Udongo

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Mazingira, Udongo

TAHADHARI: Mwelekeo wa mvua za msimu wa vuli (Oktoba – Disemba, 2026) na uwepo wa El Nino

Katika msimu huu wa Vuli ambao huanza mwezi Oktoba, inatarajiwa kuwa joto la bahari katika eneo la tropiki ya kati ya Bahari ya Pasifiki linatarajiwa kuendelea kuwa la Juu ya Wastani, hali inayoashiria uwepo wa El Niño yenye nguvu kubwa. Aidha, joto la bahari la Juu ya Wastani linatarajiwa zaidi katika eneo la magharibi mwa Bahari ya Hindi ikilinganishwa na…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Masoko, Mazingira, mbuzi, Udongo

MAONESHO YA 10 YA AFRICA AGRI EXPO 2026 YAANZA DAR ES SALAAM

Teknolojia, uwekezaji na kilimo endelevu vyapewa nafasi katika mjadala wa mustakabali wa sekta ya kilimo DAR ES SALAAM: Maonesho ya 10 ya Africa Agri Expo 2026 yameanza leo, Septemba 2, katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Trade Fair Grounds, maarufu kama Sabasaba, jijini Dar es Salaam, yakileta pamoja wakulima, wataalamu, watafiti, wawekezaji, wafanyabiashara na wadau wengine wa sekta ya kilimo…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kuku, Kutuhusu, Machungwa, Mafuta, Mananasi, Masoko, Mazingira, Maziwa, mbuzi, Mifugo, Mimea, Mtama, Nanaa, Nazi, Ng'ombe, Ngozi, Nyuki, Nyuki, Redio, Samaki, Samaki, Shuhuda, Soya, Udongo, Usindikaji, Viazi vitamu

Tukio Kuu la Kilimo Barani Afrika: India Katika Sekta Inayokua kwa Kasi ya Kilimo, Mifugo na Chakula Tanzania

Usikose Tukio Kuu la Kilimo Barani Afrika
Ukiwa na wageni 10,000, kampuni 1,000, na nchi 35 zikikutana kwa siku mbili, AAE na FLIP 2026 ni miongoni mwa fursa muhimu zaidi za biashara katika kalenda ya kilimo Afrika mwaka huu.
Iwe unakuja kugundua teknolojia mpya, kukutana na washirika muhimu, au kuanzisha ushirikiano mpya wa usambazaji, uhusiano utakaoujenga Dar es Salaam unaweza kuunda biashara yako kwa miaka mingi ijayo.
Jisajili sasa ili kujihakikishia nafasi katika Tukio Kuu la Kilimo Barani Afrika: 👉 https://africa-agriexpo.com/visitor-registration.html
Tukutane Dar es Salaam, tarehe 2–3 Septemba 2026.

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Masoko, Mazingira, Samaki, Udongo

Je, wajua kuwa unaweza kufanya ufugaji mesto wa Samaki, kuku na mboga katika eneo dogo, kwa gharama nafuu na kipato kikubwa?

Ufugaji wa samaki umeendelea kukua hata katika maeneo ambayo hakuna ziwa, bahari, bwana na kusaidia jamii kujipatia kipato kinachokidhi mahitaji muhimu, na hata kufanya maendeleo binafsi. Mafanikio ya ufugaji wa Samaki ni kutokana na uhakika mkubwa wa soko. Katika Makala hii Mkulima Mbunifu inakuletea Ufugaji mesto wa Kuku, Samaki na uzalishaji wa mboga katika mbinu rahisi. Ufugaji wa mesto ni…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Masoko, Mazingira, Udongo

Je, wajua kuwa unaweza kulima mboga kwenye matairi na ukafanikiwa?

Hupunguza uchafuzi wa mazingira Kila siku watumiaji wa vyombo vya usafiri hubadilisha matairi. Mbali na kuwa matairi hutumika kutengeneza vitu kama viatu, mipini ya mapanga n.k, pia matairi yanaweza kutumiwa katika kilimo cha mbogamboga na matunda badala ya kuchoma matairi na kuzalisha kemikali zenye sumu kwa binadamu. Ni rahisi kutumia Ukilinganisha na kulima kwa kutengeneza matuta ya mbao au mawe,…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Mazingira, Udongo

HIVI UKISIKIA WAKULIMA WAKISEMA MBEGU UNAFIKIRIJE? AMA KWA UFAHAMU WAKO MBEGU NI NINI

Mbegu ni nini? Mbegu ni sehemu ya mmea ambayo ina uwezo wa kuota na kutoa mmea mpya. Kuna makundi makuu mawili ya mbegu tunayoyazungumzia katika kilimo ambayo ni punje na shina/ mizizi. Punje Hizi ni mbegu za nafaka au za matunda, ambazo huzalishwa kwa uchavushaji. Kawaida huwa na kiini na chakula chake huhifadhiwa ndani ya ganda gumu la mbegu. Mfano,…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara, Udongo

Unaweza kutengeneza mbolea ya mboji kwa njia rahisi

Zipo aina nyingi za takataka zin-azoweza kutumika kwa ajili ya kuzalisha mbolea ya mboji kama vile mabaki ya malisho, unga wa maranda unaotokana na shughuli za useremala, majivu na masalia ya ziada baada ya kuvuna mazao shambani. Kwa kutengeneza mboji, kiasi cha mbolea kitakachopelekwa shambani kitaongezeka kwani samadi itachanganywa na takataka zingine na kuozeshwa. Ni jambo zuri zaidi kama mkulima…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara, Mazingira, Udongo

Mvua zinaelekea ukingoni: Panda miti kwa ajili ya mazingira

Kwa mara nyingine tena, wakulima katika maeneo mbalimbali hapa nchini, wanapanda mazao na hata wengine kukazana kufanya palizi ili kutumia mvua ambazo zimenyesha sehemu mbalimbali. Mbali na kupanda mazao, shughuli nyingine muhimu ambayo wakulima wanaweza kujihusisha nayo katika msimu huu wa mvua ni upandaji wa miti. Ni jukumu la kila mkulima kuhakikisha kuwa shamba lake lina miti mipya kila mwaka.…

Soma Zaidi