Mifugo

- Mifugo

Udhibiti wa magonjwa ya ng’ombe wa maziwa

Ugonjwa ni hali ambayo inamzuia ng’ombe kuzalisha kwa kiwango kikubwa kulingana na uwezo wake. Hii inajumuisha upatikanaji wa lishe bora na ambayo ni chanzo kikuu cha aina nyingi za yanayosumbua mifugo. Wafugaji wanafaa kuwapa mifugo wao chakula cha kutosha ili kujenga afya na kinga ya mwili na kuepukana na maradhi mengi. Ufugaji wa ng’ombe wa maziwa ni shughuli muhimu kwa…

Soma Zaidi

- Mifugo

Serikali kuchanja mifugo nchi nzima

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi mwaka huu wa 2025 itaendesha nchi nzima zoezi la uchanjaji wa Ng’ombe dhidi ya Ugonjwa wa Homa ya Mapafu (CBPP), Mbuzi na Kondoo dhidi ya Ugonjwa wa Sotoka (PPR) na Kuku dhidi ya Ugonjwa wa Mdondo/ Kideri (Newcastle disease) Gharama ya chanjo kwa Ng’ombe mmoja ni shilingi mia tano (500/=), Mbuzi/Kondoo mmoja ni…

Soma Zaidi

- Mifugo

Ulishaji sahihi na uangalizi wa karibu kwa mtamba anayekua ni muhimu

Kwa ajili ya kupata mtamba anayeweza kukupatia ndama kila mwaka ulishaji ni muhimu. Tengeneza mzunguko wa siku 365 Inawezekana kuwa na mzunguko wa kupata ndama na uzalishaji katika kipindi chote cha mwaka. Hii inamaanisha kwambwa ng’ombe wako anaweza kukupatia ndama kila mwaka, (siku 365). Ng’ombe ana uwezo wa kuwa kwenye joto kila baada ya siku 40-60 tangu kuzaa. Ili kumuwezesha…

Soma Zaidi

- Mifugo

Boresha kundi lako la kondoo kwa kuzalisha chotara

Njia ya haraka zaidi ya kuboresha kundi lako ni kuzalisha kondoo chotara. Inashauriwa utumie kondoo wa kienyeji kama wanyama wa kuanzia mpango wa kuzalisha kondo bora zaidi. Unaweza kutumia kondoo jike wa kienyeji aina ya Red Maasai na dume wa kigeni aina ya Dorper. Kondoo wanaozaliwa watabeba sifa za aina hizi mbili za kondoo (Red Maasai na Dorper). Njia hii…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Mifugo

Vitamini na madini muhimu ya kujenga kinga ya mwili

Vitamini na madini yanafanya kazi ya kujenga kinga ya mwili, na yanapatikana katika mboga na matunda. Ni muhimu kwa makundi ya watu kama watoto, mama wajamzito, mama anaenyonyesha na wazee, kwani huzuia na kusaidia kupambana na maambukizi ya magonjwa. Watu wengi hawali chakula cha kutosha chenye mboga na matunda, pamoja na vyakula vingine ambavyo ni vyanzo vya vitamini na madini.…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kuku, Kutuhusu, Machungwa, Mafuta, Mananasi, Masoko, Mazingira, Maziwa, Mifugo, Mimea, Mtama, Nanaa, Nazi, Ngozi, Redio, Samaki, Samaki, Shuhuda, Soya, Udongo, Usindikaji, Viazi vitamu

JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. Mkulima Mbunifu (MkM) is a farmer information service organization based in Arusha, Tanzania, and implemented since July 2011 with…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kuku, Kutuhusu, Masoko, Mazingira, Mifugo, Mimea, Redio, Samaki, Shuhuda, Udongo, Usindikaji

TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT INTERN

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. Mkulima Mbunifu (MkM) is a farmer information service organization based in Arusha, Tanzania, and implemented since July 2011 with…

Soma Zaidi

- Kilimo, Mifugo

Mnyororo wa ongezeko la thamani utapunguza manung’uniko

Sera ya soko huria iliyoanza kutekelezwa toka miaka ya 1990 imefungua fursa kwa wawekezaji  kuwekeza kwa wingi kwenye maeneo mbali mbali ya kibiashara. Kwa muda mrefu, Kilimo kimewavuta wawekezaji ambao wamekuwa wakijishughulisha na mashamba makubwa ili kukudhi madhumuni ya biashara ya kuzalisha kwa wingi kupunguza gharama ya kuzalisha kwa kiasi kidogo.  Pamoja na kutekelezwa kwa makubaliano baina ya wawekezaji na…

Soma Zaidi

- Mifugo

Mbinu za asili zinazofaa katika kilimo ikolojia

Ili kutekeleza utunzaji asilia wa mazao ni muhimu sana kuelewa mbinu asilia za kufanikisha kilimo. Kwa hali hiyo matukio na majanga ya kushambuliwa na wadudu waharibifu yanaweza kupunguzwa na utumiaji wa hatua za utunzaji wa mazao. Miongoni mwa mbini zinazoweza kutumika katika utunzaji wa mazao kwa njia za asili ni pamoja na; Kuelewa mfumo wa uhusiano wa viumbe na mazingira…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Masoko, Mazingira, Mifugo

Shiriki kongamano la pili la kiikolojia Afrika Mashariki (EAAC2025)

Shirika la Biovision Africa Trust (BvAT) ambalo ni mshirika wa MkM linaanda kongamao la kujadili maswala ya ikolojia na wakulima Afrika Mashariki. Hii ni fursa nzuri ya wakulima na wadau wa kilimo ikolojia kushirikishana njia na mbinu za kupanua na kusambaza uelewa na habari za mbinu endelevu za uzalishaji. Kongamano hili litafanyika Nairobi, Kenya, tarehe 25-28 mwezi wa Machi mwaka…

Soma Zaidi