Mifugo

- Mifugo

Chakula cha nguruwe kinahitaji virutubisho sahihi

Nguruwe huhitaji kulishwa vizuri ili waweze kukua haraka na kufikia uzito wa kuchinjwa mapema. Ikiwa watatunzwa vizuri watafikia uzito wa kilo 60 hadi 90 wakiwa na umri wa miezi sita hadi tisa Nguruwe ana uwezo wa kula vyakula vya aina mbali mbali ikiwa ni pamoja na mabaki ya vyakula vya nyumbani, shambani na viwandani. Pamoja na vyakula hivyo, ni muhimu…

Soma Zaidi

- Mifugo

Zalisha mbolea za asili kwa ajili ya kilimo hai

Ili uweze kufanya kilimo hai ni lazima uwe na mbolea za asili. Bila mbolea za asili huwezi kufanya kilimo cha aina yeyote kwa misingi ya kilimo hai. Mbolea za asili zipo za aina mbalimbali ama huweza kutengenezwa kwa njia mbalimbali na kwa kutumia malighafi mbalimbali kama vile samadi, majani ya kurundika nakadhalika. Baadhi ya mbolea za asili na njia za…

Soma Zaidi

- Mifugo

Fahamu changamoto zinazosababisha vifo vya samaki katika bwawa

Ufugaji wa samaki kwa sasa ni moja ya mradi mzuri kiuchumi, hapa nchini na nje ya nchi. Pamoja na ufugaji huu kuendelea kuna changamoto zinazoikabili ambazo ni muhimu wafugaji kutambua ili kuepuka hasara. Elimu ya ufugaji wa samaki kwa miaka ya karibuni imekuwa ikiwafikia wengi na hii ni kutokana na usambazaji wa taarifa kwa haraka kwa wafugaji kupitia vyombo mbalimbali…

Soma Zaidi

- Mifugo

Wakulima wajidhatiti kudhibiti sumu kuvu msimu wa mavuno

Katika majarida yaliyopita, tuliangazia kwa undani kuhusu sumu kuvu na namna ya kudhibiti. Katika toleo hili tumeona vyema kurudia makala hii hasa kwa kuwa tunaelekea msimu wa mavuno na wakulima wanahitaji kukinga mazao yao na sumu kuvu. Sumu kuvu (Aflatoxin) ni aina za kemikali za sumu zinazozalishwa na aina ya ukungu au fangasi wanaoota kwenye mbegu za nafaka kama vile…

Soma Zaidi

- Mifugo

Uzalishaji na utunzaji wa malisho ya mifugo kwa ajili ya kulisha wakati wa kiangazi

Kama wewe ni mfugaji, Je, umewahi kufikiri utalisha vipi mifugo wakati wa kiangazi? Wafugaji walio wengi wanafanya miradi yao bila kuweka mikakati ya upatikanaji wa malisho katika majira yote ya mwaka, hasa kipindi cha kiangazi ambapo upatikanaji wa chakula cha mifugo ni duni. Bila malisho, mifugo haiwezi kuzalisha au kupata uhai. Chakula ni muhimu kwa mifugo kama ilivyo kwa binadamu.…

Soma Zaidi

- Mifugo

Aina bora ya nguruwe kwa ajili ya kufuga

Nchini Tanzania, ufugaji wa nguruwe unazidi kuongezeka siku hadi siku. Hii ni kwa sababu nguruwe ni moja kati ya mifugo inayompatia mfugaji kipato kwa haraka, kwani huzaa mara mbili kwa mwaka na kila mzao anaweza kuzaa watoto 12. Pamoja na matunzo mengine ya nguruwe ili mfugaji aweze kupata faida kama alivyokusudia, ni muhimu kufahamu sifa za nguruwe bora wa kufuga.…

Soma Zaidi

- Mifugo

Tumia kilimo cha mzunguko kudhibiti wadudu na magonjwa

Mimi ni msomaji wa jarida la Mkulima Mbunifu, nimekuwa nikivutiwa na makala za uzalishaji wa mazao kwa njia ya asili. Naomba kufahamishwa ni kwa namna gani naweza kudhibiti wadudu na magonjwa kwenye bustani yangu bila kutumia dawa yoyote? Wadudu na magonjwa visipodhibitiwa, humsababishia mkulima hasara kwa kiasi cha asilimia 20 hadi 80. Kutokana na hali hiyo, ni muhimu kuzuia magonjwa…

Soma Zaidi

- Mifugo

Ng’ombe wanahitaji uangalizi wa kina kwa uzalishaji wenye tija

Ng’ombe ni mifugo ambayo hutegemewa sana na wananchi walio wengi hapa nchini. Kuna aina tatu za ng’ombe wafugwao hapa nchini, nao ni ng’ombe wa kisasa, kienyeji na machotara. Faida za ufugaji wa ng’ombe Kupata chakula kama vile maziwa na nyama. Kupata ngozi ambayo hutumika kama malighafi kwa ajili ya kutengeneza viatu, mikanda, mikoba, nguo na vitanda. Kujipatia pesa na pia…

Soma Zaidi

- Mifugo

Unaweza kulima giligilani kukuza uchumi na pato kwa haraka

Kilimo cha Giligilani (Coriander) ni mradi mkubwa unaojitosheleza kukuza maisha ya mkulima kutokana na sababu kuwa zao hili la biashara huchukua muda mfupi toka kuotesha hadi kuvuna. Zao hili linalotumika kama kiungo cha chakula katika mapishi ya vyakula mbalimbali kama nyama, supu au mchuzi linafaa kulimwa wakati wowote na katika maeneo mengi ya Tanzania hususani mikoa ya Mbeya na Iringa.…

Soma Zaidi

- Mifugo

Soko la mbogamboga hutokana na uzalishaji makini

Soko ni mahali au njia ambayo muuzaji na mnunuzi hukutana na kubadilishana mali au huduma. Ni fursa ya kuuaza na kununua.  Kwa kawaida tunapozungumzia soko, tunagusia mambo kadha wa kadha, ikiwa ni pamoja na ukubwa wake, yaani wingi wa wauzaji na wanunuzi katika soko husika, ushindani, washindani, bidhaa na bei zake, changamoto, pamoja na mabadiliko yanayotegemewa. Kwa upande mwingine, tunaweza…

Soma Zaidi