Mifugo

- Mifugo

Njia bora ya utunzaji wa  ng’ombe wa maziwa

Nina mradi mdogo wa ng’ombe wa maziwa, ninahitaji kuboresha, naomba ushauri namna ya kuwa na banda bora na matunzo yake kwa ajili ya ng’ombe wangu Ng’ombe wa maziwa wanaweza kuzalisha vizuri kutokana na kuwa na mazingira mazuri, banda zuri na lishe. Zingatia usafi na uhakikishe kuwa ng’ombe wana nafasi ya kutosha. Nafasi: Kila ng’ombe mkubwa anahitaji walau skwea mita 8,…

Soma Zaidi

- Mifugo

Zalisha matunda kwa malengo

Moja ya mazao ambayo wakulimwa wamekuwa wakizalisha kwa ufanisi mkubwa na kupata mavuno mazuri, ni matunda ya aina mbalimbali. Ambapo kulingana na mazingira waliyopo, wakulima wamekuwa wakizalisha aina mbalimbali na kwa misimu tofauti. Pamoja na mafanikio hayo, wakulima wamekuwa wakizalisha aina hizo za matunda bila kuwa na malengo kamili kuwa ni nini wanachohitaji kutokana na matunda hayo, jambo ambalo mwisho…

Soma Zaidi

- Mifugo

Kuku chotara wanahitaji chanjo kwa utaratibu maalumu

Ufugaji wa kuku wa kienyeji chotara ni ufugaji ambao hujumuisha muunganiko au mchanganyiko wa aina mbili tofauti za kuku. Kuku chotara wana faida nyingi sana kwa mkulima ikiwa ni pamoja na ustahimilivu wa magonjwa hivyo kupunguza gharama za kutibu. Utagaji mkubwa wa mayai mengi mpaka kufikia 240 kwa mwaka kama ukiwalisha vizuri endapo watalishwa vizuri. Halikadhalika, kuku hawa wanakua haraka…

Soma Zaidi

- Mifugo

Tumeamua kufanya kilimo hai kwa ajili ya afya zetu

“Kulima na kuzalisha kwa njia ya kilimo hai ni sehemu ya maisha yetu ya shuleni kwa ujumla. Tunafahamu madhara ya matumizi ya kemikali za viwandani, hivyo tumeamua kuzalisha kwa njia za asili ili kujikomboa kutokana na kemikali hizi” Mwl. Thomas Kaniki (Mkuu wa shule ya sekondari Makomu). Mwalimu Kaniki anaeleza kuwa, kwa kufanya utunzaji wa mazingira waliweza kuanzisha uzalishaji wa…

Soma Zaidi

- Mifugo

JOB OPPORTUNITY: DESIGNER FOR MKM MAGAZINE

TERMS OF REFERENCE (TOR) FOR DESIGNER ABOUT MKULIMA MBUNIFU (MkM) Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine is a Farmer Communication Programme project that is implemented in Tanzania since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya.  The publication aims to provide information to smallholder farmers to enable them adopt improved sustainable agriculture technologies and practices.…

Soma Zaidi

- Mifugo

Tender: Printing services for the period January 2021 to December 2021

TERMS OF REFERENCE (TOR) FOR PRINTING MKULIMA MBUNIFU MAGAZINE ABOUT MKULIMA MBUNIFU (MkM) Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine is a Farmer Communication Programme project that is implemented in Tanzania since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya.  The publication aims to provide information to smallholder farmers to enable them adopt improved sustainable agriculture…

Soma Zaidi

- Mifugo

Mkulima Mbunifu imenihamasisha kuanza kufanya kilimo hai

“Nimeamua kuanza kufanya kilimo hai kwani ni rahisi, sitatumia dawa za kemikali wala mbolea za viwandani.  Nilikua nikifanya kilimo cha mazoea bila kujali afya yangu na watu wengine. Sikufahamu madhara kwa mazingira yani ardhi, mimea na hata wanyama”. Hayo ni maneno ya Godwin Zakaria Axwesso (52) anayeishi kijiji cha Bashay, wilaya ya Karatu Mkoa wa Arusha.   Alifanya kilimo cha kawaida…

Soma Zaidi

- Mifugo

Je, unafahamu umuhimu wa njia za moto?

Hivi karibuni tumeshuhudia uwepo wa mlipuko wa moto katika sehemu mbalimbali hapa nchini, na katika nchi nyingi duniani. Hii inatokana na mabadiliko ya tabia nchi na utunzaji hafifu wa mazingira yetu. Ni jambo lisilopingika kuwa wakulima wamekuwa na bidii sana katika kuhakikisha kuwa wanazalisha na kupata chakula pamoja na kipato kwa ajili ya familia zao. Halikadhalika wakulima wamekuwa mstari wa…

Soma Zaidi

- Mifugo

Kilimo bora cha kabeji ya kichina 

Kabeji ya kichina kwa miaka mingi ilikuwa inalimwa na kuliwa sana katika nchi za China, India na Japani. Ikijulikana kwa majina ya common choy, pak choy na gai choy au Indian mustard. Miaka ya karibu mboga hii ya majani imepata umaarufu katika nchi yetu na hulimwa kwa ajili ya kuboresha lishe na kama zao la biashara, lijulikanavyo katika maeneo mengi…

Soma Zaidi

- Mifugo

Fahamu namna ya kufanya ufugaji wa nyuki wadogo

Nchini Tanzania na maeneo mbalimbali barani Afrika, imekuwa ni mazoea kwa wanaotaka kufanya ufugaji wa nyuki kufuga nyuki wakubwa au maarufu kama nyuki wakali. Aina hii ya nyuki imekuwa ni rahisi kufugwa kwa kuwa uzalishaji wake ni mkubwa zaidi na wanaweza kufugwa kwenye maeneo tofauti tofauti ili mradi kuwe na mahitaji muhimu yanayowawezesha nyuki kuzalisha. Nyuki wakubwa wanaweza kufugwa katika…

Soma Zaidi