- Binadamu

Athari za upungufu wa vitamini A

Sambaza chapisho hili
  • Kushindwa kuona vizuri hasa kunapokuwa na giza au mwanga hafifu.
  • Ngozi kukauka au kupauka na wakati mwingine kuwa na vidonda huku nywele zikikosa afya.
  • Kupata maambukizi ya magonjwa mara kwa mara hasa katika mfumo wa njia ya hewa na mfumo wa mkojo.
  • Watoto wadogo kuugua surua kwa urahisi.
  • Kudumaa kwa watoto kutokana na kukoma kukua na kuongezeka uzito.
  • Ukuaji wa taratibu na wenye kasoro wa mifupa na meno.

Athari za kuzidi kwa matumizi ya vitamini A mwilini

Virutubisho vya vitamini A vikizidi mwilini navyo huweza kupeleka athari mbalimbali kama ifuatavyo;

  • Kuhisi kizunguzungu pamoja na kichefuchefu.
  • Kuhisi maumivu ya kichwa pamoja na mzio.
  • Maumivu ya viungo na mifupaKupoteza fahamu.
  • Mtoto aliye tumboni kuumbika kimakosakama mama mjamzito akizidisha matumizi ya dawa zenye vitamini A.
  • Kunyonyoka nywele.
  • Udhaifu wa mifupa ambapo huweza kupelekea kuvunjiakwa urahisi.
  • Kukosa usingizi
Maoni kupitia Facebook
Sambaza chapisho hili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *