Mifugo

- Binadamu, Kilimo, Mifugo

Jarida la MkM limenisaidia kufanya kilimo ikolojia kwa faida

Jarida la MkM limenisaidia kufanya kilimo ikolojia kwa faida ‘’Nimekuwa nikifanya kilimo ikolojia toka utotoni kwani wazazi wangu walikuwa wakijishughulisha na kilimo na walitegemea kilimo pekee kwa chakula na biashara, na njia ya uzalishaji ilikuwa ni njia za asili pekee’’. Hayo ni maneno ya Bi. Rehema Joel Mbula (48) mkulima mzalishaji kwa misingi ya kilimo ikolojia na mnufaika wa jarida…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Mazingira, Mifugo

Ulishawahi kujiuliza kwanini tunafanya kilimo?

Kilimo kimekuwepo tangu kale za mababu zetu. Binadamu wa kwanza walipata chakula chao kwenye mazingira yanayowazunguka na kwa juhudi kama uwindaji kabla ya kuanza kulima ardhi, kupanda mazao na kufuga mifugo kama vyanzo vya lishe. Hii ni pamoja na nafaka, mazao ya mizizi, karanga, matunda, nyama, maziwa, na hata mayai. Kilimo kimebadilisha maisha na maisha pia yamebadilisha muundo wa kilimo.…

Soma Zaidi

- Mifugo

Fahamu mbinu za kuongeza thamani nyama

Safari ya kuongeza thamani nyama ya mifugo huanzia shambani kwa usimamizi wa ufugaji na uzalishaji. Lishe bora ni muhimu kwa wa ufugaji wa mifugo wa nyama, hivyo, nyama nzuri huanza na lishe bora. Malisho ya hali ya juu yasiyokuwa na vimelea vinavyoweza kusababisha magonjwa na kemikali hatari yanakidhi mahitaji ya lishe ya mnyama. Hii itahakikisha mnyama anapochinjwa anatoa nyama laini…

Soma Zaidi

- Mifugo

Ufugaji bora wa ng’ombe unaoleta tija kwa mfugaji

Ng’ombe wanafugwa kwa ajili ya nyama na maziwa lakini pia hutoa mazao mengine kama ngozi, mbolea na hutumika kama wanyama kazi. Zaidi ya asilimia 95 ya ng’ombe wanaofugwa hapa nchini ni wa asili ambao huzalisha nyama na maziwa kwa kiwango kidogo ikilinganishwa na wale wachache walioboreshwa. Ng’ombe walioboreshwa wamegawanyika katika makundi mawili, wale wanaofugwa kwa ajili ya nyama na wanaofugwa…

Soma Zaidi

- Mifugo

Matatizo katika ufugaji wa kuku wakienyeji

Tija katika ufugaji wa kuku wa asili ni ndogo kwa sababu ya matatizo mengi wanayokumbana nayo. Katika mazingira ya kujitafutia chakula kuku hawa hukumbana na vimelea mbalimbali vya magonjwa. Kwa ujumla kuku hawawezi kuongezeka kwa idadi kubwa mahali pasipo na vyakula vya kuwatosheleza hata kama magonjwa hatari yatadhibitiwa kwakuwa mwishowe watakufa kwa kukosa chakula.   Magonjwa yanayoathiri kuku wa kienyeji…

Soma Zaidi

- Mifugo

Vidokezo vya kuanzisha biashara ya ufugaji wa wanyama

Ufugaji ni utunzaji na uzalishaji wa mifugo kwa madhumuni ya kilimo, ikiwa ni pamoja na chakula na bidhaa zingine kutokana na mifugo. Ikifanywa ipasavyo, ni shughuli yenye uwezo mkubwa ya kumkwamua mkulima na kumpa mapato ya kutosheleza mahitaji ya kila siku. Wengi wa wakulima wadogo huunganisha ufugaji na kuzalisha mazao, ingawa baadhi ya wakulima huzingatia ufugaji pekee, ili kuwawezesha kupata…

Soma Zaidi

- Kilimo, Mifugo

Kupitia jarida la MkM, maisha yamebadilika

Toka nilipoanza kupata na kusoma nakala za Mkulima Mbunifu mwaka 2011, nimepata mafanikio makubwa katika ufugaji na kilimo. Aidha, nimegundua kuwa, ukiamua na kufanya kwa vitendo kama Mkulima Mbunifu linavyosisitiza, umaskini kwa mkulima ni historia tu. Jarida la Mkulima Mbunifu lilianza kutekeleza majukumu yake ya kutoa elimu kwa wakulima na wafugaji (wakubwa na wadogo) kuanzia Julai mwaka 2011. Elimu hii…

Soma Zaidi

- Mifugo

Namna ya kuzuia ugonjwa wa ndigana kali

Mfugaji ajitahidi kuogesha wanyama wake vizuri walau mara moja kila wiki kwa kutumia dawa ya kuua kupe. Ogesha kwa kutumia dawa zinazozuia kupe na mbung’o katika eneo unalofugia. Kwa mfano unaweza kutumia; Tristix, Tixfix, Ciberdip, Paranex, Alfanex, Steladone, Dominex na kadhalika. Epuka kuchunga mifugo katika maeneo yenye kupe au mbung’o wengi. Ikibidi chunga kwa mzunguko (rotational grazing) katika eneo  lako…

Soma Zaidi

- Kilimo, Mifugo

Wadudu nyemelezi wa magonjwa huathiri uzalishaji

Moja ya mambo muhimu yanayochangia uzalishaji wa mifugo ni aina na kiasi cha magonjwa yaliyomo katika eneo la ufugaji. Ni muhimu kwa mfugaji kufahamu aina ya magonjwa yanayoathiri mifugo yake mara kwa mara, na namna ya kukabiliana nayo pamoja na udhibiti wa wadudu na vimelea sababishi. Pia ni vyema kutambua na kufahamu namna ya kutibu magonjwa nam Wadudu nyemelezi na…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Mazingira, Mifugo

TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU (MKM) INTERNAL EVALUATION CONSULTANT

The Mkulima Mbunifu (MkM) Magazine, a Farmer Communication Programme project, has been empowering smallholder farmers in Tanzania since July 2011 through production and distribution of farmer magazines. Supported by the Biovision Foundation and Biovision Africa Trust, MkM aims to enhance the economic, social, and environmental livelihoods of smallholder farmers through the adoption of ecologically sustainable agriculture (ESA) and improved agricultural…

Soma Zaidi