Kilimo Biashara

- Kilimo, Kilimo Biashara

Tumia molasi kurejesha rutuba ya udongo

Katika kilimo, matumizi ya Molasi ni muhimu kwa kuboresha hali ya udongo, kudhibiti wadudu, kuwezesha udongo kuwa na rutuba, kurekebisha hali ya udongo na pia kupunguza matatizo kwa mimea inayopandikizwa. Matumizi na kiasi cha kutumia Kuboresha umbile la udongo. Molasi husaidia kuboresha udongo na kuunganisha chembe za udongo na chembe za rutuba na viumbe hai ardhini. Ili kuwa na matokeo…

Soma Zaidi

- Kilimo, Masoko, Udongo

Mikakati Madhubuti ya Kuuza Mazao ya kilimo hai

Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na mabadiliko makubwa katika kilimo na mbinu za uzalishaji. Utafiti umeonyesha kuwa mbinu asilia za kilimo hai zina faida zaidi kuliko zile zinazojumuisha kemikali au vitu vingine hatari. Siku hizi, bidhaa za kilimo hai zinapatikana kwa urahisi katika maeneo mengi. Hii inamaanisha kuwa kuna ushindani kati ya wazalishaji wa kilimo hai. Ikiwa unataka kufanikiwa…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara, Udongo

Je, wajua sababu kumi za kuendeleza kilimo hai

Chakula kinakuwa na ladha ya asili: ladha yake ni nzuri Kimesheheni viinilishe vya asili vya kutosha kwa afya: kwa asili kinajenga afya. Hakina mabaki hatarishi ya kemikali: hakina kemikali Kinaepusha matumizi ya vyakula vilivyobadilishwa vinasaba /GMO: kinatunza afya ya mlaji Havisababishi magonjwa yanayosababishwa na upulizaji wa kemikali kwa mkulima wala mlaji: mkulima na mtumiaji/ mlaji hubakia salama Kinahimiza utunzaji wa…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara, Masoko, Mazingira, Mifugo, Udongo

WALISEMA WAHENGA UKITAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI, NASI TWASEMA, UKITAKA KUFANIKIWA KATIKA KILIMO SOMA JARIDA LA MkM

Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna kilimo bila maarifa na maarifa haya sisi kama Mkulima Mbunifu tukiwezeshwa na Biovision na kusimamiwa na Biovision Africa Trust (BvAT) wakishirikiana na Sustainable Agriculture Tanzania (SAT) tunasisitiza kuwa ili ufanikiwe katika uzalishaji wa mazao na mifugo, soma jarida la Mkulima Mbunifu, HAKIKA NI KISIMA CHA MAARIFA

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Masoko, Mazingira, Mifugo, Udongo

FOATZ ni moja ya shirika linalowawezesha wakulima kupitia majarida ya Mkulima Mbunifu

Mashirika mbalimbali yakiwepo ya Umma, taasisi binafsi wamekuwa wakitumia majarida ya Mkulima Mbunifu katika kutoa elimu ya uzalishaji kwa misingi ya kilimo hai kwa wakulima wao jamno ambalo limeleta chachu katika usambazaji wa taarifa za kilimo huku ikiwapa wakulima matokeo chanya katika uzalishaji. Moja ya shirika linalojivunia jarida la Mkulima Mbunifu ni shirika la FOATZ FUNGUA HAPA KUJUA ZAIDI Organic…

Soma Zaidi

- Kilimo, Masoko, Mifugo

TERMS OF REFERENCE (TORs)FOR THE RECRUITMENT OF AN EOA TRAINERS’ MANUAL DESIGNER

General Information Services/Work Description: Recruitment of Consultant to review, complete and design the layout with illustrations of the Ecological Organic Agriculture Trainers’ Manual Project/Program Title: KHEA Post Title: EOA Trainers’ Manual Designer Duty Station: Virtual Duration: 3 weeks Expected Start Date: After Signing the contract and inception meeting 1. BACKGROUND Biovision Africa Trust (BvAT) is the lead coordinating agency of the Knowledge Hub for Organic Agriculture…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara, Udongo

Kilimo hai hupambana na mabadiliko ya tabianchi

Mabadiliko ya hali ya hewa yanatishia msingi wa maliasili katika sehemu kubwa ya ulimwengu hasa nchi zinazoendelea. Mabadiliko ya hali ya hewa huharakisha uharibifu wa mifumo ikolojia na kufanya kilimo kuwa kigumu kwa wakulima mashamba wenye madogo. Matokeo yake ni kwamba wakulima ambao ni muhimu sana kwa usalama wa chakula na uchumi wa mashinani wanakabiliwa na hali mbaya ya hewa…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara, Mazingira, Udongo

Kujifunza kwa ushirikiano ni mbinu mbadala ya elimu ya kilimo

Katika  mazungumzo  na  vikundi  vya  wakulima, mmoja wa wakulima walioshiriki  katika  mkutano  wa kubadilishana mawazo kuhusu kilimo hai kama mbinu moja ya kilimo endelevu utafiti, alisema; “Kilimo hakilipi bili tena, na unajua haiwi rahisi.” Kauli hii ya mkulima huyu inaibua haja ya kufanya kilimo kuwa na maana kwa wakulima. Kwamba wanapofanya kazi wanachuma kutokana na jasho lao, yaani, jinsi ya…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kuku, Kutuhusu, Machungwa, Mafuta, Mananasi, Masoko, Mazingira, Maziwa, Mifugo, Mimea, Mtama, Nanaa, Nazi, Ngozi, Redio, Samaki, Samaki, Shuhuda, Soya, Udongo, Usindikaji, Viazi vitamu

WEBSITE DESIGNER

Terms of Reference: Updating Mkulima Mbunifu Website – www.mkulimambunifu.org About Mkulima Mbunifu (MkM) Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine is a Farmer Communication Programme project that is implemented in Tanzania since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya.  The publication aims to provide information to smallholder farmers to enable them adopt improved sustainable agriculture…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara

Kilimo bustani huongeza pato nyumbani

Kilimo cha bustani kinahusika na uzalishaji wa mazao ya aina ya mboga, matunda, viungo na mimea ya mapambo. Kilimo cha bustani ni chanzo cha ajira na pato kwa wakulima na watu wengine. Mboga na matunda vinatupatia virutubisho vya kujenga, kutia nguvu na kulinda mwili. Unapowaangalia wakulima utagundua wengi wamejikita katika uzalishaji wa mazao ya bustani, kwa lengo la kukidhi mahitaji…

Soma Zaidi