Ulezi ni zao asili na chanzo kubwa ya virutubisho muhimu vya kujenga kinga ya mwili kwa familia. Kwa nafaka zote, Ulezi una mkusanyiko mkubwa wa madini. Kutokana na faida hii, unasoko na kuleta faida kwa mkulima. Ulezi pia unajulikana kama wimbi ni zao ambalo limelimwa kwa karne nyingi tangu enzi za babu zetu. Linajumuishwa katika mazao yatima kwa sababu linapandwa…
Kilimo
Fahamu udongo wako ili kuboresha usimamizi wa rutuba
Kuna virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ukuaji wa mmea. Upungufu wa mojawapo ya virutubishi hivi muhimu utapunguza ukuaji wa mimea. Mavuno yanategemea kiwango cha virutubisho muhimu kwa mmea. Mimea yote hutegemea vitu muhimu kukua vizuri. Vitu hivi vinaweza kugawanywa mara mbili; Vitu vya madini, kupitia udongo. Vitu visivyo vya madini: haidrojeni, oksijeni, na kaboni ambazo zinapatikana kwa wingi katika anga…
Uzalishaji wa malisho
Bonyeza hapa na sikiliza kuhusu malisho aina ya matete na faida zake
Unaliandaaje shamba lako kwa msimu wa kilimo?
Kama ni mkulima wa kilimo hai, ulishawahi kujiuliza shamba lako utaliandaaje kwa msimu wa kilimo? Yaani umelima mazao, umevuna na shamba limebaki wazi, kama utahitaji kuotesha tena msimu ujao unaliandaaje ili uweze kuotesha na kupata mavuno bora? Angalia picha hapa chini? Mkulima toka Karatu Bw. Elibaraka aliweka shamba lake aina mbalimbali za mbolea ya asili kabla ya kulima. Wewe Je,…
Mimi nasoma Jarida la Mkulima Mbunifu, wewe Je?
Hebu tazama tabasamu la mama huyu usoni, mara tu aonapo jarida la Mkulima Mbunifu na azidi pale anapokutana na taarifa muhimu kwake? Ni furaha iliyoje? Hebu na wewe kuwa mmojawapo wa wanufaika wa jarida hili, nakuahidi hutajutia….. Jarida pekee lililosheheni taarifa za kilimo hai, ufugaji wa mifugo aina mbalimbali, utunzaji wa udongo, mazingira na afya ya mwadamau kwa ujumla…… Mkulima…
TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWA KUTUMA JARIDA LA OKTOBA
Habari ndugu msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu. Ni matumaini yetu kuwa uko salama na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Tunaomba radhi kwa kuchelewa kukutumia nakala yako ya jarida la Mkulima Mbunifu. Hii ni kutokana na kuwepo kwa changamoto kidogo zilizokuwa nje ya uwezo wetu ambazo zimepelekea kusindwa kuchapisha nakala ya mwezi Oktoba kwa wakati. Jarida hili…
Uzalishaji wa zao la maharage kwa tija, kanuni kuzingatiwa
Tukiwa tunaelekea katika msimu wa mvua za vuli, wakulima wengi hupendelea kupanda zao la maharage kwani ni moja kati ya zao kuu nchini Tanzania. Hata hivyo changamoto za uzalishaji wa zao hili hupelekea wakulima kupata mazao hafifu. Ni ukweli usiopingika zao la maharage ni moja kati ya mazao ya chakula na biashara. Zao hili linazalishwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini,…
Tunaomba radhi kwa kutokusikika hewani
Ndugu msikilizaji na mfuatiliaji wa vipindi vya radio vya Mkulima Mbunifu/SAT, tunaomba radhi kutokana na kipindi chetu kilichokusudiwa kurushwa hewasi siku ya jumamosi tarehe 30 Oktoba 2021 kutokusikika. Hii ni kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu. Sasa kipindi hicho cha kilimo kilichokuwa kinahusu kilimo mseto na kilimo cha mzunguko wa mazao kitarushwa upya siku ya jumamosi ya tarehe…
Soko ni mahali au njia ambayo muuzaji na mnunuzi hukutana na kubadilishana mali au huduma. Ni fursa ya kuuaza na kununua. Kwa kawaida tunapozungumzia soko, tunagusia mambo kadha wa kadha, ikiwa ni pamoja na ukubwa wake, yaani wingi wa wauzaji na wanunuzi katika soko husika, ushindani, washindani, bidhaa na bei zake, changamoto, pamoja na mabadiliko yanayotegemewa. Kwa upande mwingine, tunaweza…







