- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara

Usitumie kemikali shambani kwako ni HATARI!

Wakulima wamekuwa wakitumia kemikali kiasi cha kutisha kwenye nyanya kwa ajili ya kudhibiti wadudu. Uzalishaji wa nyanya unaweza kuwa na faida kwa mkulima. Msimu ambao nyanya zinakuwa chache bei hupanda kwa haraka jambo linalomaanisha mkulima anapata faida zaidi. Kwa upande mwingine zao la nyanya ni rahisi sana kushambuliwa na wadudu na magonjwa. Tatizo moja kubwa la kutumia dawa za kudhibiti…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo, Kilimo Biashara, Kutuhusu, Masoko, Mazingira, Mifugo, Mimea, Redio, Shuhuda, Udongo, Usindikaji

Hakikisha unaweka mipango thabiti katika uzalishaji

Imekuwa ni kawaida kwa wakulima walio wengi kufanya shughuli zao bila kufanya maandalizi thabiti, na bila kuwa na mipango endelevu. Jambo hili ni hatari sana kwa maendeleo, hii ni kwa sababu hautaweza kufanya kazi zako kwa malengo. Utakuwa mtu wa kuchukua kila linalokuja mbele yako, na mwishowe unajikuta haujaweza kufanya jambo la maendeleo na kutokufikia malengo pia. Mwaka umeanza, endapo…

Soma Zaidi

- Kutuhusu, Masoko, Mifugo

Ni muhimu kuzingatia utunzaji bora wa vifaranga

Kwa karne na miaka mingi, ufugaji wa kuku imekuwa ni kazi muhimu na inayokubalika katika jamii nyingi. Ni kazi isiyohitaji gharama kubwa sana, ambayo imekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa kwa wanaiofanya kibiashara. Tatizo ambalo limekuwa sugu na kusababisha hasara kwa wafugaji walio wengi, ni kutofahamu namna bora ya kuwatunza vifaranga kuanzia siku ya kwanza wanapoanguliwa hadi kuwa kuku wakubwa.…

Soma Zaidi

- Kilimo

Fahamu kuhusu magonjwa ya maharage na namna ya kudhibiti

Maharagwe hushambuliwa na magonjwa kadhaa shambani, na pia huweza kuharibiwa na wadudu shambani ama wakati wa kuhifadhiwa. Kutu ya Maharagwe Ni ugonjwa unaosababishwa na ukungu na kwa kawaida hushambulia majani, shina na mifuko ya maharagwe. Dalili kuu za ugonjwa huu ni madoa yenye rangi ya kutu yenye unga ambao unaweza kuonekana kwenye majani, shina au vifuko vya mmea. Madoa yanaanza…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo Biashara

Elimu ya uandaaji sahihi wa vyakula vya asili ni muhimu

Epuka kutengeneza loshoro itakayokaa muda mrefu sana kwenye kibuyu na kuendelea ongeza maziwa. Epuka kuloweka mahindi kwa muda mrefu na kutwanga kwa matumizi hii hupoteza nguvu na ubora wa wanga. Kuosha mahindi au maharage kwa kutumia magadi, hakikisha utayapika kwa kuongeza viungo au kutumia mboga za majani pembeni ili kurudisha virutubisho ulivyopoteza. Kuna baadhi ya vyakula hutumiwa sana nchini Tanzania…

Soma Zaidi

- Kutuhusu, Masoko, Mifugo

Namna bora ya kutunza ndama kwa uzalisha wenye tija

Utunzaji wa ndama mfugaji anapaswa kutunza ndama vizuri kwa lengo la kupata ng’ombe wengi na bora kwa ajili ya maziwa. Mambo muhimu ya kuzingatia katika utunzaji wa ndama tangu kuzaliwa hadi kuachishwa maziwa ni pamoja na; Kuhakikisha kuwa ndama anapakwa dawa ya kuzuia maambukizi ya viini ya magonjwa kupitia kwenye kitovu, kwa mfano dawa joto (Tinture of Iodine) mara baada…

Soma Zaidi

- Binadamu, Kilimo

Ni muhimu kuhakikisha usalama na kuzuia upotevu wa chakula

Umakini wa uzalishaji huzuia upotevu wa chakula Upotevu wa chakula hutokea katika mnyororo mzima wa uzalishaji, kuanzia shambani hadi usambazaji kwa wauzaji rejareja hadi kwa walaji. Upotevu huo unaweza kusababishwa na ukungu shambani, wadudu, au udhibiti duni wa hali ya hewa; hasara nyingine hutokana na njia za upishi na upotevu wa chakula kwa makusudi. Upotevu wa chakula husababisha hasara kabla…

Soma Zaidi

- Kilimo

Faida ya kuzalisha kwa misingi ya kilimo ikolojia

Malengo ya kilimo ni kuzalisha chakula na bidhaa zingine ili kutosheleza mahitaji ya kaya, jamii na nchi kwa ujumla. Kufuatana na hilo, ni vyema kuhakikisha kwamba wakulima wanazalisha chakula chenye virutubisho, safi na salama kwa walaji na wote wanaotumia bidhaa zinazotokana na kilimo. Kilimo pia huchangia ajira na ustawi wa kichumi katika ngazi mbali mbali. Hivyo, tunapopanua kilimo, tunachangia malengo…

Soma Zaidi

- Kilimo, Kutuhusu, Masoko, Mifugo, Usindikaji

Tumia Teknolojia Rahisi Kuboresha Uzalishaji

Teknolojia ifaayo ina sehemu kubwa katika kuboresha mapato ya wakulima kwa kutoa suluhisho na kuongeza uendelevu yanayoendana na mahitaji na masharti mahususi ya wakulima wadogo. Ikiwa wakulima watatumia teknolojia inayofaa basi wanaweza kuongeza kipato chao hasa katika kuongeza thamani mazao yao. Kutokana na hilo, kwa miaka mingi sasa, kumekuwa na jitihada nyingi kwa ajili ya kuleta mabadiliko na ukombozi wa…

Soma Zaidi

- Kilimo

Mahitaji ya uzalishaji wa mbogamboga

Mbegu Kwa matokeo mazuri ikiwemo ukuaji mzuri wa mbogamboga na mavuno mengi mkulima anashauriwa kutumia mbegu bora zilizothibitishwa. Mbegu hizo huwa na sifa zifuatazao: Hutoa mavuno mengi ya kiwango bora. Zina uwezo mkubwa wa kuota. Huhimili baadhi ya wadudu na magonjwa. Hukua kwa haraka, kwa usawa na ni imara. Ikolojia ya Eneo Eneo linalofaa kwa uzalishaji wa mbogamboga za majani…

Soma Zaidi