Mifugo

- Mifugo

Ufugaji wa ng,ombe wenye tija

Naomba ushauri, nina ng’ombe mmoja ambaye namfuga ndani. Amezaa uzao wa kwanza ndama dume. Kwa sasa, ninapata lita 10 kwa siku. Ng’ombe ana uzito wa kilo 400. Gharama za utunzaji ni 70%. Nifanye nini ili awe na tija? Faida zinazotokana na ufugaji wa ng’ombe wa maziwa zinatokana na kujumuisha mambo mawili muhimu; aina ya ng’ombe na utunzaji wake. Utunzaji huchukua…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Mifugo

Mkulima hupaswi kuwa maskini

Swali hili limekuwa likijirudia mara kwa mara, kuwa ni kwa nini wakulima wawe maskini? Kwa watu walio wengi hata wakulima wenyewe, wana majibu mengi sana ambayo wamekuwa wakiyatoa, hasa katika kutetea huko hiyo, huku wakiweka kuwa wao ni watu wa chini na wanaokubaliana na hali hiyo ya umaskini. Kuna wale ambao watasema kuwa ni maskini kwa sababu ya zana duni…

Soma Zaidi

- Kuku, Mifugo

Namna ya kufanya candling (uchunguzi wa mayai yanayototoleshwa)

Makala hii ni muendelezo wa makala iliyopita ambapo ilijikita katika kuelezea namna ya kutotolesha mayai kwa njia ya asili na pia kwa njia ya mashine (Incubator). Katika muendelezo huu tutaangalia kwa undani jinsi ya kuchunguza yai kwa kutumia mwanga. Candling ni njia ya kuchunguza mayai kwa kutumia mwanga aidha wa mshumaa au tochi. Tochi ambayo ni kifaa cha kisasa ni…

Soma Zaidi

- Mifugo

Mambo muhimu ya kuzingatia kwa unenepeshaji wa nguruwe

Nguruwe wanaonenepeshwa wanahitaji kutunzwa vizuri ili waweze kufikia uzito wa kuchinjwa mapema. Nguruwe waanze kunenepeshwa wakiwa na umri wa wiki 9 hadi 14 na uzito wa kilo 25 hyadi 30. Nguruwe wana uwezo wa kuongezeka uzito wa hadi gramu 700 na 800 kwa siku kuitegemeana na aina ya nguruwe na matunzo. Nguruwe wanaweza kunenepeshwa na kufikisha uzito wa kuchinjwa yaani…

Soma Zaidi

- Mifugo

Je, unajua unaweza kutengeneza maziwa ya unga nyumbani?

Maziwa ni bidhaa ya chakula ambayo kila mtu anahitaji. Ni moja ya lishe bora yenye protini nyingi za hali ya juu, kalsiamu na vitamin B12. Aidha kuongezeka kwa wafugaji na wazalishaji maziwa kumeibua changamoto kwa baadhi yao ambao wamekuwa wakiuza maziwa na kuyagandisha na mengine kubaki. Hali hii imewafanya baadhi ya wafugaji kupata hasara kutokana na maziwa kuharibika. Lakini maziwa…

Soma Zaidi

- Mifugo

Namna ya kutengeneza chakula cha mifugo (silage)

Aina ya chakula hiki ni kizuri sana kwa ng’ombe wa maziwa, matokeo ya ongezeko la maziwa yataonekana kwa muda mfupi sana. Pia chakula hiki huweza kupewa wanyama wengine kama kondoo,mbuzi,nguruwe n.k Mahitaji: Majani mabichi (nyasi au mazao ya nafaka) Molases Maji Mfuko wa plastic (polythene bags), mapipa au shimo Panga au mashine ya kukatia Majani (chaff cuter). HATUA ZA KUTENGENEZA…

Soma Zaidi

- Binadamu, Mifugo

Namna ya kutayarisha maziwa mtindi

Maziwa ya mtindi ni maziwa mabichi ya ng’ombe yaliyoganda na mara nyingi yanakuwa na hali ya uchachu. Maziwa haya hutumika kama kinywaji au kiambaupishi katika mapishi mbalimbali. Mahitaji Maziwa mabichi safi na salama Kimea cha maziwa Vifaa vinavyohitajika Sufuria / keni safi ya kuchemshia Chombo (container) ambacho utaweza kuhifadhi mtindi unaoendelea kuchachuka (fermenting) na kiwekwe katika hali ya usafi ili…

Soma Zaidi

- Mifugo

Nyuzinyuzi ni chakula muhimu katika mwili wa binadamu

Nyuzinyuzi hupatikana kirahisi kwa familia kwa wakulima. Hii ni pamoja na nafaka zisizokobolewa,njugu  karanga,  kunde,  matunda  na mboga.  Ni chanzo muhimu cha chakula kwa bakteria chenye faida kwenye utumbo. Inawezakusaidia kudhibiti uzito na kupunguza hatari kwa ugonjwa wa moyo. Nyuzinyuzi (Roughage), pia inajulikana kama nyuzinyuzi, ni   sehemu ya wanga ya mimea ambayo haiwezi kumeng’enywa na      mwili wa binadamu. Yenyewe huvunjwa…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara, Masoko, Mazingira, Mifugo, Udongo

WALISEMA WAHENGA UKITAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI, NASI TWASEMA, UKITAKA KUFANIKIWA KATIKA KILIMO SOMA JARIDA LA MkM

Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna kilimo bila maarifa na maarifa haya sisi kama Mkulima Mbunifu tukiwezeshwa na Biovision na kusimamiwa na Biovision Africa Trust (BvAT) wakishirikiana na Sustainable Agriculture Tanzania (SAT) tunasisitiza kuwa ili ufanikiwe katika uzalishaji wa mazao na mifugo, soma jarida la Mkulima Mbunifu, HAKIKA NI KISIMA CHA MAARIFA