu. Historia, mila na tamaduni za watu katika jamii zinaambatana...

Je, unafahamu kwa nini asali huganda?

14/01/2022

Asali ni moja ya mazao yanayotokana na nyuki wakubwa au wadogo ikiwa katika kimiminika na yenye ladha ya sukari. Nyuki hutengeneza asali hii kwenye mzinga kwa kuchukua malighafi toka kwenye maua au miti yam aua ya aina mbalimbali na yanayopatikana katika eneo lilipowekwa mizinga. Asali hii huwa katika mfumo wa...

HERI YA MWAKA MPYA WA 2022

13/01/2022

Heri ya mwaka mpya 2022 Ni matumaini yetu kuwa sote tumevuka salama na tumejiandaa vyema katika kuukabili tena mwaka huu kwa kishindo katika kilimo na ufugaji ili kuongeza tija na kukuza uchumi lakini pia tukizalisha kwa misingi ya kilimo hai kwa ajili ya kulinda afya zetu, wanyama, mazingira na mimea....

Je, unafahamu kuwa kilimo hai kinalipa

15/12/2021

Bonyeza hapo juu kusikiliza kuhusu kilimo hai

Ufugaji mseto wa samaki na mazao mengine

14/12/2021

Katika toleo lililopita tuliangalia utangulizi wa mada hii ya ufugaji mseto wa samaki na mazao mengine. Tuliweza kuangazia mambo kadha wa kadha muhimu, na miongoni mwa mambo hayo ni pamoja na faida za ufugaji huo, pamoja na manufaa  ya ufugaji wa namna hiyo; Aina ya samaki wanaofaa katika kilimo mseto...

Uzalishaji wa mafuta ya karanga

14/12/2021

Karanga hutumika kama kiungo katika mapishi mbalimbali au kukaangwa ili kutumika kama vitafunwa lakini pia kusindikwa ili kupata mafuta, siagi na rojo. Karanga zina virutubisho vingi kama vile; maji asilimia 7, nguvu kilokari 570, protini gramu 23, mafuta gramu 45, wanga gramu 20, kalishamu miligramu 49, chuma miligramu 3.8, patasiamu...

Utengenezaji wa jibini ngumu

13/12/2021

Hii ni jibini aina ya cheddar ambayo asili yake ni huko Uingereza lakini kwasasa hutengenezwa katika nchi mbalimbali dunian. Hatua za utengenezaji Pima ubora wa maziwa Pasha moto maziwa kufikia nyuzi joto 65C yaache katika joto kwa dakika 30 au nyuzi joto 71.5C kwa sekunde 15 Poza maziwa kufikia nyuzi...

Namna bora ya uhifadhi wa shamba

13/12/2021

Shamba ni eneo ambalo mkulima anaweza akalitumia kwa shughuli mbalimbali za uzalishaji kama vile ufugaji na kilimo kwa lengo la kujipatia chakula na pato. Hata hivyo, baadhi ya wakulima nchini hawana elimu ya kutosha ya namna bora ya kutunz shamba, hivyo kushindwa kuzalisha mazao bora, mengi na yenye tija. Bila...

Umuhimu wa kuotesha malisho kukabili ukame

13/12/2021

Malisho yaliyo mengi hapa nchini ya asili ambayo hutegemewa na mifugo hukomaa na kukauka mapema zaidi na hivyo kusababisha lishe kwa wanyama kuwa duni wakati wa kiangazi ambapo wanyama huhangaika sana kupata chakula. Kutokana na upungufu huo ni vyema wafugaji kuotesha aina mbalimbali za malisho bora ili kunusuru mifugo yao...

Jinsi ya kutega nyuki wakubwa kuingia kwenye mzinga

13/12/2021

Ufugaji wa nyuki ni moja ya miradi mikubwa inayofanywa na wafugaji wengi kwa lengo la kujipatia kipato. Ufugaji huu umekuwa ukihusisha ufugaji wa nyuki wadogo na wakubwa kupta asali, nta, sumu pamoja uuzaji wa mizinga. Wafugaji wengi wamekuwa wakikwama kupata nyuki katika mizinga yao pindi wanapokamilisha utengenezaji wa mizinga kutokana...

EMAS: Kirutubishi chenye matumizi mengi kwa mkulima

13/12/2021

Mlima bora ni yule anayetumia malighafi sahihi ili kuzalisha mazao mengi yenye tija na salama kwa chakula. EMAS ni nini? EMAS Effective Micro Organisms Active Solution ni namna nyepesi ya kutengeneza bakteria wazuri ama rafiki kwa njia ya kimiminika ambacho ni rahisi kutumia na pia ni salama. Mahitaji Maziwa Fresh...

Mazao na mavuno bora hutokana na mbegu bora hasa ya asili

30/11/2021

Sisi ni wanufaika wa Jarida la Mkulima Mbunifu, wewe Je, Unasubiri nini?

30/11/2021

Ukisoma jarida la Mkulima Mbunifu kila siku utakuwa na tabasamu usoni mwako

30/11/2021

Hebu waangalie wanufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu wakifurahia kupata nakala zao

Ukaushaji wa mbogamboga

23/11/2021

Kikundi cha usindikaji cha mbogamboga na matunda kutoka SAT (Sustainable Agriculture Tanzania) Mbogamboga jamii ya majani Majani ya maboga na mchicha Chagua majaNi  mabichi na laini Chambua mboga na kuondoa nyuzinyuzi Osha majani yako kwa maji safi Tumbukiza mboga kwenye maji ya vuguvugu kwa dakiki 3-5 ,kisha weka mboga kwenye...

Ulezi ni zao muhimu la kuimarisha uchumi na lishe kwa familia

23/11/2021

Ulezi ni zao asili na chanzo kubwa ya virutubisho muhimu vya kujenga kinga ya mwili kwa familia. Kwa nafaka zote, Ulezi una mkusanyiko mkubwa wa madini. Kutokana na faida hii, unasoko na kuleta faida kwa mkulima. Ulezi pia unajulikana kama wimbi ni zao ambalo limelimwa kwa karne nyingi tangu enzi...

Fahamu udongo wako ili kuboresha usimamizi wa rutuba

23/11/2021

Kuna virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ukuaji wa mmea. Upungufu wa mojawapo ya virutubishi hivi muhimu utapunguza ukuaji wa mimea. Mavuno yanategemea kiwango cha virutubisho muhimu kwa mmea. Mimea yote hutegemea vitu muhimu kukua vizuri. Vitu hivi vinaweza kugawanywa mara mbili; Vitu vya madini, kupitia udongo. Vitu visivyo vya madini:...

Uzalishaji wa malisho

18/11/2021

Bonyeza hapa na sikiliza kuhusu malisho aina ya matete na faida zake

Hebu msikilize baba chaupole anavyojutia kuzalisha kwa kutumia kemikali

18/11/2021

 

Unaliandaaje shamba lako kwa msimu wa kilimo?

16/11/2021

Kama ni mkulima wa kilimo hai, ulishawahi kujiuliza shamba lako utaliandaaje kwa msimu wa kilimo? Yaani umelima mazao, umevuna na shamba limebaki wazi, kama utahitaji kuotesha tena msimu ujao unaliandaaje ili uweze kuotesha na kupata mavuno bora? Angalia picha hapa chini? Mkulima toka Karatu Bw. Elibaraka aliweka shamba lake aina...

Mimi nasoma Jarida la Mkulima Mbunifu, wewe Je?

16/11/2021

Hebu tazama tabasamu la mama huyu usoni, mara tu aonapo jarida la Mkulima Mbunifu na azidi pale anapokutana na taarifa muhimu kwake? Ni furaha iliyoje? Hebu na wewe kuwa mmojawapo wa wanufaika wa jarida hili, nakuahidi hutajutia..... Jarida pekee lililosheheni taarifa za kilimo hai, ufugaji wa mifugo aina mbalimbali, utunzaji...

Kutunza ndama wa ng’ombe/mbuzi iwapo mama yake amekufa

15/11/2021

Mara tuu baada ya kuzaliwa na kwa kipindi cha siku 3 hadi 4 za mwanzo, ndama huhitaji maziwa ya mwanzo ya mama yake yaani dang’a (colostrum) Ni jambo la muhimu sana kuhakikisha kuwa baada ya kuzaliwa ndama anapata maziwa haya ya mwanzo kabla yakupita masaa mawili. Faida ya maziwa ya...

Je, unawatendea haki kuku wako kulinda afya zao na yako

15/11/2021

Kumekuwa na imani potofu kutoka kwa watu wengi ikiwamo mafunzo ya kigeni kuwa ufugaji wa kuku kwenye vibanda vidogo vya chuma visivyowapa nafasi ya kutoka ndiyo ufugaji wa kisasa wenye tija jambo hili ni hatari na ukiukwaji wa haki za wanyama. Kuku ni aina ya ndege wanaofugwa na binadamu kwa...

TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWA KUTUMA JARIDA LA OKTOBA

15/11/2021

Habari ndugu msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu. Ni matumaini yetu kuwa uko salama na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Tunaomba radhi kwa kuchelewa kukutumia nakala yako ya jarida la Mkulima Mbunifu. Hii ni kutokana na kuwepo kwa changamoto kidogo zilizokuwa nje ya uwezo wetu ambazo zimepelekea...

Uzalishaji wa zao la maharage kwa tija, kanuni kuzingatiwa

11/11/2021

Tukiwa tunaelekea katika msimu wa mvua za vuli, wakulima wengi hupendelea kupanda zao la maharage kwani ni moja kati ya zao kuu nchini Tanzania. Hata hivyo changamoto za uzalishaji wa zao hili hupelekea wakulima kupata mazao hafifu. Ni ukweli usiopingika zao la maharage ni moja kati ya mazao ya chakula...

11/11/2021

Umuhimu wa kuotesha malisho kukabili ukame Malisho yaliyo mengi hapa nchini ya asili ambayo hutegemewa na mifugo hukomaa na kukauka mapema zaidi na hivyo kusababisha lishe kwa wanyama kuwa duni wakati wa kiangazi ambapo wanyama huhangaika sana kupata chakula. Kutokana na upungufu huo ni vyema wafugaji kuotesha aina mbalimbali za...

Tunaomba radhi kwa kutokusikika hewani

01/11/2021

Ndugu msikilizaji na mfuatiliaji wa vipindi vya radio vya Mkulima Mbunifu/SAT, tunaomba radhi kutokana na kipindi chetu kilichokusudiwa kurushwa hewasi siku ya jumamosi tarehe 30 Oktoba 2021 kutokusikika. Hii ni kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu. Sasa kipindi hicho cha kilimo kilichokuwa kinahusu kilimo mseto na kilimo cha...

Uzalishaji bila uchaguzi sahihi wa dume ni sawa na kubahatisha

29/10/2021

Wafugaji wengi wamekuwa wakipata ng’ombe wanaozalisha kidogo na kwa kiwango cha chini kutokana na kuangalia ukubwa wa gharama ya mbegu wakidhania kuwa ndiyo upatikanaji wa ng’ombe bora. Vinasaba husaidia kwa kiwango kikubwa katika kupata ng’ombe mzuri wa maziwa. Kuwepo kwa ongezeko la uzalishaji wa maziwa hutegemeana na vitu viwili vifuatavyo;...

29/10/2021

Soko ni mahali au njia ambayo muuzaji na mnunuzi hukutana na kubadilishana mali au huduma. Ni fursa ya kuuaza na kununua. Kwa kawaida tunapozungumzia soko, tunagusia mambo kadha wa kadha, ikiwa ni pamoja na ukubwa wake, yaani wingi wa wauzaji na wanunuzi katika soko husika, ushindani, washindani, bidhaa na bei...

Ustawishaji wa malisho ya nyasi na mikunde kwenye makingo

29/10/2021

Ni muhimu kwa wafugaji kufahamu namna ya kuzalisha malisho aina ya nyasi na mikunde ili kuwa na uhakika wa upatikanaji wa malisho bora na ya kutosha. Jinsi ya kupanda nyasi za malisho  Panda nyasi za malisho kama vile majani ya tembo, Guatemala na setaria katika ardhi iliyotayarishwa vizuri juu ya...

Wakulima kuweni makini na mbegu feki

29/10/2021

Taasisi ya kudhibiti ubora wa mbegu Tanzania (Tosci), inaendelea kutoa nafasi kwa wakulima kupata elimu ya kutosha kuhusiana na mbegu bora. Wakulima wanaaswa kuachana na mfumo uliopo wa kuthamini mbegu kutoka nje ya nchi, na badala yake wathamini mbegu zinazozalishwa nchini kwa faida yao na vizazi vijavyo. Halikadhalika wakulima watoe...

Unaswali kuhusu ufugaji wa kuku? Wenzako wameuliza na kujibiwa, uliza tutakujibu

29/10/2021

Sadick Amri anauliza: Naomba niulize utalijuaje yai lenye uwezo mkubwa wa kutotolewa. Mwang’oko Milamo anajibu: Yai lolote lililotagwa na kuhifadhiwa katika mahala pasafi, bila kushikwa shikwa na mikono yenye mafuta, na kufanya yai lipungue, hutotolewa. Aidha yai lililotagwa na kuku aliyelishwa aliyepata lishe kamili, kuku waliopata ratio nzuri kati yao...

Sikiliza vipindi vya redio vya Mkulima Mbunifu

29/10/2021

Tunapenda kuwataarifu na kuwakumbusha wasomaji wetu kusikiliza vipindi vya radio vya Mkulima Mbunifu Vinavyosikika kupitia TBC Taifa kila siku ya jumamosi saa mbili na robo usiku (2:15) na marudio siku ya alhamisi saa tisa na nusu mchana (9:30) Kupitia vipindi hivi, MkM inatoa elimu stahiki kwa kurusha mada mbalimbali kwa...

Gugu karoti lina madhara makubwa

27/10/2021

Gugu karoti (Parthenium hysterophorus) ni mmea vamizi ambao una madhara mengi kwa binadamu, mazao, wanyama au mifugo pamoja na kuharibu uoto wa asili. Gugu hili lina madhara mengi kama; Muwasho unaoweza kusababisha kujikuna na kupata malengelenge, ugonjwa wa pumu ukivuta vumbi lake, muwasho wa macho, mnyama kupasuka na kuvimba midomo...

Ustawishaji wa malisho ya nyasi na mikunde kwenye makingo

22/10/2021

Ni muhimu kwa wafugaji kutumia makingo katika kuzalisha malisho aina ya nyasi na mikunde ili kuwa na uhakika wa upatikanaji wa malisho bora na ya kutosha. Makingo hutengenezwa kwa kuchimba mitaro na kupanda majani kwenye mistari ya kontua. Makingo pia huweza kutengenezwa kwa kutumia mawe, takataka au mabaki ya shambani...

Ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa

22/10/2021

Ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vijulikanavyo kisayansi kwa jina la Phlebovirus vya kabila la Bunyaviridae. Virusi hivi huenezwa na wadudu waumao hasa mbu wa aina ya Aedes, Anopheles, Culex, Mansonia nk. Ugonjwa huu huwapata ng’ombe, mbuzi, ngamia, kondoo na pia binadamu. Ugonjwa huu...

Sindika machungwa kuepuka hasara na upotevu usio wa lazima

22/10/2021

Machungwa ni moja ya mazao ya matunda ambayo yanalimwa sana kwa wingi katika mikoa ya Morogoro, Pwani, Tanga, Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Mwanza. Zao hili ni la chakula na biashara. Ikiwa huu ni msimu wa machungwa, wakulima hawana budi kujifunza namna mbalimbali za kusindika zao hili ili kuondokana...

Mambo machache muhimu ya kuzingatia kwa uzalishaji wa ng’ombe

21/10/2021

Kuna aina nyingi za chanjo, na chanjo hizo zimegawanyika katika makundi mawili, chanjo hai na chanjo mfu. Chanjo mfu inabidi irudiwe kila mwaka au zaidi kulingana na aina ya ugonjwa. Chanjo hai huchomwa mara moja kwa mwaka au miaka mitatu kisha kurudiwa tena. Chanjo hizi hutolewa kwa ajili ya magonjwa...

Nguruwe: Mifugo yenye gharama ndogo, tija zaidi

21/10/2021

Kwa kawaida nguruwe ni lazima wafugwe ndani ya banda, wasiachwe kuzurura ovyo nje Ili kuwa na ufugaji wenye tija, na kuweza kuepuka baadhi ya magonjwa yanayoshambulia nguruwe, ni lazima mfugaji azingatie mambo ya msingi katika ufugaji. Banda Ni muhimu kuhakikisha kuwa unapohitaji kufuga nguruwe, unakuwa na banda lililotayarishwa vizuri na...

Nawezaje kutunza g’ombe na kukabilina na magonjwa

21/10/2021

Bila matunzo mazuri na kuzingatia kanuni za ufugaji, mfugaji hawezi kupata faida na kufikia malengo yake. Shauriana na wataalamu unapoona kuna jambo linalokutatiza Ufugaji hasa wa ng’ombe wa maziwa ni shughuli ambayo imejipatia umaarufu kwa kiasi kikubwa sana katika jamii mbalimbali, maeneo ya vijijini na hata mijini. Pamoja na shughuli...

Ni muhimu kuelewa magonjwa ya mimea

21/10/2021

Tafsiri rahisi ya magonjwa ya mimea ni hii: Ni kuwepo kizuizi, au usumbufu fulani unaosababishwa na magonjwa au viumbe fulani kusababisha vichocheo vya ukuaji wa mimea kutokufanya kazi katika hali yake ya kawaida. Kutokana na sehemu ya mmea kupata usumbufu huo, seli za mmea zinaweza kufa au hata kusababisha mmea...

Wanahabari na Kilimo hai

12/10/2021

Siku za hivi karibuni, mradi wa Mkuli­ma Mbunifu uliratibu na kuendesha mafunzo ya kilimo hai kwa waandishi wa habari nchini Tanzania. Mafunzo hayo ya siku tatu yalifanyika katika shamba la kilimo hai SJS- St Jo­seph Sustainable Organic Farm lililo­po katika kijiji cha Kwanyange Wilaya ya Mwanga. Mafunzo haya yalifadhiliwa na...

Zingatia haya kabla ya kuanza kilimo hai

11/10/2021

Wakulima wengi wamekuwa wakitamani kufanya uzalishaji kwa misingi ya kilimo hai na hata wengine wakiwa tayari wanazalisha lakini wakikwama kutokana na mambo kadha kama kukosa soko, mazao kuharibika au kukosa elimu sahihi ya uzalishaji kwa misingi ya kilimo hai. Wakulima wengi wanakata tamaa kwa kushindwa kufikia malengo huku wengine wakiacha...

Sindika togwa kwa matumizi ya muda mrefu

11/10/2021

Togwa ni kinywaji cha asili kinachonyweka kwenye maeneo mengi Tanzania pamoja na nchi zingine lakini ikitumika zaidi katika maeneo ya wakulima. Kinywaji hiki chenye asili ya ubaridi kinatengenezwa kwa kutumia nafaka kama vile mahindi, ulezi, mtama (isipokuwa ngano) japo inasadikika pia kuwa kuna maeneo mengine wanatengeneza kwa kutumia matunda. Asili...

Tumia Azola kama mbolea katika kilimo hai

30/09/2021

Azola ni majani au magugu ambayo huota sehemu yenye maji kwa wingi. Mmea huu umekua ukitumiwa zaidi na wafugaji wengi kama chakula mbadala kwa kuku. Huweza kuliwa na kuku ikiwa mbichi au fresh au ukivunwa na kuanikwa kisha kuchanganywa kwenye chakula cha kuku. Majani haya huweza kutumika kulisha mifugo mingine...

Utunzaji bora wa majike ya nguruwe

30/09/2021

Utunzaji bora wa majike ni muhimu kwani utamuwezesha mfugaji kupata mazao mengi na bora. Majike wazazi watunzwe vizuri ili kuongeza idadi ya watoto watakaozaliwa kwa mwaka na kuongeza faida kwa mfugaji. Utunzaji bora ni kiini cha idadi ya watoto watakaozaliwa,watakaoishi na Muda wataochukua kufikia uzito  kuuza na gharama zitakazotumika. Kuchagua...

Fahamu namna magonjwa makuu ya mifugo yanavyoambukizwa na namna ya kukabiliana nazo

28/09/2021

Magonjwa ya mifugo ni moja kati ya matatizo yanayokabili maendeleo ya tasnia ya mifugo nchini. Kumekuwepo na kuenea kwa magonjwa ya mifugo nchini kama vile magonjwa ya mlipuko yasiyokuwa na mipaka, magonjwa yanayoenezwa na wadudu, magonjwa ya mifugo yanayoambukiza binadamu na magonjwa yanayojitokeza ambayo ni changamoto kubwa kwa maendeleo ya...

