News
Namna ya kuwakinga kuku wa kienyeji na magonjwa
31/03/2026Kuku wa kienyeji nao wanahitaji kupata chanjo ya magonjwa na kwa utaratibu unaofaa. Ugonjwa Jinsi ya kuudhibiti Mdondo/kideri (Newcastle disease)...
TAARIFA YA HALI YA HEWA NA TMA
24/03/2026Je unajua? Bila dume bora hakuna uzalishaji
24/03/2026Chanjo ni muhimu kwa kuku
16/03/2026Udongo ukiwa mfu hakuna uzalishaji: Lisha udongo upate mavuno bora
27/03/2026Ni muhimu kwa mkulima kuhakikisha anauilisha udongo kwa kutumia virutubisho...
Tukumbushane namna ya kuhifadhi malighafi na chakula cha samaki
18/03/2026Bamia ni zao linalolimwa sana nchi za joto. Zao hili...
JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT
18/02/2025HERI YA MWAKA MPYA WA 2025!!!!!!
07/01/2025Za hivi karibuni
TUJIKUMBUSHE: Mambo ya kuepuka ili usipate hasara katika kilimo
15/05/2026Kwa siku za nyuma, takwimu zilionesha kuwa 80% ya Watanzania wanajishughulisha na kilimo jambo ambalo kwa sasa inaonekana idadi yao kupungua na kufikia 60%. Hii huenda ikawa ni kutokana na hasara zinazopatikana kwenye kilimo. Hasara katika kilimo zimekuwa ni jambo...
Umuhimu wa lishe ya mboga kwa afya
13/05/2026Mboga ni mojawapo ya chakula bora kwani zikiliwa zenyewe kwa kuchanganya zina viini lishe tosha. Hata hivyo, mboga zimegawanyika katika makundi kutokana na sehemu ya mmea iliyo muhimu katika chakula cha binadamu na viini lishe vipatikanavyo. Sehemu za mmea wa...
Jifunze namna bora ya ubebeshaji wa miche ya matunda mbalimbali
05/05/2026Ubebeshaji maana yake ni uunganishaji wa sehemu mbili au zaidi za mimea tofauti na kuwa mmea wenye shina moja. Ubebeshaji hufanyika katika mimea ya mazao ambayo yako katika jamii au ukoo mmoja kwa mfano; embe dodo na viringe, chungwa na...
Namna ya kuwakinga kuku wa kienyeji na magonjwa
31/03/2026Kuku wa kienyeji nao wanahitaji kupata chanjo ya magonjwa na kwa utaratibu unaofaa. Ugonjwa Jinsi ya kuudhibiti Mdondo/kideri (Newcastle disease) Kama tete lilichanjwa kabla ya kuanza kutaga vifaranga wanaoanguliwa huwa na kinga ya mdondo ya kuwatosha kwa wiki tatu za...
Udongo ukiwa mfu hakuna uzalishaji: Lisha udongo upate mavuno bora
27/03/2026Ni muhimu kwa mkulima kuhakikisha anauilisha udongo kwa kutumia virutubisho vya asili, ili kuweza kuwa na rutuba na kuzalisha mazao yenye tija. Rutuba ya udongo inafafanuliwa kwa uwezo wake wa kutoa virutubisho vyote muhimu. Hii ni kwa kiasi kinachotosheleza na...





