Mwaka umeanza ukiwa na baraka tele na habari njema kwa wakulima na wasomaji kwa ujumla. Kuanzia mwezi huu jarida lako ulipendalo la Mkulima Mbunifu (MkM) litakuwa likichapishwa na kuletwa kwako kila baada ya miezi miwili. Tangu jarida hili lilipozinduliwa mwezi Julai 2011, limekuwa likichapishwa na kusambazwa kwa wakulima kila baada ya miezi miwili. Hata hivyo sababu ilikua ni kujenga msingi…
Mifugo
Mikakati ya kupambana na magonjwa ya kuku ili kupunguza hasara
Magonjwa ya kuku huweza kukatiza uzalishaji kwa muda mfupi sana. Mfugaji anafaa kujenga uelewa na uzoefu wake katika kukabiliana na magonjwa mbalimbali ya kuku. Cha muhimu ni kuweka mikakati ya kuzuia na yanapotoka mfugaji achukuwe hatua za haraka ili kupunguza madhara. Kuku ni mnyama anayefugwa kwa wingi. Karibu kila kaya lina kuku wanaofugwa kwa ajili ya chakula, hii ikiwa ni…
Lishe sahihi kwa mbuzi wa maziwa
Mbuzi wa maziwa ni aina ya mbuzi ambao hufugwa kwa lengo kubwa la kupata maziwa. Mbuzi hawa wapo wa aina mbalimbali kama vile, Saanen (Switzerland), Norwegian (Norway), Toggenburg (Switzerland), Anglonubian (Chotara kutoka Misri, Sudan, India na Switzerland), Alpine (Ufaransa na Switzerland) na wote hawa wanapatikana Tanzania. Ulishaji sahihi wa mbuzi wa maziwa ni lazima uzingatie mambo makuu yafuatayo; Lishe bora…
Soko la mbogamboga hutokana na uzalishaji
Soko ni mahali au njia ambayo muuzaji na mnunuzi hukutana na kubadilishana mali au huduma. Ni fursa ya kuuza na kununua. Kwa kawaida tunapozungumzia soko, tunagusia mambo kadha wa kadha, ikiwa ni pamoja na ukubwa wake, yaani wingi wa wauzaji na wanunuzi katika soko husika, ushindani, washindani, bidhaa na bei zake, changamoto, pamoja na mabadiliko yanayotegemewa. Kwa upande mwingine, tunaweza…
ADVERTISEMENT FOR THE VACANCIES OF DATA ENUMERATORS
TERMS OF REFERENCE FOR THE RECRUITMENT OF DATA ENUMERATORS FOR THE END OF PHASE EVALUATION OF THE MKULIMA MBUNIFU (MKM) PROJECT ADVERTISEMENT FOR THE VACANCIES OF DATA ENUMERATORS Mkulima Mbunifu (MkM) a Project implemented under the Sustainable Agriculture Tanzania (SAT) in partnership with Biovision Africa Trust (BvAT), seeks to recruit competent and highly motivated Data Enumerators for the end of…
Nawezaje kutunza g’ombe na kukabilina na magonjwa
Bila matunzo mazuri na kuzingatia kanuni za ufugaji, mfugaji hawezi kupata faida na kufikia malengo yake. Shauriana na wataalamu unapoona kuna jambo linalokutatiza. Ufugaji hasa wa ng’ombe wa maziwa ni shughuli ambayo imejipatia umaarufu kwa kiasi kikubwa sana katika jamii mbalimbali, maeneo ya vijijini na hata mijini. Pamoja na shughuli hii kuwa maarufu na yenye faida, kuna changamoto mbalimbali zinazoambatana…
Homa ya nguruwe ni ugonjwa hatari wa nguruwe unaosababishwa na virusi aina ya African Swine Fever vinavyoshambulia na kuharibu mfumo wa damu. Virusi vinavyosababisha homa ya nguruwe haviambukizi binadamu. Virusi vinavyosababisha homa ya nguruwe huishi kwenye miili ya ngiri bila kusababisha ugonjwa. Kupe laini walioko katika mashimo wanamoishi ngiri, hupata virusi vya homa ya nguruwe wanaponyonya damu kutoka kwa ngiri…
Matayarisho ya viuatilifu vya asili ya mboga au madini
Pale ambapo mbinu bora za kilimo zimetumika ipasavyo na bado kuna changamoto za wadudu na magonjwa, hakuna budi viuatilifu vya kilimo hai vikatumika au kwa kununua au kutayarishwa na wakulima wenyewe. Viuatilifu ni moja ya pembejeo muhimu ya kilimo, kwani inasaidia katika ukizaji wa mazao haswa pale yanaposhambuliwa na magojwa pia wadudu wasumbufu. Mkulima unaweza kuzuia wadudu kwa kutumia mimea…
Fahamu ugonjwa wa minyoo kwa mbuzi na namna ya kudhibiti kwa dawa za asili
Afya ya mbuzi hutokana na lishe bora inayopatikana kwa kulisha majani mabichi, majani makavu, vyakula vya ziada vya kutia nguvu, protini, madini, vitamini na maji safi nay a kutosha ya kunywa. Usafi wa banda unaojumuisha hori la kulia, vyombo vya kulishia pamoja na ndoo au vyombo vya kunywea maji pia ni sehemu ya kutunza afya ya mbuzi. Mbuzi anapoachiwa kufanya…
Punda anahitaji kutunzwa kama mifugo mingine
Punda ni mnyama anayefugwa na wengi lengo likiwa kutumika kutoa msaada wa nguvu kazi nyumbani hasa kwa kuwa njia nzuri ya kubebea mizigo. Mnyama huyu ambaye hutumiwa hasa na kina mama na watoto wa jamii ya kimasai na nyinginezo kwa ajili ya kubebea maji, kuni, majani, kupelekea mizigo sokoni na shughuli zote zile za nyumbani amekuwa hana thamani kama waliyonayo…