Bata maji

- Kilimo, Mifugo

Wanahabari na Kilimo hai

Siku za hivi karibuni, mradi wa Mkuli­ma Mbunifu uliratibu na kuendesha mafunzo ya kilimo hai kwa waandishi wa habari nchini Tanzania. Mafunzo hayo ya siku tatu yalifanyika katika shamba la kilimo hai SJS- St Jo­seph Sustainable Organic Farm lililo­po katika kijiji cha Kwanyange Wilaya ya Mwanga. Mafunzo haya yalifadhiliwa na shirika la Biovision (Bv) Foundation lililopo Switzerland. Katika mafunzo hayo…

Soma Zaidi

- Mifugo

Mfugaji anaweza kuongeza pato kwa kufuga bata

Wafugaji wengi wa ndege wamekuwa wakikazana zaidi namna ya kufuga aina mbalimbali za ndege bila kujumisha bata. Aina hii ya ndege wanaweza pia kuwa chanzo kizuri cha kuongeza pato. Wafugaji wengi wadogo wa bata nchini Tanzania hufuga bata chotara ambao wamechanganyika na aina mbalimbali za jamii ya bata. Aina nyingine inaweza kuwa bata bukini, bata maji, au bata mzinga. Matumizi…

Soma Zaidi