Ufugaji wa kuku unainua pato la mkulima kwa haraka

28/09/2021

Ufugaji wa kuku unaweza kumpa mkulima kipato kikubwa. Hii inawezekana ikiwa mfugaji mdogo wa kuku atapanua kiwango na idadi ya kuku anaowafuga. Kuku ni ndege maarufu na anayefugwa sana nchini Tanzania. Karibu kaya nyingi zinafuga kuku, kwa ajili ya nyama yake yenye ladha nzuri, mayai, pia ni ishara muhimu ya...

Akiri kilimo hai kimemsaidia kuwa maarufu na kujikwamua kiuchumi

27/09/2021

Mkulima Mbunifu hutembelea wakulima wa kilimo hai popote walipo kujifunza na kunukuu taarifa zao za mafanikio katika utekelezaji wa kilimo hai kwa manufaa ya jamii na wakulima. Pamoja na kuinufaisha jamii kwa mapana, pia ni fursa kwa mkulima aliefikiwa na MkM kujulikana pamoja na kutangaza bidhaa anazozalisha. Katika Makala hii,...

Ufugaji wa mbuzi hutegemea lishe sahihi

27/09/2021

Ufugaji wa mbuzi ni moja ya miradi ya ufugaji rahisi lakini yenye changamoto nyingi ikiwa mfugaji hatazingatia maswala muhimu yanayohitajika kufuatwa kwa usahihi katika mradi huu hasa juu ya lishe. Kama mfugaji makini, hakikisha unafahamu namna na nini cha kulisha mbuzi ili uweze kufanya ufugaji wenye tija na utakaokupatia kipato...

Ni muhimu kuelewa magonjwa ya mimea

24/09/2021

Tafsiri rahisi ya magonjwa ya mimea ni hii: Ni kuwepo kizuizi, au usumbufu fulani unaosababishwa na magonjwa au viumbe fulani kusababisha vichocheo vya ukuaji wa mimea kutokufanya kazi katika hali yake ya kawaida. Kutokana na sehemu ya mmea kupata usumbufu huo, seli za mmea zinaweza kufa au hata kusababisha mmea...

Faida za kufunika udongo kwenye kilimo hai

22/09/2021

Ni kwa namna gani udongo unaweza kufunikwa wakati wote, wakati shughuli nyingine zinaendelea kwenye udongo huo huo? Hili ni swali muhimu wanalojiuliza wakulima wengi. Hii inategemeana na utunzaji na aina ya shughuli zinazofanyika kwenye udongo huo, na kama shughuli zenyewe zinafanyika kwa kutumia mikono au mashine. Moja ya shughuli ambazo...

22/09/2021

Tumbukiza ni mbinu inayofaa katika eneo ambalo ni kame na lisilokuwa kame. Ni mbinu ya kuhifadhi maji, na kutoa mavuno mengi zaidi. Ni mbinu ambayo imepokelewa kwa kiasi kikubwa na wafugaji wa ng’ombe wa maziwa kutoka sehemu ambazo wana eneo dogo kwa ajili ya uzalishaji wa malisho. Ni ufumbuzi ambao...

Mbinu rahisi za kuandaa asali

22/09/2021

Asilimia kubwa ya asali kwenye soko la ndani, inakuwa imechanganywa na haina kiwango kinachofaa kwa matumizi. Asali nyingi inayouzwa sokoni inakuwa na vitu visivyohitajika kama vile poleni, sehemu za miili ya nyuki, nta na hata taka nyingine zisizo husika na asali. Hii inatokana na uelewa mdogo walio nao wafugaji wa...

TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU (MKM) RADIO PRODUCTION CONSULTANT

21/09/2021

 Mkulima Mbunifu (MkM) is a farmer information service based in Arusha, Tanzania, and implemented since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya. MkM operates legally and administratively under Sustainable Agriculture Tanzania (SAT). MkM aims to provide information to smallholder farmers to enable...

Magonjwa na wadudu wanaoshambulia tikiti maji

20/09/2021

Nimekuwa mkulima wa matikiti kwa muda mrefu, ila bado suala la wadudu na magonjwa yanayoshambulia zao hili ni tatizo kwani hubadilika badilika. Naomba kufahamu wadudu na magonjwa yaliyozoeleka. Mduma Hiza wa Mkuranga Pwani. Katika jarida hili toleo la 10 Januari 2013, tulichapisha makala iliyoeleza vizuri namna nzuri ya uzalishaji wa...

Fahamu wadudu wasumbufu katika ufugaji wa kuku

17/09/2021

Ufugaji wa kuku ni moja ya sekta ambayo imekuwa na faida kwa wafugaji walio wengi, na hata watu ambao wanafanya shughuli nyinginezo, lakini bado hujishughulisha na ufugaji wa kuku. Pamoja na aina hii ya ufugaji kuwa na mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea wafugaji kipato kikubwa, bado inakumbwa na...

Kilimo mseto na utunzaji wa mazingira

17/09/2021

Mara nyingi wafugaji wa mbuzi na hata wale wa wanyama wengine huendesha pia shughuli za kilimo. Katika mashamba yao ya mazao huotesha pia mimea ya aina nyingine, hii ikiwa ni pamoja na miti. Kilimo mseto ni mfumo wa kilimo wa kuchanganya miti na mazao katika shamba moja. Miti sahihi kwa...

Fahamu mikakati rahisi inayoweza kutumika ili kupanua mradi wa ufugaji wa kuku

16/09/2021

Ufugaji wa kuku unaweza kumpa mkulima kipato kikubwa. Hii inawezekana ikiwa mfugaji mdogo wa kuku atapanua kiwango na idadi ya kuku anaowafuga. Kuku ni ndege maarufu na ana-yefugwa sana nchini Tanzania. Karibu kaya nyingi zinafuga kuku, kwa ajili ya nyama yake yenye ladha nzuri, mayai, pia ni ishara muhimu ya...

Madhara yatokanayo na uchafuzi wa hali ya hewa na mazingira

16/09/2021

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO uchafuzi wa mazingira husababisha takribani vifo milioni saba (7) kila mwaka, na kusababisha ulemavu kwa watu wanaoishi na magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa hewa.   Nini sababu za uchafuzi wa hali ya hewa Uchafuzi wa hewa husababishwa na gesi na chembechembe zinazoruhusi­wa...

Uzalishaji wa kilimo hai (TAZAMA VIDEO)

15/09/2021

Mazao ya kilimo hai Kilimo hai ni aina ya kilimo ambacho hakitumii mbolea wala dawa za viwandani katika uzalishaji wake wa mazao. Mazao yanayozalishwa kwa kutumia kilimo hiki huwa na bei ya juu sana kutokana na kuwa ni salama kwa afya ya mtumiaji. Mazao hayo hayana madhara ya muda mfupi...

Usindikaji wa mbogamboga na matunda

14/09/2021

Nyanya chungu (ngogwe) Chagua sehemu ya kufanyia kazi Chagua ngogwe zilizokomaa vizuri Osha ngogwe kwa maji safi Kata vipande kwa wima (Vertically) Kata vipande vyembamba vyenye unene wa milimita 2-3 Tumbukiza vipande vilivyokatwa ndani ya juice ya maji ya limao ili kutunza rangi yake ya asili. Panga katika matrei tayari...

Imarisha afya ya mifupa kwa kuzalisha bidhaa mbalimbali za kilimo hai

13/09/2021

Mifupa yetu inarekebishwa kila wakati na tishu za mfupa zinavunjwa na kujengwa mara kwa mara. Uzani wa mfupa kawaida huongezeka hadi wakati wa utu uzima, lakini baada ya hapo, shida inaweza kukupata. Mifupa huupa mwili mwonekano sahihi, hulinda viungo vya ndani ya mwili (mfano Fuvu linalinda ubongo na kifua na...

Zingatia utunzaji wa ndama anapozaliwa

13/09/2021

Ndama mara anapozaliwa anahitaji kupewa maziwa ya mwanzo ya mama yake, maziwa haya hujulikana kama colostrum, na ataendelea kupatiwa maziwa haya kwa siku tatu hadi nne. Colostrum ina virutubishi vingi vya mwili kwani ina wingi wa vitamini na madini na ni kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali.   Zaidi; Toleo lijalo

Wafahamu nzige na jinsi ya kuwadhibiti

09/09/2021

Nzige huvamia bustani, shamba na ana uwezo wa kuharibu vibaya kabisa. Katika (matukio mengi) nzige hudhibitibiwa na viuatilifu ambazo ni kemikali sumu za kuua wadudu, ambazo si rafiki na mazingira kwani vinauwezo wa kuua viumbe wengine, pia hatari kwa binadamu. Kutumia hatua mbadala na asili kusaidia kudhibiti idadi yao ni...

Utajuaje kama mayai ya kuku yataanguliwa

09/09/2021

Ni jambo jema kufahamu kama mayai yanayoatamiwa na kuku yataanguliwa yote au mangapi hayataanguliwa. Na kwa wanaototolesha vifaranga ni muhimu zaidi kwao kujua hali ya mayai inavyoendelea ndani ya kiangulio na kufahamu kama kuna tatizo linaweza kusababisha kifaranga ndani ya yai kufa. Pia kujua kama kuna mayai ambayo hayatapelekea kutotoa...

Sindika karoti na nazi kupata mafuta na kukuza pato

06/09/2021

Vijana wengi kwasasa wameanza kuthamini na kuwa na mwamko katika ujasiriamali kutokana na uhaba wa ajira lakini pia uhitaji mkubwa kwa walaji wa bidhaa salama zinazozalishwa ndani ya nchi. Wengi wao wamejikita kusindika mazao mbalimbali na kupata bidhaa bora zinazowasaidia kupata kipato kwa urahisi. Bi. Christina Macha ni miongoni mwa...

Udhibiti wa wadudu kwenye zao la mihogo

31/08/2021

Kwa mtazamo wa kiekolojia, viumbe wote ni sehemu ya mfumo asilia bila kujali vinafanya nini. Kwa mkulima, viumbe vyote ambavyo hupunguza mavuno ya mazao yake huchukuliwa kuwa ni wadudu waharibifu. Kilimo cha zao la mhogo, kama ilivyo kwa mazao mengine ya mizizi, kina­zongwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za wadudu na...

Fahamu afya ya mnyama ili kumkinga na magonjwa

26/08/2021

Wanyama walio wengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na kukosa msaada kwa wakati pale maradhi yanapowakumba. Katika Makala zilizopita tuliandika juu ya sifa za mnyama mwenye afya na katika toleo hili tumeona vyema kurudia kuchapisha mada hii ili kuwasaidia wafugaji wengi ambao mara nyingi wamekuwa wakipoteza wanyama kwa ghafla bila kujua...

Uvunaji na uhifadhi bora wa mazao ya nafaka

26/08/2021

Nafaka mbalimbali ambayo ni mazao makuu ya chakula na kibiashara hapa nchini kama vile mahindi, maharage, mikunde mara nyingi wakulima hupoteza hasa wakati wa mavuno kutokana na uvunaji usiokidhi viwango pamoja na uhifadhi duni. Ukiwa huu ni msimu wa mavuno katika maeneo mbalimbali nchini, Mkulima Mbunifu inatoa rai kwa wakulima...

Mama shujaa wa chakula (Elinuru Palangyo)

24/08/2021

Nafurahia kua mnufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu. Jarida hili limenifunza mambo mengi. Mimi kama mkulima wa kilimo hai, mbinu za kilimo hai nimejifunza kupitia jarida la Mkulima Mbunifu. Mbali na kupata elimu ya kilimo hai nimefahamika na watu wengi, mmoja mmoja na pia mashirika binafsi naya kiserikali. Kwani, nimekua...

Miaka 10 ya Mkulima Mbunifu na kilimo hai

24/08/2021

Mkulima Mbunifu imechangia kwa asilimia kubwa kufahamika na kutekelezwa kwa kilimo hai nchini Tanzania. Hii ilikuwa ni ndoto ambayo imegeuka na kuwa kweli. Watanzania wengi na baadhi ya wakulima wa nchi jirani wameelimika na kufahamu kwa kina kuhusu kilimo endelevu kupitia MkM. Ninafuraha kubwa kushiriki katika kuifanya ndoto hii kutimia...

Mkulima Mbunifu imeniongezea uwezo katika uzalishaji

23/08/2021

Nilianza kupokea jarida la Mkulima Mbunifu toka mwaka 2012 (Miaka 9 sasa) na kupitia jarida hili nimeweza kujifunza mambo mbalimbali kuhusu kilimo pamoja na ufugaji (Rubia Issa- Kondoa, Dodoma) Mimi ni mkulima wa alizeti, mahindi na maharage lakini kupitia MkM nimeweza kujifunza kuhusu uchavushaji wa mazao kwa kutumia nyuki hasa...

Mkulima Mbunifu limenifaidisha sana kupitia uzalishaji wa kilimo hai

23/08/2021

Nilianza kupokea majarida ya Mkuli­ma Mbunifu kwa zaidi ya miaka 5 sasa (Eliakarimu G. Gayewi wa kikundi cha Dilega Katesh mkoani Manyara). Nashukuru sana kuwa sehemu ya wanufaika wa jarida hili kwani toka nianze kupokea nimejifunza na kufaidika na mambo mengi kwenye kilimo na ufugaji. Kuna elimu nyingi kuhusu kilimo...

Amrut Jal! kioevu cha udongo na kirutubisho cha kikaboni

23/08/2021

Kama ilivyo kwa mwili wa binadamu unahitaji chakula chenye virutubisho, vivyo hivyo udongo wa kikaboni pia unahitaji kurutubishwa ili uweze kuzalisha vizuri. Amrut Jal ni mbolea ya kioevu cha kikaboni ambacho huimarisha kiwango cha virutubisho katika udongo unaotumika kwa kilimo hai. Mkulima hana budi kujifunza namna ya kutengeneza na kutumia...

Miaka kumi ya Mkulima Mbunifu

20/08/2021

Penye nia, pana njia. Usemi huu ni kweli na unatekelezeka. Hakika ni furaha ilioje kwa wapenzi wa jarida la kilimo hai ‘Mkulima Mbunifu’ kufikia miaka kumi (10) tangu lilipo anza kuchapishwa mwaka 2011. Jarida hili limejizolea umaarufu katika maeneo mengi, hasa vijijini walipo walengwa, hasa vikundi vya wakulima wadogo wadogo...

Miaka 10 ya huduma kwa wakulima wadogo

20/08/2021

Maoni kutoka kwa wakulima yanaonyesha kuwa wakulima wadogo wana hamu ya kujifunza njia mpya na endelevu za kilimo ambazo zinaboresha mapato yao. Inaonyesha kwamba wanatambua na kuthamini mchango wa MkM katika kuendeleza na kupanua kilimo biashara na kutunza mazingira. Tangu kuanzishwa kwa jarida hili mnamo Julai 2011, Mkulima Mbunifu, maarufu...

Njia za asili za kukabiliana na wadudu na magonjwa katika mimea

19/08/2021

Wadudu na magonjwa ni sehemu ya mandhari ya mazingira. Katika mandhari haya kuna uwiano kati ya mahasimu na wadudu. Hii ni hali ya kimaumbile katika kusawazisha idadi. Viumbe wajulikanao kama wadudu au vijidudu wanaosababisha magonjwa hutambulika kutokana na madhara kwenye mimea. Iwapo mandhari hayatakuwa na uwiano, basi sehemu moja huweza...

Utengenezaji wa mbolea ya mboji kwa mazao ya kilimo hai

16/08/2021

Mboji ni sehemu ya viumbe (mabaki ya mimea na wanyama) ambayo imeozeshwa kwa muda mrefu ili kusazwa na viumbe vidogo vidogo. Sehemu za vitu kama majani, matunda na mabaki ya mboga hutengeneza mbolea ya mboji. Vipande vya vitu au sehemu za viumbe mara nyingi huwa vimejazwa nyumbani au shambani bila...

Unaweza kusindika stroberi kwa kutengeneza jamu

16/08/2021

Wakulima wengi wamekuwa na mawazo finyu hasa katika kutatua changamoto zitokanazo na upotevu wa mazao yao shambani jambo lililowapelekea, kusahau kuwa kuna mbinu mbalimbali zakukabili changamoto hizi kama vile kujikita katika utengenezaji wa bidhaa zitokanazo na mazao. Katika nakala hii Mkulima Mbunifu inakuangazia kijana Charles Watson kutoka Mbeya aliyejikita katika...

Vijana wajiajiri kupitia kilimo hai

12/08/2021

Kumekua na muamko wa vijana kutumia fursa ya kilimo kujipatia kipato. Mkulima Mbunifu ilikutana na vijana mkoani Arusha ambao waliamua kujifunza na kutengeneza mboji kwa ajili ya biashara. Kutokana na changamoto za ajira vijana hawa wameweza kubuni mradi na kutumia elimu waliyonayo ya ujenzi wa mitambo ya biogas na utengenezaji...

Ubuyu na faida zake katika mwili wa binadamu

11/08/2021

Ubuyu ni tunda ambalo hupatika­na kwenye miti jamii ya Adansonia. Ubuyu umekua na matumizi mbali-mbali wengi tukiutumia kama ma­tunda. Wengine hutumia juisi yake kutengenezea barafu (ice cream). Pia kuongeza ladha kwenye vyakula. Ubuyu umekuwa tunda lenye faida nyingi kwa mwili wa binadamu. Ni tunda la asili na linapatikana porini hasa...

Ufugaji holela wa kuku haufai na ni hatari

11/08/2021

Nimekuwa mfugaji wa kuku kwa kipindi cha miaka mingi sana, tatizo ni kwamba kuku wangu hawana banda maalumu na hukutana nao jioni tu wanapoingia jikoni, na kutoka asubuhi, nimesoma kidogo kwa jirani yangu aliekuwa na Mkulima mbunifu juu ya ufugaji wenye tija, je nikianza haitanigharimu sana kwa kuwa wao hujitafutia...

Matumizi ya Molasi na faida zake kwa uzalishaji wa mazao

11/08/2021

Katika kilimo, matumizi ya Molasi ni muhimu kwa kuboresha hali ya udongo, kudhibiti wadudu, kuwezesha udongo kuwa na rutuba, kurekebisha hali ya udongo na pia kupunguza matatizo kwa mimea inayopandikizwa. Matumizi ya Molasi husaidia kusafisha mipira ya umwagiliaji lakini pia utafiti unaonyesha kuwa Molasi husaidia kuboresha ubora wa udongo.  ...

Zao lenye faida kubwa kiuchumi na kiafya

10/08/2021

Nanasi ni moja kati ya matunda ambayo yanapendwa sana na watu wa kada zote. Tunda hili halihitaji gharama kubwa ya uzalishaji, huku likiwa na bei nzuri tofauti na ilivyo kwa aina nyinginezo za matunda.   Nchini Tanzania, zao hili hulimwa zaidi katika  maeneo ya Bagamoyo, Kibaha, Geita, Mwanza, Tanga, Mtwara,...

Jifunze njia rahisi ya kukausha viazi vitamu

09/08/2021

Viazi vitamu ni moja ya mazao ya mizizi ambayo huvumilia ukame. Zao hili hulimwa karibu katika mikoa yote. vitamu hasa vya rangi ya karoti vina virutubishi vya vitamini A kwa wingi ambavyo vinahitajika sana katika mwili. Kulingana na uzalishaji mwingi ni muhimu kukausha viazi vitamu ili kuviongezea thamani, ubora na...

Vyakula muhimu katika mwili wa binadamu

09/08/2021

Binadamu tunatumia misuli na ubongo kufanya kazi zetu za kila siku hivyo, tunahitaji kuweka miili katika hali nzuri. Ili mwili uwe na nguvu,kinga ya kutosha na i kuwa tayari kufanya kazi kwa kiwango cha juu ni lazima kula vizuri.. Kula vyakula vyenye virutubisho huboresha kiwango chako cha afya na nguvu...

Fahamu ugonjwa wa ukurutu na namna ya kuudhibiti

06/08/2021

  Ukurutu ni ugonjwa wa ngozi ambao huambukizwa kwa njia ya kugusana kati ya mnyama aliyeathiriwa na aliye mzima. Kitaalamu ugonjwa huu hujulikana kwa jina la menji (Mange) na husababishwa na utitiri ambao kitaalamu wanaitwa mange mites. Wadudu hawa hujikita kwenye ngozi na kufanya ngozi kuwa ngumu kama yenye magaga,...

