Tija katika ufugaji wa kuku wa asili ni ndogo kwa sababu ya matatizo mengi wanayokumbana nayo. Katika mazingira ya kujitafutia chakula kuku hawa hukumbana na vimelea mbalimbali vya magonjwa. Kwa ujumla kuku hawawezi kuongezeka kwa idadi kubwa mahali pasipo na vyakula vya kuwatosheleza hata kama magonjwa hatari yatadhibitiwa kwakuwa mwishowe watakufa kwa kukosa chakula. Magonjwa yanayoathiri kuku wa kienyeji…
Mifugo
Vidokezo vya kuanzisha biashara ya ufugaji wa wanyama
Ufugaji ni utunzaji na uzalishaji wa mifugo kwa madhumuni ya kilimo, ikiwa ni pamoja na chakula na bidhaa zingine kutokana na mifugo. Ikifanywa ipasavyo, ni shughuli yenye uwezo mkubwa ya kumkwamua mkulima na kumpa mapato ya kutosheleza mahitaji ya kila siku. Wengi wa wakulima wadogo huunganisha ufugaji na kuzalisha mazao, ingawa baadhi ya wakulima huzingatia ufugaji pekee, ili kuwawezesha kupata…
Kupitia jarida la MkM, maisha yamebadilika
Toka nilipoanza kupata na kusoma nakala za Mkulima Mbunifu mwaka 2011, nimepata mafanikio makubwa katika ufugaji na kilimo. Aidha, nimegundua kuwa, ukiamua na kufanya kwa vitendo kama Mkulima Mbunifu linavyosisitiza, umaskini kwa mkulima ni historia tu. Jarida la Mkulima Mbunifu lilianza kutekeleza majukumu yake ya kutoa elimu kwa wakulima na wafugaji (wakubwa na wadogo) kuanzia Julai mwaka 2011. Elimu hii…
Namna ya kuzuia ugonjwa wa ndigana kali
Mfugaji ajitahidi kuogesha wanyama wake vizuri walau mara moja kila wiki kwa kutumia dawa ya kuua kupe. Ogesha kwa kutumia dawa zinazozuia kupe na mbung’o katika eneo unalofugia. Kwa mfano unaweza kutumia; Tristix, Tixfix, Ciberdip, Paranex, Alfanex, Steladone, Dominex na kadhalika. Epuka kuchunga mifugo katika maeneo yenye kupe au mbung’o wengi. Ikibidi chunga kwa mzunguko (rotational grazing) katika eneo lako…
Wadudu nyemelezi wa magonjwa huathiri uzalishaji
Moja ya mambo muhimu yanayochangia uzalishaji wa mifugo ni aina na kiasi cha magonjwa yaliyomo katika eneo la ufugaji. Ni muhimu kwa mfugaji kufahamu aina ya magonjwa yanayoathiri mifugo yake mara kwa mara, na namna ya kukabiliana nayo pamoja na udhibiti wa wadudu na vimelea sababishi. Pia ni vyema kutambua na kufahamu namna ya kutibu magonjwa nam Wadudu nyemelezi na…
TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU (MKM) INTERNAL EVALUATION CONSULTANT
The Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine, a Farmer Communication Programme project, has been empowering smallholder farmers in Tanzania since July 2011 through production and distribution of farmer magazines. Supported by the Biovision Foundation and Biovision Africa Trust, MkM aims to enhance the economic, social, and environmental livelihoods of smallholder farmers through the adoption of ecologically sustainable agriculture (ESA) and improved agricultural…
Sababu za kula mayai
Kula yai ni njia rahisi ya kuboresha afya yako.kiini cha yai huwa na madini ya chuma pamoja na kaLshium na ute wa yai huwa na protini za kutosha.madini ya chuma yanasaidia kuongeza damu mwilini na kalshium huimarisha mifupa.kama huna tabia ya kula yai hizi hapa sababu za kwanini ule yai; 1.kupata vitamini Yai moja huwalimejazwa vitamin ambzo ni muhimu kwa…
Mchanganyiko sahihi wa lishe/chakula cha kuku kwa kuzingatia gharama nafuu
Hili ni swali alilouliza mkulima Nelson Shao. Habari Nelson , Karibu sana Mkulima Mbunifu na hongera kwa kuendelea kufuatilia na kusoma makala mbalimbali za Mkulima Mbunifu. Kuhusu chakula cha kuku unaweza kutengeneza mwenye kama ifuatavyo; Malighafi aina ya kwanza na kiwango Mahindi kilogramu 40 Pumba ya mahindi kilogramu 25, Mtama kilogramu 5 Mashudu ya alizeti kilogramu 10 Dagaa kilogramu 4…
VACANCY: TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU (MKM) INTERNAL EVALUATION CONSULTANT
SAT seeks to recruit a consultant to support MkM project to carry out a rapid progress evaluation for the implementation period running from January 2023 – June 2024. CLICK THE LINK HERE https://mkulimambunifu.org/wp-content/uploads/elementor/20240429_TOR-for-Evaluation-Consultant_1.pdf
Fahamu kuhusu wadudu waharibifu wa mahindi (Viwavijeshi vamizi)
Mahindi ni zao muhimu na tegemezi kwa jamii nyingi barani Afrika. Nchini Tanzania zao hili hulimwa mikoa yote kwani ni zao tegemezi kwa chakula. Hata hivyo, zao hili lina changamoto, kwani hushambuliwa na visumbufu mbalimbali vya mimea ikiwamo viwavijeshi vamizi (Fall armyworm). Viwavi hawa hula sehemu zote za mmea majani, bua, mbegu, gunzi; pia hula aina nyingine za mimea. Umakini mkubwa unahitajika…