Mifugo

- Mifugo, Mimea

Unaweza kuokoa pesa nyingi kwa kutumia mwarobaini

Mimi ni msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu, na nimefaidika mengi sana. Ningependa kufahamu kuhusiana na mti wa mwarobaini ambao nimekuwa nikisikia kwa muda mrefu kuwa unatibu wanyama na binadamu. Je naweza kuutumia kutibu kuku na mifugo mingine ninayofuga, na je unafaa kwa mazao?-Msomaji MkM Mwarobaini (Azadirachta indica) ni mti unaofahamika kwa uwezo wake wa kutibu magonjwa ya aina mbalimbali.…

Soma Zaidi

- Mifugo

Wataalamu wanashauri nyama isioshwe

Nyama ni miongoni mwa vitoweo vinavyopendwa kwa sababu ya ladha yake nzuri na wingi wa viini lishe. Nyama ni chanzo kizuri cha protini na madini ya chuma na kwa sababu hiyo, kuna ongezeko kubwa la matumizi yake mijini na vijijini. Miongoni mwa changamoto zinazoambatana na matumizi ya nyama kama kitoweo, ni usafi na usalama wake kwa afya ya watumiaji. Usafi…

Soma Zaidi

- Mifugo

Ng’ombe wanahitaji uangalizi wa kina

Ng’ombe ni mifugo ambayo hutegemewa sana na wananchi walio wengi hapa nchini. Kuna aina tatu za ng’ombe wafugwao hapa nchini, nao ni ng’ombe wa kisasa, kienyeji na machotara. Faida za ufugaji wa ng’ombe Kupata chakula kama vile maziwa na nyama. Kupata ngozi ambayo hutumika kama malighafi kwa ajili ya kutengeneza viatu, mikanda, mikoba, nguo na vitanda. Kujipatia pesa na pia…

Soma Zaidi

- Mifugo

Faida za lishe ya samaki kwa watu wazima na watoto

Watu wanaoishi kwa kutegemea vyakula vya kwenye maji huishi kwa muda mrefu na huwa na kumbukumbu nzuri na uwezo mkubwa wa kufikiri. Katika matoleo kadha wa kadha ya jarida la MkM, tumekuwa tukieleza kwa ufasaha kabisa namna ya ufugaji bora wa samaki, na faida zake kiuchumi kwa mfugaji na jamii kwa ujumla. Katika toleo hili, tumeona ni vyema kuwa na…

Soma Zaidi

- Mifugo

Vyanzo vya matandazo kwa ajili ya kilimo hai

Matandazo kwa ajili ya kilimo katika msingi wa kilimo hai huweza kutokana na njia mbalimbali kama vile mazao funikizi, mabaki ya mazao, majani kutoka katika miti au vichaka na katika mimea mbalimbali. Ikiwa matandazo yanategemewa kupatikana katika mazao funikizi, basi maandalizi ya eneo la kuoteshea na kukuzia mazao hayo ni lazima ufanyike. Matandazo kutoka katika mazao funikizi Baadhi ya mazao…

Soma Zaidi

- Mifugo

Tambua kwanini chakula cha kuku kinaharibika

Kila nikihifadhi chakula cha kuku baada ya muda fulani nakuta kimeanza kupata ukungu na wakati mwingine kuwa na harufu kali sana kama ya kuchacha, naombeni msaada wenu. 0654 624229 Dodoma Chakula cha kuku kinapozalishwa katika hali nzuri na kwa kufuata kanuni sahihi huweza kuhifadhiwa na kutumika kulishia kwa muda mrefu sana bila kuharibika. Tatizo ambalo mara nyingi huwakuta wafugaji walio…

Soma Zaidi

- Mifugo

Sindika viazi vitamu kuongeza thamani

Ni muhimu kusindika viazi vitamu ili kuongezea thamani, ubora na matumizi yake Viazi vitamu husindikwa kupata viazi vitamu vilivyokaushwa, unga, wanga na jamu. Ukaushaji wa viazi vitamu kwa ujumla wake huhitaji au hutumia nishati ya jua ambapo ni lazima mkulima kuzingatia kanuni  kwa ajili ya kukausha mazao yake. Kanuni muhimu za ukaushaji Ukaushaji hupunguza maji kwenye zao la viazi vitamu…

Soma Zaidi

- Mifugo

Unawezaje kutambua mnyama mwenye afya nzuri na mwenye matatizo ya kiafya?

Afya ya mifugo ni tatizo kubwa linalowakabili wafugaji walio wengi katika sehemu mbalimbali za nchi. Wapo wataalamu mbalimbali katika maeneo na mikoa yote ya nchi wanaotoa huduma ya mifugo lakini, bado kuna changamoto nyingi zinazowakumba wafugaji. Katika sehemu ambazo mawasiliano ikijumuisha pia miundo mbinu kuwa duni, wafugaji wamekuwa wakipoteza mifugo hasa kutokana na sababu kuwa mara ugonjwa unapoikumba inakuwa si…

Soma Zaidi

- Mifugo

Fahamu maandalizi muhimu kabla ya nguruwe kuzaa

Nguruwe wanaozaa kwa mara ya kwanza wanaweza kupelekwa kwenye nyumba ya kuzalia masaa machache kwa siku kutoka siku kumi kabla ya siku ya kuzaa ili waweze kuzoea mazingira. Mara nyingi tumekuwa na makala zinazoelezea ufugaji wa nguruwe katika nyanja tofauti, ikiwa ni pamoja na aina, matunzo na magonjwa ya nguruwe na hata bidhaa zinazotokana na nguruwe na usindikaji wake. Katika…

Soma Zaidi

- Mifugo

Shubiri mwitu (aloe) tiba ya magonjwa ya kuku

Kuku ni moja ya miradi inayofanywa kwa wingi na watu wa kada mbalimbali, wakiwamo wakulima na wafugaji, na wanaofanya shughuli nyinginezo. Moja ya changamoto ambazo zimekuwa zikiwakabili na kuzungumziwa mara kwa mara ni magonjwa yanayoshambulia kuku, bila wafugaji kufahamu ni nini cha kufanya. Kumekuwepo na njia mbalimbali za kutibu kuku, zikiwemo za asili na zisizokuwa za asili. Moja wapo ya…

Soma Zaidi