News

Unawezaje kutambua mnyama mwenye afya nzuri na mwenye matatizo ya kiafya?

27/03/2025

Afya ya mifugo ni tatizo kubwa linalowakabili wafugaji walio wengi katika sehemu mbalimbali za nchi. Wapo wataalamu mbalimbali katika maeneo...

JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...

TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT INTERN

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...

Za hivi karibuni

Unawezaje kutambua mnyama mwenye afya nzuri na mwenye matatizo ya kiafya?

27/03/2025

Afya ya mifugo ni tatizo kubwa linalowakabili wafugaji walio wengi katika sehemu mbalimbali za nchi. Wapo wataalamu mbalimbali katika maeneo na mikoa yote ya nchi wanaotoa huduma ya mifugo lakini, bado kuna changamoto nyingi zinazowakumba wafugaji. Katika sehemu ambazo mawasiliano...

Udhibiti wa magonjwa ya ng’ombe wa maziwa

25/03/2025

Ugonjwa ni hali ambayo inamzuia ng’ombe kuzalisha kwa kiwango kikubwa kulingana na uwezo wake. Hii inajumuisha upatikanaji wa lishe bora na ambayo ni chanzo kikuu cha aina nyingi za yanayosumbua mifugo. Wafugaji wanafaa kuwapa mifugo wao chakula cha kutosha ili...

Serikali kuchanja mifugo nchi nzima

19/03/2025

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi mwaka huu wa 2025 itaendesha nchi nzima zoezi la uchanjaji wa Ng’ombe dhidi ya Ugonjwa wa Homa ya Mapafu (CBPP), Mbuzi na Kondoo dhidi ya Ugonjwa wa Sotoka (PPR) na Kuku dhidi ya...

Msomaji wa jarida la MkM atoa ushauri kwa wafugaji wa kuku

19/03/2025

Moja ya kazi inayofanywa na Mkulima Mbunifu katika kufikisha elimu kwa wakulima, ni kutumia ujuzi na uzoefu wa wakulima na wafugajhi wengine katika kuelimisha na kushirikisha namna mbalimbali wanavyofanya na kufanikiwa katika kazi zao za uzalishaji. MkM Huu ni ushauri...

Zingatia afya ya mmea ili kupata mapato mengi

19/03/2025

Mara nyingi wakulima wanapuuza maswala yanayohusiana na nafya ya mimea na kupata hasara kubwa. Ikiwa mkulima hatawekeza muda na rasilimali, atakuwa na mimea iliyodhoofika. Ni nia ya kila mkulima kuwa na mimea yenye nguvu na afya, na yenye uwezo wa...