- Kilimo

Aina mbalimbali za maharage yanayolimwa Tanzania

Sambaza chapisho hili
Aina Sifa Uwezo wa uzaaji

Kilo/Ekari

Kiasi cha mbegu

Kilo/Ekari

1. Kabanima Nyekundu yenye mistari, inavumilia magonjwa ya kutu nan dui. Hukomaa baada ya siku 87 600-1000 Wastani

26-28Kg

2. Uyole 84 Rangi ya maziwa, yanatambaa na hukomaa baada ya siku 105 600-1000 Wastani

26-28Kg

3. Uyole 94 Rangi ya maziwa na mistari nyekundu, Hukomaa baada ya siku 84 480-800 Wastani

26-28Kg

4. Uyole 96 Rangi nyekundu makubwa, inavumilia magonjwa yak utu na madoa pembe. Hukomaa baada ya siku 84 480-1000 Kubwa

36-40Kg

5. Uyole 98 Rangi ya machungwa, inauvumilivu wa magonjwa ya ndui, madoa pembe, baka halo na kutu. Hukomaa baada ya siku 87 600-1200 Wastani

26-28Kg

6 Wanja Rangi ya khaki, inakomaa baada ya siku 78 na inaweza kukomaa mapema zaidi sehemu yenye mvua kidogo 400-100 Kubwa

36-40Kg

7. Uyole 03 Rangi ya maziwa na mistari, ukomaa baada ya siku 97, ina uvumilivu wa magonjwa ya ndui, madoa pembe na baka halo 600-1200 Wastani

26-28Kg

8. Uyole 04 Rangi ya maziwa, ina uvumilivu wa magonjwa ya ndui, madoa pembe, baka halo. 600-1200 Wastani

26-28Kg

9. Njano- Uyole Uvumilivu wa magonjwa ya ndui, madoa pembe baka halo na kutu. Haina uwezo wa kuvumilia ugonjwa wa kuoza mizizi. Inakomaa baada ya siku 88 600-1200 Wastani

26-28Kg

10. Calima- Uyole Nyekundu yenye mistari. Inavumilia ugonjwa wan dui, madoa pembe na kutu. Inakomaa baada ya siku 85 600-12000 Wastani

26-28Kg

11. Pasi Rangi ya kahawia. Inavumilia magonjwa ya madoa pembe nan dui. Inakomaa baada ya 85. 600-1200 Wastani

26-28Kg

12. Rosenda Rangi nyekundu na mistari. Inavumilia magonjwa yak utu, madoa pembe. Inakomaa baada ya siku 88. 600-1200 Kubwa

36-40Kg

13. Fibea Rangi ya njano ya kupauka/khaki. Inavumilia magonjwa ya madoa pembe nan dui. Inakomaa baada ya siku 84. 600-2000 Kubwa

36-40Kg

14. Uyole 16 Rangi ya njano, Uvumilivu wa magonjwa yak utu, madoa pembe, ndui nab aka halo. Inakomaa baada ya siku 84. 480-1200 Wastani

26-28Kg

15. Uyole nyeupe Rangi nyeupe. Ina uvumilivu wa magonjwa ya ndui, madoa pembe, kutu na baka halo. 600-1200 Kubwa

36-40Kg

 

Maoni kupitia Facebook
Sambaza chapisho hili

2 thoughts on “Aina mbalimbali za maharage yanayolimwa Tanzania

  1. Vizuri sana, nataka kujifunza zaidi kuhusu kilimo. Asante Kwa ubunifu zaidi na sisi inatupatia hamasa za kujifunza pia na kuwekeza.

    1. Habari, Karibu sana Mkulima Mbunifu na tuko tayari kushirikiana na wewe wakati wowowte utakapokuwa na swali au changamoto. Karibu sana

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *