News

Baadhi ya mimea huboresha mboji

19/09/2025

Ni kwa nini wakulima huchanganya aina nyingi za mimea wanapotengeneza mboji? Aina tofauti za mimea huwa na aina tofauti za...

JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...

TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT INTERN

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...

Za hivi karibuni

Baadhi ya mimea huboresha mboji

19/09/2025

Ni kwa nini wakulima huchanganya aina nyingi za mimea wanapotengeneza mboji? Aina tofauti za mimea huwa na aina tofauti za virutubisho, na pia huchangia kwa kiasi kikubwa kuwezesha kuoza kwa aina nyingine za mimea hivyo kutengeneza mbolea nzuri. Unapotengeneza mboji,...

Kwa nini miembe inadondosha maua?

19/09/2025

Kudondoka kwa maua kwenye miembe yako inaweza kutokana na upungufu au ukosefu wa aina fulani ya madini. Virutubisho na madini kwenye miembe vinahitaji ufahamu na uelewa wa hali ya juu kwa kile kinachohitajika. Tofauti na hilo, unahitaji kuzingatia kiasi cha...

Je, Una swali lolote kuhusiana na ufugaji wa Samaki? Tuulize, Tukujibu

18/09/2025

Ni utaratibu wa kawaida kabisa kwa MkM kuthamini maoni yako na kujibu maswali yenu kwa kupitia wataalamu wa kada mbalimbali. Katika toleo hili Musa Said ambaye ni mtaalamu wa Samaki anaendelea kujibu maswali kuhusiana na ufugaji wa samaki. Shime, kama...

Lishe na vyanzo asili ya chakula

10/09/2025

Lishe bora inajumuisha aina mbalimbali za vyakula kutoka makundi tofauti ya chakula, na hutoa virutubisho na ladha tofauti. Makundi haya ni muhimu kwa afya na ukuaji wa mwili: Nafaka na mizizi: Mahindi, viazi, ndizi — hutoa wanga kwa ajili ya...

JOB VACANCY: Consultant to update and redesign its website

01/09/2025

MkM is seeking to update and redesign its website to enhance the functionality, user experience, and overall performance of the Mkulima Mbunifu website (www.mkulimambunifu.org). This involves updating the WordPress Content Management System (CMS), addressing plugin compatibility issues, optimizing social media...