Kuku

- Kuku, Mifugo

Namna ya kufanya candling (uchunguzi wa mayai yanayototoleshwa)

Makala hii ni muendelezo wa makala iliyopita ambapo ilijikita katika kuelezea namna ya kutotolesha mayai kwa njia ya asili na pia kwa njia ya mashine (Incubator). Katika muendelezo huu tutaangalia kwa undani jinsi ya kuchunguza yai kwa kutumia mwanga. Candling ni njia ya kuchunguza mayai kwa kutumia mwanga aidha wa mshumaa au tochi. Tochi ambayo ni kifaa cha kisasa ni…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kuku, Kutuhusu, Machungwa, Mafuta, Mananasi, Masoko, Mazingira, Maziwa, Mifugo, Mimea, Mtama, Nanaa, Nazi, Ngozi, Redio, Samaki, Samaki, Shuhuda, Soya, Udongo, Usindikaji, Viazi vitamu

WEBSITE DESIGNER

Terms of Reference: Updating Mkulima Mbunifu Website – www.mkulimambunifu.org About Mkulima Mbunifu (MkM) Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine is a Farmer Communication Programme project that is implemented in Tanzania since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya.  The publication aims to provide information to smallholder farmers to enable them adopt improved sustainable agriculture…

Soma Zaidi

- Kuku, Mifugo

Mikakati ya kupambana na magonjwa ya kuku ili kupunguza hasara

Magonjwa ya kuku huweza kukatiza uzalishaji kwa muda mfupi sana. Mfugaji anafaa kujenga uelewa na uzoefu wake katika kukabiliana na magonjwa mbalimbali ya kuku. Cha muhimu ni kuweka mikakati ya kuzuia na yanapotoka mfugaji achukuwe hatua za haraka ili kupunguza madhara. Kuku ni mnyama anayefugwa kwa wingi. Karibu kila kaya lina kuku wanaofugwa kwa ajili ya chakula, hii ikiwa ni…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kuku, Mifugo

Tumia mayai ya kuku kuimarisha afya ya mama na mtoto

Mayai nichanzo kizuri cha protini ambayo ni muhimu kwa kujenga tishu za mwili. Mayai yana vitamini na madini kadhaa, ikiwa ni pamoja na choline, ambayo ni nzuri kwa ukuaji wa ubongo wa mtoto. Pamoja na faida za kula mayai, usile mayai mabichi au ambayo hayajapikwa yakaiva vizuri. Ikiwa lengo kubwa la kilimo na ufugaji ni kuhakikisha usalama wa chakula kwa…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kuku, Kutuhusu, Masoko, Mazingira, Mifugo, Udongo, Usindikaji

NANE NANE 2022, UNAKOSAJE MAONYESHO HAYA, MKULIMA MBUNIFU KAMA KAWAIDA YETU TUTAKUWEPO KUKUJUZA KUHUSU KILIMO NA UFUGAJI

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, nane nane hiyoo imekaribia. Nchini Tanzania, kila mwaka, wakulima na wafugaji hujumuika kwa pamoja kwa muda wa siku takribani kumi kuadhimisha sikukuu ya wakulima nchini. Sherehe hizi hufikia kilele siku ya tarehe nane mwezi wa nane. Katika kipindi hiki wadau mbalimbali wa kilimo, huandaa mazao na bidhaa mbalimbali za kilimo kwa ajili kushirikisha bunifu mbalimbali na…

Soma Zaidi

- Kuku, Mifugo

Jifunze kutengeneza chakula cha kuku mwenyewe

Vyakula vya kuku vinaweza kupatikana madukani au kutengenezwa na mfugaji mwenyewe. Ili kuku aweze kukua haraka na kutoa mazao mengi na bora ni lazima chakula kitengenezwe katika mchanganyiko wenye uwiano mzuri uliopendekezwa. Chakula cha kuku ni lazima kiwe na viinilishe muhimu kama vile protini, wanga, madini na vitamini. Hakikisha chakula unachotengeneza kina mchanganyiko ufuatao: Vyakula vya kujenga mwili kama vile…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kuku, Kutuhusu, Machungwa, Mafuta, Mananasi, Masoko, Mazingira, Maziwa, Mifugo, Mimea, Mtama, Nanaa, Nazi, Ngozi, Redio, Samaki, Samaki, Shuhuda, Soya, Udongo, Usindikaji, Viazi vitamu

Sikiliza vipindi vya redio vya Mkulima Mbunifu

Tunapenda kuwataarifu na kuwakumbusha wasomaji wetu kusikiliza vipindi vya radio vya Mkulima Mbunifu Vinavyosikika kupitia TBC Taifa kila siku ya jumamosi saa mbili na robo usiku (2:15) na marudio siku ya alhamisi saa tisa na nusu mchana (9:30) Kupitia vipindi hivi, MkM inatoa elimu stahiki kwa kurusha mada mbalimbali kwa wakulima wadogo na hata wakubwa, kuweka kipaumbele katika kuthamini misingi…

Soma Zaidi

- Kuku, Mifugo

Fahamu wadudu wasumbufu katika ufugaji wa kuku

Ufugaji wa kuku ni moja ya sekta ambayo imekuwa na faida kwa wafugaji walio wengi, na hata watu ambao wanafanya shughuli nyinginezo, lakini bado hujishughulisha na ufugaji wa kuku. Pamoja na aina hii ya ufugaji kuwa na mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea wafugaji kipato kikubwa, bado inakumbwa na changamoto mbalimbali.  Mojawapo ya changamoto hizo ni pamoja na uwepo…

Soma Zaidi

- Kuku, Mifugo

Fahamu mikakati rahisi inayoweza kutumika ili kupanua mradi wa ufugaji wa kuku

Ufugaji wa kuku unaweza kumpa mkulima kipato kikubwa. Hii inawezekana ikiwa mfugaji mdogo wa kuku atapanua kiwango na idadi ya kuku anaowafuga. Kuku ni ndege maarufu na ana-yefugwa sana nchini Tanzania. Karibu kaya nyingi zinafuga kuku, kwa ajili ya nyama yake yenye ladha nzuri, mayai, pia ni ishara muhimu ya kitamaduni katika baadhi ya jamii. Kwa nini ni vigumu kuongeza…

Soma Zaidi

- Kuku, Mifugo

Utajuaje kama mayai ya kuku yataanguliwa

Ni jambo jema kufahamu kama mayai yanayoatamiwa na kuku yataanguliwa yote au mangapi hayataanguliwa. Na kwa wanaototolesha vifaranga ni muhimu zaidi kwao kujua hali ya mayai inavyoendelea ndani ya kiangulio na kufahamu kama kuna tatizo linaweza kusababisha kifaranga ndani ya yai kufa. Pia kujua kama kuna mayai ambayo hayatapelekea kutotoa kifaranga na kuyaondoa. Hii yote hufanyika kwa kuyachunguza mayai yanayototolewa…

Soma Zaidi