Kutuhusu

- Kutuhusu

Uboreshaji na usambazaji wa habari za kilimo

Kwa miaka iliyopita, Mkulima Mbunifu iliweza kufanya mafunzo mbalimbali, kwa waandishi wa habari, maafisa kilimo na mifugo, lengo likiwa ni kuongeza uelewa pamoja na kufundisha mbinu mbalimbali za kuandika makala zinazohusu kilimo endelevu, na namna ya kutumia vyombo vya habari katika kufundisha juu ya kilimo endelevu. Washiriki katika semina mbalimbali zilizofanyika, walitoka mikoa mbalimbali ya Tanzania ikiwepo Tabora, Iringa, Dar…

Soma Zaidi