- Kilimo

Wakulima kuweni makini na mbegu feki

Sambaza chapisho hili

Taasisi ya kudhibiti ubora wa mbegu Tanzania (Tosci), inaendelea kutoa nafasi kwa wakulima kupata elimu ya kutosha kuhusiana na mbegu bora.

Wakulima wanaaswa kuachana na mfumo uliopo wa kuthamini mbegu kutoka nje ya nchi, na badala yake wathamini mbegu zinazozalishwa nchini kwa faida yao na vizazi vijavyo.

Halikadhalika wakulima watoe taarifa haraka kwenye taasisi hiyo pindi wanaposhtukia uwepo wa mbegu feki.

 

 

Maoni kupitia Facebook
Sambaza chapisho hili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *