Mifugo

- Mifugo

Njia bora ya kugawanya makundi ya nyuki wadogo

Nyuki wasiong’ata maarufu kama nyuki wadogo hufikia kiwango cha kuwa kundi kubwa lenye kuhitaji kuendelezwa kutoka katika mzinga mama na kuelekea katika mzinga mpya. Zoezi la kugawanya makundi ya nyuki huhitaji utalaamu na uangalifu wa kutosha ili kusaidia ugawanyaji wa kundi kuwa wenye tija kwa mfugaji. Kuna faida kubwa ya kugawanya makundi ya nyuki wasiong’ata Huongeza idadi ya nyuki katika…

Soma Zaidi

- Mifugo

Tumia mpungate/kakati kutibu ugonjwa wa ndigana baridi

Ng’ombe wangu anapata choo kigumu sana na mara nyingine, kinaambatana na ute kama makamasi na damu, huu ni ugonjwa gani, na nasikia kuna dawa za kienyeji zinazotibu! Ni dawa gani, na inaandaliwaje? Kuna uwezekano mkubwa kuwa ng’ombe wako anasumbuliwa na ugonjwa unaojulikana kama ndigana baridi au kitaalamu Anaplasmosis. Huu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria ambapo mnyama hujisaidia kinyesi kilichochanganyikana na…

Soma Zaidi

- Mifugo

Kuroila: Kuku wa ajabu wenye faida kubwa

Kuroila wanaweza kufugwa ndani na kulishwa katika banda au kuachiwa huru kujitafutia. Wanaweza kulishwa kwa kutumia mabaki ya vyakula au vyakula maalumu. Kuroila ni aina ya kuku wa kienyeji ambao wanakuwa kwa haraka sana na hutaga mayai mengi zaidi ukilinganisha na aina nyingine ya kuku, wawe wa kienyeji au wa kisasa. Kwa nchi za ukanda wa Afrika ya Mashariki, kuku…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Mazingira, Mifugo, Udongo

Re-Thinking Food: Transforming Food Systems for People and Planet | Frank Eyhorn | TEDxIHEID

Just click here to watch Climate change, biodiversity loss, poverty, health issues: what we eat and how we produce our food is shaping the face of our planet and of our societies like no other human activity. The hidden costs of cheap food are mind-blowing. At the same time, food is currently one of the most powerful levers for changing…

Soma Zaidi

- Mifugo

Msimu huu wa mvua otesha matete, lishe muhimu kwa ufugaji wa ng’ombe

Majani ya matete ni moja ya zao maarufu kwa lishe ya mifugo Afrika mashariki. Hata hivyo, wafugaji wengi wamekuwa wakilipuuzia huku wakikosesha huduma muhimu zinazohitajika kwa ajili ya uzalishaji mzuri. Moja ya tatizo kubwa katika uzalishaji wa maziwa ni kukosekana kwa malisho sahihi na ya kutosha kwa ajili ya mifugo ili kuongeza uzalishaji wa maziwa na kipato, hasa wakati wa…

Soma Zaidi

- Mifugo

Kupe wanahatarisha afya ya mifugo

Kupe ni wadudu wanaoonekana kuwa ni wadogo lakini wanaweza kusababisha kushuka kwa uchumi wa wafugaji kwa kiwango cha juu endapo hawatadhibitiwa kwa wakati. Pamoja na kuwepo kwa aina mbalimbali za kupe, kupe wa rangi ya kahawia ni wabaya zaidi. Hii ni kwa sababu kupe wanabeba vimelea vinavyosababisha homa ya ndigana (East Coast Fever). Kupe wanaonekana kuwa wababe wa maisha kutokana…

Soma Zaidi

- Mifugo

Zuia ndama kuhara kutokana na unyweshaji maziwa

Muda wa kumlisha au kumnywesha ndama unatakiwa uwe sawa kila siku na joto la maziwa lisibadilike, liwe hilohilo kila siku. Aidha, unyweshaji wa maziwa sharti ufanywe katika hali ya usafi ili kuondoa uwezekano wa ndama kuharisha au kupata ugonjwa wa pneumonia na magonjwa mengine. Tahadhari za kuchukua wakati wa kumnywesha ndama Hakikisha maziwa unayomlisha ndama hayajazidi kiwango kinachostahili ndama kulisha…

Soma Zaidi

- Mifugo

Namna ya kupata faida kutokana na uzalishaji wa maziwa

Wafugaji huzalisha maziwa na kuyauza moja kwa moja sokoni na mara nyingi maziwa hayo huweza kusalia kwa kukosa wanunuzi. Maziwa hayo kutumika kwa matumizi ya nyumbani na wakati mwingine huweza kuharibika na kupelekea kumwaga. Hii imekuwa changamoto na kusababisha hasara kwa wafugaji.  Katika makala mbalimbali zilizopita tumejaribu kueleza namna ya kuzalisha maziwa kwa wingi. Pia jinsi ya kufanya usindikaji. Kuna…

Soma Zaidi

- Mifugo

Umuhimu wa maji katika mnyororo wa ongezeko la thamani

Kwa muda mrefu sasa sehemu kubwa ya nchi ya Tanzania imekumbwa na ukame. Hali hii imefifisha kwa kiasi kikubwa shughuli za wakulima na wafugaji kwa kuwa asilimia kubwa hutegemea mvua. Kama wasemavyo maji ni uhai sio kwa binadamu peke yake, hata kwa wanyama na mimea pia.  Kwa mkulima kutegemea mvua hawezi kuwa na kilimo cha kibiashara kwa kuwa hana uhakika…

Soma Zaidi