News

JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...

TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT INTERN

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...

Za hivi karibuni

Ni hatari kumfunga mbuzi kamba shingoni

12/05/2025

Ni dhahiri kuwa wafugaji wengi wana bidii sana na kuwa na matumaini makubwa kutokana na kazi zao. Hari ya kuwa na uzalishaji mzuri kutokana na mifugo yao pia ni dhahiri. Pamoja na hari hiyo, wafugaji wengi wamekuwa hawazingatii kanuni bora...

Fahamu ukubwa wa soko la bidhaa za kilimo hai

17/04/2025

Historia inaonesha miaka ya zamani kilimo kilikuwa kinafanyika kupitia mbegu za mkulima mwenyewe. Hali hiyo ilitokea kutokana na utaratibu au utamaduni ambao wakulima walirithi kwa mababu kuwa mbegu, mbolea na viuatilifu vya msimu ujayo vinatoka shambani na si kwingineko. Ujio...

Msimu wa palizi kwa zao la mahindi: Nini wapaswa kufahamu?

14/04/2025

Mahindi ni zao muhimu la chakula, na ni aina ya nafaka inayotumiwa kwa wingi kama chakula, hususani katika mataifa ya Afrika, lakini pia limekuwa likitumika katika nchi zilizopo kusini mwa jangwa la sahara. Mahindi ni chakula cha matumizi ya nyumbani...

Matumizi ya mabaki ya mimea na wanyama katika kurutubisha udongo na kupelekea uzalishaji bora wa mazao

14/04/2025

Je, unafahamu kuwa unatakiwa kujua sifa za udongo ulio katika shamba lako na changamoto zake? Je, udongo una upungufu wa naitrojeni? Je, una upungufu wa fosiforasi? Je, kuna uwepo wa mabaki ya miti au wanyama ya kutosha? Ikiwezekana, udongo huo...

Rutuba ya udongo ndiyo msingi wa kilimo hai

11/04/2025

Kwa muda mrefu sasa tumekuwa mstari wa mbele katika kuzungumzia na kuhimiza uzalishaji kwa misingi ya kilimo hai, ikiwa ni moja ya nguzo za kilimo endelevu. Katika makala zote zilizochapishwa katika jarida hili pamoja na machapisho mengine yanayotolewa na Mkulima...