
News








Serikali kuchanja mifugo nchi nzima
19/03/2025Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi mwaka huu wa 2025 itaendesha nchi nzima zoezi la uchanjaji wa Ng’ombe dhidi...
JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT
18/02/2025Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...
TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT INTERN
18/02/2025Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...
HERI YA MWAKA MPYA WA 2025!!!!!!
07/01/2025Za hivi karibuni
Serikali kuchanja mifugo nchi nzima
19/03/2025Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi mwaka huu wa 2025 itaendesha nchi nzima zoezi la uchanjaji wa Ng’ombe dhidi ya Ugonjwa wa Homa ya Mapafu (CBPP), Mbuzi na Kondoo dhidi ya Ugonjwa wa Sotoka (PPR) na Kuku dhidi ya...
Msomaji wa jarida la MkM atoa ushauri kwa wafugaji wa kuku
19/03/2025Moja ya kazi inayofanywa na Mkulima Mbunifu katika kufikisha elimu kwa wakulima, ni kutumia ujuzi na uzoefu wa wakulima na wafugajhi wengine katika kuelimisha na kushirikisha namna mbalimbali wanavyofanya na kufanikiwa katika kazi zao za uzalishaji. MkM Huu ni ushauri...
Zingatia afya ya mmea ili kupata mapato mengi
19/03/2025Mara nyingi wakulima wanapuuza maswala yanayohusiana na nafya ya mimea na kupata hasara kubwa. Ikiwa mkulima hatawekeza muda na rasilimali, atakuwa na mimea iliyodhoofika. Ni nia ya kila mkulima kuwa na mimea yenye nguvu na afya, na yenye uwezo wa...
Vuruga biocide: Kiuatilifu cha asili sasa chapatikana kwa ruzuku
26/02/2025Hayawi hayawi sasa yamekua. Mvumilivu, hula mbivu. Ni muda wakulima wa kilimo hai wamekua wakilalamika upatikanaji wa bidhaa za kilimo hai kwa urahisi. Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya kilimo imepitisha kiuatilifu hai kwa jina la Vuruga. Kiuatilifu hai (VURUGA...
Jarida la MkM limetupa hamasa ya kutekeleza shughuli zetu za uzalishaji
26/02/2025Kuna msemo aliowahi kuutoa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa; “Elimu sio njia ya kuepuka umasikini bali ni njia ya kupigana na umasikini”. Msemo huu wameudhihirisha wazi na kwa vitendo wakulima wajasiriamali wa kikundi cha kusindika kitarasa ambao wametumia elimu inayotolewa...