- Kilimo, Mifugo

Wasemavyo wanufaika wa jarida la Mkulima Mbunifu

Mkulima Mbunifu imekua ikitembelea wakulima mbali mbali nchini Tanzania ili kuchukua shuhuda mbalimbali za wanufaika na kuzichapisha ziwe chachu kwa wasomaji wengine kujifunza na kufanya kwa vitendo. Je wewe umejifunza nini kutoka Mkulima Mbunifu? Tafadhali tuandikie kupitia mawasiliano yaliyo katika jarida hili. Katherini Samweli Palanjo, Kijiji cha Sura-Meru, Arusha Mimi ni mkulima wa kilimo hai, ninajishughulisha na kilimo cha mboga…

Soma Zaidi

- Mifugo

Sababu za kula mayai

Kula yai ni njia rahisi ya kuboresha afya yako.kiini cha yai huwa na madini ya chuma pamoja na kaLshium na ute wa yai huwa na protini za kutosha.madini ya chuma yanasaidia kuongeza damu mwilini na kalshium huimarisha mifupa.kama huna tabia ya kula yai hizi hapa sababu za kwanini ule yai; 1.kupata vitamini Yai moja huwalimejazwa vitamin ambzo ni muhimu kwa…

Soma Zaidi

- Kilimo

TUSHIRIKISHE CHANGAMOTO UNAZOKUMBANA NAZO KATIKA KILIMO NA UFUGAJI MSIMU HUU WA MVUA

Huu ni msimu wa mvua katika maeneo mengi nchini. Bila shaka wengi wetu ni wakulima na wafugaji hivyo bado tunaendelea na shughuli zetu za kila siku. Je, ni changamoto zipi unazopitia katika msimu huu wa mvua kwenye shughuli zako za kila siku za kilimo?Tushirikishe/tueleze/Tuulize ili tuweze kupeana ushauri nini chakufanyaTuma ujumbe wako hapahapa au kupitia namba 0762 333 876 au…

Soma Zaidi

- Kuku, Mifugo

Mchanganyiko sahihi wa lishe/chakula cha kuku kwa kuzingatia gharama nafuu

Hili ni swali alilouliza mkulima Nelson Shao. Habari Nelson , Karibu sana Mkulima Mbunifu na hongera kwa kuendelea kufuatilia na kusoma makala mbalimbali za Mkulima Mbunifu. Kuhusu chakula cha kuku unaweza kutengeneza mwenye kama ifuatavyo; Malighafi aina ya kwanza na kiwango Mahindi kilogramu 40 Pumba ya mahindi kilogramu 25, Mtama kilogramu 5 Mashudu ya alizeti kilogramu 10 Dagaa kilogramu 4…

Soma Zaidi

- Mifugo

Fahamu kuhusu wadudu waharibifu wa mahindi (Viwavijeshi vamizi)

Mahindi ni zao muhimu na tegemezi kwa jamii nyingi barani Afrika. Nchini Tanzania zao hili hulimwa mikoa yote kwani ni zao tegemezi kwa chakula. Hata hivyo, zao hili lina changamoto, kwani hushambuliwa na visumbufu mbalimbali vya mimea ikiwamo viwavijeshi vamizi (Fall armyworm). Viwavi hawa hula sehemu zote za mmea majani, bua, mbegu, gunzi; pia hula aina nyingine za mimea. Umakini mkubwa unahitajika…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara

Tumia molasi kurejesha rutuba ya udongo

Katika kilimo, matumizi ya Molasi ni muhimu kwa kuboresha hali ya udongo, kudhibiti wadudu, kuwezesha udongo kuwa na rutuba, kurekebisha hali ya udongo na pia kupunguza matatizo kwa mimea inayopandikizwa. Matumizi na kiasi cha kutumia Kuboresha umbile la udongo. Molasi husaidia kuboresha udongo na kuunganisha chembe za udongo na chembe za rutuba na viumbe hai ardhini. Ili kuwa na matokeo…

Soma Zaidi

- Mifugo

Fuga mbuzi uongeze kipato mbadala

Mbuzi ni mnyama mdogo lakini mwenye faida kadha wa kadha na huweza kutunzwa eneo na kwa gharama ndogo. Kwa jamii nyingi za kiafrika, mbuzi kama kuku, ni moja ya mnyama anayefugwa kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Katika jamii nyinginezo, hufuga mbuzi kwa ajili ya kitoweo, maziwa na pia kuwatumia katika katika sherehe na shughuli mbalimbali za kitamaduni. Hivi sasa kumekuwa…

Soma Zaidi

- Mifugo

Zalisha na kutunza malisho kwa jili ya mifugo

Majani ya malisho ya umuhimu mkubwa kwa mfugaji wa ng’ombe, mbuzi na kondoo. Bila malisho ya kutosha mfugaji atagaramika kwa kununua nyasi hasa wakati wa kiangazi. Kuwa na malisho ya kutosha inampa mkulima amani na hakikisho kwamba mifugo wake wanapata lishe ya kutosha nyakati zote. Ikiwa mfugaji hataweka mikakati ya kuzalisha na kuhifadhi malisho basi mifugo hawatakuwa wenye afya na…

Soma Zaidi