Usafi hukinga mifugo dhidi ya ugonjwa wa ngozi

06/08/2021

Wafugaji walio wengi, hudhania kuwa wanyama hawana hadhi ya kufanyiwa usafi au kuwekwa katika mazingira safi kama ilivyo kwa binadamu. Hata kama viwango hutofautiana, lakini ifahamike kuwa mifugo pia inastahili kuishi katika mazingira ambayo ni safi na salama. Kwa kufanya hivyo, itasaidia kuepusha wanyama kushambuliwa na magonjwa ya aina mbalimbali...

Mkulima Mbunifu inazidi kupenya katika vijiji kuwafikia wakulima wadogo

06/08/2021

Mhariri wa jarida la Mkulima Mbunifu Erica Rugabandana (Wa kwanza kulia waliosimama) baada ya kutembelea kikundi cha wakulima wanufaika wa jarida la MkM wilayani Lushoto

Wasemavyo wanufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu

05/08/2021

Mkulima Mbunifu imekua ikitembelea wakulima mbali mbali nchini Tanzania ili kuchukua shuhuda mbalimbali za wanufaika na kuzichapisha ziwe chachu kwa wasomaji wengine kujifunza na kufanya kwa vitendo. Je wewe umejifunza nini kutoka Mkulima Mbunifu? Tafadhali tuandikie kupitia mawasiliano yaliyo katika jarida hili. Bwana Santony Yasenti, Nangara - Babati.  Ninapenda kutoa...

Fahamu vitamini na madini za kujenga kinga ya mwili

04/08/2021

Vitamini na madini yanafanya kazi ya kujenga kinga ya mwili, na yanapatikana katika mboga na matunda. Ni muhimu kwa makundi ya watu kama watoto, mama wajamzito, mama anaenyonyesha na wazee, kwani huzuia na kusaidia kupambana na maambukizi ya magonjwa. Watu wengi hawali chakula cha kutosha chenye mboga na matunda, pamoja...

Fahamu zao la sumu ya nyuki na uvunaji wake

03/08/2021

Nchini Tanzania na maeneo mbalimbali barani Afrika, kumekuwa na ufugaji wa nyuki kwa ajili ya uvunaji wa mazao yake ili kujipatia fedha. Nyuki huvunwa mazao sita ambayo ni Asali(Honey), Nta (Wax), Chavua (Pollen), Gundi ya nyuki (Propolis), maziwa ya nyuki (Royal Jerry) pamoja na Sumu ya nyuki (Bee Venom). Lakini...

Umuhimu wa kulima kiazi sukari (beetroot)

03/08/2021

Katika zama za kale, beetroot (kiazi sukari/ bitiruti) ilikuwa ikitumika kama dawa kwa ajili ya kutibu magonjwa mbalimbali kama kuvimbiwa, majeraha pamoja na matatizo mbalimbali ya ngozi (mizizi ndiyo iliyokuwa ikitumika). Hadi kufikia karne ya 16 zao hili lilikuwa tayari limekwishapata umaarufu hasa katika Amerika ya Kati na Ulaya ya...

Dhibiti magonjwa na wadudu kwa kutumia dawa za asili

03/08/2021

Madawa ya asili Hizi ni dawa zinazotokana na mimea ambayo hupatikana katika maeneo ya wakulima. Matumizi ya dawa hizi ni njia mojawapo ya kuepuka dawa za viwandani ambazo huathiri udongo, mazingira na afya za watu na wanyama. Hadi sasa kuna dawa takribani 67. Madawa yasipotengenezwa vizuri na kutumiwa ipasavyo yanaweza...

Fuata vidokezo kuhusu uuzaji wa mifugo ili kupata bei ya juu

27/07/2021

Wafugaji wengi hawaelewi mienendo ya soko la mifugo. Wanaishia kuuza wanyama kwa bei ya chini wakati wanyama wale wale wangeweza kupata bei nzuri ikiwa mfugaji angekuwa mvumilivu na kuchukua muda kuelewa mwenendo wa soko na kuzingatia kanuni muhimu za uuzaji. Usifanye mauzo ya wanyama wachache na ya muda mfupi au...

Boresha mikakati ya kutunza ng’ombe wa nyama

27/07/2021

Tanzania ina uwezo mkubwa wa ufugaji wa ng’ombe wa nyama jambo ambalo linaweza kupelekea wakulima wadogo kupata fedha ikiwa watafanya usimamizi wa hali ya juu kuzalisha nyama kwa muda mfupi. Hata hivyo, malisho na maji bado ni changamoto kwa ufugaji wa ng’ombe wa nyama nchini kwani nyasi huwa nyingi wakati...

Umuhimu wa kuokoa makundi ya nyuki wadogo

08/07/2021

Nyuki wadogo huitwa kwa jina maarufu la nyuki wasiouma.  Nyuki hawa wana umbo dogo kulinganisha na nyuki wanaouma lakini pia kila kabila katika Tanzania huwa na majina yake kama nyori, mbuyaa, mpunze, n.k. Mzinga uliotegeshwa katika tundu wanaoingilia nyuki wadogo ardhini kwa lengo la kuwaokoa toka ardhini kuingia kwenye mzinga...

Fahamu faida za maji katika mwili wa mwanadamu

08/07/2021

Maji ni uhai na bila maji, vitu vilivyo hai duniani haviwezi kuishi. Binadamu, mimea na wanyama wanahitaji maji safi ili kuwa na afya nzuri hivyo tunapaswa kuhakikisha tunatumia maji safi ya kunywa, kupika na hata kwa wanyama na mazao. Imekuwa kawaida kuona watu wakitembea na chupa za maji ya kunywa....

Namna ya kusindika korosho mara baada ya kuvuna

06/07/2021

Korosho ni zao lenye matumizi mengi sana, lakini kubwa kuliko yote ni kwamba kuliwa kama kitafunwa (snacks) wakati wa kunywa chai, juisi, maziwa au kahawa. Makala hii inakusudia kutoa mafunzo ya namna ya kuandaa korosho kwa matumizi ya nyumbani. Hii itawasaidia wakulima wapya wa mikoa hasa iliyoingia kwenye uzalishaji wa...

Kilimo hai kinachangia uzalishaji katika Kilimo

24/06/2021

Tanzania ina ardhi yenye rutuba inayowezesha shughuli za kilimo hai kukua na kuongeza kipato kwa wakulima wadogowadogo. Hii inaweza kufanyika kwa kutumia teknolojia mpya inayoweza kusaidia kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo mbayo yamezalishwa kwa kutumia kilimo hai, kwa ajili ya soko la ndani na la nje. Njia tofauti za...

Lima Giligilani kukuza uchumi kwa haraka

24/06/2021

Kilimo cha Giligilani (Coriander) ni mradi mkubwa unaojitosheleza kukuza maisha ya mkulima kutokana na sababu kuwa zao hili la biashara huchukua muda mfupi toka kuotesha hadi kuvuna. Zao hili linalotumika kama kiungo cha chakula katika mapishi ya vyakula mbalimbali kama nyama, supu au mchuzi linafaa kulimwa wakati wowote na katika...

Sindika maziwa kuongeza pato na uepuke hasara

24/06/2021

Kabla ya kusindika maziwa ya mgando au mabichi ni lazima kufanya vipimo vya awali ili kujua kama maziwa yanafaa kusindika au hayafai. Kipimo kikubwa kinachotumika kupima maziwa ni alkoholi (Ethanol) Kipimo hiki hutumika kutambua maziwa yaliyoharibika na maziwa yaliyoanza kuganda. Namna ya kupima Chukua kiwango kinacholingana cha Alkoholi (ethanol) na...

Kutunza kumbukumbu za shamba la samaki na masoko

16/06/2021

Kumbukumbu ambazo ni muhimu kwa ajili ya kutunzwa ni kama, ukubwa wa bwawa, idadi ya samaki, sehemu mbegu ilipochukuliwa, uzito wa mwanzo wa samaki, tarehe ya kupanda samaki, kiwango cha chakula kwa kila siku/wiki/mwezi, ubora wa maji, mahitaji ya kila siku na gharama zake , tarehe ya kuchukua sampuli, na...

Usindikaji wa vitunguu saumu

16/06/2021

Kabla ya kusindika vitunguu saumu ni muhimu kuhakikisha kuwa vitunguu vinavyosindikwa vimekomaa vizuri na vipo kwenye kiwango cha ubora na havijaoza. Dalili za vitunguu saumu vilivyokomaa Vitunguu saumu huwa tayari kuvunwa katika kipindi cha miezi mitatu hadi mitano tangu kusia mbegu Vitunguu saumu vilivyokomaa huonyesha majani kunyauka na kubadilika rangi...

Ni muhimu kusindika tangawizi ili kuongeza thamani na pato kwa mkulima

15/06/2021

Tangawizi ni moja ya mazao ya viungo linalimwa katika mikoa mbalimbali Tanzania kama vile, Tangam Morogoro, Kilimanjaro, Kigoma, Pwani, Iringa, Mbeya na Kagera. Tangawizi ili iweze kusindikwa kwa ajili ya kupata bidhaa mbalimbali, inahitajika kwanza kuhakikisha umezingatia uvunaji sahihi ikiwa ni pamoja na kuvuna mapema ili kuepuka kukomaa zaidi na...

Zalisha mbolea za asili kwa ajili ya  kilimo hai

15/06/2021

Ili uweze kufanya kilimo hai ni lazima uwe na mbolea za asili. Bila mbolea za asili huwezi kufanya kilimo cha aina yeyote kwa misingi ya kilimo hai. Mbolea za asili zipo za aina mbalimbali ama huweza kutengenezwa kwa njia mbalimbali na kwa kutumia malighafi mbalimbali kama vile samadi, majani ya...

Unaweza kuuwa wdudu waharibifu kwa kutumia muarobaini

01/06/2021

Muarobaini ni moja kati ya miti ya asili, ambayo kwa karne nyingi umekuwa ukitumika kama dawa kwa binadamu, wanyama na mimea. Tunapozungumzia mwarobaini katika kuua wadudu kwenye mazao, tunazungumzia mafuta yaliyomo katika mmea huu. Hii ni dawa ambayo ina uwezo wa kuua wadudu wa aina mbalimbali. Mafuta ya mwarobaini yana...

Kitunguu swaumu kinafaa kufukuza wadudu

01/06/2021

Hii ni njia nyingine bora na salama, ambayo mkulima anaweza kutumia kwa ajili ya kufukuza wadudu shambani, bila kusababisha madhara ya yoyote. Lengo la kuandaa mchanganyiko huu wa Kitunguu swaumu ni kuwafukuza wadudu wasishambulie mimea shambani. Matumizi ya kitunguu swaumu husaidia kupunguza wadudu shambani  na kupunguza matumizi ya kemikali za...

Anzisha miradi tofauti kuongeza pato lako

01/06/2021

Kuna msemo mmoja maarufu sana wa Kiswahili usemao, kidole kimoja hakivunji chawa. Hii inamaanisha kuwa endapo unategemea jambo moja tu, inakuwa ni vigumu sana kutimiza malengo yako au kufanikiwa kufanya jambo fulani. Hii ni changamoto kwako mkulima kuhakikisha kuwa unatumia nafasi uliyo nayo ipasavyo. Ni muhimu sana kuhakikisha kuwa unaanzisha...

Ubora wa zizi huinua uzalishaji wa mbuzi na kondoo

01/06/2021

Ufugaji wa Mbuzi na kondoo ni wa gharama nafuu sana hasa ukilinganisha na ng’ombe kwani wanyama hawa wana uwezo wa kuishi mahali popote na katika mazingira magumu kama yenye maradhi na ukame. Wanyama hawa kulingana na umbile lao dogo wanaweza kufugwa katika eneo dogo huku wakihudumiwa na familia zenye nguvu...

Canavalia hurutubisha udongo kwa kiwango kikubwa

31/05/2021

Katika toleo lililopita tuliona ni kwa namna gani mkulima Bi. Edvesta Yambazi alivyofanikiwa katika kulima canavalia. Katika toleo hili tutaangalia kwa undani zao la canavalia ni zao gani na linalimwaje. Canavalia ni zao jamii ya mikunde ambayo hujulikana kwa majina mengine kama Jackbean au swordbean. Kitaalamu au kisayansi hujulikana kama...

Mfugaji anaweza kuongeza pato kwa kufuga bata

28/05/2021

Wafugaji wengi wa ndege wamekuwa wakikazana zaidi namna ya kufuga aina mbalimbali za ndege bila kujumisha bata. Aina hii ya ndege wanaweza pia kuwa chanzo kizuri cha kuongeza pato. Wafugaji wengi wadogo wa bata nchini Tanzania hufuga bata chotara ambao wamechanganyika na aina mbalimbali za jamii ya bata. Aina nyingine...

Samadi ya wanyama na mimea na namna ya kutumia

28/05/2021

Ubora wa samadi ya wanyama hutegemea zaidi kile kilicholiwa na mnyama. Ikiwa wamelishwa chakula duni au nyasi zilizomea katika udongo usio na rutuba, basi samadi yao pia itakuwa na ubora duni. Ikiwa wanyama wamelishwa chakula kizuri basi samadi pia itakuwa bora na iliyojaa virutubisho. Samadi iliyo tayari kwa matumizi Samadi...

Zalisha mbolea za asili kwa ajili ya  kilimo hai

28/05/2021

Ili uweze kufanya kilimo hai ni lazima uwe na mbolea za asili. Bila mbolea za asili huwezi kufanya kilimo cha aina yeyote kwa misingi ya kilimo hai. Mbolea za asili zipo za aina mbalimbali ama huweza kutengenezwa kwa njia mbalimbali na kwa kutumia malighafi mbalimbali kama vile samadi, majani ya...

Fahamu sifa, faida na changamoto za ufugaji kuku wa asili

28/05/2021

Kuku wa asili ni aina ya kuku ambao wamekuwepo nchini kwa muda wa miaka mingi na damu au koo zao hazikuchanganywa na aina yeyote ya kuku wa kienyeji. Kuku hawa wana rangi na maumbo mbalimbali. Kwa kawaida ufugaji wa kuku wa asili nchini Tanzania hufanywa na wafugaji wadogo wadogo wanaoishi...

Unaweza kusindika ngozi kiasili kupata bidhaa bora

26/05/2021

Usindikaji wa viwandani unahitaji mitambo mikubwa, maeneo makubwa nguvu kazi kubwa, malighafi nyingi. Hivyo inahitaji mtaji mkubwa. Njia hii pia inahitaji kemikali za viwandani hivyo sio rafiki kwa mazingira. Usindikaji wa asili  ni rahisi kwani malighafi za uchakataji hupatikana katika mazingira yanayotuzunguka. Njia hii inashauriwa sana kwa wajasiriamali wadogo wadogo...

Wafahamu Nzi Chuma (Black soldier Fly), protini mbadala kwa mifugo

25/05/2021

Nzi chuma (Black Soldier Fly), kwa kisayansi Hermetia illucens (Linnaeus) ni aina ya nzi katika kundi la Stratiomyidae ambao hupatikana sana katika ukanda wa Magharaibi mwa hemisphere yaani mabara ya Marekani ya kusini na kaskazini, sehemu ya Africa, Ulaya, Antactical, Asia na pia Australia. Nzi hawa wana protini ya kutosha...

Call for Proposals to Develop a Television Spot on Healthy Food Production and Consumption

24/05/2021

Mkulima Mbunifu (MkM) is a farmer information service based in Arusha, Tanzania, and implemented since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya. MkM aims to provide information to smallholder farmers to enable them adopt improved sustainable agriculture technologies and practices. MkM also aims...

Mbolea hai na madawa ya asili ni muhimu kwa mimea, wanyama na binadamu

24/05/2021

Mkulima anapotumia mbolea za viwandani na kemikali kwa muda mrefu, ni dhahiri kuwa udongo hudhoofika na kushindwa kuzalisha. Afya yake pia ipo mashakani kwa kuwa kemikali zina madhara makubwa sana. Kilimo ni lazima kuwezesha na kuongeza afya ya udongo, mimea, wanyama na binadamu. Udongo ni nguzo muhimu katika maisha ya...

Je wajua kuhusu mti wa Mlonge (Moringa)

21/05/2021

Moringa (Moringa spp.)  maarufu kama  mlonge  ni  miongoni  mwa  miti  muhimu kwa matumizi ya binadamu, wanyama na hata katika kutengeneza virutubishi kadhaa. Mti huu  ukuao haraka hupandwa katika maeneo mengi na hutumika kama chakula cha binadamu, lishe ya mifugo, tiba mbadala na kusafisha maji. Faida na matumizi ya mti wa...

Ugonjwa wa kiwele (mastitis)

21/05/2021

Katika toleo lililopita tulizungumzia kwa ufupi kuhusu ugonjwa wa kiwele, madhara pamoja na dalili zake. Aidha tuliona jinsi ugonjwa huu unavyosababisha uvimbe, muwasho na joto kwenye kiwele cha mnyama na usababishwa na aina nyingi ya wadudu aina ya bakteria. Katika toleo hili, tutamalizia mada hii kwa undani ili mfugaji aweze...

Usindikaji wa Mvinyo kwa matunda ya asili

20/05/2021

Vijana wanaweza kujikwamua kiuchumi kwa kusindika mazao kutumia malighafi za hapa nchini. Mvinyo ni neno linalotokana na neno la kireno vinho, ni kinywaji kinacho tengenezwa kutokana na majimaji ya matunda mbalimbali. Kuna aina nyingi za mvinyo kufuatana na matunda yaliotumika. Katika Makala hii Mkulima Mbunifu inaangazia Kijana wa kike kutoka...

Utunzaji wa nguruwe Dume

20/05/2021

Utunzaji wa nguruwe mara nyingi hutegemea aina ya makundi ya nguruwe na mfunmo wa ufugaji. Makundi ya nguruwe ni kama madume ya mbegu, majike wazazi, watoto, na wale wanaonenepeshwa kwa ajili ya nyama au mafuta. Nguruwe wanaweza kufugwa ndani au nje ya banda, kutegemea na ukubwa wa shamba, kipato kilichopo...

Ujue ubuyu na faida yake katika mwili wa binadamu

20/05/2021

Ubuyuni tunda ambalo hupatikana katika miti jamii ya Adansonia. Ubuyu umekua na matumizi mbalimbali wengi tukiutumia kama matunda. Wengine hutumia juisi yake kutengenezea barafu (ice cream). Pia ili kuongeza ladha wengine huchanganya ubuyu na viungo mbalimbali ili kuongeza ladha ya ubuyu. Ubuyu umekuwa ni mmea wenye faida nyingi kwa mwili wa binadamu. Ni tunda la...

Mikakati rahisi ya kupanua ufugaji wa kuku

20/05/2021

Ufugaji wa kuku unaweza kumpa mkulima mapato makubwa. Hii inawezekana ikiwa mfugaji mdogo wa kuku atapanua kiwango na idadi ya kuku anaowafuga. Kuku ni mnyama maarufu na anayefugwa sana nchini Tanzania. Karibu kaya nyingi zinafuga kuku, kwa ajili ya nyama yake yenye ladha nzuri, mayai, pia ni ishara muhimu ya...

Tahadhari unazopaswa kuchukuwa wakati wa msimu wa mvua katika ufugaji samaki.

18/05/2021

Katika suala zima la ufugaji kuna kanuni na taratibu za kufuata kutoka na mabadiliko mbalimbali ya hali ya hewa. Msimu wa kiangazi na msimu wa masika ni muhimu kuifuatilia ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza. Katika makala hii Mkulima Mbunifu inakuangazia mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa msimu wa jua na...

Fahamu udongo wako ili kuboresha usimamizi wa rutuba

17/05/2021

  Kuna virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ukuaji wa mmea. Upungufu wa mojawapo ya virutubishi hivi muhimu utapunguza ukuaji wa mimea. Mavuno yanategemea kiwango cha virutubisho muhimu kwa mmea. Mimea yote hutegemea vitu muhimu kukua vizuri. Vitu hivi vinaweza kugawanywa mara mbili; Vitu vya madini, kupitia udongo. Vitu visivyo vya...

Jua matokeo ya lishe duni kwa watoto na jinsi ya kuboresha afya

17/05/2021

Kila mwaka, watoto wengi chini ya miaka 5 nchini Tanzania hufa kwa sababu ya chakula duni na kisichotosha. Watoto hawa hawapati chakula chenye vitamini, madini ya iodini na chuma ambayo yanahitajika kwa afya na ukuaji mzuri. Hali hii inasababisha utapiamlo. Utapiamlo unamaanisha upungufu, kupita kiasi, au kukosa usawa katika ulaji...

