chakula

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Maziwa, Samaki, Soya, Viazi vitamu

Lishe na vyanzo asili ya chakula

Lishe bora inajumuisha aina mbalimbali za vyakula kutoka makundi tofauti ya chakula, na hutoa virutubisho na ladha tofauti. Makundi haya ni muhimu kwa afya na ukuaji wa mwili: Nafaka na mizizi: Mahindi, viazi, ndizi — hutoa wanga kwa ajili ya kuongeza nguvu. Mikunde: Maharagwe, soya — chanzo cha protini kwa ajili ya kujenga mwili. Karanga na mbegu: Njugu, korosho —…

Soma Zaidi

- Mifugo

Tengeneza chakula kwa ajili ya nguruwe kwa kutumia comfrei na upupu

Ni kwa namna gani ninaweza kutengeneza chakula cha nguruwe kwa njia kutumia comfrei na upupu? Resheni ya chakula inahusiana moja kwa moja na ulishaji. Hili ni jumuiko la aina mbalimbali ya vyakula vinavyotumika kwa malisho, ikionesha ni kiasi gani cha kila aina ya lishe iliyopo kimetumika ili kuwa na chakula bora. Hii inamaanisha kuwa resheni inakamilika inapokuwa na aina zote…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo Biashara

Elimu ya uandaaji sahihi wa vyakula vya asili ni muhimu

Epuka kutengeneza loshoro itakayokaa muda mrefu sana kwenye kibuyu na kuendelea ongeza maziwa. Epuka kuloweka mahindi kwa muda mrefu na kutwanga kwa matumizi hii hupoteza nguvu na ubora wa wanga. Kuosha mahindi au maharage kwa kutumia magadi, hakikisha utayapika kwa kuongeza viungo au kutumia mboga za majani pembeni ili kurudisha virutubisho ulivyopoteza. Kuna baadhi ya vyakula hutumiwa sana nchini Tanzania…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo

Ni muhimu kuhakikisha usalama na kuzuia upotevu wa chakula

Umakini wa uzalishaji huzuia upotevu wa chakula Upotevu wa chakula hutokea katika mnyororo mzima wa uzalishaji, kuanzia shambani hadi usambazaji kwa wauzaji rejareja hadi kwa walaji. Upotevu huo unaweza kusababishwa na ukungu shambani, wadudu, au udhibiti duni wa hali ya hewa; hasara nyingine hutokana na njia za upishi na upotevu wa chakula kwa makusudi. Upotevu wa chakula husababisha hasara kabla…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kilimo Biashara

Siku ya chakula duniani October 2024

Siku ya chakula duniani ni maadhimisho ambayo yaliwaleta pamoja wadau wa kilimo na chakula kutoka sehemu mbalimbali. Hata hivyo siku hii ilikuja huku kukiwa na mvutano na mizozo ya kimataifa na majanga ya tabianchi ambayo ni miongoni mwa mambo yanayochangia changamoto ya mamia ya mamilioni ya watu duniani kote kukabiliwa na njaa na mabilioni ya watu kushindwa kumudu chakula bora.…

Soma Zaidi

- Kilimo

BEI YA MAZAO MAKUU YA CHAKULA

TAFADHALI FUNGUA KIAMBATANISHI HIKI KUJUA BEI YA BIDHAA YA MAZAO MAKUU YA CHAKULA HAPA NCHINI KATIKA MASOKO MAKUBWA KATIKA MIKOA MBALIMBALI https://www.viwanda.go.tz/uploads/documents/sw-1729766851-Wholesale%20price%2023rd%20October%202024-1.pdf

- Kilimo

Mbegu za asili ni pembejeo ya muhimu katika uzalishaji wa mazao

Upatikanaji wa mazao bora hutegemea matumizi ya aina na ubora wa mbegu za mazao husika. Baadhi ya wakulima nchini Tanzania wamesahau matumizi ya mbegu za asili na kujikita zaidi katika mbegu za kisasa. Mbegu ni nini? Mbegu ni sehemu ya mmea ambayo mmea mpya unaweza kuota. Kuna makundi makuu mawili ya mbegu ambayo ni; Punje: Kama vile nafaka au mbegu…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Mazingira, Mifugo

Ulishawahi kujiuliza kwanini tunafanya kilimo?

Kilimo kimekuwepo tangu kale za mababu zetu. Binadamu wa kwanza walipata chakula chao kwenye mazingira yanayowazunguka na kwa juhudi kama uwindaji kabla ya kuanza kulima ardhi, kupanda mazao na kufuga mifugo kama vyanzo vya lishe. Hii ni pamoja na nafaka, mazao ya mizizi, karanga, matunda, nyama, maziwa, na hata mayai. Kilimo kimebadilisha maisha na maisha pia yamebadilisha muundo wa kilimo.…

Soma Zaidi

- Kilimo, Udongo

Ifahamu ndizi kitarasa na faida zake

Ndizi ya Kitarasa ni moja ya ndizi inayotumika kama chakula cha kitamaduni kwa wachaga waishio katika mkoa wa Kilimanjaro. Aina hii ya ndizi hutumiwa kutengeneza unga wa uji, kutengeneza bia ya kitamaduni na kama mchanganyiko wa chakula cha kitamaduni katika sahani. Hata hivyo, wazalishaji wa kitarasa walipungua, kutokana na mabadiliko ya utamaduni, mtindo wa maisha, upatikanaji duni wa soko na…

Soma Zaidi