Mifugo

- Mifugo

Miaka tisa nikitumia jarida la Mkulima Mbunifu na kupata mafanikio lukuki

Mipango thabiti huzaa matunda mema na kila jambo likiwekwa katika mipango imara husababisha mafanikio. Hayo ni maneno ya Mzee Goodluck Lazaro Kimario na mkewe Rose Goodluck Kimario ambao ni miongoni mwa wakulima wa muda mrefu na wanufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu. Wakulima hawa walikua wakiishi wilaya ya Tarime mkoani Mara ambapo mzee Goodluck alijishughulisha na majukumu ya kanisa huku…

Soma Zaidi

- Mifugo

Kuku chotara wanahitaji chanjo kwa utaratibu maalumu

Ufugaji wa kuku wa kienyeji chotara ni ufugaji ambao hujumuisha muunganiko au mchanganyiko wa aina mbili tofauti za kuku. Kuku chotara wana faida nyingi sana kwa mkulima ikiwa ni pamoja na ustahimilivu wa magonjwa hivyo kupunguza gharama za kutibu. Utagaji mkubwa wa mayai mengi mpaka kufikia 240 kwa mwaka kama ukiwalisha vizuri endapo watalishwa vizuri. Halikadhalika, kuku hawa wanakua haraka…

Soma Zaidi

- Mifugo

Mfugaji hana budi kufahamu na kutumia mfumo rahisi wa uchujaji maji kwenye bwawa la samaki

Moja ya changamoto kubwa sana katika ufugaji wa samaki ni uchafukaji wa maji kwenye bwawa ambao hupelekea kutokukua vizuri kwa samaki na kutokuwa na mavuno kwa wakati. Kama mkulima mbunifu ni vema sana kuwa mbunifu katika kutatua changamoto ambazo zinajitokeza katika mradi wako. Ili maji yasichafuke kwa haraka ni vema sana mfugaji apandikize samaki kulingana na ukubwa wa bwawa lake…

Soma Zaidi

- Mifugo

Jifunze kuhusu kiwavijeshi vamizi na namna ya kumdhibiti kwa kutumia dawa za kilimo hai

Jinsi ya kuzuia waharibufu wa mahindi kwa kutumia dawa ya kilimo hai Mahindi ni zao muhimu na tegemezi kwa jamii nyingi barani Afrika. Nchini Tanzania zao hili hulimwa mikoa yote kwani ni zao tegemezi kwa chakula. Hata hivyo, zao hili lina changamoto, kwani hushambuliwa na  visumbufu mbalimbali vya mimea ikiwamo  viwavijeshi vamizi (Fall armyworm). Viwavi hawa hula sehemu zote za…

Soma Zaidi

- Mifugo

Kilimo cha mahindi kwa kutumia mashimo na mbolea ya asili kimenihakikishia usalama wa chakula

“Miongoni mwa mafanikio niliyoweza kupata kutoka katika makala mbalimbali za jarida la Mkulima Mbunifu ni pamoja na; ufugaji wa nyuki, uanzishaji wa vitaru vya miti, kilimo cha mboga mboga  kwa kutumia mbolea ya asili, pia nimeweza kuboresha uzalishaji wa samaki kwa kutumia lishe ambapo imenisaidia kupata kitoweo. Kutokana na haya kipato changu kimeongezeka  na kumudu majukumu ya familia. Hii ni…

Soma Zaidi

- Mifugo

Ufugaji wa ndani wa kuku wa asili na banda bora la kufugia

Katika toleo lililopita tulielezea kwa undani kuhusu ufugaji wa kuku wa asili pamoja na mifumo ya ufugaji ikiwa ni mfumo huria na nusu huria. Katika toleo hili tutaangazia mfumo wa ndani na banda la kuku. Mfumo wa ndani ni mfumo ambao kuku hujengewa banda rasmi na hufugwa wakiwa ndani huku wakipatiwa chakula na maji.  Kuku kufanyiwa huduma nyingine muhimu wakiwa…

Soma Zaidi

- Mifugo

Kabla hujaamua kufuga sungura hakikisha ya kwamba umejitoa na unamuda wa kuwahudumia wanyama hawa. Ufugaji wa sungura si rahisi kama vile ukifuga paka au mbwa. Sungura wanahitaji uangalizi hasa kwenye usafi kwa sababu ni rahisi kwao kupata maradhi yatokanayo na mazingira mabaya na machafu. Mabanda Kuna aina mbili ya mabanda ya kufugia: Kwanza ni mabanda ya kufugia ndani muda wote…

Soma Zaidi

- Mifugo

Njia zinazotumika kutibu udongo wa kusia mbegu katika viriba

Uoteshaji na usiaji wa mbegu katika viriba ni teknologia inayokua siku hadi siku. Zipo njia mbalimbali zinazoweza kutumika katika kutibu udongo unaotumika kwenye viriba ili usiwe chanzo cha kusambaza vimelea vya magonjwa. Udongo Mchanganyiko wa udongo unaotumika katika viriba unatakiwa uwe na sifa zifuatazo; Uwe na rutuba ya kutosha. Usiwe wenye kutuamisha maji, lakini uweze kuhifadhi unyevu wa kutosha. Unaoruhusu…

Soma Zaidi

- Mifugo

Afya ya mifugo hutegemea uangalizi wa kina na tiba sahihi

Afya ya mifugo ni tatizo kubwa linalowakabili wafugaji walio wengi katika sehemu mbalimbali za nchi. Wapo wataalamu mbalimbali katika maeneo na mikoa yote ya nchi wanaotoa huduma ya mifugo lakini, bado kuna changamoto nyingi zinazowakumba wafugaji. Katika sehemu ambazo mawasiliano na miundo mbinu ni duni, wafugaji wamekuwa wakipoteza mifugo kutokana na sababu kuwa mara ugonjwa unapoikumba inakuwa si rahisi kufikiwa…

Soma Zaidi