News

Namna bora ya kutunza ndama kwa uzalisha wenye tija

29/01/2025

Utunzaji wa ndama mfugaji anapaswa kutunza ndama vizuri kwa lengo la kupata ng’ombe wengi na bora kwa ajili ya maziwa....

HERI YA MWAKA MPYA WA 2025!!!!!!

07/01/2025

Ni matumaini yetu kuwa tumevuka wote salama na tuko tayari...

Mwelekeo wa mvua za vuli (Oktoba – Disemba) na nini wakulima wafanye (Taarifa na TMA)

24/09/2024

Uchambuzi wa mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa na...

WEBSITE DESIGNER

01/12/2023

Za hivi karibuni

Elimu ya uandaaji sahihi wa vyakula vya asili ni muhimu

29/01/2025

Epuka kutengeneza loshoro itakayokaa muda mrefu sana kwenye kibuyu na kuendelea ongeza maziwa. Epuka kuloweka mahindi kwa muda mrefu na kutwanga kwa matumizi hii hupoteza nguvu na ubora wa wanga. Kuosha mahindi au maharage kwa kutumia magadi, hakikisha utayapika kwa...

Namna bora ya kutunza ndama kwa uzalisha wenye tija

29/01/2025

Utunzaji wa ndama mfugaji anapaswa kutunza ndama vizuri kwa lengo la kupata ng’ombe wengi na bora kwa ajili ya maziwa. Mambo muhimu ya kuzingatia katika utunzaji wa ndama tangu kuzaliwa hadi kuachishwa maziwa ni pamoja na; Kuhakikisha kuwa ndama anapakwa...

Ni muhimu kuhakikisha usalama na kuzuia upotevu wa chakula

20/01/2025

Umakini wa uzalishaji huzuia upotevu wa chakula Upotevu wa chakula hutokea katika mnyororo mzima wa uzalishaji, kuanzia shambani hadi usambazaji kwa wauzaji rejareja hadi kwa walaji. Upotevu huo unaweza kusababishwa na ukungu shambani, wadudu, au udhibiti duni wa hali ya...

Faida ya kuzalisha kwa misingi ya kilimo ikolojia

20/01/2025

Malengo ya kilimo ni kuzalisha chakula na bidhaa zingine ili kutosheleza mahitaji ya kaya, jamii na nchi kwa ujumla. Kufuatana na hilo, ni vyema kuhakikisha kwamba wakulima wanazalisha chakula chenye virutubisho, safi na salama kwa walaji na wote wanaotumia bidhaa...

Tumia Teknolojia Rahisi Kuboresha Uzalishaji

15/01/2025

Teknolojia ifaayo ina sehemu kubwa katika kuboresha mapato ya wakulima kwa kutoa suluhisho na kuongeza uendelevu yanayoendana na mahitaji na masharti mahususi ya wakulima wadogo. Ikiwa wakulima watatumia teknolojia inayofaa basi wanaweza kuongeza kipato chao hasa katika kuongeza thamani mazao...