Kuku wa kienyeji nao wanahitaji kupata chanjo ya magonjwa na kwa utaratibu unaofaa. Ugonjwa Jinsi ya kuudhibiti Mdondo/kideri (Newcastle disease) Kama tete lilichanjwa kabla ya kuanza kutaga vifaranga wanaoanguliwa huwa na kinga ya mdondo ya kuwatosha kwa wiki tatu za kwanza za maisha yao. Wachanje vifaranga hawa dhidi ya mdondo wafikishapo umri wa siku 18. Vifaranga ambao historia…
Mifugo
TAARIFA YA HALI YA HEWA NA TMA
1.0 MUHTASARI WA MWENENDO WA MVUA KWA TAREHE 11-20 MACHI, 2026 NA MATARAJIO YA MVUA KWA TAREHE 21-31 MACHI, 2026. 1.1 MUHTASARI WA MWENENDO WA VIASHIRIA NA MIFUMO YA MVUA TAREHE 11-20 MACHI, 2026. Katika kipindi hiki, migandamizo mikubwa ya hewa iliyopo kusini mwa dunia (St. Helena na Mascarene) iliendelea kuimarika kidogo wakati ile iliyopo kaskazini mwa dunia (Azore na…
Je unajua? Bila dume bora hakuna uzalishaji
Unapojipanga kwa ajili ya ufugaji wa ng’ombe kwa ajili ya uzalishaji wa maziwa au nyama, jambo la msingi ni kuhakikisha ni aina gani ya ng’ombe utachagua/utanunua au utatumia katika uzalishaji. Aina hii ya ng’ombe pia pamoja na kuwa utanunua lakini hutokana na dume bora hivyo ni jambo la msingi sana kujua aina ya uzalishaji wako umetokana na dume mwenye ubora.…
Chanjo ni muhimu kwa kuku
Watu wengi wamekuwa wakianzisha miradi ya ufugaji wa kuku bila kuzingatia kanuni bora za utekelezaji wa mradi huo. Moja ya mambo ambayo wafugaji mara nyingi husahau kuzingatia ni utoaji wa chanjo sahihi na kwa muda muafaka. Ni muhimu kufahamu mambo unayotakiwa kuzingatia katika kuwapatia kuku chanjo. Wakati wa kutayarisha mpango wa kuchanja kuku kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa,…
TENDA YA USAFIRI SAT (MKULIMA MBUNIFU – ARUSHA)
SAT inatafuta Usafiri na dereva kwa ajili ya kuwasafirisha wafanyakazi wake wa mradi wa Mkulima Mbunifu wakati wakienda sehemu mbalimbali hasa maeneo ya vijijini kwa wakulima wanufaika wa mradi mara kwa mara na popote wafanyakazi watakapo Kwenda kwa shughuli za kiofisi. TAFADHALI FUNGUA HAPA CHINI KWA MAELEZO ZAIDI https://mkulimambunifu.org/wp-content/uploads/elementor/Tenda-ya-usafiri-2026.pdf
Baadhi ya mimea huboresha mboji
Ni kwa nini wakulima huchanganya aina nyingi za mimea wanapotengeneza mboji? Aina tofauti za mimea huwa na aina tofauti za virutubisho, na pia huchangia kwa kiasi kikubwa kuwezesha kuoza kwa aina nyingine za mimea hivyo kutengeneza mbolea nzuri. Unapotengeneza mboji, moja ya malengo ni kupata mboji yenye ubora wa hali ya juu, inayoweza kupatia mimea virutubisho mchanganyiko. Aina mbili za…
Je, Una swali lolote kuhusiana na ufugaji wa Samaki? Tuulize, Tukujibu
Ni utaratibu wa kawaida kabisa kwa MkM kuthamini maoni yako na kujibu maswali yenu kwa kupitia wataalamu wa kada mbalimbali. Katika toleo hili Musa Said ambaye ni mtaalamu wa Samaki anaendelea kujibu maswali kuhusiana na ufugaji wa samaki. Shime, kama nawe una maswali basi usisite ili upate jibu na uondokane na dukuduku. Lai otieno anauliza: Mimi natoka Musoma mjini na…
JOB VACANCY: Consultant to update and redesign its website
MkM is seeking to update and redesign its website to enhance the functionality, user experience, and overall performance of the Mkulima Mbunifu website (www.mkulimambunifu.org). This involves updating the WordPress Content Management System (CMS), addressing plugin compatibility issues, optimizing social media integration, implementing an email system for content distribution and newsletters, enhancing email subscription features, and facilitating language translation for a…
JOB VACANCY: MkM Intern
Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. For more information kindly follow the link below; https://mkulimambunifu.org/wp-content/uploads/elementor/TOR-for-Mkulima-Mbunifu-Intern-_2025.pdf
Magonjwa yanayoathiri nguruwe
Kuna aina nyingi za magonjwa yanayoshambulia nguruwe, lakini yapo yale yaliyozoeleka ambapo ni lazima kukabiliana nayo ili kuwa na ufugaji wenye tija. Ugonjwa wa miguu na midomo Ugonjwa huu huathiri nguruwe sehemu za miguu na midomo. Ni ugonjwa ambao hushambulia nguruwe mara kwa mara hasa wasipokuwa na matunzo mazuri. Ugonjwa wa miguu na midomo, hudhoofisha nguruwe kwa haraka sana, ikiwa…






