Binadamu

- Binadamu, Kilimo

Madhara ya afya yaletwayo na matumizi ya viatilifu

Katika toleo lililopita la juni tulianza kuangazia madhara yasababishwayo na viatilifu na katika toleo hili tumalizia mada hii kwa kuangalia njia ambazo sumu huingia mwilini. Mara nyingi wakulima hutumia kemikali kwa matumizi tofaut, bila kufahamu kuwa wao pia wanaathiriwa na madawa hayo. Dawa hizo huingia mwilini kwa njia mbalimbali. Kwa sababu kuna aina nyingi za dawa, sumu inaweza kutofautiana sana.…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo

Kemikali huingia mwilini kwa njia mbalimbali

Kwa muda mrefu wakulima walio wengi wamekuwa wakitumia madawa ya kemikali kwa matumizi tofauti, bila kufahamu kuwa wao pia wanaathiriwa na madawa hayo. Dawa hizo huingia mwilini kwa njia mbalimbali. Ni muhimu kwa mkulima kuelewa vyema jinsi ya kujikinga kutokana na madhara ya madawa ya kuangamiza wadudu, hii ni pamoja na kuacha matumizi ya madawa yenye madhara na namna nzuri…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Mazingira, Mifugo

Maswali toka kwa wasomaji wa Mkulima Mbunifu kwa njia ya simu

Ndugu msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu, ni furaha yetu kuwa umeendelea kufuatilia na kusoma makala mbalimbali zinazochapishwa kwenye jarida hili. Pia tunashukuru wewe uliefatilia na kutaka kufahamu kwa undani kwa kuuliza maswali pale ambapo hujaelewa ama umekwama. Pia tunashukuru kwa mchango wako katika kutekeleza kilimo hai. Katika makala hii ni baadhi tu ya maswali yaliyoulizwa na wakulima wasomaji wa…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo

Uji wa chaya, lishe bora kwa familia

Chaya ni mboga ya kijani kibichi iliyo katika kundi la kisamvu ambayo huota ikiwa kwenye uonekano wa kisamvu yaani huwa na shina nyingi na majani mengi ambapo majani hayo hutumika kama mboga. Mboga aina ya Chaya, huota katika hali yeyote hata katika maeneo yenye kame kwani hustahimili hali ya ukame na hivyo hufanya jamii ya eneo husika kuwa na mboga…

Soma Zaidi

- Binadamu, Mifugo

Unaweza kuokoa pesa nyingi kwa kutumia mwarobaini 

Mimi ni msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu, na nimefaidika mengi sana. Ningependa kufahamu kuhusiana na mti wa mwarobaini ambao nimekuwa nikisikia kwa muda mrefu kuwa unatibu wanyama na binadamu. Je naweza kuutumia kutibu kuku na mifugo mingine ninayofuga, na je unafaa kwa mazao? Msomaji MkM Mwarobaini () ni mti unaofahamika kwa uwezo wake wa kutibu magonjwa ya aina mbalimbali.…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Mazingira, Mifugo, Udongo

Re-Thinking Food: Transforming Food Systems for People and Planet | Frank Eyhorn | TEDxIHEID

Just click here to watch Climate change, biodiversity loss, poverty, health issues: what we eat and how we produce our food is shaping the face of our planet and of our societies like no other human activity. The hidden costs of cheap food are mind-blowing. At the same time, food is currently one of the most powerful levers for changing…

Soma Zaidi

- Binadamu, Mazingira, Usindikaji

Shambani hadi mezani; Fursa ya biashara ya chakula

Kuna fursa mbalimbali za kibunifu zinazoweza kumsaidia mkulima kujikwamua kiuchumi. Ikiwa wakulima wengi wamekua na changamoto ya soko la mazao wanayozalisha, shambani kwenda mezani ni fursa nzuri kama utazingatia na kuifanya kwa ufanisi. Shambani kwenda mezani ni msemo unaoweza kumaanisha mambo tofauti kwa watu tofauti. Hata hivyo maana yake ni kwamba chakula kilichoandaliwa mezani kimetoka moja kwa moja shambani, bila…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Mifugo

Biovision Foundation visit to Tanzania [Mkulima Mbunifu]

MkM project had an opportunity to meet with Biovision foundation, the donors of FCP program [Dr. Franklin Eyhorn [Executive Director] and [Martin Schmid] Co-Head Development Projects on 14th and 15th March 2022. The team selected farmer groups and partners to visit [within Arusha and Kilimanjaro] to allow for Biovision Foundation  explore the project engagement with different partners and how useful has been…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo

Namna rahisi kwa mkulima kulima zao la uyoga

Kabla ya kuzalisha uyoga inabidi kuwa na chumba chenye paa ambalo litazuia jua, mvua na vumbi. Chumba hiki kinatakiwa kiwe na sakafu inayohifadhi unyevunyevu pamoja na sehemu ya giza ambayo ni muhimu kwa kuotesha utando wa Uyoga. Mkulima wa kawaida anaweza kutumia kasha kama sehemu ya giza. Hatua muhimu katika kuotesha Uyoga Mkulima anatakiwa kwanza kutafuta mbegu, na baada ya…

Soma Zaidi

- Binadamu

Kula chakula bora chenye kukupatia afya

Mwongozo uliotolewa na Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO unasema japo lishe hutofautiana sana kutokana na mahali na kulingana na upatikanaji wa chakula, tabia za kula na tamaduni, lakini linapokuja suala la chakula, kuna mengi ambayo tunajua juu ya nini na nini sio nzuri kwetu na hii ni kweli bila kujali tunaishi wapi. Mabadiliko ya kijamii,…

Soma Zaidi