Chanja kuku kuepuka magonjwa yanayoambatana na mvua

17/05/2021

Wafugaji wamekua wakijisahau juu ya umuhimu wa chanjo kwa mifugo, Katika msimu wa mvua za masika, mifugo mingi imekua ikiathirika ku­tokana na magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bacteria pia virus. Wafugaji wa kuku haswa wakienyeji, wameishia kupoteza mifugo yao kutokana na kutozingatia chanjo. Mara nyingi mvua hizi huambatana na magonjwa mengi...

Taarifa muhimu kuhusu ufugaji wa mbuzi

12/05/2021

Mbuzi na kondoo ni wanyama ambao wanaweza kufugwa kwa gharama nafuu pia ni wavumilivu wa ukame na maradhi tofauti na ngo’mbe kwa kua wana umbile dogo wanaweza kufugwa katika eneo dogo na nguvu kazi ndogo na hata kwa wenye kipato kidogo. Katika makala hii Mkulima Mbunifu inangazia kuhusu ufugaji wa...

Namna ya kuanza kilimo hai

22/04/2021

Kumekua na maswali kadhaa juu ya kuanzisha kilimo hai. Yamkini, wewe pia unajiuliza swali hili, vile unavyoweza kuzalisha kwa mfumo wa kilimo hai shambani mwako. Jarida la Mkulima Mbunifu ni mahususi kwa ajili yako na katika makala hii tunakukumbusha tena. Kama una nia thabiti ya kuanzisha kilimo hai, fuata hatua...

Changamoto katika kilimo na ufugaji msimu wa mvua

20/04/2021

Kilimo katika msimu wa mvua Huu ni msimu wa mvua katika maeneo mengi nchini. Bila shaka wengi wetu ni wakulima na wafugaji hivyo bado tunaendelea na shughuli zetu za kila siku. Je, ni changamoto zipi unazopitia katika msimu huu wa mvua kwenye shughuli zako za kila siku za kilimo? Tushirikishe/tueleze...

Umuhimu wa shamba darasa katika kilimo hifadhi

16/04/2021

Kwanza, tujiulize shamba darasa ni nini? Hiki ni kikundi cha wakulima kati ya 20-25 wenye tatizo linalofanana waliokubaliana kutatua kwa pamoja wakiwa na mwezeshaji wao kwa kupata ufumbuzi endelevu. Vile vile, waweza kusema shamba darasa ni shule bila ukuta inayohusisha wakulima kati ya 20-25 waliokuba-liana kutatua tatizo lao kwa pamoja,...

Ufugaji wa samaki kibiashara ni njia rahisi yakuongeza kipato

12/04/2021

Kumekuwa na mfumko wa watu wengi mijini na vijijini kuingia katika ufugaji wa samaki. Miradi hii huwagharimu fedha nyingi, lakini hufa baada ya muda mfupi. Ili mfugaji aweze kuwa na ufugaji wenye tija, hana budi kujifunza ufugaji wa samaki kwa njia ya kisasa ambao hufanyika kwenye mabwawa ya kuchimbwa au...

Wakulima washabikia MkM kwa nyimbo

11/04/2021

Tahadhari za kuchukua nyakati za msimu wa mvua katika ufugaji samaki

30/03/2021

Ufugaji wa samaki una kanuni na taratibu za kufuata ili kuendana na mabadiliko ya hali ya hewa. Msimu wa masika ni muhimu kuufuatilia ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza. Katika makala hii Mkulima Mbunifu linakuangazia hatua muhimu za kuzingatia wakati wa masika ili kufanya ufugaji samaki wenye tija. Nyakati za msimu...

Fahamu udongo wako ili kuboresha uzalishaji wa mazao

29/03/2021

Kuna virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ukuaji wa mmea. Upungufu wa mojawapo ya virutubishi hivi muhimu utapunguza ukuaji wa mimea. Mavuno yanategemea kiwango cha virutubisho muhimu kwa mmea vipatikanavyo katika udongo. Mimea yote hutegemea vitu muhimu kukua vizuri. Vitu hivi vinaweza kugawanywa katika makundi mawili; Vitu vya madini, kupitia udongo. Vitu...

Fahamu mikakati rahisi inayoweza kutumika ili kupanua mradi wa ufugaji wa kuku

24/03/2021

Ufugaji wa kuku unaweza kumpa mkulima kipato kikubwa. Hii inawezekana ikiwa mfugaji mdogo wa kuku atapanua kiwango na idadi ya kuku anaowafuga. Kuku ni ndege maarufu na anayefugwa sana nchini Tanzania. Karibu kaya nyingi zinafuga kuku, kwa ajili ya nyama yake yenye ladha nzuri, mayai, pia ni ishara muhimu ya kitamaduni...

Sikiliza Makala ya Redio Kuhusu Mkulima Mbunifu

24/03/2021

Madhumuni ya kipindi hiki ni kukuelimisha kuhusu Kilimo Endelevu na mfumo wa uzalishaji unaohakikisha uendelevu katika kilimo, na kuongeza kipato hasa kwa wakulima wadogo ambao ni idadi kubwa humu nchini. Hii ikiwa ni pamoja na Kilimo hai. Mkulima Mbunifu ni jarida la kila mwezi linaloangazia mbinu na teknologia za kilimo...

Ulishaji wa majani makavu: Usisahau maji

17/12/2020

Kabla ya kulisha wanyama majani makavu ni muhimu sana kufahamu ni kwa namna gani yanahitajika kulisha kwani majani haya ni tofauti na majani mabichi. Kiwango cha majani makavu kiwe kidogo zaidi ya majani mabichi. Robota moja la kilo 15 la majani makavu ni sawa na kilo 75 za majani mabichi,...

Kuanzisha biashara kunahitaji mipango thabiti

17/12/2020

Miaka ya hivi karibuni serikali pamoja na wadau wengine wamekuwa na mikakati thabiti ya kuendeleza kilimo na kuwashawishi wakulima kuweka shughuli zao katika mtazamo wa kibiashara. Waliochukua na kuufanyia kazi ushauri huo kisha kufanya shughuli zao za kilimo kitaalamu kwa mtazamo wa kibiashara leo wanapata faida kubwa. Wana pesa inayoingia...

Fuata kanuni sahihi za kilimo upate mavuno bora

15/12/2020

Wakulima walio wengi wamekuwa wakijikita zaidi katika matumizi ya mbolea    ili kupata matokeo mazuri katika kilimo,  na kusahau kuwa kanuni bora za uzalishaji pia huchangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka na kupatikana kwa mavuno yenye ubora. Nini cha kuzingatia ili kupata mavuno bora Ni lazima mkulima kufuata utaratibu wa uzalishaji wa...

Njia bora ya utunzaji wa  ng’ombe wa maziwa

15/12/2020

Nina mradi mdogo wa ng’ombe wa maziwa, ninahitaji kuboresha, naomba ushauri namna ya kuwa na banda bora na matunzo yake kwa ajili ya ng’ombe wangu Ng’ombe wa maziwa wanaweza kuzalisha vizuri kutokana na kuwa na mazingira mazuri, banda zuri na lishe. Zingatia usafi na uhakikishe kuwa ng’ombe wana nafasi ya...

Zalisha matunda kwa malengo

15/12/2020

Moja ya mazao ambayo wakulimwa wamekuwa wakizalisha kwa ufanisi mkubwa na kupata mavuno mazuri, ni matunda ya aina mbalimbali. Ambapo kulingana na mazingira waliyopo, wakulima wamekuwa wakizalisha aina mbalimbali na kwa misimu tofauti. Pamoja na mafanikio hayo, wakulima wamekuwa wakizalisha aina hizo za matunda bila kuwa na malengo kamili kuwa...

Kuku chotara wanahitaji chanjo kwa utaratibu maalumu

08/12/2020

Ufugaji wa kuku wa kienyeji chotara ni ufugaji ambao hujumuisha muunganiko au mchanganyiko wa aina mbili tofauti za kuku. Kuku chotara wana faida nyingi sana kwa mkulima ikiwa ni pamoja na ustahimilivu wa magonjwa hivyo kupunguza gharama za kutibu. Utagaji mkubwa wa mayai mengi mpaka kufikia 240 kwa mwaka kama...

Tumeamua kufanya kilimo hai kwa ajili ya afya zetu

04/12/2020

“Kulima na kuzalisha kwa njia ya kilimo hai ni sehemu ya maisha yetu ya shuleni kwa ujumla. Tunafahamu madhara ya matumizi ya kemikali za viwandani, hivyo tumeamua kuzalisha kwa njia za asili ili kujikomboa kutokana na kemikali hizi” Mwl. Thomas Kaniki (Mkuu wa shule ya sekondari Makomu). Mwalimu Kaniki anaeleza...

Otesha miti kwa manufaa yako na kizazi kijacho

02/12/2020

Wanajamii wengi hawatambui umuhimu wa miti katika kilimo, mazingira, kwa binadamu na hata kwa wanyama jambo ambalo wengi wamelipuuzia na kutokulichukulia maanani.   Tunapozungumzia miti, kwa ujumla tunamaanisha miti ya asili ambayo zipo katika misitu yetu na hata maeneo yetu ya makazi pamoja na ile ya kuotesha inayotupatia rutuba ya...

JOB OPPORTUNITY: DESIGNER FOR MKM MAGAZINE

30/11/2020

TERMS OF REFERENCE (TOR) FOR DESIGNER ABOUT MKULIMA MBUNIFU (MkM) Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine is a Farmer Communication Programme project that is implemented in Tanzania since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya.  The publication aims to provide information to smallholder farmers...

Tender: Printing services for the period January 2021 to December 2021

27/11/2020

TERMS OF REFERENCE (TOR) FOR PRINTING MKULIMA MBUNIFU MAGAZINE ABOUT MKULIMA MBUNIFU (MkM) Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine is a Farmer Communication Programme project that is implemented in Tanzania since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya.  The publication aims to provide information...

Mkulima Mbunifu imenihamasisha kuanza kufanya kilimo hai

19/11/2020

“Nimeamua kuanza kufanya kilimo hai kwani ni rahisi, sitatumia dawa za kemikali wala mbolea za viwandani.  Nilikua nikifanya kilimo cha mazoea bila kujali afya yangu na watu wengine. Sikufahamu madhara kwa mazingira yani ardhi, mimea na hata wanyama”. Hayo ni maneno ya Godwin Zakaria Axwesso (52) anayeishi kijiji cha Bashay,...

Je, unafahamu umuhimu wa njia za moto?

19/11/2020

Hivi karibuni tumeshuhudia uwepo wa mlipuko wa moto katika sehemu mbalimbali hapa nchini, na katika nchi nyingi duniani. Hii inatokana na mabadiliko ya tabia nchi na utunzaji hafifu wa mazingira yetu. Ni jambo lisilopingika kuwa wakulima wamekuwa na bidii sana katika kuhakikisha kuwa wanazalisha na kupata chakula pamoja na kipato...

Kilimo bora cha kabeji ya kichina 

19/11/2020

Kabeji ya kichina kwa miaka mingi ilikuwa inalimwa na kuliwa sana katika nchi za China, India na Japani. Ikijulikana kwa majina ya common choy, pak choy na gai choy au Indian mustard. Miaka ya karibu mboga hii ya majani imepata umaarufu katika nchi yetu na hulimwa kwa ajili ya kuboresha...

Fahamu namna ya kufanya ufugaji wa nyuki wadogo

19/11/2020

Nchini Tanzania na maeneo mbalimbali barani Afrika, imekuwa ni mazoea kwa wanaotaka kufanya ufugaji wa nyuki kufuga nyuki wakubwa au maarufu kama nyuki wakali. Aina hii ya nyuki imekuwa ni rahisi kufugwa kwa kuwa uzalishaji wake ni mkubwa zaidi na wanaweza kufugwa kwenye maeneo tofauti tofauti ili mradi kuwe na...

Ni muhimu wazalishaji wa maziwa kujiunga kwenye vyama vya ushirika

19/11/2020

Wakulima na wafugaji wanashauriwa kuwa katika vikundi au vyama vya ushirika ili kukuza na kupanua kilimo biashara. Ushirika ni biashara zinazojikita kwa watu; zinamilikiwa, zinadhibitiwa na zinaendeshwa na wanachama na kwa madhumuni ya kufikia mahitaji na malengo yao ya pamoja, ya kiuchumi, kijamii, na kitamaduni. Kupitia vyama vya ushirika, wakulima...

Siku ya tokomeza gugu karoti Arusha (2020)

10/11/2020

Athari za gugu karoti na mbinu za kukabiliana nalo Gugu karoti ambalo kitaalamu linajulikana kama (Parthenium hysterophorus) ni mmea vamizi ambao una athiri binadamu, mazao, wanyama au mifugo pamoja na kuharibu uoto wa asili. Nchini Tanzania, gugu karoti limegundulika au kuonekana kuwepo tangu mwaka 2010 katika mkoa wa Arusha hasa...

Nini husababisha magonjwa kwa mifugo

27/10/2020

Magonjwa mengi ya mifugo husambazwa na vijidudu ambao huingia kwenye mfumo wa damu na kusababisha homa na baadae madhara makubwa. Mangonjwa mengi ya mifugo husababishwa na vyanzo kutoka nje ya mwili wa mnyama mfano mazingira machafu anayoishi mnyama, vitu vinavyosababisha vidonda na ambazo vimelea vinaweza kukaa. Pia mnyama anaweza kupata...

Zikaushe mboga za ziada kwa matumizi ya baadaye

23/10/2020

Kukausha mavuno kutoka shambani mwako, ni njia nzuri zaidi kukuwezesha kukabiliana na hali ngumu. Kukausha mboga na matunda ni njia rahisi sana ya uhifadhi inayotumika duniani kote. Hata hivyo, ili kupata matokeo mazuri na bora, baadhi ya kanuni ni lazima zifuatwe. Kukausha kwa jua Jua hutumika kwa mazao ambayo hayaharibiki...

Vuna zaidi kwa kutumia mbinu ya tumbukiza

23/10/2020

Tumbukiza ni mbinu inayofaa katika eneo ambalo ni kame na lisilokuwa kame. Ni mbinu ya kuhifadhi maji, na kutoa mavuno mengi zaidi. Ni mbinu ambayo imepokelewa kwa kiasi kikubwa na wafugaji wa ng’ombe wa maziwa kutoka sehemu ambazo wana eneo dogo kwa ajili ya uzalishaji wa malisho. Ni ufumbuzi ambao...

Maparachichi yaliyopandikizwa hutoa mavuno bora zaidi

23/10/2020

Msukumo wa uhitaji mkubwa wa parachichi kwa wingi na zenye ubora unawasukuma wakulima kutumia teknolojia mpya. Upandikizaji hujumuisha aina mbili za mimea. Unachukua mmea mmoja ambao unadhani hauna tija nzuri, na sehemu ya mmea mwingine ambao una ubora zaidi na kupandikiza kwa kukata na kufunga pamoja ili kupata mbegu bora...

Hifadhi Guatemala kwa malisho wakati wa kiangazi

23/10/2020

Majani haya yanatumika kama chakula cha ziada kwa mifugo wakati wa kiangazi, hayatakiwi kutumika kama chakula kamili. Majani aina ya Guatemala (Tripsacum andersonii) imesambaa kwa kiasi kikubwa katika ukanda wa tropiki. Aina hii ya majani inahitaji kiasi kikubwa cha mvua, au udongo wenye unyevu, lakini hata hivyo huweza kubaki yakiwa...

Umuhimu wa wakulima kuwa kwenye vikundi

22/10/2020

Mimi ni msomaji na mdau wa jarida la Mkulima Mbunifu, ingawa sina kikundi. Napenda kufahamu kuwa ni kwa nini mmekuwa mkisisitiza wakulima kuwe kwenye vikundi, na ndipo wapatiwe huduma za Mkulima Mbunifu, nini umuhimu wa kuwa kwenye kikundi? Kikundi ni muunganiko wa watu wenye nia/lengo moja katika kutekeleza jambo fulani...

Ulaji wa bamia na faida zake mwilini

22/10/2020

Moja ya zao lenye faida mwilini ni bamia kama tunda mboga kwani linaweza kukutoa katika hatari ya kupata ugonjwa wa kisukari kwa sababu ya uwezo wake wa kusaidia kuyeyusha au kumeng’enya sukari na kuuweka sawa mfumo wa sukari mwilini. Mara nyingi tumekuwa tukichukulia bamia kama mboga ya kimasikini pasipo kujua...

Boresha kundi lako la kondoo kwa kuzalisha chotara

21/10/2020

Njia ya haraka zaidi ya kuboresha kundi lako ni kuzalisha kondoo chotara. Inashauriwa utumie kondoo wa kienyeji kama wanyama wa kuanzia mpango wa kuzalisha kondo bora zaidi. Unaweza kutumia kondoo jike wa kienyeji aina ya Red Maasai na dume wa kigeni aina ya Dorper. Kondoo wanaozaliwa watabeba sifa za aina...

Hifadhi vyakula kuepuka njaa wakati wa ukame

21/10/2020

Hifadhi mazao ili uweze kuwa na chakula kwa muda mrefu bila kuharibika. Utunzaji pia husababisha vibaki na ubora pamoja na kurahisisha upatikanaji muda mwingi kwa ajili ya chakula. Mara nyingi wakulima hupambana shambani kwa ajili ya kuzalisha chakula ambacho pasi na shaka ndio hulisha watu wote waliopo vijijini na mijini....

Fahamu vitamini na madini za kujenga kinga ya mwili

21/10/2020

Vitamini na madini yanafanya kazi ya kujenga kinga ya mwili, na yanapatikana katika mboga na matunda. Ni muhimu kwa makundi ya watu kama watoto, mama wajamzito, mama anaenyonyesha na wazee, kwani huzuia na kusaidia kupambana na maambukizi ya magonjwa. Watu wengi hawali chakula cha kutosha chenye mboga na matunda, pamoja...

Fahamu vyakula bora ambavyo unaweza kulisha kuku

21/10/2020

Mkulima Mbunifu limekuwa mara kwa mara likichapisha taarifa za kina kuhusu ufugaji bora wa kuku, ikiwa ni pamoja na matunzo yake. Mara nyingi makala hizo zimekuwa zikilenga kuku wa asili na namna ya kukabiliana na changamoto zinazowakumba wafugaji. Hatua kwa hatua makala hizo zimeweza kuwasaidia wafugaji na hatimae kuwa na...

Fahamu kuhusu kabeji za kichina (Chainizi)

12/10/2020

        Kabeji ya kichina kwa miaka mingi ilikuwa inalimwa na kuliwa sana katika nchi za China, India na Japani. Ikijulikana kwa majina ya common choy, pak choy na gai choy au Indian mustard. Miaka ya karibu mboga hii ya majani imepata umaarufu katika nchi yetu na hulimwa...

Je, unafahamu faida lishe za mboga ya sukumawiki (Kale)?

12/10/2020

Sukuma wiki ni mboga ambayo ina umaarufu sana Tanzania katika mboga za majani. Hulimwa katika bustani kwa ajili ya matumizi ya familia na pia kibiashara. Viini lishe Sukuma wiki huliwa kama mboga ya majani na ina viini lishe vifuatavyo:- Madini ya chuma Vitamin A, B na C Nyuzi nyingi- fiber...

Fahamu makundi ya dawa salama za kuogesha mifugo

08/10/2020

Magonjwa yaenezwayo na kupe yanasababisha zaidi ya asilimia sabini na mbili (72%) ya vifo vyote vya ng’ombe vinavyotokea kila mwaka. Magonjwa hayo ni Ndigana Kali (East Coast Fever – ECF), Ndigana Baridi (Anaplasmosis), Mkojo Mwekundu (Babesiosis) na Maji ya Moyo (Heartwater). Aidha magonjwa hayo hulisababishia taifa hasara ya takribani shilingi...

Fahamu kuhusu karanga lozi na faida zake kiafya

08/10/2020

Almonds au lozi ni jamii ya karanga zinazovunwa kutoka katika miti mikubwa kama ya mikorosho na karanga hizi ni lishe ambayo inaweza kutumika kwa kupikia au kula kama zilivyo. Asilimia thelathini ya lozi duniani hupandwa huko Califonia kutokana na kupenda hali ya hewa ya Mediterranean. Aidha, huliwa zaidi maeneo ya...

Kua mlemavu isiwe kikwazo cha kutofanya maendeleo

08/10/2020

Kumekua na dhana katika jamii zetu kuona mlemavu hawezi kufanya jambo lolote la msaada katika jamii yetu. La hasha, watu wenye ulemavu wanauwezo wa kufanya mambo kadhaa iwapo watapatiwa fursa na msaada. Hata hivyo kuna ulemavu wa aina mbili, ulemavu wa kuzaliwa nao na ulemavu kutokana na ajali katika maisha....

