Ng’ombe

- Mifugo, Ng'ombe

Namna ya kuzuia vimelea kwa mifugo

Minyoo ya ndani ya mwili na hasa ile inayoishi kwenye maini pamoja na ile ya mviringo huathiri sana afya za wanyama wa dogo kama ndama na kwa ujumla husababisha udhaifu wa mwili, ukosefu wa nguvu, ukuaji duni na hatimaye vifo vya maelfu ya mifugo ya wafugaji wadodgowadogo kila mwaka. Hali hii ni ya kusikitisha kwasababu mifugo hiyo ingeweza kuokolewa kwa…

Soma Zaidi

- Mifugo, Ng'ombe

Unawezaje kutambua mnyama mwenye afya nzuri na mwenye matatizo ya kiafya?

Afya ya mifugo ni tatizo kubwa linalowakabili wafugaji walio wengi katika sehemu mbalimbali za nchi. Wapo wataalamu mbalimbali katika maeneo na mikoa yote ya nchi wanaotoa huduma ya mifugo lakini, bado kuna changamoto nyingi zinazowakumba wafugaji. Katika sehemu ambazo mawasiliano ikijumuisha pia miundo mbinu kuwa duni, wafugaji wamekuwa wakipoteza mifugo hasa kutokana na sababu kuwa mara ugonjwa unapoikumba inakuwa si…

Soma Zaidi