
News






Namna ya kuzuia vimelea kwa mifugo
05/06/2025Minyoo ya ndani ya mwili na hasa ile inayoishi kwenye maini pamoja na ile ya mviringo huathiri sana afya za...
JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT
18/02/2025Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...
TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT INTERN
18/02/2025Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...
HERI YA MWAKA MPYA WA 2025!!!!!!
07/01/2025Za hivi karibuni
Namna ya kuzuia vimelea kwa mifugo
05/06/2025Minyoo ya ndani ya mwili na hasa ile inayoishi kwenye maini pamoja na ile ya mviringo huathiri sana afya za wanyama wa dogo kama ndama na kwa ujumla husababisha udhaifu wa mwili, ukosefu wa nguvu, ukuaji duni na hatimaye vifo...
Unaweza kutengeneza mbolea ya mboji kwa njia rahisi
04/06/2025Zipo aina nyingi za takataka zin-azoweza kutumika kwa ajili ya kuzalisha mbolea ya mboji kama vile mabaki ya malisho, unga wa maranda unaotokana na shughuli za useremala, majivu na masalia ya ziada baada ya kuvuna mazao shambani. Kwa kutengeneza mboji,...
Unaweza kukausha karoti na kusaga kwa matumizi ya baadaye
02/06/2025Imezoeleka kuwa karoti ni moja ya kiungo maarufu cha chakula, ambacho mara nyingi kinatumika kikiwa kibichi, na mara nyingi hakihifadhiwi kwa muda mrefu. Tofauti na dhana hii, karoti inaweza kusagwa na kuwa unga, ambao unaweza pia kutumika kama chakula. Utayarishaji...
Fahamu madhara ya kiafya unayoweza kupata kutokana na viuatilifu
30/05/2025Wakulima wengi wamejisababishia madhara ya kiafya kutokana na matumizi ya viuatilifu. Hii ni kutokana na kutokua na maarifa sahihi na kutokutumia hatua zinazostahili za kinga au kutekeleza mbinu sahihi za udhibiti. Viuatilifu vya kiwandani na zana zake kwa kawaida huhifadhiwa majumbani...
Unaweza kutumia chokaa na majivu kuangamiza viwavijeshi vamizi
30/05/2025Wakulima walio wengi katika mikoa mbalimbali hapa nchini wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiwavijeshi vamizi, mdudu ambaye husababisha hasara kubwa kwa wakulima hasa wa mahindi kwani hupoteza maelfu ya hekari za mazao endapo watavamiwa na mdudu huyu. Kuna mbinu mbalimbali za...