Je, unafahamu sababu za kuku kutaga mayai madogo!

08/10/2020

Jarida hili limekuwa mstari wa mbele katika kukudondolea mada mbalimbali zenye tija katika nyanja za ufugaji na kilimo. Mara nyingi mada hizo hujikita katika njia zinazotumika kuzalisha kiasili. Katika toleo hili tutakudondolea moja wapo ya changamoto zinazowakabili wafugaji wa kuku na namna ya kuondokana na changamoto hizo. Zifuatazo ni sababu...

Wafahamu Nzi chuma (Black soldier Fly), protini mbadala ya mifugo

08/10/2020

Nzi chuma (Black Soldier Fly), kwa kisayansi Hermetia illucens (Linnaeus) ni aina ya nzi katika kundi la Stratiomyidae ambao hupatikana sana katika ukanda wa Magharaibi mwa hemisphere yaani mabara ya Marekani ya kusini na kaskazini, sehemu ya Africa, Ulaya, Antactical, Asia na pia Australia. Nzi hawa hawana madhara ya aina...

Fahamu na uzingatie kanuni bora za ufugaji wa mbuzi na kondoo

30/09/2020

Uchaguzi wa Mbuzi/Kondoo wa Kufuga Madhumuni ya kuchagua mbuzi au kondoo wa kufuga ni kuboresha uzalishaji na kuendeleza kizazi bora. Kuna aina nyingi za mbuzi/kondoo wanaoweza kufugwa kulingana na mazingira na mahitaji ya mfugaji. Uchaguzi hufanyika kwa kuangalia umbile, uzalishaji na kumbukumbu za wazazi kama vile umbo kubwa, ukuaji wa...

Ni muhimu kutambua minyoo inayoshambulia mazao

30/09/2020

Mara nyingi tumekuwa tukizungumza kuhusu wadudu rafiki na halikadhalika kuweka wazi kuhusu wadudu wanaoshambulia mazao. Katika toleo hili tutajifunza kuhusu minyoo inayoshambulia mazao. Ipo minyoo ya aina nyingi ambayo inafaida katika urutubishaji wa udongo na mingine ambayo ina madhara kwa mimea, wanyama pamoja na binadamu. Minyoo hutofautiana kwa ukubwa wa...

Je, tunajali lishe bora kwa ajili ya watoto wetu kila siku?

29/09/2020

Tofauti na ilivyo kwa watu wazima, watoto wanahitaji kupata lishe bora kila siku ili kuweza kujenga miili yao, na kukua katika kiwango kinachotakiwa na hatimae kuwa watu wazima. Ni muhimu kufahamu lishe inayotakiwa kwa watoto. Lishe bora ni nini? Lishe bora ni mlo unaojumuisha uwiano unaotakiwa wa virutubisho vyote muhimu...

Usimamizi wa rutuba ya udongo kwa njia za kilimo hai

29/09/2020

Usimamizi wa rutuba ya udongo sio tu kuweka mbolea au kupata mavuno mengi peke yake. Ni kuhusu kujenga udongo wenye rutuba thabiti na hai.    Mifumo ya kilimo yenye uzalishaji endelevu inahitaji usimamizi mzuri wa rutuba ya udongo ili kuhakikisha uendelevu wa muda mrefu wa uzalishaji wa chakula wa kwao...

Soko na utayarishaji wa mazao ya nguruwe

23/09/2020

Kwa muda mrefu na katika makala tofauti, MkM imeeleza kwa undani namna nzuri ya uzalishaji wa nguruwe bora, pamoja na lishe yake na mambo kadha wa kadha yanayohusiana na nguruwe. Katika makala hii utapata kufahamu kuhusiana na soko na namna ya utayarishaji wa mazao. Soko la mazao yatokanayo na nguruwe...

Nimepata mafanikio makubwa katika utengenezaji na matumizi ya mbolea ya maji

23/09/2020

Mkulima anaweza kupunguza gharama, kuongeza rutuba kwenye udongo, mavuno pamoja na kipato kwa kutengeneza mbolea mwenyewe. Mimea inaweza kukuonyesha inahitaji nini. Ni rahisi sana kugundua endapo mimea haipati virutubisho vya kutosha. Majani kubadili rangi ni ishara tosha kuwa mimea ina upungufu wa virutubisho. Ni lazima mkulima awe tayari kutatua tatizo...

Jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho katika mmea

22/09/2020

 Nitrogen Dalili: Mahindi, maharage na mboga hukua kwa taabu sana, majani yanakuwa na kijani mpauko. Sukumawiki na kabichi majani yanakuwa na mchanganyiko wa rangi ya njano. Majani ya chini ndiyo huathiriwa kwanza, na kiwango cha maua kuchanua hupungua au kuchelewa. Kutibu: Ongeza kiasi cha kutosha cha mbolea za asili. Panda...

Utupa (Tephrosia vogelii) Mmea wenye faida nyingi kwa mazingira na wanyama

22/09/2020

Utupa ua kitaalamu Tephrosia vogelii ni mti mdogo wa jamii ya mikunde, wenye mizizi yenye vifundo vyenye bakteria maalumu wenye uwezo wa kubadili hewa ya Nitrogeni iweze kutumiwa na mmea kama nishati inayohitajika kwenye ukuaji wake. Utupa unaweza kupandwa kwa ajili ya kuboresha na kurutubisha udongo, kuni, kuua wadudu washambuliao...

Ugonjwa wa kichocho na hatari zake kiafya

18/09/2020

Ugonjwa wa kichocho umekua changamoto kwa jamii zinazoishi kandokando ya mito, na hasa katika maeneo yenye mashamba ya umwagiliaji. Tafiti zinaonesha asilimia 51% ya watanzania wapo kwenye hatari ya kupata ugonjwa huu hasa maeneo ya ukanda wa Pwani, ukanda wa ziwa Victoria, Tanganyika, Bwawa la nyumba ya Mungu-Mwanga na maeneo...

Kilimo hai ni rafiki kwa mazingira

18/09/2020

Njia nyingi zinazotumika katika kilimo siyo rafiki na mazingira. Njia za kawaida/ mazoea za kilimo ikiwemo, kilimo cha kuhama hama, kufyeka misitu na kuchoma majani/mabaki, vyote husababisha uharibifu wa mazingira. Maana ya Kilimo rafiki kwa mazingira Hii ni aina ya kilimo chenye kutumia mbinu bora za kilimo zenye tija kwa...

Unaweza kuepuka umaskini kwa kufanya kilimo cha mihogo

16/09/2020

Zao la muhogo ni maarufu zaidi katika nchi za bara la Afrika. Zao hili hulimwa kwenye nchi zaidi ya 34 barani Afrika. Zao hili linajulikana zaidi kama mlinzi wa njaa kwa wakazi wa vijijini.   Asili ya zao la muhogo Mihogo ni zao muhimu kwa chakula kwa nchi nyingi za...

Madhara ya utupaji holela wa makopo ya viuatilifu

16/09/2020

Mazingira ni jumla ya mambo yote yanayomzuguka mwanadamu na viumbe hai katika maisha yao. Kwa hiyo kila unachokiona ni mazingira yako. Mazingira yakiwa katika hali ya usafi hupendeza na kuvutia. Mazingira yasipowekwa katika hali ya usafi huatarisha afya ya viumbe hai waishio katika mazingira hayo ikiwamo binadamu, wanyama, na mimea...

Vidokezo muhimu vya lishe kwa makundi tofauti katika jamii

14/09/2020

Kumekuwa na maswali mengi kuhusu lishe hasa kutokana na janga la Covid-19. Maswali kama, je, tunapaswa kula nini kujenga na kudumisha mfumo wetu wa kinga ya mwili? Watu wengi wangependa kujua jinsi wanavyoweza kutumia vyakula vinavyopatikana kwa urahisi shambani au sokoni kuhakikisha afya bora kwa familia zao. Katika makala hii,...

Miaka tisa nikitumia jarida la Mkulima Mbunifu na kupata mafanikio lukuki

14/09/2020

Mipango thabiti huzaa matunda mema na kila jambo likiwekwa katika mipango imara husababisha mafanikio. Hayo ni maneno ya Mzee Goodluck Lazaro Kimario na mkewe Rose Goodluck Kimario ambao ni miongoni mwa wakulima wa muda mrefu na wanufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu. Wakulima hawa walikua wakiishi wilaya ya Tarime mkoani...

Ulishaji wa chakula bora kwa kuku hupelekea utagaji wa mayai mengi na yenye ubora

14/09/2020

Wafugaji walio wengi mara kwa mara wamekuwa wakilalamika sana hasa katika msimu wa baridi kuwa kuku hawatagi ama wakitaga basi utagaji wao huwa hafifu tofauti na msimu wa joto. Jambo hili limekuwa la kawaida sana na wafugaji wengi wamekuwa hawajishughulishi na ulishaji bora kwa kuku katika msimu wa baridi huku...

Kuku chotara wanahitaji chanjo kwa utaratibu maalumu

09/09/2020

Ufugaji wa kuku wa kienyeji chotara ni ufugaji ambao hujumuisha muunganiko au mchanganyiko wa aina mbili tofauti za kuku. Kuku chotara wana faida nyingi sana kwa mkulima ikiwa ni pamoja na ustahimilivu wa magonjwa hivyo kupunguza gharama za kutibu. Utagaji mkubwa wa mayai mengi mpaka kufikia 240 kwa mwaka kama...

Sindika mchicha nafaka kupata bidhaa bora ya unga

08/09/2020

Mchicha nafaka ni jamii ya mchicha katika kundi la mboga lakini wenye kulimwa kwa ajili ya kupata nafaka. Mimea yake ni tofauti na mimea ya nafaka nyingine kama vile ngano, mahindi au mtama. Asili ya mchicha nafaka ni huko Mexico, Amerika ya Kusini, na mchicha huu ulikuwa ukitumika kama chakula...

Mfugaji hana budi kufahamu na kutumia mfumo rahisi wa uchujaji maji kwenye bwawa la samaki

26/08/2020

Moja ya changamoto kubwa sana katika ufugaji wa samaki ni uchafukaji wa maji kwenye bwawa ambao hupelekea kutokukua vizuri kwa samaki na kutokuwa na mavuno kwa wakati. Kama mkulima mbunifu ni vema sana kuwa mbunifu katika kutatua changamoto ambazo zinajitokeza katika mradi wako. Ili maji yasichafuke kwa haraka ni vema...

Jifunze kuhusu kiwavijeshi vamizi na namna ya kumdhibiti kwa kutumia dawa za kilimo hai

25/08/2020

Jinsi ya kuzuia waharibufu wa mahindi kwa kutumia dawa ya kilimo hai Mahindi ni zao muhimu na tegemezi kwa jamii nyingi barani Afrika. Nchini Tanzania zao hili hulimwa mikoa yote kwani ni zao tegemezi kwa chakula. Hata hivyo, zao hili lina changamoto, kwani hushambuliwa na  visumbufu mbalimbali vya mimea ikiwamo ...

Utunzaji, uhifadhi na usafirishaji bora wa Maziwa

25/08/2020

Ni muhimu kujua baadhi ya mambo ambayo husababisha maziwa kuharibika ili uweze kuzuia hasara zisizokuwa za lazima. Maziwa yana virutubisho vingi sana. Kwa sababu hiyo, bakteria waharibifu huweza kukua kwa haraka kwenye maziwa. Kwa wasafirishaji wa maziwa, nii muhimu kufahamu vyema jinsi maziwa yanavyoweza kuharibika haraka kama hayatatumika na kuhifadhiwa...

Kilimo cha mahindi kwa kutumia mashimo na mbolea ya asili kimenihakikishia usalama wa chakula

21/08/2020

“Miongoni mwa mafanikio niliyoweza kupata kutoka katika makala mbalimbali za jarida la Mkulima Mbunifu ni pamoja na; ufugaji wa nyuki, uanzishaji wa vitaru vya miti, kilimo cha mboga mboga  kwa kutumia mbolea ya asili, pia nimeweza kuboresha uzalishaji wa samaki kwa kutumia lishe ambapo imenisaidia kupata kitoweo. Kutokana na haya...

Fahamu faida za lishe ya samaki kwa watu wazima na watoto

21/08/2020

Watu wanaoishi kwa kutegemea vyakula vya kwenye maji huishi kwa muda mrefu na huwa na kumbukumbu nzuri na uwezo mkubwa wa kufikiri. Katika matoleo kadha wa kadha ya jarida la MkM, tumekuwa tukieleza kwa ufasaha kabisa namna ya ufugaji bora wa samaki, na faida zake kiuchumi kwa mfugaji na jamii...

Ufugaji wa ndani wa kuku wa asili na banda bora la kufugia

20/08/2020

Katika toleo lililopita tulielezea kwa undani kuhusu ufugaji wa kuku wa asili pamoja na mifumo ya ufugaji ikiwa ni mfumo huria na nusu huria. Katika toleo hili tutaangazia mfumo wa ndani na banda la kuku. Mfumo wa ndani ni mfumo ambao kuku hujengewa banda rasmi na hufugwa wakiwa ndani huku...

20/08/2020

Kabla hujaamua kufuga sungura hakikisha ya kwamba umejitoa na unamuda wa kuwahudumia wanyama hawa. Ufugaji wa sungura si rahisi kama vile ukifuga paka au mbwa. Sungura wanahitaji uangalizi hasa kwenye usafi kwa sababu ni rahisi kwao kupata maradhi yatokanayo na mazingira mabaya na machafu. Mabanda Kuna aina mbili ya mabanda...

Njia zinazotumika kutibu udongo wa kusia mbegu katika viriba

20/08/2020

Uoteshaji na usiaji wa mbegu katika viriba ni teknologia inayokua siku hadi siku. Zipo njia mbalimbali zinazoweza kutumika katika kutibu udongo unaotumika kwenye viriba ili usiwe chanzo cha kusambaza vimelea vya magonjwa. Udongo Mchanganyiko wa udongo unaotumika katika viriba unatakiwa uwe na sifa zifuatazo; Uwe na rutuba ya kutosha. Usiwe...

Afya ya mifugo hutegemea uangalizi wa kina na tiba sahihi

19/08/2020

Afya ya mifugo ni tatizo kubwa linalowakabili wafugaji walio wengi katika sehemu mbalimbali za nchi. Wapo wataalamu mbalimbali katika maeneo na mikoa yote ya nchi wanaotoa huduma ya mifugo lakini, bado kuna changamoto nyingi zinazowakumba wafugaji. Katika sehemu ambazo mawasiliano na miundo mbinu ni duni, wafugaji wamekuwa wakipoteza mifugo kutokana...

Chakula cha nguruwe kinahitaji virutubisho sahihi

14/08/2020

Nguruwe huhitaji kulishwa vizuri ili waweze kukua haraka na kufikia uzito wa kuchinjwa mapema. Ikiwa watatunzwa vizuri watafikia uzito wa kilo 60 hadi 90 wakiwa na umri wa miezi sita hadi tisa Nguruwe ana uwezo wa kula vyakula vya aina mbali mbali ikiwa ni pamoja na mabaki ya vyakula vya...

Zalisha mbolea za asili kwa ajili ya kilimo hai

13/08/2020

Ili uweze kufanya kilimo hai ni lazima uwe na mbolea za asili. Bila mbolea za asili huwezi kufanya kilimo cha aina yeyote kwa misingi ya kilimo hai. Mbolea za asili zipo za aina mbalimbali ama huweza kutengenezwa kwa njia mbalimbali na kwa kutumia malighafi mbalimbali kama vile samadi, majani ya...

Fahamu changamoto zinazosababisha vifo vya samaki katika bwawa

12/08/2020

Ufugaji wa samaki kwa sasa ni moja ya mradi mzuri kiuchumi, hapa nchini na nje ya nchi. Pamoja na ufugaji huu kuendelea kuna changamoto zinazoikabili ambazo ni muhimu wafugaji kutambua ili kuepuka hasara. Elimu ya ufugaji wa samaki kwa miaka ya karibuni imekuwa ikiwafikia wengi na hii ni kutokana na...

Wakulima wajidhatiti kudhibiti sumu kuvu msimu wa mavuno

29/07/2020

Katika majarida yaliyopita, tuliangazia kwa undani kuhusu sumu kuvu na namna ya kudhibiti. Katika toleo hili tumeona vyema kurudia makala hii hasa kwa kuwa tunaelekea msimu wa mavuno na wakulima wanahitaji kukinga mazao yao na sumu kuvu. Sumu kuvu (Aflatoxin) ni aina za kemikali za sumu zinazozalishwa na aina ya...

Uzalishaji na utunzaji wa malisho ya mifugo kwa ajili ya kulisha wakati wa kiangazi

29/07/2020

Kama wewe ni mfugaji, Je, umewahi kufikiri utalisha vipi mifugo wakati wa kiangazi? Wafugaji walio wengi wanafanya miradi yao bila kuweka mikakati ya upatikanaji wa malisho katika majira yote ya mwaka, hasa kipindi cha kiangazi ambapo upatikanaji wa chakula cha mifugo ni duni. Bila malisho, mifugo haiwezi kuzalisha au kupata...

Aina bora ya nguruwe kwa ajili ya kufuga

27/07/2020

Nchini Tanzania, ufugaji wa nguruwe unazidi kuongezeka siku hadi siku. Hii ni kwa sababu nguruwe ni moja kati ya mifugo inayompatia mfugaji kipato kwa haraka, kwani huzaa mara mbili kwa mwaka na kila mzao anaweza kuzaa watoto 12. Pamoja na matunzo mengine ya nguruwe ili mfugaji aweze kupata faida kama...

Tumia kilimo cha mzunguko kudhibiti wadudu na magonjwa

27/07/2020

Mimi ni msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu, nimekuwa nikivutiwa na makala za uzalishaji wa mazao kwa njia ya asili. Naomba kufahamishwa ni kwa namna gani naweza kudhibiti wadudu na magonjwa kwenye bustani yangu bila kutumia dawa yoyote? Wadudu na magonjwa visipodhibitiwa, humsababishia mkulima hasara kwa kiasi cha asilimia 20...

Ng’ombe wanahitaji uangalizi wa kina kwa uzalishaji wenye tija

20/07/2020

Ng’ombe ni mifugo ambayo hutegemewa sana na wananchi walio wengi hapa nchini. Kuna aina tatu za ng’ombe wafugwao hapa nchini, nao ni ng’ombe wa kisasa, kienyeji na machotara. Faida za ufugaji wa ng’ombe Kupata chakula kama vile maziwa na nyama. Kupata ngozi ambayo hutumika kama malighafi kwa ajili ya kutengeneza...

Unaweza kulima giligilani kukuza uchumi na pato kwa haraka

17/07/2020

Kilimo cha Giligilani (Coriander) ni mradi mkubwa unaojitosheleza kukuza maisha ya mkulima kutokana na sababu kuwa zao hili la biashara huchukua muda mfupi toka kuotesha hadi kuvuna. Zao hili linalotumika kama kiungo cha chakula katika mapishi ya vyakula mbalimbali kama nyama, supu au mchuzi linafaa kulimwa wakati wowote na katika...

Sindika Machungwa kuepuka hasara na upotevu usio wa lazima

17/07/2020

Machungwa ni moja ya mazao ya matunda ambayo yanalimwa sana kwa wingi katika mikoa ya Morogoro, Pwani, Tanga, Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Mwanza. Zao hili ni la chakula na biashara. Ikiwa huu ni msimu wa machungwa, wakulima hawana budi kujifunza namna mbalimbali za kusindika zao hili ili kuondokana...

Soko la mbogamboga hutokana na uzalishaji makini

14/07/2020

Soko ni mahali au njia ambayo muuzaji na mnunuzi hukutana na kubadilishana mali au huduma. Ni fursa ya kuuaza na kununua.  Kwa kawaida tunapozungumzia soko, tunagusia mambo kadha wa kadha, ikiwa ni pamoja na ukubwa wake, yaani wingi wa wauzaji na wanunuzi katika soko husika, ushindani, washindani, bidhaa na bei...

Fahamu wadudu wasumbufu katika ufugaji wa kuku

14/07/2020

Ufugaji wa kuku ni moja ya sekta ambayo imekuwa na faida kwa wafugaji walio wengi, na hata watu ambao wanafanya shughuli nyinginezo, lakini bado hujishughulisha na ufugaji wa kuku. Pamoja na aina hii ya ufugaji kuwa na mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea wafugaji kipato kikubwa, bado inakumbwa na...

