Kilimo

- Kilimo

Fursa ya kibiashara kutokana na zao la alizeti

Alizeti ni zao maarufu katika maeneo yenye mvua za wastani mfano Mkoa wa Singida, Dodoma, Manyara na Simiyu. Zao hili limekuwa maarufu sana kutokana na mafuta yake kupendwa na watu wengi kwa sababu hayachanganywi na kemikali yoyote. Katika miaka hii miwili, Mafuta ya alizeti yameonekana kupanda bei kutoka fedha za kitanzania shilingi 3000/= kwa lita hadi 5500/= huku dumu la…

Soma Zaidi

- Kilimo

Mkulima avumbua dawa ya asili ya kutibu ugonjwa wa mnyauko

Uzalishaji wa mbogamboga umekuwa maarufu nchini, hasa kutokana na uhitaji wake wa kila siku. Hii ni kutokana na jamii kupata uelewa juu ya umuhimu wa ulaji wa mbogambga kwa afya ya mwili. Aidha, upatikanaji wa soko ndani na nje ya nchi pamoja na uzalishaji kuwa rahisi, umepelekea wakulima wengi kujikita katika kilimo hiki. Hata hivyo, kilimo hiki kimekua na changamoto…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara, Masoko

Unapouza mazao yako zingatia vipimo sahihi

Wakulima walio wengi wamekuwa wakipoteza mamilioni ya shilingi kutokana na uuzaji wa mazao kwa kutumia vipimo visivyokuwa sahihi Kwa kawaida wakulima wanapoamua kufanya shughuli ya uzalishaji wa mazao huwa na malengo makubwa sana ya kufaidika kutokana na mazao hayo pindi msimu wa mavuno unapofika. Hii imekuwa ni tofauti kabisa kutokana na wakulima kuishia kupata hasara inayosababishwa na kuuza mazao yao…

Soma Zaidi

- Kilimo, Usindikaji

Sindika karakara kupunguza upotevu

Karakara ni zao la matunda ambalo ni muhimu kwa biashara na chakula linalolimwa katika mikoa ya Pwani, Morogoro, Dar es Salaam, Tanga, Kigoma, Mbeya, Kilimanjaro na Arusha. Mara nyingi wakulima huzalisha zao hili kwa wingi sana kwa msimu mmoja na hatimae kushuka kwa soko lake na kufanya kuwepo kwa upotevu na uharibifu wa matunda haya. Ili kuondokana na uharibifu huu,…

Soma Zaidi

- Kilimo

Mkulima Mbunifu yaangazia kilimo hai ZANZIBAR

Kama ilivyo ada, Mkulima Mbunifu hutembelea wakulima wanufaika wa jarida la kilimo hai nchini Tanzania. Hivi karibuni, Mkulima Mbunifu ilitembelea kisiwa cha Zanzibar ambapo iliweza kufanya mahojiano na baadhi ya wakulima wa kilimo hai na wanufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu Zanzibar. Katika makala hii tutamuangalia Bi. Salma Hussein Makame, Mkulima wa kilimo hai kutoka kijiji cha Unguja Ukuu, Wilaya…

Soma Zaidi

- Kilimo

Utengenezaji wa makingo na umuhimu wake hasa msimu huu wa mvua

Madhumuni makubwa ya kutengeneza makingo shambani ni pamoja na kugawa au kufupisha urefu wa mteremko. Katika kipindi hiki ambacho hutarajiwa kuwa na mvua nyingi katika maeneo mbalimbali ya nchi, ni vyema wakulima wakahakikisha wanaweka makingo ya kutosha ili kuzuia mmomonyoko wa udongo unaosababishwa na maji mengi ya mvua. Madhumuni makubwa ya kutengeneza makingo shambani ni pamoja na kugawa au kufupisha…

Soma Zaidi

- Kilimo

Mkulima Mbunifu tunajivunia kuwa sehemu ya mafanikio ya wakulima

Kuna usemi ambao ninaamini kuwa ni wa kweli kabisa, unaosema ufahamu ni njia ya kila jambo unalohitaji kufanya, na taarifa sahihi ni nguvu ya kila jambo. Usemi huu unaweza kudhihirishwa na muda ambao tumekuwa tukichapisha jarida la Mkulima Mbunifu, na kwa namna ambapo wale wote waliolitumia wameshuhudia ni kwa jinsi gani limekuwa msaada mkubwa kwao. Wafugaji na wakulima walilipokea vizuri…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Mifugo

Biovision Foundation visit to Tanzania [Mkulima Mbunifu]

MkM project had an opportunity to meet with Biovision foundation, the donors of FCP program [Dr. Franklin Eyhorn [Executive Director] and [Martin Schmid] Co-Head Development Projects on 14th and 15th March 2022. The team selected farmer groups and partners to visit [within Arusha and Kilimanjaro] to allow for Biovision Foundation  explore the project engagement with different partners and how useful has been…

Soma Zaidi

- Kilimo

Dawa za asili kwa ajili ya kudhibiti wadudu kwenye mbogamboga

Kama ilivyo kwa aina nyingine ya kilimo kuwa na changamoto, wadudu pia ni moja ya changamoto inayowakabili wakulima wa kilimo hai na mara nyingi wamekuwa wakipambana kutafuta utatuzi. Aidha, dawa mbalimbali za asili zimeonekana kufanya vizuri katika kudhibiti mashambulizi ya wadudu hawa kwenye mimea. Phytolacca Dodecandra Mmea huu hutumika kama dawa ya kuulia wadudu kama vile aphids, mealy bugs, caterpillars,…

Soma Zaidi