Je, unafahamu kuwa unatakiwa kujua sifa za udongo ulio katika shamba lako na changamoto zake? Je, udongo una upungufu wa naitrojeni? Je, una upungufu wa fosiforasi? Je, kuna uwepo wa mabaki ya miti au wanyama ya kutosha? Ikiwezekana, udongo huo upimwe na mtaalamu au afisa kilimo ili kuonyesha kwa usahihi udongo una mapungufu ya virutubishi vipi na nini kifanyike ili…
Udongo
Rutuba ya udongo ndiyo msingi wa kilimo hai
Kwa muda mrefu sasa tumekuwa mstari wa mbele katika kuzungumzia na kuhimiza uzalishaji kwa misingi ya kilimo hai, ikiwa ni moja ya nguzo za kilimo endelevu. Katika makala zote zilizochapishwa katika jarida hili pamoja na machapisho mengine yanayotolewa na Mkulima Mbunifu, tumehimiza pia matumizi sahihi ya dawa za asili na mbolea za asili. Hii inatokana na ukweli kwamba, huwezi kusema…
Jarida la MkM limetupa hamasa ya kutekeleza shughuli zetu za uzalishaji
Kuna msemo aliowahi kuutoa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa; “Elimu sio njia ya kuepuka umasikini bali ni njia ya kupigana na umasikini”. Msemo huu wameudhihirisha wazi na kwa vitendo wakulima wajasiriamali wa kikundi cha kusindika kitarasa ambao wametumia elimu inayotolewa na jarida la Mkulima Mbunifu kupiga vita umaskini na kufanikiwa. Kikundi hiki kinachofanya shughuli mbalimbali za uzalishaji kama vile kilimo…
JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT
Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. Mkulima Mbunifu (MkM) is a farmer information service organization based in Arusha, Tanzania, and implemented since July 2011 with…
TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT INTERN
Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to support MkM work in content development and distribution of MkM magazine. The intern will also support monitoring activities of the project, data management and feedback from users of knowledge products disseminated. Mkulima Mbunifu (MkM) is a farmer information service organization based in Arusha, Tanzania, and implemented since July 2011 with…
Mbolea ya mifupa, kwato na pembe
Napenda kuchangia kipengele cha matumizi ya mbolea za asili toka Jarida la mkulima mbunifu toleo la 3 Novemba 11 na Moduli ya 11. Kusanya mifupa, pembe au kwato kutoka kwenye bucha, hotelini, machinjio, mabandani na nyumbani kwako. Rundika kisha choma moto. Kwa kawaida mifupa huwaka kwa urahisi sana na kwa muda mfupi. Baada ya kuungua, acha mifupa, pembe au kwato…
Hakikisha unaweka mipango thabiti katika uzalishaji
Imekuwa ni kawaida kwa wakulima walio wengi kufanya shughuli zao bila kufanya maandalizi thabiti, na bila kuwa na mipango endelevu. Jambo hili ni hatari sana kwa maendeleo, hii ni kwa sababu hautaweza kufanya kazi zako kwa malengo. Utakuwa mtu wa kuchukua kila linalokuja mbele yako, na mwishowe unajikuta haujaweza kufanya jambo la maendeleo na kutokufikia malengo pia. Mwaka umeanza, endapo…
HERI YA MWAKA MPYA WA 2025!!!!!!
Ni matumaini yetu kuwa tumevuka wote salama na tuko tayari kuanza mwaka kwa kishindo na kwa mafanikio makubwa. Mkulima Mbunifu tumejiandaa vyema kuendelea kufikisha elimu kwako na kwa kushirikiana na wewe katika kuhakikisha tunatatua changamoto zote za kilimo na ufugaji na kuhakikisha upatikanaji wa chakula bora na salama huku tukilinda afya zetu, afya za wanyama, afya ya mimea pamoja na…
Mwelekeo wa mvua za vuli (Oktoba – Disemba) na nini wakulima wafanye (Taarifa na TMA)
Uchambuzi wa mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa na mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli kipindi cha Oktoba – Disemba 2024, ushauri na tahadhari kwa wadau wa sekta mbalimbali kama vile kilimo na usalama wa chakula, mifugo na uvuvi, maliasili, wanyamapori na utalii, nishati na maji, usafirishaji (nchi kavu, kwenye maji na angani), mamlaka za miji, afya pamoja…
Zifahamu kanuni za kilimo ikolojia kwa uzalishaji wenye tija na lishe bora
Kilimo ikolojia ni njia ya kilimo inayolenga kuhifadhi mazingira, kuhimiza uendelevu, na kukuza ustawi wa jamii kwa kuzingatia mifumo ya ikolojia na utamaduni wa eneo husika. Ni mfumo ambao unazingatia uhusiano wa karibu kati ya mimea, wanyama, binadamu, na mazingira yao, na kujaribu kuiga mifumo ya asili ili kudumisha bioanuai na kuzuia uharibifu wa mazingira. Kanuni na vipengele 13 vya…