Ugonjwa wa ng’ombe wa mapele ngozi

10/07/2020

Ugonjwa wa mepele ngozi, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vijulikanavyo kisayansi kwa jina la Capri poxvirus. Takribani asilimia 5 hadi 50 ya ng’ombe katika kundi wanaweza kupatwa na ugonjwa huu, ambapo ng’ombe wa umri wowote anaweza kupatwa na ugonjwa huu. Ugonjwa wa mapele ngozi hauambukizwi kwa binadamu. Chanzo cha maambukizi...

Tuelimishane kuhusu mradi wa samaki kwa uzalishaji wenye tija

10/07/2020

Ni mazingira gani yanafaa zaidi kwa ufugaji wa samaki! Emma Peter anauliza: Nimefuatilia sana huu ujasiriamali kweli nimevutiwa na ningependa kujaribu kufanya. Nina eneo Rukwa lenye maji yakutosha ya asili takribani mita za mraba 2000, naomba ushauri wako Musa, Jinsi ya kuandaa hayo mabwawa na wapi nitapata samaki hasa sato...

Namna ya kuhifadhi mahindi kulinda ubora na kukidhi mahitaji ya chakula

06/07/2020

Mahindi ni zao la kwanza katika mazao makuu ya nafaka hapa nchini. Huzalishwa kwa wastani wa tani 2393000 kwa mwaka ambayo ni sawa na asilimia 63 ya mazao yote ya nafaka nchini. Zao la mahindi hulimwa karibu katika mikoa yote, lakini hulimwa zaidi katika mikoa ya Rukwa, Ruvuma, Iringa, Mbeya,...

Mkulima anaweza kujiongezea kipato kwa usindikaji wa ngozi

01/07/2020

Ngozi hukaushwa ili kuzuia uharibifu unaotokana na kuoza kwa kuwa si ngozi zote zinazozalishwa hupelekwa kiwandani zikiwa mbichi ili kusindikwa. Ngozi zikioza hupoteza ubora wake na hivyo kutokuwa na manufaa katika matumizi mbalimbali. Ngozi ni zao la mifugo linaloweza kutoa mchango mkubwa kuwainua kiuchumi wafugaji na jamii kwa ujumla. Baadhi...

Karibu maonyesho ya Nane Nane 2020

01/07/2020

Kama ilivyo ada kila mwaka nchini Tanzania, wakulima hujumuika pamoja kusherehekea wiki ya kitaifa ya kilimo ambayo hufanyika kikanda nchini Tanzania. Maonyesho hayo mahususi hutoa fursa kwa wakulima kufahamiana na kuonesha bunifu mbalimbali, nyenzo za kilimo, usindikaji na masoko ya bidhaa mbalimbali za kilimo. Mwaka huu maonyesho hayo yatafanyika kitaifa...

Fahamu na dhibiti ugonjwa wa Coenurosis

24/06/2020

Huu ni ugonjwa unaosababishwa na viluwiluwi vinavyojulikana kitaalamu kwa jina la Coenurusis Cerebralis unaoshambulia mfumo wa fahamu wa kati (ubongo na uti wa mgongo) wa mbuzi na kondoo.                     Chanzo cha viluwiluwi Viluwiluwi vya ugonjwa huu vinatokana na minyoo aina ya...

Zalisha bilinganya nyeupe kuongeza pato na lishe

24/06/2020

Bilinganya nyeupe (Long White Eggplant) ni moja ya zao la mbogamboga ambalo lina viini lishe vingi na muhimu kama vile madini aina ya chokaa na chuma, Vitamini A, B na C, wanga, protini na maji. Kisayansi zao hili hujulikana kama Solanum Melongenai na kilimo chake huweza kufanyika katika majira yote...

Jifunze namna ya kuhifadhi mazao ya mikunde baada ya mavuno

23/06/2020

Kabla mkulima hajavuna mazao yake, ni vyema akatambua namna ya kuyahifadhi kwa lengo la kuhakikisha zao linabaki katika ubora wake kwa muda mrefu. Kwa nini kuhifadhi Mazao yanapovunwa, ni vyema kuhifadhiwa ili kuhakikisha usalama wa chakula katika kaya na taifa kwa ujumla. Kuweka akiba kwa matumizi ya baadaye au kuhifadhi...

Usisafirishe kuku kwa kuwarundika au kuning’iniza kichwa chini

22/06/2020

Kumekuwa na tabia ya wafugaji walio wengi kutokuzingatia njia sahihi ya kusafirisha kuku wakati wa kupeleka sokoni au hata kuhamisha toka sehemu moja kwenda nyingine. Hali hii imekuwa ikisababisha mateso pamoja na vifo kwa kuku jambo ambalo pia husababisha hasara. Ni vizuri kuku wakawekwa kwenye tenga au trei yenye nafasi...

Kilimo mseto huongeza uzalishaji wa mazao, malisho na utunzaji wa mazingira

22/06/2020

Mara nyingi wafugaji wa mbuzi na wanyama wengine huendesha shughuli za kilimo, katika mashamba yao kwa kuotesha mimea ya aina mbali mbali. Hii ni pamoja na miti malisho. Kilimo mseto ni mfumo wa kilimo wa kuchanganya miti na mazao katika shamba moja. Miti sahihi kwa kilimo mseto humnufaisha mfugaji kwa...

Ubora wa zizi huinua uzalishaji wa mbuzi na kondoo

19/06/2020

Ufugaji wa Mbuzi na kondoo ni wa gharama nafuu sana hasa ukilinganisha na ng’ombe kwani wanyama hawa wana uwezo wa kuishi mahali popote na katika mazingira magumu kama yenye maradhi na ukame. Wanyama hawa kulingana na umbile lao dogo wanaweza kufugwa katika eneo dogo huku wakihudumiwa na familia zenye nguvu...

Fahamu namna ya kuandaa na kupanda mbegu za maembe

18/06/2020

Wakulima walio wengi nchini Tanzania, wamekuwa wakipanda aina mbalimbali za miti ya matunda, bila kuzingatia kanuni na taratibu za upandaji wa miti hiyo, jambo ambalo limekuwa likiwasababishia hasara kwa kuwa na miti isiyokuwa na tija. Ni muhimu kwa wakulima wa miti ya maembe kufahamu na kuzingatia taratibu za uandaaji wa...

Ni muhimu kuwa kwenye vikundi ili kupata maendeleo thabiti

18/06/2020

Kikundi ni muunganiko wa watu wenye nia/lengo moja katika kutekeleza jambo fulani walilolikusudia kwa faida ya hao walioamua kuwa pamoja.  Lengo kuu la kuwa na kikundi ni kutaka kufanya au kutatua tatizo kwa pamoja. Maamuzi ya kikundi kiwenje ikiwa na maana ya ni kikundi cha aina gani na wahusika watakua...

Namna bora ya kupambana na maambukizi ya minyoo bapa (Trematodes) kwa mifugo

17/06/2020

Aina hii ya minyoo imeripotiwa na wataalamu mbalimbali nchini Tanzania na mahali kwingine duniani kusababisha madhara makubwa kwa mifugo yanayosababisha upotevu mkubwa wa kiuchumi. Minyoo bapa ni minyoo yenye urefu wa kuanzia midogo milimita moja hadi mirefu ya milimita 7. Kinachowatambulisha kwa urahisi ni uwepo wa vifyonzeo vya damu viwili,...

Ukizingatia kanuni sahihi, kilimo cha migomba kina tija

16/06/2020

Nchini Tanzania kilimo cha migomba kimekuwepo kwa miaka mingi. Kilimo hiki ni maarufu sana kwa sababu zao la ndizi limekuwa likitumika kama chakula kikuu kwa baadhi ya mikoa kama vile Kagera, Kilimanjaro na Mbeya. Zao la migomba limekuwa muhimu, na kufuatiwa na mazao ya mahindi, mpunga, mtama, muhogo, viazi na...

Gusa bomba: Njia salama ya kunawa mikono

12/06/2020

Gusa bomba ni teknologia inayokuwezesha kusafisha mikono yako bila kugusa chanzo cha maji. Kwa kawaida tumezoea kuwa unaenda bombani kunawa mikono kabla ya kula chakula, baada ya kutoka chooni, au wakati wowote unapohisi kuchafuka. Unapofika kwenye bomba huku mikono yako ikiwa michafu, unafungua bomba, maji yanatoka halafu unanawa mikono. Baada...

Jifunze kusindika nazi na kuzalisha bidhaa za aina mbalimbali

11/06/2020

Kusindika nazi Katika msimu huu, nazi zinapatikana kwa wingi mashambani na sokoni na hivyo kufanya gaharama za uuzaji kuwa chini kidogo. Hata hivyo pamoja na upatikanaji huu, wakulima na wauzaji wengi hawajafikiria namna ya kuongezea thamani zao hili ili kuzalisha bidhaa bora zaidi zenye soko na muda mrefu wa matumizi....

Wasemavyo wanufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu

10/06/2020

Mkulima Mbunifu imekua ikitembelea wakulima mbali mbali nchini Tanzania ili kuchukua shuhuda mbalimbali za wanufaika na kuzichapisha ziwe chachu kwa wasomaji wengine kujifunza na kufanya kwa vitendo. Je wewe umejifunza nini kutoka Mkulima Mbunifu? Tafadhali tuandikie kupitia mawasiliano yaliyo katika jarida hili. Katherini Samweli Palanjo, Kijiji cha Sura-Meru, Arusha Mimi...

Unaweza kuongezea thamani Mtama kwa kuzalisha mvinyo

09/06/2020

“Kwa karne nyingi, mtama umekuwa ukichukuliwa kama chakula cha watu maskini au chakula cha njaa, hili sasa limegeuka na kutoa matumaini mapya kwa wakulima wa mtama nchini Tanzania” Mtama ni kundi la mbegu ndogo ndogo aina ya mazao ya nafaka, yanayolimwa sana duniani kote kwa ajili ya chakula na lishe....

Mahindi zao kuu la chakula linalopendwa na kutumiwa sana

09/06/2020

Huu ni mwendelezo wa makala inayokuhusu kilimo cha mahindi kutoka toleo lililopita Inapendekezwa kuweka mbolea baada ya udongo kupimwa. Mbegu ya mahindi iliyoboreshwa inaweza kufanya vizuri inapowekewa mbolea halisi inayohitajika, kulingana na uhitaji wa virutubisho.  Mbolea ya mboji inaweza kuwekwa kwenye shimo wakati wa kupanda. Palizi Hakikisha kuwa, shamba lako...

Ujue mmea wa mnazi pamoja na kanuni za kilimo bora cha zao hili

09/06/2020

Minazi ni zao la biashara nchini Tanzania ambalo hulimwa na kustawi zaidi ukanda wa pwani ya Tanzania. Mikoa kama Lindi, Mtwara, Pwani, Dar es salaam, Tanga na visiwa vya Unguja na Pemba, pia kwa uchache Minazi hulimwa kwenye mikoa ya Mbeya, Kigoma na Tabora. Aina za minazi Kuna aina kuu...

Ijue teknolojia ya vijidudu vidogo vidogo na matumizi yake katika kilimo

08/06/2020

Kumekuwa na changamoto kadhaa za kwenye kilimo ikiwemo kukosekana na rutuba magonjwa na wadudu waharibifu. Teknolojia ya EM imekuwa ikitumiwa nchi mbali mbali duniani na pia Tanzania.   Baadhi ya maeneo ya ardhi hayana rutuba kutokana na mambo kadhaa kama vile kulimwa kwa muda mrefu au matumizi ya mbolea za...

Fahamu aina mbalimbali za viungo muhimu kwa afya ya binadamu

08/06/2020

Pamoja na viungo kutumika kuongeza ladha katika vyakula, pia vina manufaa katika mwili wa binadamu. Mara nyingi wakulima wamekuwa mstari wa mbele kuzalisha mazao muhimu kwa manufaa ya jamii, ilhali wao wakijisahau kuwa wanahitaji pia kutumia ili kuimarisha afya zao. Viungo mbalimbali kama tangawizi, vitunguu saumu, vitunguu maji, pilipili na...

Utunzaji, uhifadhi na usafirishaji bora wa maziwa

08/06/2020

Ni muhimu kujua baadhi ya mambo ambayo husababisha maziwa kuharibika ili uweze kuzuia hasara zisizokuwa za lazima. Maziwa yana virutubisho vingi sana. Kwa sababu hiyo, bakteria waharibifu huweza kukua kwa haraka kwenye maziwa. Kwa wasafirishaji wa maziwa, nii muhimu kufahamu vyema jinsi maziwa yanavyoweza kuharibika haraka kama hayatatumika na kuhifadhiwa...

Mazao ya kilimo biashara, yazingatie uzalishaji bora na wenye tija

Kilimo biashara kina faida kikifanyika kwa njia ya vikundi vya wakulima

08/06/2020

Kilimo kitabaki kuwa msingi wa ukuaji wa uchumi kupunguza umaskini na kudumisha mazingira iwapo kitafayika kwa utaratibu. Hata hivyo ni muhimu mkulima kuzingatia kilimo biashara ili kukuza kipato.  Kilimo biashara ni fursa muhimu ambayo mkulima anapaswa kufanya kwa kuzingatia utaratibu maalumu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini ya biashara ili kuhakikisha...

Zingatia usalama wa chakula kipindi hiki cha ugonjwa wa COVID-19

05/06/2020

Janga la Covid-19 linachangia changamoto ya usalama wa chakula na lishe bora duniani. Kuwepo na mfumo endelevu wa chakula na mahali panapoweza kuhakikisha usambazaji wa chakula bora katika nyakati kama hizi, ni fursa ambazo miji michache ulimwenguni zinafurahia.  Nchi nyingi na mashirika yanaongeza jitihada za kufanya kilimo salama, ili kupambana...

Lishe bora ni muhimu kwako na kwa familia yako

29/05/2020

Kuna uhusiano mkubwa kati ya kile tunachokula, hali ya afya yetu na uwezo wa miili yetu kupambana na magonjwa na vimelea vinavyosababisha magonjwa. Chakula bora kwa afya zetu na watu wanaotuzunguka ni muhimu kwa ajili ya kuendelea kuzalisha mali na kujenga jamii iliyo bora. Kuwa na afya njema, inatukumbusha wazalishaji...

Mchicha: Zao la muda mfupi lenye faida

28/05/2020

Wakati wakulima wakijikita kwa kiasi kikubwa kwenye mazao mengi ya bustani kama vile nyanya, karoti,kabichi na mengine mengi, hawana budi pia kuweka mkazo katika zao la mchichi ambalo huvunwa kwa muda mfupi (wiki 3 - 5) na lenye pato kubwa katika masoko makubwa.  Halikadhalika, mkulima hawezi kuwa na gharama kubwa...

Copying Susan S.

Utunzaji wa vitoto vya mbuzi na kondoo

28/05/2020

Vitoto vya mbuzi na kondoo wanahitaji uangalizi mzuri kwa sababu wao ni mbuzi na kondoo wa kesho. Utunzi mzuri unawafanya kuwa wenye nguvu na afya. Utunzaji wa mbuzi huanza mara tu baada ya kuzaliwa. Mfugaji ahakikishe yafuatayo;  Kitoto cha mbuzi/kondoo kinapata maziwa ya mwanzo (dang’a) ndani ya masaa 24 tangu...

Kukausha uyoga

Jinsi ya kukausha uyoga na kuhifadhi kwa muda mrefu

27/05/2020

Uyoga ni moja ya vyakula muhimu katika mwili wa binadamu, vinavyoupa mwili nguvu na virutubisho vya kujenga mwili.  Uyoga ni mmea uliopo katika kundi la mimea aina ya fangasi, na umetajwa na wataalamu mbalimbali kuwa na faida kwenye suala la afya kwa binadamu ikiwa ni pamoja na kuondoa seli mfu...

Tumia eneo ndogo kuanzisha bustani ya nyumbani

05/05/2020

Bustani ya nyumbani ni eneo lililokaribu na nyumbani au jikoni ambalo linaweza kutumika kwa kulima aina mbalimbali za mboga, matunda na viungo vya chakula. Jinsi ya kuandaa bustani ya gunia Mahitaji muhimu Gunia au mfuko wa salfeti iliotobolewa pande zote Kokoto au mawe madogo Nguzo au ubao wa 4’ kwa...

Viazi vitamu: Hukabili uhaba wa chakula

28/04/2020

Viazi vitamu ni moja ya mazao yanayotumika kama kinga ya kukabiliana na uhaba wa chakula kutokana na sifa yake ya kuvumilia ukame kwa muda mrefu. Sehemu kubwa ya zao hili hulimwa kwa matumizi ya nyumbani.   Viazi vitamu ni moja kati ya mazao makuu ya mizizi nchini Tanzania. Zao hili hulimwa kwa ajili...

Mkaa wa pumba za mchele na matumizi yake

23/04/2020

Mkaa wa pumba za mchele hutengenezwa kwa kuchomwa kwa njia maalumu ya kisayansi asilia. Mkaa huchomwa na kuwa na rangi moja ya kikaboni (rangi nyeusi) iliyoiva vyema. Ndani ya mkaa huu kuna madini ya fosiforasi, potasi, kalshiam, magnesiam, na virutubisho vingi vya asili vinavyohitajika kwa ajili ya kupanda mazao. Mkaa...

Nguruwe wanahitaji kupata chakula chenye virutubisho sahihi

23/04/2020

Nguruwe huhitaji kulishwa vizuri ili waweze kukua haraka na kufikia uzito wa kuchinjwa mapema. Ikiwa watatunzwa vizuri watafikia uzito wa kilo 60 hadi 90 wakiwa na umri wa miezi sita hadi tisa. Nguruwe ana uwezo wa kula vyakula vya aina mbali mbali ikiwa ni pamoja na mabaki ya vyakula vya...

Ukweli kuhusu ufugaji wa ng’ombe wa maziwa

22/04/2020

Ikiwa wewe siyo mfugaji wa ng'ombe na unahitaji kufanya hivyo ila unaogopa kulingana na habari toka kwa wafugaji wengine, hebu soma baadhi ya taarifa hizi huenda zikakushawishi kufanya mradi huu kwa furaha na kwa ufanisi zaidi. Unaweza kuanzisha mradi wa ufugaji wa ng’ombe wa maziwa ukiwa na eneo dogo. Unachotakiwa...

Ni muhimu mkulima kuelewa magonjwa ya mimea

21/04/2020

Tafsiri rahisi ya magonjwa ya mimea ni hii: Ni kuwepo kizuizi, au usumbufu fulani unaosababishwa na magonjwa au viumbe fulani kusababisha vichocheo vya ukuaji wa mimea kutokufanya kazi katika hali yake ya kawaida. Kutokana na sehemu ya mmea kupata usumbufu huo, seli za mmea zinaweza kufa au hata kusababisha mmea...

Kuku

Tumia mihogo kulisha kuku

21/04/2020

Utafiti wa hivi karibuni unaonesha kuwa nyuzi za mihogo zinaweza kutumika kwa ajili ya chakula cha kuku wanaotaga. Sekta ya kuku hapa Tanzania hutegemea nafaka pamoja na jamii ya kunde kwa ajili ya kutengeneza lishe ya kuku. Nafaka kama vile mahindi, mtama, ngano na shayiri ni chanzo kikubwa cha vyakula...

Kwa nini tunafanya kilimo? Falsafa na umuhimu

15/04/2020

Kilimo kimekuwepo tangu zama za mababu zetu. Binadamu wa kwanza walipata chakula chao kwenye mazingira yanayowazunguka na kwa juhudi kama uwindaji kabla ya kuanza kulima ardhi, kupanda mazao na kufuga mifugo kama vyanzo vya lishe. Hii ni pamoja na nafaka, mazao ya mizizi, karanga, matunda, nyama, maziwa, na hata mayai....

Ng'ombe mwenye dalili ya joto ya kusimama

Uzoefu husaidia kutambua mnyama anapokuwa kwenye joto

15/04/2020

Uzalishaji wenye faida kwa ng’ombe wa maziwa huhitaji uangalizi wa karibu, unaowezesha kutambua ni wakati gani ng’ombe ana joto, hivyo kufanya uhamilishaji kwa wakati unaotakiwa. Kushindwa kutambua joto ni chanzo kikubwa cha urutubishaji hafifu. Mbali na Tanzania, kulingana na utafiti uliofanywa na chuo cha PennState huko Marekani, takriban nusu ya...

Kondoo wa kisasa

Fuga kondoo kisasa uboreshe pato lako

13/04/2020

Kwa siku za nyuma, jumla ya idadi ya kondoo wanaofugwa hapa nchini Tanzania ilikaribiana kuwa sawa na idadi ya mbuzi nchini kote. Kwa sasa, idadi ya kondoo imepungua kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na idadi ya mbuzi. Hii imetokana na wafugaji kuhamishia mapenzi yao kwenye ufugaji wa mbuzi. Kama walivyo mbuzi,...

