Wakati jarida hili lilipozinduliwa mwaka wa 2011, moja ya mambo yaliyowakera wasinduzi na ambalo linaendelea kusumbua jamii ni mfumko wa bei ya vyakula. Jambo hili linawatatiza wakulima na walaji au watumiaji wa mazao ya kilimo. ˮ Kuna sababu mseto zinazochangia kupanda na wakati mwingi kutotabirika kwa bei ya vyakula, na ambavyo lazima nchi kwa jumla ipambambane kudhibiti. Nishati Bei ya…
Binadamu
Matokeo ya lishe duni kwa watoto na jinsi ya kuboresha afya
Kila mwaka, watoto wengi chini ya miaka 5 nchini Tanzania hufa kwa sababu ya lishe duni na chakula. Watoto hawa hawapati chakula chenye vitamini, madini ya iodini na chuma ambayo yanahitajika kwa afya na ukuaji mzuri. Hali hii inasababisha utapiamlo. Watoto wenye umri wa miezi 6 na zaidi, wapewe chakula cha ziada tofauti-tofauti kwa viwango vidogo mwanzoni na kuongeza kadri…
MKULIMA MBUNIFU INTERN ADVERT
S.L.P 14402, Arusha, Tanzania Simu :+255 (0) 0714 266 0007 Barua pepe: info@mkulimambunifu.org TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU INTERN Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products…
Zingatia lishe sahihi na mifumo endelevu ya uzalishaji wa chakula salama
Tunapozungumzia lishe tunamaanisha kupata kiasi na ubora wa chakula na maji kwa vipindi vinavyofaa ili kuruhusu mwili kufanya kazi vizuri “balanced diet” yaani mlo kamili. Mahitaji ya lishe hutofautiana kulingana na jinsia, umri, shughuli za kila siku, ujauzito/kunyonyesha na hali ya afya ya mtu binafsi. Chakula kinapovunjwa, hutoa nishati ya kujenga mwili na kuupa kinga. Nishati hupimwa kwa kilokari au…
Taarifa: Mkulima Mbunifu ni mara moja kwa miezi miwili tangu sasa
Mwaka umeanza ukiwa na baraka tele na habari njema kwa wakulima na wasomaji kwa ujumla. Kuanzia mwezi huu jarida lako ulipendalo la Mkulima Mbunifu (MkM) litakuwa likichapishwa na kuletwa kwako kila baada ya miezi miwili. Tangu jarida hili lilipozinduliwa mwezi Julai 2011, limekuwa likichapishwa na kusambazwa kwa wakulima kila baada ya miezi miwili. Hata hivyo sababu ilikua ni kujenga msingi…
Bustani ya nyumbani inaweza kukukwamua kiuchumi na kuboresha afya yafamilia
Bustani ya nyumbani, ni eneo dogo lililokaribu na nyumba linaloandaliwa na wanafamilia na kupandwa mazao mbalimbali ya mbogamboga kwaajili ya familia. Hata hivyo, katika maeneo mengi wanawake ndio wamekua wakijishughulisha na bustani ndogo za nyumbani. Mara nyingi bustani ya nyumbani hujumuisha uzalishaji wa mazao ya muda mfupi hasa mbogamboga kwani ni rahisi kuyahudumia kwa gharama nafuu lakini pia yanazalisha kwa…
Athari za upungufu wa vitamini A
Kushindwa kuona vizuri hasa kunapokuwa na giza au mwanga hafifu. Ngozi kukauka au kupauka na wakati mwingine kuwa na vidonda huku nywele zikikosa afya. Kupata maambukizi ya magonjwa mara kwa mara hasa katika mfumo wa njia ya hewa na mfumo wa mkojo. Watoto wadogo kuugua surua kwa urahisi. Kudumaa kwa watoto kutokana na kukoma kukua na kuongezeka uzito. Ukuaji wa…
Kula matunda kwa wingi ili kuboresha afya yako
Tunda ni sehemu ya mmea ilio na mbegu au isio na mbegu ndani yake. Tunda ni sehemu ya chakula ambacho hujumuishwa katika lishe ya kila siku. Matunda mbalimbali huwa na virutubisho tofauti vinavyohitajika mwilini. Ulaji wa matunda unategemea na na jinsi mtu anavyopenda, kwa mfano, unaweza kula tunda lenyewe kama lilivyo ama kuchanganya na matunda mengine na hii huitwa saladi…
SALAMU ZA SIKUKUU ZA CHRISTMASS NA MWAKA MPYA WA 2023
Tunawatakia heri na baraka msimu huu wa kusherehekea sikukuu za Christmas na mwaka mpya wa 2023
SIKU YA CHAKULA DUNIANI? Unaelewa nini kuhusu ulaji wa mbogamboga kiafya
Je, unakula mbogamboga katika mlo wako wa kila siku? Je, unafahamu kuwa nusu ya sahani yako ya chakula cha kila siku kinatakiwa kiwe kimesheheni mbogamboga za kila aina?