Terms of Reference: Updating Mkulima Mbunifu Website – www.mkulimambunifu.org About Mkulima Mbunifu (MkM) Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine is a Farmer Communication Programme project that is implemented in Tanzania since July 2011 with support from Biovision Foundation, Switzerland and Biovision Africa Trust (BvAT), Nairobi, Kenya. The publication aims to provide information to smallholder farmers to enable them adopt improved sustainable agriculture…
Mazingira
Umuhimu wa udongo kwa uzalishaji wenye tija
Udongo wenye afya ni udongo ulio hai, ambao unazalisha mazao bora na yenye afya. Udongo lazima uwe na minyoo na viumbe vingine. Viumbe hawa hufanya kazi ya kulainisha udongo kwa kuvunjavunja masalia ya majani, mimea na mabua yaliyokufa kisha kubeba masalia hayo hadi chini ya udongo na kuichanganya kisha kuzalisha virutubishi vya kwenye mimea. Viumbe hawa huongeza kasi ya kuoza…
Namna ya kutengeneza busta
Busta za asili ni nyongeza ya virutubisho kwa ajili ya kuchochea ukuaji wa mmea ili kua na uzalishaji mzuri hususani pale ambapo mimea imeanza kuzorota kutokana na kupungua/kukosekana kwa virutubisho vya kutosha kwenye udongo, busta hizi zina sifa ya kuupa mmea virutubisho kwa haraka sana na kuleta matokeo mazuri kwenye mimea ndani ya muda mfupi(siku 3). Aina za busta Busta…
Mbolea za asili
Kuna mbolea nyingi za asili ambazo zinaweza kutumika shambani kama vile samadi, mboji, chai ya mmea na bioslari. Namna ya kutayarisha mboji/mbolea vunde Mboji ni sehemu ya viumbe (mabaki ya mimea na wanyama) ambayo imeozeshwa kwa muda mrefu na kusazwa na viumbe wadogowadogo. Sehemu za vitu kama majani, matunda na mabaki ya shambani na ya jikoni hutengeneza mbolea ya mboji.…
MKULIMA MBUNIFU INTERN ADVERT
S.L.P 14402, Arusha, Tanzania Simu :+255 (0) 0714 266 0007 Barua pepe: info@mkulimambunifu.org TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU INTERN Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products…
Taarifa: Mkulima Mbunifu ni mara moja kwa miezi miwili tangu sasa
Mwaka umeanza ukiwa na baraka tele na habari njema kwa wakulima na wasomaji kwa ujumla. Kuanzia mwezi huu jarida lako ulipendalo la Mkulima Mbunifu (MkM) litakuwa likichapishwa na kuletwa kwako kila baada ya miezi miwili. Tangu jarida hili lilipozinduliwa mwezi Julai 2011, limekuwa likichapishwa na kusambazwa kwa wakulima kila baada ya miezi miwili. Hata hivyo sababu ilikua ni kujenga msingi…
Panda miti kupunguza madhara ya mabadiliko ya tabia nchi
Wakulima wanaweza kuchangia uhifadhi wa mazingira kwa kupanda miti na kutumia mbinu za kilimo hai. Kupanda miti ina manufaa nyingi ikiwa ni pamoja na kutunza mazingira, kuwa chanzo cha malisho ya mifugo, asali, mbao, na hewa safi. Kipindi kirefu cha ukame ambacho kimeripotiwa katika kanda hii ya Afrika Mashariki imesababisha maeneo mengi kuwa kavu na hata ardhi kumomonyolewa na upepo…
Mbinu za uhifadhi wa udongo wa kilimo na mimea
Udongo ni sehemu kubwa ya kilimo. Tunaweza kusema bila udongo hakuna kilimo lakini bila bila udongo wenye rutuba hakuna mavuno bora. Mara nyingi mvua, upepo na matumizi ya mbolea za viwandani, uharibifu wa mazingira kama kukata miti, wanyama n ahata shughuli zingine za kibinadamu ndiyo hupelekea kuharibika kwa udongo. Kuna njia nyingi za zinazotumia kilimo za kuhifadhi udongo na maji…
Namna ya kutambua kufanya udongo uwe na afya
Katika sekta ya kilimo, rutuba kwenye udongo ni jambo muhimu la kuzingatia kwani huweza huathiri usalama wa chakula na mazingira. Kumekuwa na ongezeko kubwa la uhitaji wa chakula duniani kutoka katika eneo lile lile dogo linalotumika kwa uzalishaji, huku ardhi hiyo ikikabiliwa na madhila kama vile mmomonyoko wa ardhi na ongezeko la wadudu wanaopunguza uzalishaji kila wakati. Viini vya rutuba…
Kilimo mseto na utunzaji wa mazingira
Mara nyingi wafugaji wa mbuzi na hata wale wa wanyama wengine huendesha pia shughuli za kilimo. Katika mashamba yao ya mazao huotesha pia mimea ya aina nyingine, hii ikiwa ni pamoja na miti. Kilimo mseto ni mfumo wa kilimo wa kuchanganya miti na mazao katika shamba moja. Miti sahihi kwa kilimo mseto humnufaisha mfugaji kwa njia nyingi. Miti hiyo huweza…