Mboga ya asili

Kwa nini tunafanya kilimo?

31/03/2020

Kilimo kimekuwepo tangu kale za mababu zetu. Binadamu wa kwanza walipata chakula chao kwenye mazingira yanayowazunguka na kwa juhudi kama uwindaji kabla ya kuanza kulima ardhi, kupanda mazao na kufuga mifugo kama vyanzo vya lishe. Hii ni pamoja na nafaka, mazao ya mizizi, karanga, matunda, nyama, maziwa, na hata mayai....

Sindika Mananasi kuzalisha bidhaa mbalimbali

11/03/2020

Nanasi huliwa kama tunda na huweza kusindikwa ili kuzuia kuharibika na hivyo kupatikana kwa bidhaa kama jamu, juisi, mananasi makavu na vipande vya mananasi visivyokaushwa.

Utengenezaji rahisi wa mbolea ya mboji kwa mazao ya kilimo hai

09/03/2020

Mboji ni sehemu ya viumbe (mabaki ya mimea na wanyama (matamahuruku) ambayo imeozeshwa kwa muda mrefu ili kusazwa na viumbe vidogo vidogo. Sehemu za vitu kama majani, matunda na mabaki ya mboga hutengeneza mbolea ya mboji. Vipande vya vitu au sehemu za viumbe mara nyingi huwa vimejazwa nyumbani au shambani...

Ulishaji wa majani machanga ni hatari kwa afya ya mifugo

09/03/2020

Mabadiliko ya hali ya hewa ni jambo muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku, hata katika ufugaji mabadiliko haya ya hewa yanaweza kuleta athari katika mifugo yetu. Ukame wa muda mrefu unasababisha kupungua au kuisha kwa malisho ya wanyama. Majani machanga ni yapi Majani machanga ni yale yanayo chipua...

Namna bora ya uchakataji na uhifadhi wa samaki ili kuzuia wasiharibike

03/03/2020

Ufugaji samaki kwa sasa umeshika kasi kutokana na ulaji kuongezeka taktibani katika maeneo yote ya nchi. Ili kuhakikisha kuwa mfugaji anaweza kufanikiwa katika hatua zote za ufugaji mpaka hatua ya kupeleka bidhaa yenye ubora ni muhimu sana kuzingatia uhifadhi. Kwanini uhifadhi wa samaki Samaki kama viumbe vingine visipohifadhiwa vizuri na...

Unaweza kusindika Nanaa badala ya kuuza majani mabichi

03/03/2020

Kabla ya kujifunza namna ya kusindika nanaa (mint), ni vyema tukaangalia kwa ufupi kuhusu zao hili na namna ya kuzalisha. Nanaa ni zao la majani ambalo huzalishwa na kutumiwa kama kiungo. Zao hili la viungo ni muhimu kuoteshwa kwenye udongo wenye rutuba ya kutosha na wenye pH kuanzia kiwango cha...

Sumu zinazoweza kuathiri mbuzi

28/02/2020

Pamoja na kuwa kuna magonjwa mengi yanayoweza kuathiri mbuzi, pia sumu zinazopatikana katika baadhi ya miti, mimea, dawa au hata wanyama, huweza kusababisha mbuzi kufa mara atakapokula. Baadhi ya sumu zinazoweza kusababisha mbuzi kufa ni kama zifuatayo; 1. Sumu ya lukina Mmea huu una sumu iitwayo mimosine, ambayo ikiliwa kwa...

Fahamu namna bora ya upandaji wa zao la vanilla ili kuongeza kipato

28/02/2020

Vanilla ni moja ya zao la viungo ambalo hutumika kila siku nyumbani na maeneo mengine. Matumizi makubwa ya zao hili ni kuongeza harufu nzuri na ladha ya vyakula na vinjwaji mbali mbali. Baadhi ya vyakula ambavyo vanilla huwekwa ni pamoja na chokoleti, keki, maandazi, biskuti, uji, barafu pia vinjwaji baridi...

Mazao ya kilimo hai yanahitaji virutubisho vya asili

25/02/2020

Kabla ya yote, ni muhimu mkulima kujiuliza na kufahamu ni namna gani virutubisho vya asili vya mimea hufanya kazi? Mimea ya kijani ina uwezo wa kufanya (photosynthesis). Mwanga wa jua, hewa ya ukaa pamoja na maji huzalisha chakula cha mimea aina ya wanga, ambacho baadaye husafirishwa sehemu mbalimbali za mimea...

Mabaki ya mazao yanaweza kuwa malisho wakati wa kiangazi

25/02/2020

Mabaki ya mazao ndicho chakula halisi kinachotumika kwa malisho wakati wa kiangazi katika nchi za ukanda wa tropiki, ila ubora wake ni mdogo sana. Ng’ombe wa maziwa huwa wanateseka kwa kutopatiwa chakula cha kutosha, na matokeo yake ni kuzalisha kiwango kidogo cha maziwa, uwezo mdogo wa kuzaliana, kuwa na uzito...

Fahamu namna ya Kuandaa na kupanda mbegu za miembe

25/02/2020

Mimi ni msomaji wa jarida la Mkulima mbunifu, nimejifunza mengi, lakini natamani kufahamu namna ya kuandaa na kupanda mbegu za miembe - Msomaji MkM Wakulima walio wengi nchini Tanzania, wamekuwa wakipanda aina mbalimbali za miti ya matunda, bila kuzingatia kanuni na taratibu za upandaji wa miti hiyo, jambo ambali limekuwa...

Mazao ya kilimo hai na upatikanaji wa masoko

19/02/2020

Kilimo hai ni aina ya kilimo ambacho hakitumii mbolea wala dawa za viwandani katika uzalishaji wake wa mazao. Mazao yanayozalishwa kwa kutumia kilimo hiki huwa na bei ya juu sana kutokana na kuwa ni salama kwa afya ya mtumiaji. Mazao hayo hayana madhara ya muda mfupi wala mrefu hivyo mtumiaji...

Funza walisha kuku: Ubunifu mpya wa asili kwa wafugaji

19/02/2020

Funza ni nini? Funza ni aina ya wadudu ambao wanapatikana kwenye mbolea ya samadi inayotokana na mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, kondoo na nguruwe. Funza wanazalishwa kutokana na nini Wadudu hawa wanaweza kuzalishwa kutokana na kinyesi cha wanyama kama vile ng’ombe, mbuzi, kondoo, na nguruwe kwa kuchanganywa na tope chujio...

Unaweza kuokoa pesa nyingi kwa kutumia mwarobaini

18/02/2020

Mimi ni msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu, na nimefaidika mengi sana. Ningependa kufahamu kuhusiana na mti wa mwarobaini ambao nimekuwa nikisikia kwa muda mrefu kuwa unatibu wanyama na binadamu. Je naweza kuutumia kutibu kuku na mifugo mingine ninayofuga, na je unafaa kwa mazao?-Msomaji MkM Mwarobaini (Azadirachta indica) ni mti...

Wataalamu wanashauri nyama isioshwe

18/02/2020

Nyama ni miongoni mwa vitoweo vinavyopendwa kwa sababu ya ladha yake nzuri na wingi wa viini lishe. Nyama ni chanzo kizuri cha protini na madini ya chuma na kwa sababu hiyo, kuna ongezeko kubwa la matumizi yake mijini na vijijini. Miongoni mwa changamoto zinazoambatana na matumizi ya nyama kama kitoweo,...

Ni muhimu kuwa kwenye vikundi ili kupata maendeleo thabiti

18/02/2020

Mara nyingi nimesikia na kuona MkM Mkisisitiza wakulima na wafugaji kujiunga kwenye vikundi, je kuna umuhimu gani, na ni hatua zipi za kisheria tunazopaswa kufuata ili vikundi vyetu vitambuliwe na kuwa rasmi?-Bakari Buhari, Msomaji MkM Handeni. Kikundi ni muunganiko wa watu wenye nia/lengo moja katika kutekeleza jambo fulani walilolikusudia kwa...

Unaweza kufaidika na kuongeza pato kwa kuzalisha bamia

17/02/2020

Bamia ni zao linalolimwa sana nchi za joto. Zao hili hutumika kama mboga inayoliwa matunda. Asili ya mboga hii ni Afrika ya Kati na ya Mashariki, lakini kwa sasa zao hili limeenea katika sehemu nyingi za kitropiki, kama Visiwa vya Caribbean, Malaysia na Philipines. Zipo aina nyingi za bamia, aina...

Sindika soya kuongeza matumizi na ubora wake

17/02/2020

Soya ni zao mojawapo katika mazao ya jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa wingi katika mikoa ya Mtwara, Ruvuma, Morogoro, Rukwa, Lindi, Mbeya, Iringa na Arusha. Zao hili huwa na virutubisho vingi kama vile wanga, protini, mafuta, madini na hata vitamini. Aidha, lina sifa ya kuwa na kiasi kikubwa cha...

Uboreshaji na usambazaji wa habari za kilimo

17/02/2020

Kwa miaka iliyopita, Mkulima Mbunifu iliweza kufanya mafunzo mbalimbali, kwa waandishi wa habari, maafisa kilimo na mifugo, lengo likiwa ni kuongeza uelewa pamoja na kufundisha mbinu mbalimbali za kuandika makala zinazohusu kilimo endelevu, na namna ya kutumia vyombo vya habari katika kufundisha juu ya kilimo endelevu. Washiriki katika semina mbalimbali...

Ng’ombe wanahitaji uangalizi wa kina

13/02/2020

Ng’ombe ni mifugo ambayo hutegemewa sana na wananchi walio wengi hapa nchini. Kuna aina tatu za ng’ombe wafugwao hapa nchini, nao ni ng’ombe wa kisasa, kienyeji na machotara. Faida za ufugaji wa ng’ombe Kupata chakula kama vile maziwa na nyama. Kupata ngozi ambayo hutumika kama malighafi kwa ajili ya kutengeneza...

Faida za lishe ya samaki kwa watu wazima na watoto

11/02/2020

Watu wanaoishi kwa kutegemea vyakula vya kwenye maji huishi kwa muda mrefu na huwa na kumbukumbu nzuri na uwezo mkubwa wa kufikiri. Katika matoleo kadha wa kadha ya jarida la MkM, tumekuwa tukieleza kwa ufasaha kabisa namna ya ufugaji bora wa samaki, na faida zake kiuchumi kwa mfugaji na jamii...

Vyanzo vya matandazo kwa ajili ya kilimo hai

10/02/2020

Matandazo kwa ajili ya kilimo katika msingi wa kilimo hai huweza kutokana na njia mbalimbali kama vile mazao funikizi, mabaki ya mazao, majani kutoka katika miti au vichaka na katika mimea mbalimbali. Ikiwa matandazo yanategemewa kupatikana katika mazao funikizi, basi maandalizi ya eneo la kuoteshea na kukuzia mazao hayo ni...

Tambua kwanini chakula cha kuku kinaharibika

07/02/2020

Kila nikihifadhi chakula cha kuku baada ya muda fulani nakuta kimeanza kupata ukungu na wakati mwingine kuwa na harufu kali sana kama ya kuchacha, naombeni msaada wenu. 0654 624229 Dodoma Chakula cha kuku kinapozalishwa katika hali nzuri na kwa kufuata kanuni sahihi huweza kuhifadhiwa na kutumika kulishia kwa muda mrefu...

Sindika viazi vitamu kuongeza thamani

06/02/2020

Ni muhimu kusindika viazi vitamu ili kuongezea thamani, ubora na matumizi yake Viazi vitamu husindikwa kupata viazi vitamu vilivyokaushwa, unga, wanga na jamu. Ukaushaji wa viazi vitamu kwa ujumla wake huhitaji au hutumia nishati ya jua ambapo ni lazima mkulima kuzingatia kanuni  kwa ajili ya kukausha mazao yake. Kanuni muhimu...

Matumizi ya samadi ya wanyama na mimea kwenye kilimo hai

04/02/2020

Ubora wa samadi ya wanyama hutegemea zaidi kile kilicholiwa na mnyama. Ikiwa wamelishwa chakula duni au nyasi zilizomea katika udongo usio na rutuba, basi samadi yao pia itakuwa na ubora duni. Ikiwa wanyama wamelishwa chakula kizuri basi samadi pia itakuwa bora na iliyojaa virutubisho. Samadi iliyo tayari kwa matumizi Samadi...

Unawezaje kutambua mnyama mwenye afya nzuri na mwenye matatizo ya kiafya?

04/02/2020

Afya ya mifugo ni tatizo kubwa linalowakabili wafugaji walio wengi katika sehemu mbalimbali za nchi. Wapo wataalamu mbalimbali katika maeneo na mikoa yote ya nchi wanaotoa huduma ya mifugo lakini, bado kuna changamoto nyingi zinazowakumba wafugaji. Katika sehemu ambazo mawasiliano ikijumuisha pia miundo mbinu kuwa duni, wafugaji wamekuwa wakipoteza mifugo...

Je tunajali lishe bora kwa ajili ya watoto wetu kila siku

06/01/2020

Tofauti na ilivyo kwa watu wazima, watoto wanahitaji kupata lishe bora kila siku ili kuweza kujenga miili yao, na kukua katika kiwango kinachotakiwa na hatimae kuwa watu wazima. Ni muhimu kufahamu lishe inayotakiwa kwa watoto. Lishe bora ni nini? Lishe bora ni mlo unaojumuisha uwiano unaotakiwa wa virutubisho vyote muhimu...

Wakulima wanasemaje kuhusu masoko ya mazao ya kilimo hai

19/12/2019

Mkulima anaezalisha kwa mazao kwa kufuata misingi ya kilimo hai, Bw. Zadock Kitomari alisema kuwa, unapoanza kujishughulisha na kilimo hai ambacho hakitumii kemikali unaona kuwa uzalishaji unakuwa mdogo lakini kwa kadri unavyoendelea uzalishaji unakuwa mkubwa. Anaeleza kuwa, kilimo hai ni aina ya kilimo kinachoangalia uhai wa mazingira, uhakika na usalama...

Fahamu maandalizi muhimu kabla ya nguruwe kuzaa

03/12/2019

Nguruwe wanaozaa kwa mara ya kwanza wanaweza kupelekwa kwenye nyumba ya kuzalia masaa machache kwa siku kutoka siku kumi kabla ya siku ya kuzaa ili waweze kuzoea mazingira. Mara nyingi tumekuwa na makala zinazoelezea ufugaji wa nguruwe katika nyanja tofauti, ikiwa ni pamoja na aina, matunzo na magonjwa ya nguruwe...

Vijana wanaweza kujifunza mengi kutokana na ubunifu kwenye kilimo hai

03/12/2019

Kilimo hai kinafanyika kwa ufanisi na manufaa endapo wakulima wenyewe wanafanya ubunifu kulingana na mazingira yao. Ili kilimo hai kiwe endelevu ni muhimu ubunifu kutoka kwa vijana kutiliwa mkazo. Kilimo kwa kutumia mifuko (viroba) Kilimo cha kutumia mifuko (viroba), ni kilimo kizuri na chenye manufaa kwa wakulima, kwani unaweza kulima...

Shubiri mwitu (aloe) tiba ya magonjwa ya kuku

21/11/2019

Kuku ni moja ya miradi inayofanywa kwa wingi na watu wa kada mbalimbali, wakiwamo wakulima na wafugaji, na wanaofanya shughuli nyinginezo. Moja ya changamoto ambazo zimekuwa zikiwakabili na kuzungumziwa mara kwa mara ni magonjwa yanayoshambulia kuku, bila wafugaji kufahamu ni nini cha kufanya. Kumekuwepo na njia mbalimbali za kutibu kuku,...

Nyuki wadogo: Mjasiriamali asiyekuwa na gharama wala madhara

21/11/2019

Ninataka kufuga nyuki wadogo, kwa kuwa nasikia wana faida kubwa sana, lakini sijui namna ya kuwapata na jinsi ya kuwatunza, naombeni msaada-Msomaji MkM Nchini Tanzania na maeneo mbalimbali barani Afrika, imekuwa ni mazoea kwa wanaotaka kufanya ufugaji wa nyuki kufuga nyuki wakubwa au maarufu kama nyuki wakali. Aina hii ya...

Faida za kufunika udongo katika kilimo

21/11/2019

Ni kwa namna gani udongo unaweza kufunikwa wakati wote, wakati shughuli nyingine zinaendelea kwenye udongo huo huo? Hili ni swali muhimu wanalojiuliza wakulima wengi. Hii inategemeana na utunzaji na aina ya shughuli zinazofanyika kwenye udongo huo, na kama shughuli zenyewe zinafanyika kwa kutumia mikono au mashine. Moja ya shughuli ambazo...

Tushirikiane kupata soko la mazao ya kilimo hai

21/11/2019

Kwa sasa katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania, ni wazi kuwa shughuli za kilimo hai zimeshika kasi, huku kukiwa na ongezeko la wazalishaji wa bidhaa za kilimo hai. Hili ni jambo jema sana kwa kuwa waswahili wanasema taratibu ndiyo mwendo, na kidogo kidogo hujaza kibaba. Na hapa taratibu tunaona mwanga...

Tushirikiane kupata soko la mazao ya kilimo hai

04/10/2019

Kwa sasa katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania, ni wazi kuwa shughuli za kilimo hai zimeshika kasi, huku kukiwa na ongezeko la wazalishaji wa bidhaa za kilimo hai. Hili ni jambo jema sana kwa kuwa waswahili wanasema taratibu ndiyo mwenda, na kidogo kidogo hujaza kibaba. Na hapa taratibu tunaona mwanga...

Usindikaji wa ndizi ili kuongeza kipato

29/08/2019

Zao la migomba lina asili ya Philipino. Shina la mgomba limeundwa na vikonyo vya majani 12 hadi 30, kila kimoja kikiwa na urefu wa mita 7.6. Vikonyo hivyo pamoja na majani ya migomba hutumika kutengenezea nyuzi. Pamoja na nyuzi, zao kuu linalotokana na migomba ni ndizi, ambazo pamoja na kuwa...

Namna ya kuhifadhi mahindi kulinda ubora na kukidhi mahitaji ya chakula

28/08/2019

Mahindi ni zao la kwanza katika mazao makuu ya nafaka hapa nchini. Huzalishwa kwa wastani wa tani 2393000 kwa mwaka ambayo ni sawa na asilimia 63 ya mazao yote ya nafaka nchini. Zao la mahindi hulimwa karibu katika mikoa yote, lakini hulimwa zaidi katika mikoa ya Rukwa, Ruvuma, Iringa, Mbeya,...

Ufugaji mseto wa samaki na mazao mengine

28/08/2019

Katika  ufugaji mseto wa samaki na mazao mengine mambo kadha wa kadha ni  muhimu sana kuzingatiwa ikiwa ni pamoja na kujua aina ya samaki wanaofaa kufugwa, faida za mboga na hata mifugo mingine kama kuku wanaojumuishwa katika ufugaji huu. Aina ya samaki wanaofaa katika kilimo mseto Perege na Kambale ni...

Tumia dawa za asili zinazopatikana katika maeneo ya wafugaji kutibu magonjwa mbalimbali ya mifugo

27/08/2019

Yapo magonjwa mbalimbali ambayo mfugaji hasa aliyeko kijijini anaweza kuyatibu kwa kutumia dawa za asili ambazo pia zainapatikana katika maeneo yao bila hata kutumia dawa za madukani. Faida ya kutumia dawa hizi ni kubwa kwani husaidia kuokoa maisha ya mfugo kwa haraka zaidi kama huduma ya madaktari iko mbali, hupunguza...

Kutibu udongo kwa kutumia njia ya mvuke au mionzi ya jua

22/08/2019

Katika toleo lililopita, tuliangazia kwa undani kidogo kuhusu njia ya kutibu udongo kwa kutumia mvuke ambapo katika toleo hili tutamalizia kwa kuangalia faida zake na njia ya pili ya kutibu kwa kutumia mionzi ya jua. Kutibu udongo kwa kutumia mvuke ni njia ambayo hutumika kwenye kilimo cha ndani na cha...

Fahamu kilimo cha ngolo jinsi kinavyofanyika unufaike

22/08/2019

Ngolo ni kilimo cha asili kwa jamii ya wamatengo, ambao ni wakazi wa wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma. Kilimo hiki kinahusisha uchimbaji wa vishimo vyenye mita moja za mraba, na kimo cha sentimeta 40-50. Aina hii ya kilimo, kinafanyika kwenye maeneo yenye mwinuko mkali. Udongo wa maeneo haya una asili...

