Mifugo

- Kutuhusu, Masoko, Mifugo

Ni muhimu kuzingatia utunzaji bora wa vifaranga

Kwa karne na miaka mingi, ufugaji wa kuku imekuwa ni kazi muhimu na inayokubalika katika jamii nyingi. Ni kazi isiyohitaji gharama kubwa sana, ambayo imekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa kwa wanaiofanya kibiashara. Tatizo ambalo limekuwa sugu na kusababisha hasara kwa wafugaji walio wengi, ni kutofahamu namna bora ya kuwatunza vifaranga kuanzia siku ya kwanza wanapoanguliwa hadi kuwa kuku wakubwa.…

Soma Zaidi

- Kutuhusu, Masoko, Mifugo

Namna bora ya kutunza ndama kwa uzalisha wenye tija

Utunzaji wa ndama mfugaji anapaswa kutunza ndama vizuri kwa lengo la kupata ng’ombe wengi na bora kwa ajili ya maziwa. Mambo muhimu ya kuzingatia katika utunzaji wa ndama tangu kuzaliwa hadi kuachishwa maziwa ni pamoja na; Kuhakikisha kuwa ndama anapakwa dawa ya kuzuia maambukizi ya viini ya magonjwa kupitia kwenye kitovu, kwa mfano dawa joto (Tinture of Iodine) mara baada…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kutuhusu, Masoko, Mifugo, Usindikaji

Tumia Teknolojia Rahisi Kuboresha Uzalishaji

Teknolojia ifaayo ina sehemu kubwa katika kuboresha mapato ya wakulima kwa kutoa suluhisho na kuongeza uendelevu yanayoendana na mahitaji na masharti mahususi ya wakulima wadogo. Ikiwa wakulima watatumia teknolojia inayofaa basi wanaweza kuongeza kipato chao hasa katika kuongeza thamani mazao yao. Kutokana na hilo, kwa miaka mingi sasa, kumekuwa na jitihada nyingi kwa ajili ya kuleta mabadiliko na ukombozi wa…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kuku, Kutuhusu, Machungwa, Mafuta, Mananasi, Masoko, Mazingira, Maziwa, Mifugo, Mimea, Mtama, Nanaa, Nazi, Ngozi, Redio, Samaki, Samaki, Shuhuda, Soya, Udongo, Usindikaji, Viazi vitamu

HERI YA MWAKA MPYA WA 2025!!!!!!

Ni matumaini yetu kuwa tumevuka wote salama na tuko tayari kuanza mwaka kwa kishindo na kwa mafanikio makubwa. Mkulima Mbunifu tumejiandaa vyema kuendelea kufikisha elimu kwako na kwa kushirikiana na wewe katika kuhakikisha tunatatua changamoto zote za kilimo na ufugaji na kuhakikisha upatikanaji wa chakula bora na salama huku tukilinda afya zetu, afya za wanyama, afya ya mimea pamoja na…

Soma Zaidi

- Kilimo, Mifugo

Masomo kupitia jarida ni suluhisho la changamoto za wakulima

“Mimi ni mkulima na mfugaji, Ninazalisha kwa misingi ya kilimo ikolojia. Situmii pembejeo sumu za viwandani kuanzia ninapootesha zao husika au kuanza uzalishaji wa mifugo yangu mpaka ninapovuna, kuhifadhi na kuuza mazao yangu. Ninafanya uzalishaji wa mazao ya aina mbalimbali kama vile ndizi, kahawa, njugu, maharage, mahindi, mbogamboga, na pia ninafanya ufugaji wa kuku pamoja na mbuzi.’’ Hayo ni maneo…

Soma Zaidi

- Mifugo

Wakulima waungana kufanikisha mradi wa ufugaji wa kuku

Umoja ni nguvu na wakulima wanapoungana pamoja, mambo mazuri hufanyika. Wanatiana nguvu, kuleta rasilimali pamoja na kuanzisha miradi ambayo ni ngumu kwa mkulima mmoja kuanzisha. Kikundi cha Shangushangu kilichopo kijiji cha Narunyu, kata ya Tandangongoro, mkoani Lindi lina wanachama 16 (wanawake 8 na wanaume 8) na kilianzishwa mwezi wa saba mwaka 2023 likiwa na lengo la kujifunza kilimo na ufugaji…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Mazingira, Mifugo

MWENENDO WA MVUA MKOA WA ARUSHA

Ndugu Mkulima, kama tunavyofahamu huu ni msimu wa mvua katika maeneo mengi nchini, ni muhimu kupata na kufahamu taarifa za mwenendo mzima wa msimu, nini kifanyike au kisifanyike katika uzalishaji na mwenendo wa maisha kwa ujumla. Tafadhali soma kwa kubonyeza hapa chini kupata taarifa kamili kwa mkoa wa Arusha https://www.meteo.go.tz/uploads/publications/sw1724331524-Downscaled%20OND%202024%20Rainfall%20Season%20Outlook%20(Swahili)%20for%20Arusha%20Region%20and%20Districts.pdf

- Mifugo

Mfugaji mashuhuri wa kuku wa kienyeji Singida

Kama ilivyo ada, Mkulima Mbunifu tumekuwa tukikufikishia taarifa toka kwa wakulima katika mikoa mbalimbali hapa nchini wanaojishughulisha na kilimo ikolojia nia yetu ikiwa ni kuwawezesha wakulima wengine kujionea na kujifunza ni kwa namna gani wakulima wenzao wameweza kufanikiwa katika kilimo ikolojia. Miongoni mwa wakulima waliopata fursa ya kutembelewa na kuhojiwa na jarida hili ni mfugaji toka mkoani Singida ambaye anajishughulisha…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Masoko, Mazingira, Mifugo, Mimea, Redio, Shuhuda, Udongo, Usindikaji

Mwelekeo wa mvua za vuli (Oktoba – Disemba) na nini wakulima wafanye (Taarifa na TMA)

Uchambuzi wa mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa na mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli kipindi cha Oktoba – Disemba 2024, ushauri na tahadhari kwa wadau wa sekta mbalimbali kama vile kilimo na usalama wa chakula, mifugo na uvuvi, maliasili, wanyamapori na utalii, nishati na maji, usafirishaji (nchi kavu, kwenye maji na angani), mamlaka za miji, afya pamoja…

Soma Zaidi

- Kuku, Mifugo

TNAELEKEA MSIMU WA VULI, HAKIKISHA KUKU WAMEPATA CHANJO STAHIKI NA KWA WAKATI

Watu wengi wamekuwa wakianzisha miradi ya ufugaji wa kuku bila kuzingatia kanuni bora za utekelezaji wa mradi huo. Moja ya mambo ambayo wafugaji mara nyingi husahau kuzingatia ni utoaji wa chanjo sahihi na kwa muda muafaka. Ni muhimu kufahamu mambo unayotakiwa kuzingatia katika kuwapatia kuku chanjo. Wakati wa kutayarisha mpango wa kuchanja kuku kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa,…

Soma Zaidi