Madhara ya kiafya kutokana na viuatilifu

15/08/2019

Wakulima wengi wamejisababishia madhara ya kiafya kutokana na matumizi ya viuatilifu. Hii ni kutokana na kutokua na maarifa sahihi na kutokutumia hatua zinazostahili za kinga au kutekeleza mbinu sahihi za udhibiti. Viuatilifu vya kiwandani na zana zake kwa kawaida huhifadhiwa majumbani ambako kuna hatari ya kugusana na chakula na watoto....

Iliki: Mkombozi wa uchumi wa familia

29/07/2019

Iliki ni moja kati ya mazao ambayo yanatumika karibia kila siku kwenye matumizi ya nyumbani. Iliki hutumika kama viungo kwenye chakula na pia kama tiba ya magonjwa mbalimbali. Mmea wa iliki ni mfupi na unatoa matunda kwa miaka mingi. Aina za iliki Kuna aina mbili za iliki, ambazo ni: Malabar-Aina hii...

Uandaaji na uoteshaji wenye tija wa miche ya vanila

26/07/2019

Vanila ni zao la biashara ambalo asili yake ni mexico zao hili limekua likilimwa na kuzalishwa huko mexico, marekani na bara Hindi kwa karne nyingine. Hivi sasa, zao hili linalimwa maeneo mengi barani Afrika ikiwamo nchi ya Tanzania, japo kwa uchache kutokana na ugumu wake wa kulizalisha, ingawa bei yake...

Epuka haya ili usipate hasara katika kilimo

19/07/2019

Kwa siku za nyuma, takwimu zilionesha kuwa 80% ya Watanzania wanajishughulisha na kilimo jambo ambalo kwa sasa inaonekana idadi yao kupungua na kufikia 60%. Hii huenda ikawa ni kutokana na hasara zinazopatikana kwenye kilimo. Hasara katika kilimo zimekuwa ni jambo kubwa ambalo linasumbua vichwa vya wakulima wengi ndani na nje...

Sindika machungwa kuepuka hasara na upotevu usio wa lazima

12/07/2019

Machungwa ni moja ya mazao ya matunda ambayo yanalimwa sana kwa wingi katika mikoa ya Morogoro, Pwani, Tanga, Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Mwanza. Zao hili ni la chakula na biashara. Ikiwa huu ni msimu wa machungwa, wakulima hawana budi kujifunza namna mbalimbali za kusindika zao hili ili kuondokana...

Gliricidia: Mti wenye faida lukuki kwa mkulima

08/07/2019

Gliricidia ni mti ambao kisayansi hujulikana kwa jina la gliricidia sepium ambao hutumika kwa ajili ya mbolea au kurutubisha ardhi. Mti huu wa gliricidia ni  jamii ya miti ya malisho ambayo majani yake hutumika kurutubisha udongo na kulishia mifugo hasa katika kipindi cha ukame. Hii ni kutokana na uwezo wake...

Usindikaji wa karanga kupata mafuta

08/07/2019

Karanga hutumika kama kiungo katika mapishi mbalimbali au kukaangwa ili kutumika kama vitafunwa lakini pia kusindikwa ili kupata mafuta, siagi na rojo. Karanga zina virutubisho vingi kama vile; maji asilimia 7, nguvu kilokari 570, protini gramu 23, mafuta gramu 45, wanga gramu 20, kalishamu miligramu 49, chuma miligramu 3.8, patasiamu...

JAGEF wanaonesha njia katika usindikaji wa vyakula

04/07/2019

“Kukaa mwenyewe na kufanya shughuli za ujasiriamali ni rahisi sana kuanguka, kutokutambuliwa au kuweza kupiga hatu, lakini mkiwa kwenye kikundi, mnapiga hatua kwa haraka sana na wepesi zaidi” Ndivyo alivyoanza kueleza mama Ester Moshi, mwenyekiti wa kikundi cha wasindikaji cha JAGEF katika kijiji cha Kikarara Old Moshi mkoani Kilimanjaro alipokuwa...

Kutoka kuzalisha maziwa mpaka kiwanda cha kusindika

02/07/2019

Biashara ya maziwa ni biashara maarafu sana katika maeneo ya kanda ya kaskazini mwa Tanzania ambapo kuna wafugaji wengi.  Biashara hii imeweza kuwanufaisha wafugaji wengi ikiwa ni miongoni mwa zao la mifugo linalo wasaidia wafugaji kujikwamua kiuchumi. Uzalishaji na uuzaji wa maziwa ni kitega uchumi kizuri ikiwa itafanywa kwa kuzingatia...

Fahamu kuhusu mazao funika (Cover Crops) na faida zake katika kilimo

21/06/2019

Mazao funika ni aina ya mazao ambayo huoteshwa ili kufunika udongo na kwa lengo la kuongeza rutuba ya udongo na kuzalisha chakula na malisho. Mazao funika huoteshwa wakati wa kiangazi au huoteshwa pamoja na zao kuu wakati wa msimu wa kulima. Mazao haya huweza kuachwa kuendelea kuota katika msimu wote...

Fuata kanuni sahihi za kilimo upate mavuno bora

14/06/2019

Wakulima walio wengi wamekuwa wakijikita zaidi katika matumizi ya mbolea    ili kupata matokeo mazuri katika kilimo,  na kusahau kuwa kanuni bora za uzalishaji pia huchangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka na kupatikana kwa mavuno yenye ubora. Nini cha kuzingatia ili kupata mavuno bora Ni lazima mkulima kufuata utaratibu wa uzalishaji wa...

Mayai yanaweza kuhifadhiwa kwa muda mrefu

12/06/2019

Wakulima wanaowekeza kwenye mradi wa kuku, hupata hasara pale ambapo hawatunzi mayai ipasavyo. Mayai ni bidhaa hafifu na inayoharibika kwa haraka, hivyo, ni lazima ishikwe kwa uangalifu na kutunzwa vizuri baada ya kutagwa ili yasivunjike au kuharibika. Watu wengi wanaonunua mayai kutoka dukani watatambua mara moja kuwa mayai hayo yamevunjika...

Utupa: Mmea wa ajabu unaofaa kwa matumizi mengi

03/06/2019

Utupa ni aina ya mmea unaopatikana zaidi sehemu zenye baridi hasa nyanda za juu na unastawi sehemu zenye mvua za wastani na nyingi. Mmea huu hauhimili ukame. Utupa hukua haraka na kusambaa kama usipodhibitiwa, baadhi ya nchi mmea huu umepigwa marufuku kupanda kwa sababu ya kutishia uoto wa asili. Matumizi...

Wanafunzi wa shule ya msingi kioga nao hawako nyuma katika kilimo

29/05/2019

Ni miaka tisa sasa tangu kuanzishwa kwa jarida la Mkulima Mbunifu likiwa limejikita katika kutoa elimu kuhusu kilimo, ufugaji, pamoja na kilimobiashara kwa lengo la kusaidia jamii kujikimu kimaisha. Jarida hili, limeweza kufanikiwa kwa kiasi kikubwa, katika kufikisha elimu kwa wadau mbalimbali na kuonesha fursa nyingi zilizopo kwenye kilimo na...

Wanafunzi washirikishwe katika masuala ya kilimo

29/05/2019

Shule ya Sekondari Shambalai ‘‘Tuna furaha sana kukutana na Mkulima Mbunifu katika utoaji wa elimu kwani tuna bustani yetu tuliyoianzisha kwa msaada wa mwalimu mkuu, na tumeshindwa kuiendeleza kwa muda mrefu sasa kulingana na kuwa kila tulichokuwa tukijaribu kuotesha tulikosa mavuno lakini jarida hili limetupa nguvu ya kuanza kwa upya.’’...

Ufugaji wa Sungura: Aina mpya ya ujasiriamali wenye tija kwa mfugaji

28/05/2019

Kabla hujaamua kufuga sungura hakikisha ya kwamba umejitoa na unamuda wa kuwahudumia wanyama hawa. Ufugaji wa sungura si rahisi kama vile ukifuga paka au mbwa. Sungura wanahitaji uangalizi hasa kwenye usafi kwa sababu ni rahisi kwao kupata maradhi yatokanayo na mazingira mabaya na machafu. Mabanda Kuna aina mbili ya mabanda...

Wakulima wazidi kutoa shuhuda

27/05/2019

Loseriani Sikayoni: “Nimepungunza ujinga kwa kiasi kikubwa baada ya kusoma jarida la Mkulima Mbunifu. Nimejua namna ya kufanya kilimo cha mzunguko, natunza mifugo yangu kisasa, faida ni kubwa.” Ndivyo alivyoanza kusema mzee Loseriani Sikayoni mkulima kutoka kijiji cha Ilkiding’a, mkoa wa Arusha. Kwa miaka mingi, mzee huyu amekuwa akifanya shughuli...

Wakulima Waliotia fora

23/05/2019

Augustino Olturia: Mfugaji wa ng’ombe wa maziwa “Nimefanya shughuli za kilimo na ufugaji toka mwaka 1984. Sikuwa nimefahamu kuwa naweza kuwalisha ng’ombe wangu kwa kipimo na nikapata mafanikio mpaka niliposoma jarida la Mkulima Mbunifu.” Ni maneno ya Mkulima msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu Bw. Agustino Olturia kutoka Kijiji cha...

Punda anahitaji kutunzwa kama mifugo mingine

22/05/2019

Punda ni mnyama anayefugwa na wengi lengo likiwa kutumika kutoa msaada wa nguvu kazi nyumbani hasa kwa kuwa njia nzuri ya kubebea mizigo. Mnyama huyu ambaye hutumiwa hasa na kina mama na watoto wa jamii ya kimasai na nyinginezo kwa ajili ya kubebea maji, kuni, majani, kupelekea mizigo sokoni na...

Maji moto (weaver’s ant) wadudu rafiki wanaowezesha kilimo hai

21/05/2019

Maji Moto au Sangara ni aina ya wadudu, ambao ni rafiki kwa mkulima yeyote anayefanya shughuli zake kwa kuzingatia misingi ya kilimo hai. Ni wadudu wadogo sana ambao huishi katika miti ya mikorosho pamoja na miembe. Mara nyingine hupatikana pia katika pamba. Ikumbukwe kuwa tangu kuumbwa dunia, kila kitu kilikuwa...

Samadi ya wanyama na mimea

14/05/2019

Ubora wa samadi ya wanyama hutegemea zaidi kile kilicholiwa na mnyama. Ikiwa wamelishwa chakula duni au nyasi zilizomea katika udongo usio na rutuba, basi samadi yao pia itakuwa na ubora duni. Ikiwa wanyama wamelishwa chakula kizuri basi samadi pia itakuwa bora na iliyojaa virutubisho. Samadi iliyo tayari kwa matumizi Samadi...

Mapapai bora hupelekea soko lenye tija

08/05/2019

Mapapai ni zao moja kati ya mazao ya matunda yenye vitamin A na madini ya kalsiamu kwa wingi na zao hili hulimwa karibu kila mahali hapa nchini kwa wastani wa tani 2,582 kwa mwaka. Ili kuweza kuzalisha zao la papai kwa wingi na kwa ubora unaotakiwa ni muhimu kuhakikisha unazingatia...

Chokaa au majivu huweza kuangamizi kiwavijeshi vamizi

06/05/2019

Wakulima walio wengi katika mikoa mbalimbali hapa nchini wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiwavijeshi vamizi, mdudu ambaye husababisha hasara kubwa kwa wakulima hasa wa mahindi kwani hupoteza maelfu ya hekari za mazao endapo watavamiwa na mdudu huyu. Kuna mbinu mbalimbali za kudhibiti mdudu huyu kama vilekufanya kilimo bora mfano kupanda kwa...

Dume bora ni chanzo cha uzalishaji bora

30/04/2019

Unapojipanga kwa ajili ya ufugaji wa ng’ombe kwa ajili ya uzalishaji wa maziwa au nyama, jambo la msingi ni kuhakikisha ni aina gani ya ng’ombe utachagua/utanunua au utatumia katika uzalishaji. Aina hii ya ng’ombe pia pamoja na kuwa utanunua lakini hutokana na dume bora hivyo ni jambo la msingi sana...

Ongeza lishe kwa kutumia njia rahisi za ufugaji samaki

10/04/2019

Ufugaji wa samaki ni moja ya shughuli ambazo hivi karibuni imejipatia umaarufu mkubwa sana miongoni mwa wafugaji. Kazi hii imekuwa ikifanywa na makundi mbalimbali bila kujali wanafanya shughuli gani nyingine. Kutokana na uhitaji mkubwa wa lishe inayotokana na samaki, kumekuwa na aina mbalimbali za ugunduzi unaosaidia ufugaji wa samaki kwa...

Jifunze namna bora ya ubebeshaji wa miche ya matunda mbalimbali

10/04/2019

Ubebeshaji maana yake ni uunganishaji wa sehemu mbili au zaidi za mimea tofauti na kuwa mmea wenye shina moja. Ubebeshaji hufanyika katika mimea ya mazao ambayo yako katika jamii au ukoo mmoja kwa mfano; embe dodo na viringe, chungwa na limao, parachichi aina ya hass na la kienyeji, passion zambarau...

Utaratibu wa kinga za magonjwa kwenye kuku wa asili/kienyeji

22/03/2019

Kuku wa kienyeji nao wanahitaji kupata chanjo ya magonjwa na kwa utaratibu unaofaa. Ugonjwa Jinsi ya kuudhibiti Mdondo/kideri (Newcastle disease) Kama tete lilichanjwa kabla ya kuanza kutaga vifaranga wanaoanguliwa huwa na kinga ya mdondo ya kuwatosha kwa wiki tatu za kwanza za maisha yao.   Wachanje vifaranga hawa dhidi ya...

Uzalishaji wa minyoo kwa ajili ya kuku, bata na samaki

01/03/2019

Minyoo redworms ni chakula kizuri sana kwa kuku, bata na samaki kwani minyoo wana protini nyingi sana na kuku wakipewa au kulishia minyoo wanakua kwa haraka sana na huwafanya kuwa na maumbile makubwa sana (wanakuwa na uzito mkubwa pia). Kutengeneza minyoo ya chakula ni utaratibu wa kuzalisha minyoo kwa ajili...

Nimepiga hatua kwa kulima Canavalia

27/02/2019

“Nilikuwa naotesha ekari tatu za mahindi na maharage lakini niliishia kuvuna chini ya gunia 10 za mahindi lakini pia nikipata maharage kidogo sana”. Hivyo ndivyo alivyoanza kueleza Bi. Edvester O. Yambazi (68), mkazi wa Sanya Juu ambaye kwasasa ameamua kufanya kilimo cha mahindi huku akiotesha zao funikizi aina ya Canavalia....

Namna bora ya kuvuna na kusindika mbaazi

21/02/2019

Nimelima zao la mbaazi kwa muda mrefu sana, na miaka yote nimekuwa nikipata faida, mpaka hivi karibuni bei ya zao hili ilipoanguka na tukapata hasara. Je ni namna gani naweza kuhifadhi zao hili au kusindika? Msomaji MkM-Arusha. Mbaazi ni kati ya mazao jamii ya mikunde ambayo hulimwa kwa wingi katika...

Rutuba ya udongo ndio uhai wa udongo na tija kwa mkulima

25/05/2018

Ni muhimu kwa mkulima kuhakikisha anauilisha udongo kwa kutumia virutubisho vya asili, ili kuweza kuwa na rutuba na kuzalisha mazao yenye tija. Rutuba ya udongo inafafanuliwa kwa uwezo wake wa kutoa virutubisho vyote muhimu. Hii ni kwa kiasi kinachotosheleza na katika urari sahihi kwa ajili ya ukuaji wa mimea, bila...

Kutambua na kufanya udongo kuwa na rutuba

07/05/2018

Katika sekta ya kilimo, rutuba kwenye udongo ni jambo muhimu la kuzingatia kwani huweza huathiri usalama wa chakula na mazingira. Kumekuwa na ongezeko kubwa la uhitaji wa chakula duniani

Kuna umuhimu gani wa kutumia majivu kwenye udongo?

07/05/2018

Majivu yana kiwango cha wastani wa madini kwa mgawanyiko tofauti, potasiamu 5% - 7%, kalishamu 25% - 50%, fosiforasi 1.5% - 2% na madini mengine kwa kiasi kidogo. Pia mabaki ya chenga za mkaa kwenye majivu yanasaidia sana kunyonya baadhi ya sumu kwenye ardhi. Matumizi Tumia kiasi cha kilo 2.5...

Umuhimu wa lishe ya mboga kwa afya

25/04/2018

Mboga ni mojawapo ya chakula bora kwani zikiliwa zenyewe kwa kuchanganya zina viini lishe tosha. Hata hivyo, mboga zimegawanyika katika makundi kutokana na sehemu ya mmea iliyo muhimu katika chakula cha binadamu na viini lishe vipatikanavyo. Sehemu za mmea wa mboga zinazotumika kama chakula ni pamoja na mizizi, shina, majani,...

Tumia mazao funikizi kwa chakula na kulisha mifugo

16/04/2018

Mazao funikizi siyo mageni sana kwa wakulima walio wengi isipokuwa kwa wale ambao ndio kwanza wanaanza kujiingiza katika kilimo hifadhi. Si mazao yote funikizi yanayoweza kutumika kulishia mifugo moja kwa moja mara baada ya kuvuna kutoka shambani. Mengine ni lazima yafanyiwe maandalizi fulani ndipo yatumike kulishia. Mazao funikizi kama vile,...

Chanjo ya matone ya mdondo; Kitaalamu I-2 vaccine

11/04/2018

Chanjo hii ina virusi hai vya mdondo vinavyotengeneza kinga dhidi ya ugonjwa wa mdondo/kideri. Virusi hivi vimeoteshwa kwenye mayai ya kuku wasiokuwa na magonjwa anuwai. Chanjo hii inapatikana katika chupa zenye ujazo wa dozi ya kuku 100 na kuku 200. Hifadhi Chanjo ya 1-2 imehifadhiwa katika chupa za plastiki ambazo...

Raphael: Mkulima asiyeona anayeendesha maisha yake kwa kilimo

11/04/2018

Ukimuona akiwa shambani anavyojituma huwezi kumdhania kuwa ana ulemavu wa macho. Analima bila kupumzika, na hata katika maongezi, huongea huku akiendelea na shughuli zake kama kawaida. Kuna msemo usemao,

[:en]Facts, Fiction and Do My Essay[:]

13/03/2018

[:en][:]

Uhifadhi wa malighafi na chakula cha samaki

10/01/2017

Bamia ni zao linalolimwa sana nchi za joto. Zao hili hutumika kama mboga inayoliwa matunda.

Sindika soya ili kuongeza thamani na ubora wake

10/01/2017

Soya ni zao mojawapo kwatika mazao ya jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa wingi katika mikoa ya Mtwara,Ruvuma, Morogoro, Rukwa, Lindi,Mbeya, Iringa na Arusha.

Fahamu ugonjwa hatari wa mahindi MLN

10/01/2017

Fahamu ugonjwa hatari wa mahindi MLN Ugonjwa hatari wa mahindi ujulikanao kwa jina la kitaalamu

Chanjo huokoa kuku na kuongeza pato

10/01/2017

Watu wengi wamekuwa wakianzisha miradi ya ufugaji wa kuku bila kuzingatia kanuni bora za utekelezaji wa mradi huo. Moja ya mambo ambayo wafugaji mara nyingi husahau kuzingatia ni utoaji wa chanjo sahihi na kwa muda muafaka. Ni muhimu kufahamu mambo unayotakiwa kuzingatia katika kuwapatia kuku chanjo. Wakati wa kutayarisha mpango...

Mbolea ya asili inayotokana na magugu maji

10/01/2017

Hii ni aina ya mbolea ya asili isiyokuwa na madhara yoyote kwa binadamu na wanyama. Mbolea hii hutengenezwa kwa kuvundika mimea ya baharini au maotea ya majini. Aina hii ya mbolea inafaa kutumika kwa kuchanganya na viua wadudu vyovyote ambavyo ni asidi au basic kwani utendaji kazi wake hauwezi kupote...

Usindikaji wa ndizi umeniwezesha kuanzisha miradi mingine

10/01/2017

"Siku zote usipokuwa na juhudi na maarifa maisha ni magumu sana, lakini unapojituma na kutokukata tamaa, ni wazi utapata mafanikio. Jambo la msingi ni kujifunza mambo mbalimbali na kutenda kwa vitendo."

© 2020 Mkulima Mbunifu. Sambaza kupitia leseni ya Creative Commons 3.0 bila bila kuharibu uhalisia wake ili mradi utaje chanzo hiki katika matumizi yako. Mega Magazine by ProDesigns